@@mariamkhalfan2346 Hapana unakosea kwa sababu hatutakiwi kifuata dini kwa hisia bali ni elimu na Allah anasema "sema ikiwa munampenda yeye basi munfuate mtume na yeye(Allah)atakupendeni na atakufutieni madhambi
Hili jambo lisitiwe chumvi sana sijui eti mkristo anaewaibia waislam sababu hawa wanaochangisha kwa ujenzi wa misikiti hata wakristo huwa tunachangiaga sana, kwa upande wangu mimi sio muislam lkn nimewahi changia sana kwa watu kama huyo kwa ajili ya ujenzi wa misikiti hivyo huyo ni tapeli kama tapeli mwingine na sio issue ya dini.
@@duniawadunia4824 shule ninayo jibu swali unaongea pointless watu wanazungumzia hiki wewe unaleklta hiki kana kwamba umeshikiwa panga kulazimishwa wewe kua mkristo,,,shobo tu
Waambie hawa hawajelewi badala ya kuripoti mwizi wao wamekazania mkristo t wajinga kabsa yan mimtu mizima imekazania udini tu inamaana jela wapo wakristo tu
Asalaam Alaikum, Msameheni waisilamu...huu ni mtihani Allah kawapa katika haki yenu, hakika ya Allah atatujaribu kwa khairi na shari sasa hapa tunatakiwa tuweni makini ili tufuzu, inshaaAllah atawapa zaidi ya hicho yalichochukua, msameheni , fajazakumullahu khairan
Yn jitu zima limeadhirika kweli mungu huwa hamfichi mtu mnafki unatudhalilishia dini yetu na mungu leo kakudharirisha kabla hujafa acha kucheza na mungu ww mzee gojo😏😏
Njaa yako ndio udhalilishe dini za wenzio kweli?? Mjinga kweli huyu ila na akamripoti police kwa usalama wake piya manake anaweza akakuta watu wasio na Subra wakamdhuru akapata kess ya mauwaji.
@@heyumi2340 Nakumbuka ndugu yangu ila ni tahadhali sababu watu wanatofautiana yule mama kess yake iliishiya pepale msikitini lakini huyu anamtembeza msikiti mmoja mmoja sasa huko mitaani anafuwatana na wangapi kuna wasela kumbuka wanaweza kumvamia wakamdhuru mm nasapoti waliotowa wazo la kupelekwa police.
@@namirihamisi3899 mie naona wangefanya kama kwa yule mama hakuna ulazima wa kumtembeza haisadii chochote hiyo maana bado anahitaji kula kunywa zote gharama
Halafu huyu nimemkumbuka alikiwa anafanya kazi ya kuwatapeli wapemba pale Bandarini alikuwa akichukuwa vichupa na kutia makaratasi ya sigara ya Rex anaipanga vizuri anasema ni dhahabu anauza kwa ajili ya matatizo anasema nimepata ajali ndugu yangu yupo Hospitali tumetokea mwadui na alikiwa akiramba sana wapemba wakitoka Zanzibara pale Bagage Rom kwa Bakhresa pale Bandari watu wanamjuwa sana huyo watu wamelizwa sana kwa kujifanya anauza dhahabu alikuwa na mwenzie mmoja mwanamke.
As/alykm warahmatullahi wabarakatuh Juu ya yote hayo. Huyu anaonekana kaupenda uislam. Na atakuwa na mchango mkubwa na uislam. Kama alivyo udhalilisha uislam nnaimani atauinua sana uislam kwa fikra na nguvu kazi alionayo. Tunamkaribisha ktk uislam je yuko tayari kukubali na kuufanyia kazi uislam?
uovu hauna dini kuna baadhi ya amin usi amini kuna baadhi ya waislam pia wana tumia nji hii kucha ngisha watu mtaani kwa madai ya kujenga madrasa na miskiti!
Huyo sio mkristo ni mpagani kwa sababu ukristo hauruhusu aliyofanya huyu mtu. Mimi Nina marafiki wengi waislam lakini siwaoni Wala kuwahusisha na alcaeda au alshabaab au iss kwa sababu mtume hakuleta watu wa makundi hayo
Nyie kuiba so vizur ila watu wa hv wapo wengi jamn kikubwa ni kupeleka mchango yetuuu sehem husika yan wapo kila kona namuonea huruma na umri umemtupa mkono 😪😪😪
Assalam Aleikum ndugu zangu ktk imani, huyo tapeli ukweli amekosea na amekir kutorudia hilokosa tena, kweli mui huwa mwema na huenda pia akaslimu biidhinllah. asamehewe na asirudie tena, ni maoni yangu
Mwenyeji huyo pote hapo kama hamuamini mpelekeni Bandari pale Bagage Room mpaka kurasini D.m.i. pale kulikiwa na mkungu pale asubuh anawatega wanawake wanaotoka Zanzibar na meli ya Asubuhi duu za mwizi ni 40 ana lugha tamu huyoo ya biashara zake.
Mizimu na majini ya ukoo wake yamempendekeza milango ya misikiti tuu. Anafaa kutandikwa sana huyu mlevi. Kwanza wakatoliki ndio ukorofisha dunia nzima,kutesa na kuwatawanya wakristo wa kweli
Yote hayo yanasababishwa na uvivu wa watu kutokwenda msikitini sababu wangekuwa wanakwenda msikitini kwa wakati wasingetowa pesa zao mitaani wangetoa kule ndani ya msikiti.
Kinachotakiwa hapo c mmeshamjua mxameheni Haina haja ya kwenda police maan hata akifungwa hataziludisha hizo pesa Ila mkimuachia atabaki na zambi zake na mungu ndie atakae mhukumu
Niwaambie kitu huyo jamaa hakutakiwa kuwekwa hadharani Kuna watu wanafanya matukio zaidi ya hayo Ila hawadharirishwi mgemling'ania tu akaukubali uwislamu
Siyo haki kumtembeza mitaani, mnaweza kusababisha majanga, nyie siyo wahusika wa kupeleleza, mpeleke au waite wahusika na usalama, watampeleka na kumhoji inavyotakiwa.
huyo ni wakusamehe tu kaka,ni njaa wala havi husiani na dini ni tabia mbaya ya wizi,mtu anatumia kuona ile waislam wanajali sana yatima,na elimu za watoto akatumia mwanya huu,kuwaibia
Jaman mimi nipo himo kilimanjaro juzi kuna ostath kapita mtaani akichangisha hela anasema nizawatoto yatima hebu fuatilieni jaman, isijekua nimuhuni maana na mm nlichangia.
Mimi ni muislam nampenda mtume wangu mohammad (s a w) na namtwii mola wangu Allah kama na wewe unakubaliana na mm like down
Mimi si like ila nakoment, je unafuata maamrisho na unaacha makatazo ya Allah na mtume?
@@aliybecka5169 hayo mengine ni miongoni mwa mapungufu kwani hatujakamilika
@@mariamkhalfan2346 Hapana unakosea kwa sababu hatutakiwi kifuata dini kwa hisia bali ni elimu na Allah anasema "sema ikiwa munampenda yeye basi munfuate mtume na yeye(Allah)atakupendeni na atakufutieni madhambi
@@aliybecka5169 shukran ndugu yangu kwa ukumbusho Allah akujaze elimu biidhnillah nakupenda kwa ajili ya Allah
@@mariamkhalfan2346 Ahsante sana dadaa Allah akupe kheri na akujalie uwe mwenye kufuata mafundisho sahihi ya quran na sunnah na akuepushe na shirk
M/ mungu hafichwi leo umeumbuka yani mungu akusamehe badilika mzee tafuta pesa kwanjia nyingine
Mashallah niviuri utomudhurmungu akuzidishiye
Mimi ni Mkristu ila huyu jamaa amekosea sana! Mungu amsamehe maana hakuna dhambi mbaya kama kutumia jina la Mungu au Madhabahu ya Mungu kidhuluma
Huwenda Allah atampa tawhid
Subuhanallah inalillah wainailahi rajuun
Asalam Alaykum . Sio kumuadhirisha . Mfikisheni kwa Sheikh amfahamishe ili apate sleem
hakudhalilishwa ila hayo yalikuwa kuwathadharisha wananchi ili wasingiye mkenge katika jina la dini
Anaweza kuongoka inshallah
Mwizi.mkubwaaa uyooo anahayaaa mungu mbwa kazililikaaaa Sana surambayaaaa surandigo kamapliton
Duh kanenepa mashavu mwizi uyooo loh aibu
Innaalillahi wainnaa ilayhirajiuun
Kwenye kuongelea al shabab ndo ameharibu mada..wew uwatoe ndugu zetu wasomali ktk uislam...watu wanakufa wana nuru na shahada af uongee utumbo huo
Aaah! Hatar kwakwel
Ataendelea kutangatanga maana hiyo nidhambi kubwa
Hili jambo lisitiwe chumvi sana sijui eti mkristo anaewaibia waislam sababu hawa wanaochangisha kwa ujenzi wa misikiti hata wakristo huwa tunachangiaga sana, kwa upande wangu mimi sio muislam lkn nimewahi changia sana kwa watu kama huyo kwa ajili ya ujenzi wa misikiti hivyo huyo ni tapeli kama tapeli mwingine na sio issue ya dini.
Muache kusema mnauotaka kufanya ci atabadilisha sim
Mngempiga picha mzisambaze hasa kuanzia Kingswear mpaka kisemvule ndio maeneo yake yakuchangisha
Jamani mtu mzima😭😭😭😭😭😭
Ndio wanaotudhalilisha hao tukaonekana wote matapeli
Aww huna hata aibu
Choma yeye
👀💔👂
😘😘😘😘😘😘🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲
Mtihani mkubwa mshenzi mungu atamuwa mshenzi
Awatakubali mayahudi na manasara mpaka mfate Mila zao.
Iyo kauli yako inakuaje apa?
Nenda shule dogo
@@duniawadunia4824 shule ninayo jibu swali unaongea pointless watu wanazungumzia hiki wewe unaleklta hiki kana kwamba umeshikiwa panga kulazimishwa wewe kua mkristo,,,shobo tu
Mwizi ni mkristo katumia uhusika wa mavazi hili kuomba sadaka ww ujaona? Acha ujinga kafiri ww
Kafiri niwewe.uijui kesho yako.
Madam kasema yote
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waona angekua muislamu mungemuumbua???
Tusinge muumbua muislamu mwenzetu kwa sababu mbali na yote muislamu hawezi kucheza na dini....
Waambie hawa hawajelewi badala ya kuripoti mwizi wao wamekazania mkristo t wajinga kabsa yan mimtu mizima imekazania udini tu inamaana jela wapo wakristo tu
@@georgesikazwe5914 WACHA KUPANIK HUYO KAWA ADHIRISHA MPAKA WAKRISTO USITETEE MTU MPUMBAVU.
WEWE KAMA MKRISTO WA KWELI BADO HUJAONA KAMA KAWADHALILISHA NYINYI USIMTETE MTU MPUMBAVU.
Mwiislamu hawezi ibiya misliti kwa miaka miwili.atafedheheka na atapata laana kwa Allah
Mashaa allah , allah awaongoze ,,! Uislam ni dini ya amani kabisa.
Asalaam Alaikum, Msameheni waisilamu...huu ni mtihani Allah kawapa katika haki yenu, hakika ya Allah atatujaribu kwa khairi na shari sasa hapa tunatakiwa tuweni makini ili tufuzu, inshaaAllah atawapa zaidi ya hicho yalichochukua, msameheni , fajazakumullahu khairan
Mkristo mwezangu ulikoingia umenitisha manake huko hakuingiliki wanapenda ligi kama ugali
Kwa hiyo amefanya vizuri kuiba? Hau yeye anaonewa?kwa hakika huu ni msiba!
Allah amuongoze, huenda ikawa akaja kusimama imara ktk kumjua Allah...
Kweli,watu wakifanyiwa hisani mwisho ujirudilia
In shaa Allah
Muache asilimu kwa hiari yake.
Kakosea na kama kawaida binaadam wote tunakosea.
Alisema anataka kuslim? Hata hilo.pia kwa sababu ya utapeli wake anaweza kuwa muongo
Allah amwongoze afuate haq..
Na wewe jamaa unamng'ang'ania huyo bwana vp? Muachie aende zake unamtembeza eti kila msikiti ili umdhalilishe tu unaonekana wewe mnoko sana
Allah amjaalie aweze kuingia kwenye dini hii ya hakk na Allah ameahidi kua ataulinda uislam mpaka mwisho wa Dunia
Uislam utalindwa kwanini wasilindwe waislam wenyewe!!!
@@josephwilliam5813 ANGALINDWA YESU ASIPIGILIWE MISUMARI UBAONI UCHI .
@@josephwilliam5813 ulikua unataka ulinzi gani ata wewe pia una malaika asubuhi jion usiku
@@Awatee wakiristo wanajua yesu aliteswa msalabani wakati hakuuliwa wala hakusulubiwa ila wanajifanya vichwa maji
@@heyumi2340 Mtihan mkubwa dear ALLAH atuongoze ktk njia ilionyooka na atuepushe na ukafir pamoja na vizazi vyet Amiin
Allaahu Akbar waislamu wenzamgu tufahamisheni na.sisi namna yakumpata mtu alie kutapeli kupitia.simu ikasaidia.simu mpaka nyumbani kwake ukamgongea
Jamani makafiri mmanini na uislam . Hii si dhulma jamani. 🙉🙉🙉🙉 bora hata angekula na familia yake anaenda kunywa baa 😟😟😟
Mshamba wa dini ww muovu ni mtu yyt ttizo elimu hamna
@@georgesikazwe5914 WEWE SIO MSHAMBA WA DINI???
Watu hawachi Allah
Ma Sha Allah! The Goodness of Muslims in Islam 👏👏
Yn jitu zima limeadhirika kweli mungu huwa hamfichi mtu mnafki unatudhalilishia dini yetu na mungu leo kakudharirisha kabla hujafa acha kucheza na mungu ww mzee gojo😏😏
Atakae msitili ndugu yake hapa duniani mwenyezi mungu atamsitili kesho akhera. Ni hadithi sahihi ya mtume Muhammad S .A.W. Allah atuhifadhi
Njaa yako ndio udhalilishe dini za wenzio kweli?? Mjinga kweli huyu ila na akamripoti police kwa usalama wake piya manake anaweza akakuta watu wasio na Subra wakamdhuru akapata kess ya mauwaji.
hawezi kupingwa kama unakumbuka hata kuna mama aliingia msikitin akaenda kukaa kibla mbele kabisa waislam walimtoa kihekma
@@heyumi2340 Nakumbuka ndugu yangu ila ni tahadhali sababu watu wanatofautiana yule mama kess yake iliishiya pepale msikitini lakini huyu anamtembeza msikiti mmoja mmoja sasa huko mitaani anafuwatana na wangapi kuna wasela kumbuka wanaweza kumvamia wakamdhuru mm nasapoti waliotowa wazo la kupelekwa police.
@@namirihamisi3899 mie naona wangefanya kama kwa yule mama hakuna ulazima wa kumtembeza haisadii chochote hiyo maana bado anahitaji kula kunywa zote gharama
@@heyumi2340 Sawa kabisa wangeachana nae tu.
@@namirihamisi3899 ehe watu kama hao hahitaji nguvu nyingi
Hukmu yake huyo mwizi mpelekeni kwa viongozi wa dini wana ghulamaa mashekh ili akapewa hukmu inayoendana na Uislam
Halafu huyu nimemkumbuka alikiwa anafanya kazi ya kuwatapeli wapemba pale Bandarini alikuwa akichukuwa vichupa na kutia makaratasi ya sigara ya Rex anaipanga vizuri anasema ni dhahabu anauza kwa ajili ya matatizo anasema nimepata ajali ndugu yangu yupo Hospitali tumetokea mwadui na alikiwa akiramba sana wapemba wakitoka Zanzibara pale Bagage Rom kwa Bakhresa pale Bandari watu wanamjuwa sana huyo watu wamelizwa sana kwa kujifanya anauza dhahabu alikuwa na mwenzie mmoja mwanamke.
As/alykm warahmatullahi wabarakatuh
Juu ya yote hayo. Huyu anaonekana kaupenda uislam. Na atakuwa na mchango mkubwa na uislam. Kama alivyo udhalilisha uislam nnaimani atauinua sana uislam kwa fikra na nguvu kazi alionayo.
Tunamkaribisha ktk uislam je yuko tayari kukubali na kuufanyia kazi uislam?
Hapan Hutu anatafuta kula kupitia uislam wala hajaupenda
Kama ao waislam wangeufuata uislam dhidi yake basi angekua Hana kiganja,,,SEMA ubinadam walionao na si kwasababu ya uislam
uovu hauna dini kuna baadhi ya amin usi amini kuna baadhi ya waislam pia wana tumia nji hii kucha ngisha watu mtaani kwa madai ya kujenga madrasa na miskiti!
USO ulivyomshuja
Huyo anaitwa SAID NYANG'ANG'A, tumeishi nae Temeke kotas na kwa sasa ni kweli mkaazi wa kingugi mbagala. Sio kweli kuwa ni Frandis .muongo
Duuuu! Kumbe Anaitwa Side Mnyamwezi !
Huyo sio mkristo ni mpagani kwa sababu ukristo hauruhusu aliyofanya huyu mtu. Mimi Nina marafiki wengi waislam lakini siwaoni Wala kuwahusisha na alcaeda au alshabaab au iss kwa sababu mtume hakuleta watu wa makundi hayo
Huyu bwana yafaa atubu alafu asilim awe muislamu
Nyie kuiba so vizur ila watu wa hv wapo wengi jamn kikubwa ni kupeleka mchango yetuuu sehem husika yan wapo kila kona namuonea huruma na umri umemtupa mkono 😪😪😪
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautojli
Hatari kubwa miaka 3 unachangisha kisha unaenda kunywa bia shetani we
Huyu mpeleken Kwene Parokia anakosali kama kweli ni Mkatolic asiudhalilishe Ukatolik
Innalilah wainna ilaihi rajiun
Hizo Ni tamaaa zake mwenyewe, Wala ukristo na uislamu hauusikiii ashughurikiwe Kama mtuhumiwa
Eeeeh Allah mkubwa jamani Al shababu no ya Obama ndie kaunda hio
Nimependa Sana uwamuzi.... mzuri tulio chukuwa waislam,na Mwenyezi Mungu atuzidishie na kutupa Moyo WA subra na uvumilivu....
😳😳🙆🏾🙆🏾mnyamwez wee mzee ukome kudharirisha kabila la mama yangu na dini yetu pia kumbe na wizi unao 🤣🤣na viatu uliiba 🤣🤣
Anabahati angekua Mombasa Kenya angeshakufa!
Kweli yawezekana alshaababu ni kichaka Cha wahuni kuuchafua uislamu
Ni kweli ni wachafuaji wa dini ya kiislamu
Kwani hamjui??? Mbona kila siku tunakwambieni???
Ahsnte umemkomesha kwann asipige kazi hata yakubeba magunia y viazi
Assalam Aleikum ndugu zangu ktk imani, huyo tapeli ukweli amekosea na amekir kutorudia hilokosa tena, kweli mui huwa mwema na huenda pia akaslimu biidhinllah. asamehewe na asirudie tena, ni maoni yangu
Waislam bana, sasa mmeamua kumzaririsha kwanini msifuate taratibu za kisheria
Mwenyeji huyo pote hapo kama hamuamini mpelekeni Bandari pale Bagage Room mpaka kurasini D.m.i. pale kulikiwa na mkungu pale asubuh anawatega wanawake wanaotoka Zanzibar na meli ya Asubuhi duu za mwizi ni 40 ana lugha tamu huyoo ya biashara zake.
Mizimu na majini ya ukoo wake yamempendekeza milango ya misikiti tuu.
Anafaa kutandikwa sana huyu mlevi.
Kwanza wakatoliki ndio ukorofisha dunia nzima,kutesa na kuwatawanya wakristo wa kweli
Huyu ni bonge la bwana akiwa baa huu nao pia mtihani ila kaingia Cha kike
Yote hayo yanasababishwa na uvivu wa watu kutokwenda msikitini sababu wangekuwa wanakwenda msikitini kwa wakati wasingetowa pesa zao mitaani wangetoa kule ndani ya msikiti.
Allah azjdi kutuongoza
Wakristo wajuwe kama sisi waislam ndio watu wazuri ndio tunachangia kwakua tunataka pelo yake
Kweli huyu baba jaman alinitapeli kwa swala la madini manzese wapo na mwanamke na mwanaume mwingine nawafaham Sana Allah azidi kuwaangaza
Kiukweli waislam apo wamemvumilia sana
Uyo jamaa ayuko pekeake ni kundi kubwa la Romani katholik⛪
Si hoja kumpeleka polisi ilikuwa tumsamehe inshallah Huezi jua Mungu atambadilisha nia yake ikabaki story alivyo kuwa
Subhanllah 😢😢😢
Na akikamatwa huwa anajifanya mnyonge sana Duu kitambo sana Duu Sasa kkachoka kutapeli Dhahabu anajifanya mchangisha misikiti.
Asalam alaikum warahamatullah wabarakatuh. Mumusamehe jamani.amekoseya lakini mumusamehe
Subuhannaallah innalillah wainna ilaihi rajiun mungu amsamehe
😂😂😂Usiku atanunuliwa biriani
Mchome moto
Wewe unadhambi we we ulie mleta hspo
Uwiiiiiiii mm kna kaka alinisumbua sana kila ciku anakuja kujenga madarasa imekuwa madarasa mala watoto yatima mpaka nilichoka kumchangia
MUNGU atakulinda
Huyo msilimisheni abakie hukohuko
Hana hata aibu mzee mzima hovyo
Nusra ya ALLAH inakujaa iyo
Kongole sna waislam M/Mungu awape Moyo WA subra Zaid ila mpeleken kwa Paroko ktk Parokia alikokuwa anasalia asiseme TU mie Mkatoliki bc ikaishia hapo
Huyo muuweni
Huyo siyo msimwisiram
Kinachotakiwa hapo c mmeshamjua mxameheni Haina haja ya kwenda police maan hata akifungwa hataziludisha hizo pesa Ila mkimuachia atabaki na zambi zake na mungu ndie atakae mhukumu
Niwaambie kitu huyo jamaa hakutakiwa kuwekwa hadharani Kuna watu wanafanya matukio zaidi ya hayo Ila hawadharirishwi mgemling'ania tu akaukubali uwislamu
Siyo haki kumtembeza mitaani, mnaweza kusababisha majanga, nyie siyo wahusika wa kupeleleza, mpeleke au waite wahusika na usalama, watampeleka na kumhoji inavyotakiwa.
Jamn namuonea huruma japo si vizur kuibaa jamn kama atajifunza muachen jamn yan nahis kama babaaang jamn naona aibuu msameheen jmn msimtembeze tenaa😒😒
Alhabib hao Al Shabab sio inawezekana Alshabab sio Waislam hata Kwa kulazimisha huo ni mchezo WA manaswara kuuchafua Uislam
huyo ni wakusamehe tu kaka,ni njaa wala havi husiani na dini ni tabia mbaya ya wizi,mtu anatumia kuona ile waislam wanajali sana yatima,na elimu za watoto akatumia mwanya huu,kuwaibia
Huyo jamaa alshabaabu
Na ndio maana waganga wapo wengi wakienyeji wanajiita Abdulswamadi, hussein hassan, na nikina John na kina William
Achinjwe tu
Mwenyezi mungu kamuumbua khabithi liamal huyo
Jaman mimi nipo himo kilimanjaro juzi kuna ostath kapita mtaani akichangisha hela anasema nizawatoto yatima hebu fuatilieni jaman, isijekua nimuhuni maana na mm nlichangia.
Mombasa huyo angekoma,..angelishwa pilipili 100 live bila chenga,..
Inalillah wainailaihim rajuhun.
Jamani kisha kiri kuwa kakosea kwa hiyo mumsamehe Jamani... İla kəsi yake mwacheni Allah yeye ndie hakim mkuu...