TAPELI MKUBWA AKAMATWA | AWAIBIA WAISLAMU NDANI YA MIAKA 3 |YEYE NI MKRISTO ATEMBEZWA MISKITI YA DAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 277

  • @mariamkhalfan2346
    @mariamkhalfan2346 2 года назад +38

    Mimi ni muislam nampenda mtume wangu mohammad (s a w) na namtwii mola wangu Allah kama na wewe unakubaliana na mm like down

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 года назад +1

      Mimi si like ila nakoment, je unafuata maamrisho na unaacha makatazo ya Allah na mtume?

    • @mariamkhalfan2346
      @mariamkhalfan2346 2 года назад +1

      @@aliybecka5169 hayo mengine ni miongoni mwa mapungufu kwani hatujakamilika

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 года назад

      @@mariamkhalfan2346 Hapana unakosea kwa sababu hatutakiwi kifuata dini kwa hisia bali ni elimu na Allah anasema "sema ikiwa munampenda yeye basi munfuate mtume na yeye(Allah)atakupendeni na atakufutieni madhambi

    • @mariamkhalfan2346
      @mariamkhalfan2346 2 года назад

      @@aliybecka5169 shukran ndugu yangu kwa ukumbusho Allah akujaze elimu biidhnillah nakupenda kwa ajili ya Allah

    • @aliybecka5169
      @aliybecka5169 2 года назад +1

      @@mariamkhalfan2346 Ahsante sana dadaa Allah akupe kheri na akujalie uwe mwenye kufuata mafundisho sahihi ya quran na sunnah na akuepushe na shirk

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 2 года назад +5

    M/ mungu hafichwi leo umeumbuka yani mungu akusamehe badilika mzee tafuta pesa kwanjia nyingine

  • @rezikomer9552
    @rezikomer9552 2 года назад +2

    Mashallah niviuri utomudhurmungu akuzidishiye

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 2 года назад +14

    Mimi ni Mkristu ila huyu jamaa amekosea sana! Mungu amsamehe maana hakuna dhambi mbaya kama kutumia jina la Mungu au Madhabahu ya Mungu kidhuluma

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 года назад +3

    Huwenda Allah atampa tawhid

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +4

    Subuhanallah inalillah wainailahi rajuun

    • @salimaalsharji8354
      @salimaalsharji8354 2 года назад

      Asalam Alaykum . Sio kumuadhirisha . Mfikisheni kwa Sheikh amfahamishe ili apate sleem

    • @muhammadalibhaz1390
      @muhammadalibhaz1390 2 года назад +1

      hakudhalilishwa ila hayo yalikuwa kuwathadharisha wananchi ili wasingiye mkenge katika jina la dini

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 2 года назад

    Anaweza kuongoka inshallah

  • @mwanawatusalum5766
    @mwanawatusalum5766 2 года назад

    Mwizi.mkubwaaa uyooo anahayaaa mungu mbwa kazililikaaaa Sana surambayaaaa surandigo kamapliton

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад +1

    Duh kanenepa mashavu mwizi uyooo loh aibu

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 Год назад

    Innaalillahi wainnaa ilayhirajiuun

  • @issabinmaryam7450
    @issabinmaryam7450 2 года назад

    Kwenye kuongelea al shabab ndo ameharibu mada..wew uwatoe ndugu zetu wasomali ktk uislam...watu wanakufa wana nuru na shahada af uongee utumbo huo

  • @kungakunga9536
    @kungakunga9536 2 года назад

    Aaah! Hatar kwakwel

  • @allyabdallahally9637
    @allyabdallahally9637 2 года назад

    Ataendelea kutangatanga maana hiyo nidhambi kubwa

  • @lwagamwakalinga8038
    @lwagamwakalinga8038 2 года назад

    Hili jambo lisitiwe chumvi sana sijui eti mkristo anaewaibia waislam sababu hawa wanaochangisha kwa ujenzi wa misikiti hata wakristo huwa tunachangiaga sana, kwa upande wangu mimi sio muislam lkn nimewahi changia sana kwa watu kama huyo kwa ajili ya ujenzi wa misikiti hivyo huyo ni tapeli kama tapeli mwingine na sio issue ya dini.

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 года назад

    Muache kusema mnauotaka kufanya ci atabadilisha sim

  • @zubedalema6634
    @zubedalema6634 2 года назад

    Mngempiga picha mzisambaze hasa kuanzia Kingswear mpaka kisemvule ndio maeneo yake yakuchangisha

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 2 года назад +1

    Jamani mtu mzima😭😭😭😭😭😭

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад

    Ndio wanaotudhalilisha hao tukaonekana wote matapeli

  • @fatmachitanda2460
    @fatmachitanda2460 2 года назад

    Aww huna hata aibu

  • @salaahkarama9927
    @salaahkarama9927 2 года назад

    Choma yeye

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 2 года назад

    👀💔👂

  • @hosmanedjanffar7929
    @hosmanedjanffar7929 Год назад

    😘😘😘😘😘😘🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Mtihani mkubwa mshenzi mungu atamuwa mshenzi

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад

    Awatakubali mayahudi na manasara mpaka mfate Mila zao.

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад

      Iyo kauli yako inakuaje apa?

    • @duniawadunia4824
      @duniawadunia4824 2 года назад +1

      Nenda shule dogo

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад

      @@duniawadunia4824 shule ninayo jibu swali unaongea pointless watu wanazungumzia hiki wewe unaleklta hiki kana kwamba umeshikiwa panga kulazimishwa wewe kua mkristo,,,shobo tu

    • @duniawadunia4824
      @duniawadunia4824 2 года назад +2

      Mwizi ni mkristo katumia uhusika wa mavazi hili kuomba sadaka ww ujaona? Acha ujinga kafiri ww

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 2 года назад

      Kafiri niwewe.uijui kesho yako.

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 года назад

    Madam kasema yote

  • @ismailysaidy884
    @ismailysaidy884 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kennah03m
    @kennah03m 2 года назад

    Waona angekua muislamu mungemuumbua???

    • @iddijuma3650
      @iddijuma3650 2 года назад +3

      Tusinge muumbua muislamu mwenzetu kwa sababu mbali na yote muislamu hawezi kucheza na dini....

    • @georgesikazwe5914
      @georgesikazwe5914 2 года назад +1

      Waambie hawa hawajelewi badala ya kuripoti mwizi wao wamekazania mkristo t wajinga kabsa yan mimtu mizima imekazania udini tu inamaana jela wapo wakristo tu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +2

      @@georgesikazwe5914 WACHA KUPANIK HUYO KAWA ADHIRISHA MPAKA WAKRISTO USITETEE MTU MPUMBAVU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      WEWE KAMA MKRISTO WA KWELI BADO HUJAONA KAMA KAWADHALILISHA NYINYI USIMTETE MTU MPUMBAVU.

    • @salimmashjary8028
      @salimmashjary8028 2 года назад +1

      Mwiislamu hawezi ibiya misliti kwa miaka miwili.atafedheheka na atapata laana kwa Allah

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani7014 2 года назад +13

    Mashaa allah , allah awaongoze ,,! Uislam ni dini ya amani kabisa.

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 2 года назад +22

    Asalaam Alaikum, Msameheni waisilamu...huu ni mtihani Allah kawapa katika haki yenu, hakika ya Allah atatujaribu kwa khairi na shari sasa hapa tunatakiwa tuweni makini ili tufuzu, inshaaAllah atawapa zaidi ya hicho yalichochukua, msameheni , fajazakumullahu khairan

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku8336 2 года назад +5

    Mkristo mwezangu ulikoingia umenitisha manake huko hakuingiliki wanapenda ligi kama ugali

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 года назад

      Kwa hiyo amefanya vizuri kuiba? Hau yeye anaonewa?kwa hakika huu ni msiba!

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 2 года назад +14

    Allah amuongoze, huenda ikawa akaja kusimama imara ktk kumjua Allah...

    • @Dr.zaidi4
      @Dr.zaidi4 2 года назад +2

      Kweli,watu wakifanyiwa hisani mwisho ujirudilia

    • @eusterusaji1920
      @eusterusaji1920 2 года назад

      In shaa Allah

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 2 года назад +10

    Muache asilimu kwa hiari yake.
    Kakosea na kama kawaida binaadam wote tunakosea.

    • @rukkyxarat
      @rukkyxarat 2 года назад +1

      Alisema anataka kuslim? Hata hilo.pia kwa sababu ya utapeli wake anaweza kuwa muongo

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 2 года назад +10

    Allah amwongoze afuate haq..

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 2 года назад +1

    Na wewe jamaa unamng'ang'ania huyo bwana vp? Muachie aende zake unamtembeza eti kila msikiti ili umdhalilishe tu unaonekana wewe mnoko sana

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli5201 2 года назад +14

    Allah amjaalie aweze kuingia kwenye dini hii ya hakk na Allah ameahidi kua ataulinda uislam mpaka mwisho wa Dunia

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад

      Uislam utalindwa kwanini wasilindwe waislam wenyewe!!!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      @@josephwilliam5813 ANGALINDWA YESU ASIPIGILIWE MISUMARI UBAONI UCHI .

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад +1

      @@josephwilliam5813 ulikua unataka ulinzi gani ata wewe pia una malaika asubuhi jion usiku

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@Awatee wakiristo wanajua yesu aliteswa msalabani wakati hakuuliwa wala hakusulubiwa ila wanajifanya vichwa maji

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад +1

      @@heyumi2340 Mtihan mkubwa dear ALLAH atuongoze ktk njia ilionyooka na atuepushe na ukafir pamoja na vizazi vyet Amiin

  • @hafsahajiabeid5768
    @hafsahajiabeid5768 2 года назад +6

    Allaahu Akbar waislamu wenzamgu tufahamisheni na.sisi namna yakumpata mtu alie kutapeli kupitia.simu ikasaidia.simu mpaka nyumbani kwake ukamgongea

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 2 года назад +4

    Jamani makafiri mmanini na uislam . Hii si dhulma jamani. 🙉🙉🙉🙉 bora hata angekula na familia yake anaenda kunywa baa 😟😟😟

  • @FeisalMNoor
    @FeisalMNoor 2 года назад +6

    Ma Sha Allah! The Goodness of Muslims in Islam 👏👏

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya4283 2 года назад +3

    Yn jitu zima limeadhirika kweli mungu huwa hamfichi mtu mnafki unatudhalilishia dini yetu na mungu leo kakudharirisha kabla hujafa acha kucheza na mungu ww mzee gojo😏😏

  • @babalaocollectionnoumasana
    @babalaocollectionnoumasana 4 дня назад

    Atakae msitili ndugu yake hapa duniani mwenyezi mungu atamsitili kesho akhera. Ni hadithi sahihi ya mtume Muhammad S .A.W. Allah atuhifadhi

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 года назад +4

    Njaa yako ndio udhalilishe dini za wenzio kweli?? Mjinga kweli huyu ila na akamripoti police kwa usalama wake piya manake anaweza akakuta watu wasio na Subra wakamdhuru akapata kess ya mauwaji.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад +2

      hawezi kupingwa kama unakumbuka hata kuna mama aliingia msikitin akaenda kukaa kibla mbele kabisa waislam walimtoa kihekma

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 2 года назад +2

      @@heyumi2340 Nakumbuka ndugu yangu ila ni tahadhali sababu watu wanatofautiana yule mama kess yake iliishiya pepale msikitini lakini huyu anamtembeza msikiti mmoja mmoja sasa huko mitaani anafuwatana na wangapi kuna wasela kumbuka wanaweza kumvamia wakamdhuru mm nasapoti waliotowa wazo la kupelekwa police.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад +2

      @@namirihamisi3899 mie naona wangefanya kama kwa yule mama hakuna ulazima wa kumtembeza haisadii chochote hiyo maana bado anahitaji kula kunywa zote gharama

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 2 года назад

      @@heyumi2340 Sawa kabisa wangeachana nae tu.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад +1

      @@namirihamisi3899 ehe watu kama hao hahitaji nguvu nyingi

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад +2

    Hukmu yake huyo mwizi mpelekeni kwa viongozi wa dini wana ghulamaa mashekh ili akapewa hukmu inayoendana na Uislam

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 года назад +2

    Halafu huyu nimemkumbuka alikiwa anafanya kazi ya kuwatapeli wapemba pale Bandarini alikuwa akichukuwa vichupa na kutia makaratasi ya sigara ya Rex anaipanga vizuri anasema ni dhahabu anauza kwa ajili ya matatizo anasema nimepata ajali ndugu yangu yupo Hospitali tumetokea mwadui na alikiwa akiramba sana wapemba wakitoka Zanzibara pale Bagage Rom kwa Bakhresa pale Bandari watu wanamjuwa sana huyo watu wamelizwa sana kwa kujifanya anauza dhahabu alikuwa na mwenzie mmoja mwanamke.

  • @solomonsteve3749
    @solomonsteve3749 2 года назад +7

    As/alykm warahmatullahi wabarakatuh
    Juu ya yote hayo. Huyu anaonekana kaupenda uislam. Na atakuwa na mchango mkubwa na uislam. Kama alivyo udhalilisha uislam nnaimani atauinua sana uislam kwa fikra na nguvu kazi alionayo.
    Tunamkaribisha ktk uislam je yuko tayari kukubali na kuufanyia kazi uislam?

    • @shameemrashid5219
      @shameemrashid5219 2 года назад

      Hapan Hutu anatafuta kula kupitia uislam wala hajaupenda

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад

      Kama ao waislam wangeufuata uislam dhidi yake basi angekua Hana kiganja,,,SEMA ubinadam walionao na si kwasababu ya uislam

  • @PNoni-m6o
    @PNoni-m6o Месяц назад

    uovu hauna dini kuna baadhi ya amin usi amini kuna baadhi ya waislam pia wana tumia nji hii kucha ngisha watu mtaani kwa madai ya kujenga madrasa na miskiti!

  • @asha.mwambamwamba1774
    @asha.mwambamwamba1774 2 года назад +1

    USO ulivyomshuja

  • @stanmrope999
    @stanmrope999 2 года назад +2

    Huyo anaitwa SAID NYANG'ANG'A, tumeishi nae Temeke kotas na kwa sasa ni kweli mkaazi wa kingugi mbagala. Sio kweli kuwa ni Frandis .muongo

  • @alexjackson5960
    @alexjackson5960 2 года назад

    Huyo sio mkristo ni mpagani kwa sababu ukristo hauruhusu aliyofanya huyu mtu. Mimi Nina marafiki wengi waislam lakini siwaoni Wala kuwahusisha na alcaeda au alshabaab au iss kwa sababu mtume hakuleta watu wa makundi hayo

  • @omarmutta4999
    @omarmutta4999 2 года назад +4

    Huyu bwana yafaa atubu alafu asilim awe muislamu

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan6829 2 года назад +1

    Nyie kuiba so vizur ila watu wa hv wapo wengi jamn kikubwa ni kupeleka mchango yetuuu sehem husika yan wapo kila kona namuonea huruma na umri umemtupa mkono 😪😪😪

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli

  • @mr.ab_officially6507
    @mr.ab_officially6507 2 года назад +2

    Hatari kubwa miaka 3 unachangisha kisha unaenda kunywa bia shetani we

  • @edoyoseph4606
    @edoyoseph4606 Год назад

    Huyu mpeleken Kwene Parokia anakosali kama kweli ni Mkatolic asiudhalilishe Ukatolik

  • @rajabpepo1224
    @rajabpepo1224 2 года назад +4

    Innalilah wainna ilaihi rajiun

  • @josephmangera6799
    @josephmangera6799 2 года назад +1

    Hizo Ni tamaaa zake mwenyewe, Wala ukristo na uislamu hauusikiii ashughurikiwe Kama mtuhumiwa

  • @zainabdjuma73
    @zainabdjuma73 2 года назад +1

    Eeeeh Allah mkubwa jamani Al shababu no ya Obama ndie kaunda hio

  • @suleimanisaid6926
    @suleimanisaid6926 2 года назад +2

    Nimependa Sana uwamuzi.... mzuri tulio chukuwa waislam,na Mwenyezi Mungu atuzidishie na kutupa Moyo WA subra na uvumilivu....

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya4283 2 года назад +4

    😳😳🙆🏾🙆🏾mnyamwez wee mzee ukome kudharirisha kabila la mama yangu na dini yetu pia kumbe na wizi unao 🤣🤣na viatu uliiba 🤣🤣

  • @bahrujbaura8042
    @bahrujbaura8042 2 года назад +2

    Anabahati angekua Mombasa Kenya angeshakufa!

  • @laurentjoseph2957
    @laurentjoseph2957 2 года назад +6

    Kweli yawezekana alshaababu ni kichaka Cha wahuni kuuchafua uislamu

    • @jamilajuma757
      @jamilajuma757 2 года назад +1

      Ni kweli ni wachafuaji wa dini ya kiislamu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 года назад +1

      Kwani hamjui??? Mbona kila siku tunakwambieni???

  • @habibaomary228
    @habibaomary228 2 года назад

    Ahsnte umemkomesha kwann asipige kazi hata yakubeba magunia y viazi

  • @jacobponga1540
    @jacobponga1540 2 года назад +1

    Assalam Aleikum ndugu zangu ktk imani, huyo tapeli ukweli amekosea na amekir kutorudia hilokosa tena, kweli mui huwa mwema na huenda pia akaslimu biidhinllah. asamehewe na asirudie tena, ni maoni yangu

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 2 года назад

    Waislam bana, sasa mmeamua kumzaririsha kwanini msifuate taratibu za kisheria

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 года назад +1

    Mwenyeji huyo pote hapo kama hamuamini mpelekeni Bandari pale Bagage Room mpaka kurasini D.m.i. pale kulikiwa na mkungu pale asubuh anawatega wanawake wanaotoka Zanzibar na meli ya Asubuhi duu za mwizi ni 40 ana lugha tamu huyoo ya biashara zake.

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 2 года назад +1

    Mizimu na majini ya ukoo wake yamempendekeza milango ya misikiti tuu.
    Anafaa kutandikwa sana huyu mlevi.
    Kwanza wakatoliki ndio ukorofisha dunia nzima,kutesa na kuwatawanya wakristo wa kweli

  • @abdallajuma6262
    @abdallajuma6262 2 года назад

    Huyu ni bonge la bwana akiwa baa huu nao pia mtihani ila kaingia Cha kike

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 года назад +1

    Yote hayo yanasababishwa na uvivu wa watu kutokwenda msikitini sababu wangekuwa wanakwenda msikitini kwa wakati wasingetowa pesa zao mitaani wangetoa kule ndani ya msikiti.

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 2 года назад +1

    Allah azjdi kutuongoza
    Wakristo wajuwe kama sisi waislam ndio watu wazuri ndio tunachangia kwakua tunataka pelo yake

  • @asmamjema8539
    @asmamjema8539 2 года назад +1

    Kweli huyu baba jaman alinitapeli kwa swala la madini manzese wapo na mwanamke na mwanaume mwingine nawafaham Sana Allah azidi kuwaangaza

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 5 месяцев назад

    Kiukweli waislam apo wamemvumilia sana

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад +1

    Uyo jamaa ayuko pekeake ni kundi kubwa la Romani katholik⛪

  • @alialibablly7010
    @alialibablly7010 2 года назад +1

    Si hoja kumpeleka polisi ilikuwa tumsamehe inshallah Huezi jua Mungu atambadilisha nia yake ikabaki story alivyo kuwa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 3 месяца назад

    Subhanllah 😢😢😢

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 года назад +1

    Na akikamatwa huwa anajifanya mnyonge sana Duu kitambo sana Duu Sasa kkachoka kutapeli Dhahabu anajifanya mchangisha misikiti.

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 2 года назад +1

    Asalam alaikum warahamatullah wabarakatuh. Mumusamehe jamani.amekoseya lakini mumusamehe

  • @asiyharoon9471
    @asiyharoon9471 2 года назад +2

    Subuhannaallah innalillah wainna ilaihi rajiun mungu amsamehe

  • @HusseinRj
    @HusseinRj Год назад

    😂😂😂Usiku atanunuliwa biriani

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 23 дня назад

    Mchome moto

  • @rehemanyoni9494
    @rehemanyoni9494 2 года назад

    Wewe unadhambi we we ulie mleta hspo

  • @devothaignatus5911
    @devothaignatus5911 2 года назад +1

    Uwiiiiiiii mm kna kaka alinisumbua sana kila ciku anakuja kujenga madarasa imekuwa madarasa mala watoto yatima mpaka nilichoka kumchangia

  • @mrematvbabakoku8336
    @mrematvbabakoku8336 2 года назад

    Huyo msilimisheni abakie hukohuko

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 года назад +2

    Hana hata aibu mzee mzima hovyo

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 2 года назад +2

    Nusra ya ALLAH inakujaa iyo

  • @edoyoseph4606
    @edoyoseph4606 Год назад

    Kongole sna waislam M/Mungu awape Moyo WA subra Zaid ila mpeleken kwa Paroko ktk Parokia alikokuwa anasalia asiseme TU mie Mkatoliki bc ikaishia hapo

  • @AliMahmoud-p7o
    @AliMahmoud-p7o 3 месяца назад

    Huyo muuweni

  • @Halima-wy7to
    @Halima-wy7to 9 месяцев назад

    Huyo siyo msimwisiram

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale7278 2 года назад

    Kinachotakiwa hapo c mmeshamjua mxameheni Haina haja ya kwenda police maan hata akifungwa hataziludisha hizo pesa Ila mkimuachia atabaki na zambi zake na mungu ndie atakae mhukumu

  • @waridiommy5823
    @waridiommy5823 2 года назад

    Niwaambie kitu huyo jamaa hakutakiwa kuwekwa hadharani Kuna watu wanafanya matukio zaidi ya hayo Ila hawadharirishwi mgemling'ania tu akaukubali uwislamu

  • @cornelnshubile6819
    @cornelnshubile6819 2 года назад

    Siyo haki kumtembeza mitaani, mnaweza kusababisha majanga, nyie siyo wahusika wa kupeleleza, mpeleke au waite wahusika na usalama, watampeleka na kumhoji inavyotakiwa.

  • @thresherjordan6829
    @thresherjordan6829 2 года назад

    Jamn namuonea huruma japo si vizur kuibaa jamn kama atajifunza muachen jamn yan nahis kama babaaang jamn naona aibuu msameheen jmn msimtembeze tenaa😒😒

  • @biliandre5967
    @biliandre5967 2 года назад

    Alhabib hao Al Shabab sio inawezekana Alshabab sio Waislam hata Kwa kulazimisha huo ni mchezo WA manaswara kuuchafua Uislam

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 2 года назад

    huyo ni wakusamehe tu kaka,ni njaa wala havi husiani na dini ni tabia mbaya ya wizi,mtu anatumia kuona ile waislam wanajali sana yatima,na elimu za watoto akatumia mwanya huu,kuwaibia

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 2 года назад

    Huyo jamaa alshabaabu

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 2 года назад

    Na ndio maana waganga wapo wengi wakienyeji wanajiita Abdulswamadi, hussein hassan, na nikina John na kina William

  • @bilalijuma527
    @bilalijuma527 Год назад

    Achinjwe tu

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 2 года назад +1

    Mwenyezi mungu kamuumbua khabithi liamal huyo

  • @vincegelas
    @vincegelas 2 года назад

    Jaman mimi nipo himo kilimanjaro juzi kuna ostath kapita mtaani akichangisha hela anasema nizawatoto yatima hebu fuatilieni jaman, isijekua nimuhuni maana na mm nlichangia.

  • @popod177
    @popod177 2 года назад

    Mombasa huyo angekoma,..angelishwa pilipili 100 live bila chenga,..

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Год назад +1

    Inalillah wainailaihim rajuhun.

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 2 года назад

    Jamani kisha kiri kuwa kakosea kwa hiyo mumsamehe Jamani... İla kəsi yake mwacheni Allah yeye ndie hakim mkuu...