DOGO ABUNI TRENI YA UMEME KIGOMA, "GARI MPYA NA MUZIKI WAKE, MAFUTA YA MAWESE YANAWASHA TAA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 331

  • @sophiakaaya8290
    @sophiakaaya8290 11 месяцев назад +72

    Huyu mtoto anacho kitu kikubwa sana ndani yake Mungu amuinue saaaana

    • @aminielimushi8709
      @aminielimushi8709 11 месяцев назад +1

      Serikali inakiangamiza chao

    • @Barcher4868
      @Barcher4868 11 месяцев назад

      Bongo nyoso sana wanachukulia easy alafu mtu akifanikiwa ndo wanajifanya wako proudly ....😅😅😅

    • @ishaqhashim6333
      @ishaqhashim6333 10 месяцев назад +1

      indeed Amen

  • @godblessmakupa9231
    @godblessmakupa9231 11 месяцев назад +27

    mungu akubariki unakipaji kikubwa taasisi, viwanda pamoja na serikali huyu kijana mwendelezeni anakitu ndani yake

  • @charlessentiyongo8484
    @charlessentiyongo8484 11 месяцев назад +5

    Dogo Yuko vizuri sana, Mungu ampe siku nyingi za kuishi

  • @actsboy5587
    @actsboy5587 11 месяцев назад +11

    Kigoma ya vipaji, hongera sana Utafika mbali sana dogo

  • @KinnyKahnd
    @KinnyKahnd 11 месяцев назад +15

    Umetisha dogo Mungu akusaidie hakika unaweza sana

  • @langrishuruma2858
    @langrishuruma2858 11 месяцев назад +25

    Home of talent 💪💪

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 10 месяцев назад +1

    Maashaallah mtoto Allah akutimizie ndotoyako

  • @MbiseMbise-k2s
    @MbiseMbise-k2s 10 месяцев назад

    Mungu akusimamie mwangangu,
    Very respect

  • @charlottesindayigaya2030
    @charlottesindayigaya2030 10 месяцев назад +2

    Hongera saaaaaana kijana wetu yuko vizuri saaaaaana, Mungu akubariki saaaaaana kwa vipawa ambavyo Mungu amekupa. Tanzania msaidieni kijana wetu huyu.Awe faida kwa Taifa letu Hapa Tanzania. I watch from Norway 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯

  • @esterrobert6063
    @esterrobert6063 10 месяцев назад

    Hakika dogo unaweza, Mungu akuinue zaidi

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 11 месяцев назад +5

    Mashaaa allah unatisha sana nakuombea mungu uzidi kuwa juu zaidi

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 11 месяцев назад +3

    Hongereni sana Millard Ayo. Mmemtendea haki Christopher

  • @JosephineMalyosi
    @JosephineMalyosi 11 месяцев назад +3

    nakuona mbali sana dogo❤❤

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 11 месяцев назад +3

    Ni zamu ya kigoma sasa.
    MashaAllah 🎉🎉🎉

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 11 месяцев назад +3

    yaaan huyu mtoto sio tu wakwenda veta bali kunahaja sana ya uwanzishwaji ya vituo vya vipaji na ubunifu maana nikikumbuka yule wamwanzo aliyepelekwa veta kwa mara ya mwisho anaonesha kweli aliongeza ujuzi lakini bado alihitaji zaidi ya pale. Hongera sana kijana wetu

  • @KoudraAbdoul
    @KoudraAbdoul 10 месяцев назад

    Mola akuhifazi naakufikishe mbali from Burundi 🇧🇮 we love you

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 11 месяцев назад

    Hongera,kina masud kp,yule dogo wa kigoma pkpl, trekta SUA .....na wengine weengi shida iko kwenye politics of Development .......hapa hamtatazamwq tena

  • @neemageorge3270
    @neemageorge3270 11 месяцев назад +2

    Congratulations...ukiwezeshwa nakuona mbali sana ... MUNGU akusaidie na akukutanishe na watu sahihi ili uweze kufanikisha malengo yako

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 5 месяцев назад

    Mungu akulinde na mahasidi.

  • @elizabertndomba9760
    @elizabertndomba9760 11 месяцев назад +1

    Hatari daaa,Mungu amzidishie kipaji zaidi

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 месяцев назад

    Hongera sana.Kigoma isaidiwe

  • @rodaraphael9721
    @rodaraphael9721 11 месяцев назад +2

    Hongera mkaka Mungu akupe maisha marefu utimize ndoto zako

  • @BennyMnyama
    @BennyMnyama 10 месяцев назад +1

    Mungu akusimamie home boy

  • @NeemaYohana-ob5ex
    @NeemaYohana-ob5ex 11 месяцев назад +4

    Hongera dogo

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 11 месяцев назад +3

    mungu akusaidie ila Kwa bongo hii sijui

  • @stevenmabungi3245
    @stevenmabungi3245 10 месяцев назад +2

    He's so brilliant

  • @fatumamussa7356
    @fatumamussa7356 11 месяцев назад +2

    Safi Sana Kijana mungu akulinde❤❤

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 месяцев назад +1

    Kigoma kuna utajiri kibao Zitto fuatilia hiyo🎉

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 11 месяцев назад +43

    System yetu ya elimu ibadilishwe wanafunzi wawe huru kusomea wanachokipenda kama wenzetu wanavyofanya😮

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 11 месяцев назад +1

      Kabisa ujue bado elimu yetu inafata muongozo wa mkoloni serikali yetu haijaamua bado kufanya vya kwetu kama waTz

    • @KhamisHassan-dz9yw
      @KhamisHassan-dz9yw 11 месяцев назад +1

      Shida serikali iko mbali na wanachi

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 11 месяцев назад +2

      Kabisa hapa ndipo tunafeli maana kila kichwa kina mfumo wa kipaji halisia kwa kila binaadamu

    • @BigDreamsWorldwide
      @BigDreamsWorldwide 11 месяцев назад

      Fact

    • @lawjrichard877
      @lawjrichard877 11 месяцев назад +1

      shida ni huyu mkoloni bado tunamuabudu hivyo ndo mna tunaua vipaji vyetu ila sio kwamba hatuwezi

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 10 месяцев назад

    Dogo anajua Sanaa

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 11 месяцев назад +4

    Umetisha sana

  • @casfeta-tayomikigomatochan9807
    @casfeta-tayomikigomatochan9807 11 месяцев назад +8

    Huyu kijana anaweza sana na kipaji chake ni cha kipekee.
    Serikali, wadau, hasa watu wa usalama (nyumbu, Mizinga) chukuweni huyu kijana.
    Nchi yetu itapiga hatua kama tunaweza kuwekeza kwa vijana wa aina hii.

  • @bodyaman
    @bodyaman 11 месяцев назад +1

    Christofa John Masanja Hongera SANA

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 11 месяцев назад

    Umetisha dogo

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 11 месяцев назад +20

    Serikali yenyewe ya mwigulu Nchemba na mama samia kipaji chake kitaishia apo apo kigoma

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 11 месяцев назад +1

      Acha tu

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen 11 месяцев назад +2

      Yaani amuulize masudi kipanya hawa watu hawataki tuonueshe ubunifu wetu duniani 🤔au tunaogopa kukosa misaada Nchi hii Tunakufa Na madeni😭😭😭Hongera kijana wetu nje ya Nchi utafanikiwa🙌🙌🙌

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 11 месяцев назад +1

      Hapana, kijana hatoishia hapo Bali atasonga mbele, ATAKUA ENGINEER kwny viwanda mbalimbali huko ugaibuni

    • @njuka3515
      @njuka3515 11 месяцев назад +1

      Kweli kabisa ifike wakati vyombo vya habari vilipoti taharifa kama hivi nchi zilizo endelea watawachukua huko na kuwaendeleza

  • @andrewkalubi3524
    @andrewkalubi3524 10 месяцев назад

    Well come at kiigoma..hongera sana kijana etu.leka tutigite

  • @SenoVee
    @SenoVee 10 месяцев назад

    Afu handsome sasa dah❤❤🙏mungu akuinue

  • @laylasaid8406
    @laylasaid8406 11 месяцев назад

    MashaAlla 👏👏👏💪💪🔥Allah Akuhifadhi 💫na Akuimalishe Elimu yako 💫👌💯

  • @muwezahasani4017
    @muwezahasani4017 11 месяцев назад +7

    Much respect

  • @Ima-l8p
    @Ima-l8p 11 месяцев назад +3

    Hongera

  • @LabiloWabikongo
    @LabiloWabikongo 11 месяцев назад

    ❤ongera sana mungu akuinuwe zaid na inshaallah ndoto zko zitatimiy serekali imekuone duniya imekuona alhamdulilah

  • @judithjohn2698
    @judithjohn2698 11 месяцев назад +1

    Utafika mbali mdogo wangu😊😊😊😊😊

  • @abdallahferouz9238
    @abdallahferouz9238 10 месяцев назад

    Huyu dogo katunukiwa kipaji kipo mkubwa sanaa Maa shaa Allah

  • @queensalema5262
    @queensalema5262 11 месяцев назад

    Atafika mbal,Sir God ambless more

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 11 месяцев назад +4

    Nomà Saana blood 💪 NaqubaR 💯👊🖐🏿🔥💥

  • @jrnyambo5342
    @jrnyambo5342 11 месяцев назад +3

    TZ tunautajiri mungu katubaliki kijana aenderenzwe katika kipaji alicho balikiwa.

  • @naomimnegelwa
    @naomimnegelwa 10 месяцев назад

    Big up sanaaaaa

  • @الصالحيالصالحي-ل2ظ
    @الصالحيالصالحي-ل2ظ 11 месяцев назад +2

    Mashaallh mungu akuzidishie ufike mbal utimize ndoto zako

  • @ktigerman5736
    @ktigerman5736 10 месяцев назад

    Mungu amfikishe mbali na akafanye makubwa zaidi ili kuweza kuisaidia jamii na Taifa kwa ujumla.

  • @Dantaata
    @Dantaata 11 месяцев назад +7

    aah hii nchi hii mdogo wangu achana na hicho kipaji km baba yako hana uwezo basi imeisha,, serikali inawaza madangulo tu

    • @SeleOmary-e9o
      @SeleOmary-e9o 11 месяцев назад

      Viongozi iyo ndo azina ya nchi

  • @najmamgallah8154
    @najmamgallah8154 11 месяцев назад

    Ulakozye, hongera sanaa shemeji yng naamini Kun sk tutapat ht treni y kwenda kigomaa

  • @SharifuAthumani-w9t
    @SharifuAthumani-w9t 11 месяцев назад

    Hongera janja

  • @Malakitzkigoma
    @Malakitzkigoma 11 месяцев назад +2

    Kama.we muha gonga like waha wote. tujuane

  • @HillaryMachano
    @HillaryMachano 11 месяцев назад

    Jamaa kaongea vizuri mwisho kaharibu

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 11 месяцев назад +7

    Duuh kwa nchi yetu hii,dogo omba jamani,China,na nchi zingine wakuone.
    Mungu akukumbuke mtoto wetu uende mambele

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 11 месяцев назад +5

    Serikali yetu inatuletea madaktari wa kuongeza maumbo ambavyo havileti maendeleo yoyote katika jamii zaidi ya kuongeza uzinzi tu kwa taifa kijana kama huyu hutaona wakijitokeza kuendeleza hiki kipaji 🤦🏾

  • @LinusEdward
    @LinusEdward 11 месяцев назад +2

    Home is the best

  • @AziziJuma-e8w
    @AziziJuma-e8w 11 месяцев назад

    Hongera sana kijana fahari ya kigoma Masanja family

  • @WilsonEmmanuel-bs6op
    @WilsonEmmanuel-bs6op 11 месяцев назад +2

    Safi Sana dogo mungu akuinue

  • @nobleonlinetv9128
    @nobleonlinetv9128 11 месяцев назад +2

    Kigoma kuna vipaji vikubwa sana ni vile serikali haijaamua kuuzingatia huu mkoa

  • @AshaAboke
    @AshaAboke 10 месяцев назад

    Mungu akutimiziye ndoto yako kijana.

  • @AndrewwPhillipo-es8nd
    @AndrewwPhillipo-es8nd 11 месяцев назад +2

    Kigoma talent for our life

  • @JonathanMekenywa-gf1st
    @JonathanMekenywa-gf1st 11 месяцев назад

    Duh hongera kijana

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 11 месяцев назад +6

    Kigoma safi❤❤❤

  • @adelaidekalongora5417
    @adelaidekalongora5417 11 месяцев назад +1

    Hongera sana kijana Kwa sayansi ya ubunifu naiomba waziri amsimamie huyu kijana ana kitu kizuri sana

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 11 месяцев назад +3

    Duh huyu serikali imuunganishe na wafadhili ana talent kubwa mno.

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 11 месяцев назад

      Tatizo kwani weee usiwemfadhiri kumuuunga mkono na ubunifu wk

  • @nzungupatrick9308
    @nzungupatrick9308 10 месяцев назад

    Mungu amulinde

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 8 месяцев назад +1

    Samaki na Mawese ya Kigoma Zinaongoza Akili Sana na Kuna Kipaji

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 7 месяцев назад

    Ongera sana kijana. chahatari katika inchi zetu za kiafrica kuna wabunifu wazuri wanaosubutu.ila ma, inginier watu wengi ni boya nafala sielewi kwa nini wanapoteza mda wao bure uko chuo kikuu.kisha badae wasionyeshe miujiza ya elimu yao.

  • @jumabisale9974
    @jumabisale9974 11 месяцев назад

    Kibongo bongo kwa selikari ni uongo. Mpaka ije/zije kampuni toka nnje ya africa ndio mambo yatakuwa mazur kwa watu wenye ubunifu. Maana hata ukisema eanzishe factory duùh msululu ni mrefu saana pia hata taasisi z kifedha haziko tayari kuwekeza ktk ubunifu.

  • @JansanMokiwa-hr6hl
    @JansanMokiwa-hr6hl 11 месяцев назад +3

    Huyo ataishia hivyo hivyo Tanzania yeti naijua 😭😭😭

  • @jasonplayz4394
    @jasonplayz4394 11 месяцев назад

    Wazungu watakuja kuwadaganya eti wamchukuwe wampeleke ulay ila sisi wenyewe tu abaki nyuba sana ❤❤

  • @AkwilinaPetro
    @AkwilinaPetro 10 месяцев назад

    Good job my son

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 10 месяцев назад +1

    Huyu dogo serikali kupitia wizara ya Elimu inabidi imuangalie kwa jicho la tofauti ili kumuendeleza katika kitu ambacho Mungu ameweka ndani yake

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 11 месяцев назад +2

    MashaAllah ❤❤❤

  • @frankmanjati19
    @frankmanjati19 11 месяцев назад

    Kigoma sec is the nice place to live
    Nimesoma hapa jamnii

  • @fatumakiwera7145
    @fatumakiwera7145 11 месяцев назад +1

    Yan Masha Allah Kuna vpaj

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 11 месяцев назад +3

    Huyo mtoto serekali umpeleke China akaongeze kipaji alichopewa na mungu.

  • @mkumbosamson7981
    @mkumbosamson7981 11 месяцев назад

    Kigoma ni nchi nyingine,haaa waha noma sana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 11 месяцев назад

    Hongera sana

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 11 месяцев назад

    Tanzania kuna vipaji but mpaka uonekane mmmh jasho mpaka likutoke congratulations boy

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 11 месяцев назад

    SERIKALI imsaidie huyu kijana ni physician Brain..

  • @MrRamsonVidal
    @MrRamsonVidal 10 месяцев назад

    KigomA NomA

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 11 месяцев назад +12

    VIJANA WABUNIFU WEKEZENI NGUVU SANA KWENYE AGRICULTURAL MECHANIZATION ILI KUINUA KILIMO NCHINI NA MTAPATA FEDHA SANA IN FUTURE

  • @lujazlijahz939
    @lujazlijahz939 11 месяцев назад +3

    Kuna mtu wa sienta atashangaa dogo alivyosema umbo linafanana na gari😂

    • @iantussa9064
      @iantussa9064 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 sienta sio gari?

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 11 месяцев назад

    Naomba Mungu amlinde pia kama serikali kama itaweza kumuwezesha kimasomo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 месяцев назад

    Asaidiwe sana.🎉

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 11 месяцев назад

    Good jobs congratulations 👏🎉🎉

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz 11 месяцев назад +1

    Kigoma tumejaliwa kila kitu apachini ya juwa ❤❤❤❤

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 11 месяцев назад

      Pamoja na uchawi

    • @celestinermantenga2463
      @celestinermantenga2463 10 месяцев назад

      @@miltonjohn9779 pow sehemu zenye uchaw huw kuna nidhamu sana. Huwez kula kitu cha mwenzie ovyo.

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 11 месяцев назад +2

    Huyu ni Designer apelekwe NASA Marekani wanataka watu kama hao.

    • @annagilbert4547
      @annagilbert4547 11 месяцев назад

      Ypo vzur xana xelkal iliangalie hilo

  • @InnovationWithAmaniKiwale
    @InnovationWithAmaniKiwale 11 месяцев назад +1

    Safi sana kijana nimependa sana.

  • @ronmadini2009
    @ronmadini2009 11 месяцев назад +2

    Home boy..🔥🔥

  • @euniceandes9167
    @euniceandes9167 11 месяцев назад +2

    Kigoma yangu❤

  • @peteryohana891
    @peteryohana891 11 месяцев назад

    Tatizo yupo Tz,

  • @mohamedkuembelea7725
    @mohamedkuembelea7725 11 месяцев назад

    Mpeni nguvu dogo

  • @sadabakari-hs8tn
    @sadabakari-hs8tn 11 месяцев назад

    Bigap sanaaa

  • @DogoMicheale
    @DogoMicheale 11 месяцев назад +2

    Wamchukuwe huyo hata saidiya huchumi badaye 😂

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 10 месяцев назад

    Vitendo zaidi na siyo maneno tu .Kigoma changamkeni😮

  • @AkwilinaPetro
    @AkwilinaPetro 10 месяцев назад

    👌👌👌

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 11 месяцев назад

    my home now good boy hongera Sana