Ajabu nchi ya ajabu viongozi wa ajabu na cha ajabu ukikaribia uchaguzi utamuona habanduki huko na visukari bahshish kuwarubuni na walivyo waajabu manyumbu wasiojitambua watampigia kura akishapata anasafiri kila siku hawakilishi chochote jimbo lake.Nchi hii tumelogwa
🥳🥳Congratulations to him@Diamond ana kuwa mzee but anatoa hit after hit this man amebarikiwa na kipawa🔥🔥🔥🔥Song zake mambo mbaya🎶📻📺💯
Anakuwa Mzee ? Diamond bado mtoto sana.…
Thats true mate,this guy he is blessed.DIAMOND PLATNUM WE ARE OF PROUD OF YOU.LETS GO SIMBA.
Yap yap guyz@shangwe fisima and @chizi sunga Diamond is one of the biggest artists in East Africa Yooh so we need to congratulate him guys🔥🔥🔥💯
Mungu akulinde na maadui akupe afya njema uzidi kupambana kaka yetu mondi nngwaaaaaaaaaaa
🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳Music is everything na Diamond is every way bana song zake zinachezwa dunia mzima bana🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎶📻📺💯
Huyu jamaa hakuna wa kufikia kwa tz hii
Mungu akuppe maisha marefu simba
Unique Artist and a Good example born to Win 🦁🦁🦁🎤🎤🎤🎸🎸🎸🪘🪘🪘🪘🥁🥁🥁💃💃💃💃💃
Maisha marefu yasiyo na maradhi kwako simba wangu 🙏 ishi kupita kiasi chibu deee chibu diii
Nimeelewa mkuu
happy birthday diamond platinum
Diomond platnumz nkubali sana
Simba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mungu akulinde bro 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Simbaaa
Biig up Mr diomond
mungu akulinde milele chibu
Huyu ni. Tanasha au VP mbona sielewi
🔥🔥🔥🔥🔥💯
😊😊😊😊
Huyu mbunge anakuwa jimboni kwake saa ngapi?
Ajabu nchi ya ajabu viongozi wa ajabu na cha ajabu ukikaribia uchaguzi utamuona habanduki huko na visukari bahshish kuwarubuni na walivyo waajabu manyumbu wasiojitambua watampigia kura akishapata anasafiri kila siku hawakilishi chochote jimbo lake.Nchi hii tumelogwa
Watanzania washamba tu
Waaaaaaaaaaaoooooooooooo
Nini sasa
Ok
Uku waje
Ila Diamond kumuelewa nishida sana uyo dada wanava ragi sakufanana ninani tena