Kanisa la Aina yake kujengwa DSM/Lina Makaburi 12 ndani na makanisa mengine mawili ndani yake/tazama

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Ni baada ya adhimisho la Misa Takatifu ya kutukuka kwa msalaba kutoka kituo cha hija cha Pugu Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam
    #breezonlinetv #kanisakatoliki #daressalaam

Комментарии • 52

  • @estabauna3604
    @estabauna3604 Год назад +12

    Wewe usie na hela ubaki na uchoyo wako. Ila sisi tunao ujua upendo wa Mungu kwetu tutachangia tu kwa ajili ya Sifa na Utukufu wa Mungu.

  • @fredmselle2227
    @fredmselle2227 Год назад +8

    Mungu anisaidie niweke sadaka yangu mahali hapo

  • @issahmwambasi6113
    @issahmwambasi6113 11 месяцев назад +1

    WanaJimbo Kuu la Dar es Salaam mmepata hii neema ya kumjengea Mungu nyumba itumieni. Kuna walioishi wakatamani kuifanya kazi hii wamerehemika bila kuifanya, Mungu amewaweka hai sasa kwa kazi hii ili muifanye na jina la kila mwanaJimbo atakayenyoosha na kutoa majitoleo yake kwa kazi hii atakuwa ameweka hazina yake mbinguni ambako hakuna nondo wala kutu za kuharibuni. Mwenyezi awasaidie

  • @gracemnyani6848
    @gracemnyani6848 Год назад +9

    Mama Bikira Maria tunaomba usimamie hatua zote za ujenzi

  • @rwelamira
    @rwelamira Год назад +3

    Kwakweli, hii ni fursa ya kuchota Baraka kwa Wana Daresalaam. Changua ujenzi na omba chochote kwa maombezi ya Mama Maria, utafanikiwa papo hapo. Jaribu uone

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness Год назад +4

    Fr. Henry Rimisho

  • @venosamamsery9326
    @venosamamsery9326 Год назад +2

    Mungu atukuzwe kwa kazi nzuri hii. Mungu awabariki

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 Год назад +1

    Mungu awabariki wote kwani muliandaa kanisa Zuri kweli jamani

  • @uniqueman-uo1cb
    @uniqueman-uo1cb Месяц назад

    Linatajariwa kukamikika lini.
    Ni lizuri kwa kweli...

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 Год назад +4

    Halafu kuna vitu vya ajabu vinataka kushindana na kanisa moja takatifu la kitume

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Год назад

      Kanisa ata mshetani watu wanaweza kujenga kigezo si pesa tu

  • @aminamiraji9032
    @aminamiraji9032 Год назад +3

    MUNGU ni mwema hashindwi kitu
    Tutalijenga tu Nia tumeshaipata

  • @ushindihalisi7917
    @ushindihalisi7917 Год назад +2

    Kuishi kwingi,kuona mengi.mizimu inaabudiwa.Uchawi si lazima uwe na matunguri,kwenda kinyume na muumba ni uchawi.Utawekaje makaburi kwenye nyumba ya ibada,huo ni uchawi.Muumba ni hachangamani na wafu.

    • @gloryjose2233
      @gloryjose2233 Год назад +2

      Sio lazima uandike, nenda panapokuhusu, tuache wakatoliki tunajivunia ukatoliki wetu na tutajenga Tena kwa haraka kwa msaada wa Mungu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 11 месяцев назад +2

      Hayakuhusu, kwa nini unaumia..Kama huelewi na unakwazika,uliza. Huu ni utamaduni wa Kanisa tangu zamani, ni imani kubwa mtu kujiandalia kaburi

    • @issahmwambasi6113
      @issahmwambasi6113 11 месяцев назад

      Mungu na akukemee

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 11 месяцев назад

      Kwa sababu hiyo Kristo alikufa na akafufuka hivyo awamiliki walio hai na wafu kadhalika....

    • @malifezajrdealf8982
      @malifezajrdealf8982 3 месяца назад

      Ni wewe tu ukifa ndiyo utakuwa mzimu. Sisi tutakuwa na bwana yesu mawinguni

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Год назад +4

    Hiyo ya makuburi kwa ajili ya maaskofu.....duuu maana yake wakae mkao wa kujiandaa

    • @fredmselle2227
      @fredmselle2227 Год назад

      Sio kidogo aiseee hapo majitoleo ya kweli kwa Mungu yanajitokeza

    • @erastonyika8967
      @erastonyika8967 11 месяцев назад

      Maaskofu wengi huzikwa kanisani na makanisa mengi ya kiaskofu yana makaburi yaliyokwisha andaliwa kwa ajili ya maaskofu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 11 месяцев назад

      Ni imani kubwa

    • @malifezajrdealf8982
      @malifezajrdealf8982 3 месяца назад +1

      Kama kristo alivyojuwa atakufa na siku ya tatu atafufuka. Basi ni wazi hata sisi wanadamu tunajianda kwa fumbo hilo.. huku tukisali na kumwabudu yeye aliye haki.

  • @merinachalinze6455
    @merinachalinze6455 Год назад +1

    Tema kuwe na nafas maana siku rukiambiwa tuwe kusanyiko patoshe maana tupo wengi sisi

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 Год назад +1

    Kwa hadhi ya Jimbo kuu la Dar es salaam kanisa la Mt Joseph ni dogo sana kuendelea kuitwa Kanisa la Kiaskofu maana kwasasa linazidiwa na Makanisa mapya ya Parokia mbalimbali kwa ukubwa na Uzuri.

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 11 месяцев назад

      Kanisa kuu la Mt Yosefu lilijengwa kwa ustadi wa kipekee unaojulikana kama "Gothic " kwa hiyo ni jengo lenye umaridadi wa kipekee na adimu huwezi linganisha na majengo yanayojengwa kisasa. Hivyo limehifadhiwa na sheria ya UNESCO ya uhifadhi wa turathi za dunia haliwezi kufanyiwa marekebisho kama vile kulibomoa ili kulipanua au kulibadilisha umbo/ muonekano wake.

  • @merinachalinze6455
    @merinachalinze6455 Год назад +1

    Kwa wakatholiki ni kazi ndogo sana kwetu tutalijenga tu

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 11 месяцев назад

    MUNGU ni mkubwa🎉

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Год назад

    Hili kitakuwa ni kituo cha utalii cha kiroho

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Год назад

    Mjenge Kwa ustadi mkubwa Nyumba ya Mungu

    • @breezonlinetv
      @breezonlinetv  Год назад +2

      Sawa msemaji wa waumini

    • @kasakealex5444
      @kasakealex5444 Год назад +4

      Ukiona huwezi bro bora usi comment chochote ,kwani lazima utoe wewe ndio nyumba ya Mungu ijengwe??

    • @ntegrity277
      @ntegrity277 Год назад +1

      @@kasakealex5444 Sorry

    • @ntegrity277
      @ntegrity277 Год назад +1

      @@kasakealex5444 Sorry

    • @kasakealex5444
      @kasakealex5444 Год назад +4

      Sawa kaka ni katika kueleweshana kwa wema tu,maana tukitafakari kwa kina utaona namna Wamisionari walivyofanya kazi ya kujena nyumba za Mungu leo tunawakumbuka sasa na sisi tunaweka nini ambacho kitakua hazina mbele za Mungu kama sio kumshukuru Mungu kwa kumjengea nyumba yake ya Kumwabudu,tunaalikwa sote Kanisa litajengwa na sisi .......Tumsifu Yesu Kristu

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Год назад +1

    KWA SASA UKRISTO UNA MADHEHEBU 47,000 HUO UTAKUWA NI MUENDELEZO TU... SASA MOJA YA VITU MUNGU ALIVIKATAZA NI PAMOJA NA KUSALI KWENYE MAKABURI NA NJIANI

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 11 месяцев назад

      Mungu yupi alikataza kusali kwenye makaburi? Maana kuna Mungu Muumba na kuna miungu kama vile mungu wa mwezi Lah na mungu wa jua Akber...sasa wewe unamuongelea yupi?

  • @augustinopanga9622
    @augustinopanga9622 Год назад +1

    Ina uwezo wa kumchukua watuwangapi?

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 Год назад

    Naomba kuuliza hivi utamaduni wa kuzika viongozi wa kidini ndani ya makanisa ni maelekezo kutoka kwa Mungu?na kama jibu ni hapana utaratibu huu ulitoka wapi?

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 Год назад

      Kwani ni wapi na lini Mungu alitoa maelekezo kwa watu kuhusu namna ya kuzika maiti?

    • @sarafinafranci8481
      @sarafinafranci8481 Год назад

      Pole sana hakiri nidogo sana nenda ukasome utaelewa.

    • @reginajacob1879
      @reginajacob1879 11 месяцев назад

      Unajijibu mwenyewe kuwa ni hapana.

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo 11 месяцев назад

      Kwani wapi kumeandikwa lazima maiti izikwe nje!!! Onesha kifungu Cha Biblia ambapo Mungu anatoa maelezo ya namna maiti itakavyozikwa???