DULLY NA TID WAFUNGUKA DIAMOND KUPOSTIWA NA CHRIS BROWN, WASIMULIA ENZI ZAO KUPERFOM UK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 июн 2024

Комментарии • 129

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 12 дней назад +49

    Ata Chris brown anashangaa views zimekuwa kubwa sana kwake i think kaona nguvu ya diamond platinumz

  • @King_186
    @King_186 12 дней назад +23

    Hakuna asiyemkubali Diamond Africa hii,,bali ktk maisha ukiishafika juu watu huitaji kukushusha,,,mwamba ndio kwanza anazidi kupaa

  • @sammasika3627
    @sammasika3627 12 дней назад +25

    Dully kanyooka sana hana makando kando

  • @GavyoleJonas
    @GavyoleJonas 12 дней назад +35

    Diamond ni 🔥 hata wengine wasipomkubali,sisi tunaomkubali tunatosha pamoja na chris

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 12 дней назад +10

    Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen

  • @user-qf6dh9hy8c
    @user-qf6dh9hy8c 12 дней назад +14

    Asante mond😊🎉🎉🎉❤

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 12 дней назад +12

    diamond platnamz ❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎵🎵🎵🙏🙏

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 11 дней назад +3

    My brother Diamond platinum 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰🥰🔥

  • @hassankhamis7380
    @hassankhamis7380 12 дней назад +9

    Kaka dully umeongea fakti bro watu ni wanafki kazi za tz ghost singer hawapendi kazi zake hasa huyo ombaomba mwijaku

  • @user-il1kv9zv9j
    @user-il1kv9zv9j 12 дней назад +16

    Simba la masimba dangote

  • @ChuxDaniel
    @ChuxDaniel 12 дней назад +15

    Dully ameongea kupitia uvungu wa moyo dahhhh😢😢 nakubali sana kaka hiyo roho usije ukaiachia maana dahhh kwaimani niliyonayo naona milango inafunguka kwa simba la masimba dangote

    • @allenonesmomwebembezi6248
      @allenonesmomwebembezi6248 12 дней назад

      Milango hipi? Wakati kalipia hiyo post

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 12 дней назад

      ​@@allenonesmomwebembezi6248unauhakika kalipia? Unarisiti ya malipo aliyofanya 😂 wabongo bana wivu tu

    • @user-gp7tr7it8u
      @user-gp7tr7it8u 12 дней назад

      😂😂😂​@@allenonesmomwebembezi6248

    • @user-ub3xh7ug6c
      @user-ub3xh7ug6c 11 дней назад

      ​@@allenonesmomwebembezi6248vp mlikuw pamoj wakt analip

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 11 дней назад

      ​@@allenonesmomwebembezi6248😂😂😂😂😂jmn

  • @isakachisunga7004
    @isakachisunga7004 12 дней назад +12

    Unyama san👏🏿👏🏿👏🏿

  • @Farida-jx5nz
    @Farida-jx5nz 11 дней назад +3

    Diamond mwamba Sanaa jamaa

  • @feisalibrahim2876
    @feisalibrahim2876 12 дней назад +10

    On time 💯💯

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 12 дней назад +5

    Mimi nikishamkubari #Diamond inatosha wasiyompenda shahuli yao.

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 11 дней назад +3

    Diamond anaweza sana

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy 12 дней назад +15

    Huu mwaka wa platinum

    • @ahz6907
      @ahz6907 12 дней назад +1

      Hili ni trela bado picha lenyewe😅

  • @user-xr7bx1on5e
    @user-xr7bx1on5e 12 дней назад +4

    Simba la masimba

  • @mtazycomedy
    @mtazycomedy 12 дней назад +9

    Wata shazam weng

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 12 дней назад +8

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-ep9rp3yv2w
    @user-ep9rp3yv2w 12 дней назад +7

    🔥🔥🔥

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 8 дней назад

    Diamond for G ......Big D❤

  • @emmanuelmurekezi9937
    @emmanuelmurekezi9937 11 дней назад +1

    Simba la simba❤❤❤

  • @HeriRamadan-qx2hk
    @HeriRamadan-qx2hk 12 дней назад +7

    👋👋👋👋👋👋

  • @dalalizanzibar9583
    @dalalizanzibar9583 10 дней назад

    Dully kanyooka sana ana moyo wa pekee

  • @MATIKO9640
    @MATIKO9640 10 дней назад +1

    Kumbe TID anaakili kubwa tu

  • @noelmunuo4660
    @noelmunuo4660 12 дней назад +3

    Hii channel ya Millard Ayo si wanajifanyaga hawapost habari za mondi Leo VP??

  • @JacksonFuliwa
    @JacksonFuliwa 4 дня назад

    ❤❤❤

  • @mdumashop7423
    @mdumashop7423 11 дней назад +1

    Daaa

  • @kijakazimussa9236
    @kijakazimussa9236 12 дней назад +8

    Diamond pia ajifunze kwa hilo anapoona msanii mchanga tz anafanya vzr amsapot hata kwa kupost kaz zake

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 12 дней назад

      Sio kazi yake...

    • @rahmaidd8818
      @rahmaidd8818 12 дней назад

      ​@@godfreydavid6847Santaaaaaaa😂😂😂😂

    • @user-re4ve4nf3p
      @user-re4ve4nf3p 11 дней назад

      Alimpa support harmonize alimpa nn zaidi y kumshusha kutumia machawa wake

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 11 дней назад +1

    Tid tunaongelea diamond sio wewe😂

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 11 дней назад

    Amapiano ni bongo fleva au... Sema msanii wa bongo fleva sy nyimbo ya bongo fleva muwe makin sku ingine 😊 congratulations 🎉

    • @francsamwel5791
      @francsamwel5791 11 дней назад

      Kwan piano wa Niger hawaimbi au..... mziki una hitaji mixer coz ya biashara na kuteka mashabiki

    • @AlfaEnock-st9md
      @AlfaEnock-st9md 10 дней назад

      We unaijua bongo fleva?? Hakuna mziki unaitwa hivo

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 8 дней назад

    Ila wa bongo ni watu wa kushangaza saana sasa Chris Brown njo kitu gani ao njo nini mbona mweye mnacheza ngoma zao awawatangazi ivo

  • @vangraphixvan8320
    @vangraphixvan8320 12 дней назад +6

    Dhahabu

  • @MawazoMwamba-fz5hr
    @MawazoMwamba-fz5hr 9 дней назад

    ❤❤❤🥰🥰🔥🙏🙏

  • @allytv1714
    @allytv1714 12 дней назад +1

    At tenge wa uganda kashapostiwa na huyo mshikaji tena kacheza kile kinyimbo chake mbn mambo ya kawaida sana hayo mnakuza ivo

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 12 дней назад +1

      Utakufa mwaka huu😅😅😅

    • @allytv1714
      @allytv1714 12 дней назад

      @@ziggertv3185 tatizo watanzania wengi ujinga ndo unawasumbua toka enzi za Nyerere

    • @rahmaidd8818
      @rahmaidd8818 12 дней назад +2

      Na badooo chuki tuuu kuoga janaba aaah shenz

  • @samwelfundi1527
    @samwelfundi1527 12 дней назад +1

    Ifike mahala watanzania mujitambue sijuwi ila naomba samahani sijui wengi wenu kama wanaelewa siasa ya hawa wamerekani, naishi hapa USA 🇺🇸 ni miaka 15 ila hawa jamaa wakikuposti ujuwe yy anafaidika, ila ww utabaki mtu wa tiktop tu akuna utakachovuna

    • @rahmaidd8818
      @rahmaidd8818 12 дней назад +1

      Diamond has more money kuliko WEWE mbeba maboksi

    • @annethsongwe6063
      @annethsongwe6063 11 дней назад

      ​@@rahmaidd8818😂😂😂😂

  • @Ramadhanikisodya
    @Ramadhanikisodya 11 дней назад

    Mm sioni chajabu hapo jamani mbona dogo ngomayake ili fanyapoa ulaya mavokali

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 10 дней назад

    I say daemongo ni Mkali

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 9 дней назад

    Amsterdam tid alikuja na rau c waliwekwa kwenye majumba ya watu na wakaanzia kuvuta unga Amsterdam

  • @waziliLyamosi
    @waziliLyamosi 12 дней назад +1

    😂😂😂, Nchi ya ovyoo kisenge Chris Alisha post MISO MISONDO achani promo za kipuuzi af huo ushamba hio ni kawaida sana kwa Chris brown, alisha post madogo wa kenya waliofanya covering, 😂😂😂😂

  • @ShelayWamapozi
    @ShelayWamapozi 12 дней назад +4

    Dhahabu inayochafuliwa kilasiku

  • @wanasisi7709
    @wanasisi7709 12 дней назад +2

    Tunafanyaga hawa wazungu nikama mungu wetu ndo maana wanatubebanga ufala kupistiwa 2 Africa kumbe bado tunatawaliwa

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 11 дней назад

    Aminiy Duri sesk

  • @malitozzy3538
    @malitozzy3538 12 дней назад +1

    Sio mnafiki tu huyo nyoko sanaaa tena kkkkkkkkk kubwaaaaaaaaaaaas😅😅😅😅😅

  • @user-lm5fu5tu5z
    @user-lm5fu5tu5z 11 дней назад

    Dully kaongea ukweli wa moyo wake kabisa

  • @faiasap8307
    @faiasap8307 12 дней назад

    Kapostiwa au chris kajipost😂

  • @Ramadhanikisodya
    @Ramadhanikisodya 11 дней назад

    Mapiono nyimbo mnajisifia jamani

  • @Ramadhanikisodya
    @Ramadhanikisodya 11 дней назад +1

    Acheni kusapot upumbafu

  • @Matakaissa
    @Matakaissa 12 дней назад +1

    Vp misomisondo

  • @GivenMtambo
    @GivenMtambo 7 дней назад

    Sema tid kama hajakubali xana.mbn kuna maneno hanyooki hyo english inaficha what

  • @malikissa8251
    @malikissa8251 10 дней назад

    Mbona ata miso misondo hamkumpa maua yake

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f 12 дней назад +5

    HATA MISO MISONDO WALIPOSTIWA ..

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 12 дней назад +3

      IPO tofauti ya kupostiwa kama kichekesho na kujiposti akifanya kurudia ulichofanya

    • @BILALIMSANGI-kw2ki
      @BILALIMSANGI-kw2ki 12 дней назад +7

      Sawa miso misondo walipostiwa lkn hii chris ametenga muda wake akaweka dancers wake na mtu wa camera kacheza alipomaliza kucheza aka post huoni Kuna utofauti hapo

    • @user-xw9bu5ud5h
      @user-xw9bu5ud5h 12 дней назад +3

      Miso misondo ni nan wechoko

    • @rosemuna5569
      @rosemuna5569 12 дней назад

      Asante kwa kuwaelewesha maana watu hawajaelew utofauti​@@BILALIMSANGI-kw2ki

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 12 дней назад +4

    Wa sanii bongo machawa kwani misomiaondo mbona amja wa pongeeza leo mnajifa nya 😂😂😂 makellele mengi yule dogo mulimuonea wivuu nini

    • @MapradoMsonde
      @MapradoMsonde 12 дней назад +5

      Kuna baazi ya watu wanamkataa diamond lakini utamkuta kwenye simu ya zimejaa ngoma za mondi jaman au mnataka mtu akifa ndo mumsifie

    • @isayamsisika6255
      @isayamsisika6255 12 дней назад +2

      ​@@MapradoMsondeila bado hoja ya misomisondo ujaijibu

    • @IkoUwasi-it6qy
      @IkoUwasi-it6qy 12 дней назад +5

      Kila mtu na nyota yake

    • @hoseanobocka7140
      @hoseanobocka7140 12 дней назад +3

      Wapongeze wewe hao misomisondo au na wewe haujulkani 😅😅😅😅

    • @hoseanobocka7140
      @hoseanobocka7140 12 дней назад

      ​@@isayamsisika6255hao misomisondo hata ukiwasifia wewe inatosha😊😊😊

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 12 дней назад +3

    Nyinyi mjitambue pale kacheza kajua ngoma ya sauzee

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 12 дней назад +3

    😬😬Natamani ingekuwa ni bongo fleva, tatizo ni amapiano so respect to southafrica country.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 12 дней назад

      Kwel

    • @hoseanobocka7140
      @hoseanobocka7140 12 дней назад +2

      Bwege wewe

    • @svt3
      @svt3 12 дней назад +2

      @andrewmassy5204 tz inawasanii zaidi ya elfu2 wamefikisha wapi bongo flevo? Hata wewe ni mu tz hii ni jukumu lako pia

    • @zedohmariotz741
      @zedohmariotz741 12 дней назад +3

      Saw amapiano tz kwhy amapiano ilyofnyka n moja tu ya diamond sio....ngoz nyeuc ina matatzo

    • @svt3
      @svt3 12 дней назад +1

      @@zedohmariotz741 sensema yenyewe pia ni Amapiano wanaimba na kucheza, na wanasahau mdundo uko juu kila mahali saa hii ni amapiano

  • @baikokokangamoko
    @baikokokangamoko 11 дней назад +1

    Sisi Watanzania nibwashamba sana, kiukweli tunatia aibu sana, lakini pia hii inathibitisha kwamba sisi ni wadogo sana.

  • @user-xr7bx1on5e
    @user-xr7bx1on5e 12 дней назад +5

    Simba la masimba