Holy Trinity Studio - Fadhili za Bwana ( Official Music Video )
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- KWAYA YA MT. DON BOSCO CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO - SUA KAMPASI KUU PAROKIA YA MT. MARIA KONSOLATA - SUA JIMBO KATOLIKI MOROGORO
WIMBO: FADHILI ZA BWANA: Mtunzi: JOHN MGANDU
VIDEO BY: HOLY TRINITY STUDIOS
AUDIO BY: TRIPLE J RECORDS.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
Nyimboa Kama hizi huwa zinamvuto wake,barikiwa saaana kmdsua
Mambo mazuri kama haya tuyapate wapi tena😋😋😋
Mbarikiwe saana Wana SUA kwa kazi nzuri
Hivi hakuna kulike Mara mbili hahahaha jamaniiii daaaaah. Nlitaka kulikee zaidi
Kazi mzuri ,vinanda vimetaradadi
Holy Trinity hoyee, vitu moto moto zinashuka tu kila siku, hongera
Hongeeen sana kwa utume
Kazi nzuri Sana. Baraka tele kwenu!!
Mungu awabariki katika kuendeleza utume mwema
Kazi nzuri! HT
shukrani
Kazi nzuri sana,,,,mbarikiwe sana
Waaooo,it so amazing,kazi Ni nzuri saaaaana🎺🎷🥁🎻
Hongereni sana...atukuzwe Mungu 🙏
Huyu miss naniii.....
Fanyenii chapu wiki hii nimeandaa GB 120 kwa kazi zenu.
Nimeskia habari zenu..
Leteni leteni vitu vya motooo
Hongeren....kazi nzurii
Nyimbo nzuri ujumbe uliobora#Qui bene cantat bis orat!
Kitu ni fireeeeee hongeraa kwenu nyotee wana don bosco
Congrats
Hakika ni ujumbe mzuri. Mungu awabariki. Ila audio prodecers mungu anawaona
Kazi nzuriii 👏🙌
Fadhili za bwana nitaziimba milele,,,hakika Mungu ni mkuu na matendo yake ni makuu mno
Hakika fadhili za bwana ntaziimba milele. Nice song
we're after it
Kuimba nikusali Mara mbili mbarikiwe sana tumia talanta yako vizuri ingali uhai
Hongereni kwa Utume wa Uinjilishaji Kwa Njia ya Kuimba Mungu Awabariki.
NAWAPENDA SANA HONGERENI,FROM NAIROBI KENYA
Waaoo waooo🥰so great👏👏
🔥🔥🙏🙏,,,mzidi kubalikiwa Na kuinuliwa siku zote kwa kazi mzuriii,,,,,hakika mko vizur 🔥🔥
Fadhili za bwanaa nitaziimba milele..................!!....,(mmetisha 🔥)
Barikiwa waimbaji na mtunzi
🔥🔥🔥
Bwana/Bibi shamba wakihamua hakuna wa kupinga, asante Kwa Kwa kuziimba fadhili za bwana duu mmetisha,Barikiwa Sana Kwa huo wimbo
Fadhili za Bwana nitaziimba milele🙏
Waoooo hongereni
Baada ya mda on the 🔥🔥🔥
Hivi Mgandu anawaona na anasema alitunga wimbo wa miaka ya baadae, mwanzoni walikuwa wanapasha sasa umeimbwa, hongereni sana
Fazili za bwana nitaziimba milele. Mubarikiwe waimbaji
Mungu awabariki sana, awajalie afya njema mtangaze neno la Mungu kwa Njia ya nyimbo 🙏
What a good work nice to see this
Tunawasubiria kwa ham sana
Eagerly waiting
Hongereni kwa kazi nzuri
kazi nzuri sana
Hongereni Sana wapendwa Mungu awabarki.. Ayati mgandu atawaombea wimbo wake mmeutendea haki
Heri wale waijuao sauti ya shangwe. Baada ya kusubiri kwa muda mrefu sasa nimepokea injili kwa moyo wangu wote. Wimbo uliojaa upendo wa kiinjili. Nami kipi kitanizuia nisiseme Fadhili za Bwana nitaziimba milele!?? Hakuna: fadhili za Bwana nitaziimba milele
Joyful souls are souls that sing praise to God.
!E
@@valeriakimambo6476 what?
So great let's wait🥰🙏
Kila mda nakaa naangalia hii kazi nakosa neno kwa HT..
Keep producing good and nice records
thanks so much
Aisee its a firee🔥🔥..... Hongeren sana KMD
👏👏👏
Mungu azidi kutubariki na kututia nguvu katika kumsifu yeye milele......hakika kazi ni nzuri na ya kupendeza machoni pa kila anaye itazama
Endeleeni na nymbo za namnahii.utlivu wa kutosha
Muda....
Nami nitavijulisha vizazi wote.
Wewe je??
macho, akili na mawazo vipo attention teari kupokea kitu
Waiting....💃💃💃
Wimbo mzurii wenye utamu wa Aina take..hasa huyu mdada alieimba peke yake...unajua Dada Kama despina yaan😋😘
Ni firee
Mbarikiwe!!!
Wimbo mtamu sana! Hongera mtunzi na waimbaji wote.
Tunaisubir kwa hamu
A nice one
Am proud of u guys🙏 Kazi nzuri mnoo. Big up kwa Soloist wote wa2💪💪👍
🙄🙄 vile macho yanaisubiriiiiii
Waiting...💃💃
Sauti tamu kweli
Sololist bhna...
😀😀😃
God bless you all for a good job.... glory to God
Nice song! Watching it from Nairobi, Kenya. God bless
Kazi nzuri. Mmeimba vizuri
YEESS,.REALY WAITING,.MGANDU ONE OF MY FAVOURITE COMPOSER
Aksante sana kwa mwimbo safi sana. Mungu awabariki daima
katika utumishi wenu !(Ni mimi Pascal, Bunia/Ituri/DR Congo)
Saf vijana
Mpga kinanda umenifurahisha Sana baba umepgaa kinanda
Sooo beautiful song. Thank you for your evangelization
Mgandu is such an exceptional holy music composer. Hongereni HT na wanakwaya.
Big up kwenu Don Bisco!!
Hahahaha HT ndo habari ya mjini leteni Mambo mazuri tufurahie na kubarikiwa nayo... Na fadhili zake Bwana zidumu daima nasi.
tunashukuru sana
Barikiwa.kwaya
.nzur❤❤❤❤
Wimbo mzuri mno
GOD Bless your wonderful voices
Hongereniii
Very good
Such a Blessing !.
Hakuna kulala hadi kieleweke hasinzii mtu na bando halikati
Kazi nzuri,Ila instruments kama zimekuwa nyingi sana usikivu umekuwa sio mzuri.
Whaaoo😇😇😇😁
Good
Nice song
@kmdbsua wiz nice song
Thank you so much Brothers and Sisters for making God known, loved and served throgh your talents.
😚😚😚
Ili nadhani version original inapendeza sana mngeitoa kama ilivyo mngekuwa mmefanya uinjilishaji unaotakiwa. Moja ya nyimbo nzuri sana za kikatoliki na huwezi kuupata RUclips, why mkaimba remix wakati original haipo kwenye digital world? Finally someone ameuweka lakini still mmeondoka vitu vya msingi kwenye original song. I am glad but still disappointed. Hii omission was totally unnecessary. Nausikiliza huu wimbo lakini siipati ile vibe ninayoipata nikiusikiliza wimbo original. John Mgandu hakuutunga hivi.
Kazi nzuri sana👍
🔥🔥🔥
Ni firee
Mpga kinanda umenifurahisha Sana baba umepgaa kinanda