Hongera saaaaaana kijana wetu yuko vizuri saaaaaana, Mungu akubariki saaaaaana kwa vipawa ambavyo Mungu amekupa. Tanzania msaidieni kijana wetu huyu.Awe faida kwa Taifa letu Hapa Tanzania. I watch from Norway 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯
yaaan huyu mtoto sio tu wakwenda veta bali kunahaja sana ya uwanzishwaji ya vituo vya vipaji na ubunifu maana nikikumbuka yule wamwanzo aliyepelekwa veta kwa mara ya mwisho anaonesha kweli aliongeza ujuzi lakini bado alihitaji zaidi ya pale. Hongera sana kijana wetu
Hongera,kina masud kp,yule dogo wa kigoma pkpl, trekta SUA .....na wengine weengi shida iko kwenye politics of Development .......hapa hamtatazamwq tena
Huyu kijana anaweza sana na kipaji chake ni cha kipekee. Serikali, wadau, hasa watu wa usalama (nyumbu, Mizinga) chukuweni huyu kijana. Nchi yetu itapiga hatua kama tunaweza kuwekeza kwa vijana wa aina hii.
Yaani amuulize masudi kipanya hawa watu hawataki tuonueshe ubunifu wetu duniani 🤔au tunaogopa kukosa misaada Nchi hii Tunakufa Na madeni😭😭😭Hongera kijana wetu nje ya Nchi utafanikiwa🙌🙌🙌
Serikali yetu inatuletea madaktari wa kuongeza maumbo ambavyo havileti maendeleo yoyote katika jamii zaidi ya kuongeza uzinzi tu kwa taifa kijana kama huyu hutaona wakijitokeza kuendeleza hiki kipaji 🤦🏾
Ongera sana kijana. chahatari katika inchi zetu za kiafrica kuna wabunifu wazuri wanaosubutu.ila ma, inginier watu wengi ni boya nafala sielewi kwa nini wanapoteza mda wao bure uko chuo kikuu.kisha badae wasionyeshe miujiza ya elimu yao.
Kibongo bongo kwa selikari ni uongo. Mpaka ije/zije kampuni toka nnje ya africa ndio mambo yatakuwa mazur kwa watu wenye ubunifu. Maana hata ukisema eanzishe factory duùh msululu ni mrefu saana pia hata taasisi z kifedha haziko tayari kuwekeza ktk ubunifu.
Huyu mtoto anacho kitu kikubwa sana ndani yake Mungu amuinue saaaana
Serikali inakiangamiza chao
Bongo nyoso sana wanachukulia easy alafu mtu akifanikiwa ndo wanajifanya wako proudly ....😅😅😅
indeed Amen
mungu akubariki unakipaji kikubwa taasisi, viwanda pamoja na serikali huyu kijana mwendelezeni anakitu ndani yake
Dogo Yuko vizuri sana, Mungu ampe siku nyingi za kuishi
Kigoma ya vipaji, hongera sana Utafika mbali sana dogo
Umetisha dogo Mungu akusaidie hakika unaweza sana
Home of talent 💪💪
Maashaallah mtoto Allah akutimizie ndotoyako
Mungu akusimamie mwangangu,
Very respect
Hongera saaaaaana kijana wetu yuko vizuri saaaaaana, Mungu akubariki saaaaaana kwa vipawa ambavyo Mungu amekupa. Tanzania msaidieni kijana wetu huyu.Awe faida kwa Taifa letu Hapa Tanzania. I watch from Norway 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯🇸🇯
Hakika dogo unaweza, Mungu akuinue zaidi
Mashaaa allah unatisha sana nakuombea mungu uzidi kuwa juu zaidi
Hongereni sana Millard Ayo. Mmemtendea haki Christopher
nakuona mbali sana dogo❤❤
Ni zamu ya kigoma sasa.
MashaAllah 🎉🎉🎉
yaaan huyu mtoto sio tu wakwenda veta bali kunahaja sana ya uwanzishwaji ya vituo vya vipaji na ubunifu maana nikikumbuka yule wamwanzo aliyepelekwa veta kwa mara ya mwisho anaonesha kweli aliongeza ujuzi lakini bado alihitaji zaidi ya pale. Hongera sana kijana wetu
Mola akuhifazi naakufikishe mbali from Burundi 🇧🇮 we love you
Hongera,kina masud kp,yule dogo wa kigoma pkpl, trekta SUA .....na wengine weengi shida iko kwenye politics of Development .......hapa hamtatazamwq tena
Congratulations...ukiwezeshwa nakuona mbali sana ... MUNGU akusaidie na akukutanishe na watu sahihi ili uweze kufanikisha malengo yako
Mungu akulinde na mahasidi.
Hatari daaa,Mungu amzidishie kipaji zaidi
Hongera sana.Kigoma isaidiwe
Hongera mkaka Mungu akupe maisha marefu utimize ndoto zako
Mungu akusimamie home boy
Hongera dogo
mungu akusaidie ila Kwa bongo hii sijui
He's so brilliant
Safi Sana Kijana mungu akulinde❤❤
Kigoma kuna utajiri kibao Zitto fuatilia hiyo🎉
System yetu ya elimu ibadilishwe wanafunzi wawe huru kusomea wanachokipenda kama wenzetu wanavyofanya😮
Kabisa ujue bado elimu yetu inafata muongozo wa mkoloni serikali yetu haijaamua bado kufanya vya kwetu kama waTz
Shida serikali iko mbali na wanachi
Kabisa hapa ndipo tunafeli maana kila kichwa kina mfumo wa kipaji halisia kwa kila binaadamu
Fact
shida ni huyu mkoloni bado tunamuabudu hivyo ndo mna tunaua vipaji vyetu ila sio kwamba hatuwezi
Dogo anajua Sanaa
Umetisha sana
Huyu kijana anaweza sana na kipaji chake ni cha kipekee.
Serikali, wadau, hasa watu wa usalama (nyumbu, Mizinga) chukuweni huyu kijana.
Nchi yetu itapiga hatua kama tunaweza kuwekeza kwa vijana wa aina hii.
Christofa John Masanja Hongera SANA
Umetisha dogo
Serikali yenyewe ya mwigulu Nchemba na mama samia kipaji chake kitaishia apo apo kigoma
Acha tu
Yaani amuulize masudi kipanya hawa watu hawataki tuonueshe ubunifu wetu duniani 🤔au tunaogopa kukosa misaada Nchi hii Tunakufa Na madeni😭😭😭Hongera kijana wetu nje ya Nchi utafanikiwa🙌🙌🙌
Hapana, kijana hatoishia hapo Bali atasonga mbele, ATAKUA ENGINEER kwny viwanda mbalimbali huko ugaibuni
Kweli kabisa ifike wakati vyombo vya habari vilipoti taharifa kama hivi nchi zilizo endelea watawachukua huko na kuwaendeleza
Well come at kiigoma..hongera sana kijana etu.leka tutigite
Afu handsome sasa dah❤❤🙏mungu akuinue
MashaAlla 👏👏👏💪💪🔥Allah Akuhifadhi 💫na Akuimalishe Elimu yako 💫👌💯
Much respect
Hongera
❤ongera sana mungu akuinuwe zaid na inshaallah ndoto zko zitatimiy serekali imekuone duniya imekuona alhamdulilah
Utafika mbali mdogo wangu😊😊😊😊😊
Huyu dogo katunukiwa kipaji kipo mkubwa sanaa Maa shaa Allah
Atafika mbal,Sir God ambless more
Nomà Saana blood 💪 NaqubaR 💯👊🖐🏿🔥💥
TZ tunautajiri mungu katubaliki kijana aenderenzwe katika kipaji alicho balikiwa.
Big up sanaaaaa
Mashaallh mungu akuzidishie ufike mbal utimize ndoto zako
Mungu amfikishe mbali na akafanye makubwa zaidi ili kuweza kuisaidia jamii na Taifa kwa ujumla.
aah hii nchi hii mdogo wangu achana na hicho kipaji km baba yako hana uwezo basi imeisha,, serikali inawaza madangulo tu
Viongozi iyo ndo azina ya nchi
Ulakozye, hongera sanaa shemeji yng naamini Kun sk tutapat ht treni y kwenda kigomaa
Hongera janja
Kama.we muha gonga like waha wote. tujuane
Jamaa kaongea vizuri mwisho kaharibu
Duuh kwa nchi yetu hii,dogo omba jamani,China,na nchi zingine wakuone.
Mungu akukumbuke mtoto wetu uende mambele
Serikali yetu inatuletea madaktari wa kuongeza maumbo ambavyo havileti maendeleo yoyote katika jamii zaidi ya kuongeza uzinzi tu kwa taifa kijana kama huyu hutaona wakijitokeza kuendeleza hiki kipaji 🤦🏾
Home is the best
Hongera sana kijana fahari ya kigoma Masanja family
Safi Sana dogo mungu akuinue
Kigoma kuna vipaji vikubwa sana ni vile serikali haijaamua kuuzingatia huu mkoa
Mungu akutimiziye ndoto yako kijana.
Kigoma talent for our life
Mnajua kujipigia vyetezo😂
Duh hongera kijana
Kigoma safi❤❤❤
Hongera sana kijana Kwa sayansi ya ubunifu naiomba waziri amsimamie huyu kijana ana kitu kizuri sana
Duh huyu serikali imuunganishe na wafadhili ana talent kubwa mno.
Tatizo kwani weee usiwemfadhiri kumuuunga mkono na ubunifu wk
Mungu amulinde
Samaki na Mawese ya Kigoma Zinaongoza Akili Sana na Kuna Kipaji
Ongera sana kijana. chahatari katika inchi zetu za kiafrica kuna wabunifu wazuri wanaosubutu.ila ma, inginier watu wengi ni boya nafala sielewi kwa nini wanapoteza mda wao bure uko chuo kikuu.kisha badae wasionyeshe miujiza ya elimu yao.
Kibongo bongo kwa selikari ni uongo. Mpaka ije/zije kampuni toka nnje ya africa ndio mambo yatakuwa mazur kwa watu wenye ubunifu. Maana hata ukisema eanzishe factory duùh msululu ni mrefu saana pia hata taasisi z kifedha haziko tayari kuwekeza ktk ubunifu.
Huyo ataishia hivyo hivyo Tanzania yeti naijua 😭😭😭
Wazungu watakuja kuwadaganya eti wamchukuwe wampeleke ulay ila sisi wenyewe tu abaki nyuba sana ❤❤
Good job my son
Huyu dogo serikali kupitia wizara ya Elimu inabidi imuangalie kwa jicho la tofauti ili kumuendeleza katika kitu ambacho Mungu ameweka ndani yake
MashaAllah ❤❤❤
Kigoma sec is the nice place to live
Nimesoma hapa jamnii
Yan Masha Allah Kuna vpaj
Huyo mtoto serekali umpeleke China akaongeze kipaji alichopewa na mungu.
Kigoma ni nchi nyingine,haaa waha noma sana
Hongera sana
Tanzania kuna vipaji but mpaka uonekane mmmh jasho mpaka likutoke congratulations boy
SERIKALI imsaidie huyu kijana ni physician Brain..
KigomA NomA
VIJANA WABUNIFU WEKEZENI NGUVU SANA KWENYE AGRICULTURAL MECHANIZATION ILI KUINUA KILIMO NCHINI NA MTAPATA FEDHA SANA IN FUTURE
Umenena vyema
Kuna mtu wa sienta atashangaa dogo alivyosema umbo linafanana na gari😂
😂😂😂😂😂 sienta sio gari?
Naomba Mungu amlinde pia kama serikali kama itaweza kumuwezesha kimasomo
Asaidiwe sana.🎉
Good jobs congratulations 👏🎉🎉
Kigoma tumejaliwa kila kitu apachini ya juwa ❤❤❤❤
Pamoja na uchawi
@@miltonjohn9779 pow sehemu zenye uchaw huw kuna nidhamu sana. Huwez kula kitu cha mwenzie ovyo.
Huyu ni Designer apelekwe NASA Marekani wanataka watu kama hao.
Ypo vzur xana xelkal iliangalie hilo
Safi sana kijana nimependa sana.
Home boy..🔥🔥
Kigoma yangu❤
dogo ananifaa huyu
Mungu akufunike Sana mdg ang
Tatizo yupo Tz,
Mpeni nguvu dogo
Bigap sanaaa
Wamchukuwe huyo hata saidiya huchumi badaye 😂
Vitendo zaidi na siyo maneno tu .Kigoma changamkeni😮
👌👌👌
my home now good boy hongera Sana