Dully ameongea kupitia uvungu wa moyo dahhhh😢😢 nakubali sana kaka hiyo roho usije ukaiachia maana dahhh kwaimani niliyonayo naona milango inafunguka kwa simba la masimba dangote
Ifike mahala watanzania mujitambue sijuwi ila naomba samahani sijui wengi wenu kama wanaelewa siasa ya hawa wamerekani, naishi hapa USA 🇺🇸 ni miaka 15 ila hawa jamaa wakikuposti ujuwe yy anafaidika, ila ww utabaki mtu wa tiktop tu akuna utakachovuna
😂😂😂, Nchi ya ovyoo kisenge Chris Alisha post MISO MISONDO achani promo za kipuuzi af huo ushamba hio ni kawaida sana kwa Chris brown, alisha post madogo wa kenya waliofanya covering, 😂😂😂😂
Sawa miso misondo walipostiwa lkn hii chris ametenga muda wake akaweka dancers wake na mtu wa camera kacheza alipomaliza kucheza aka post huoni Kuna utofauti hapo
Ata Chris brown anashangaa views zimekuwa kubwa sana kwake i think kaona nguvu ya diamond platinumz
umeongea kitu kikubwa sana❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@@ChuxDaniel point kwa waelewa
Fact🎉
🎉🎉
Ata mm nme sema hivyo
Hakuna asiyemkubali Diamond Africa hii,,bali ktk maisha ukiishafika juu watu huitaji kukushusha,,,mwamba ndio kwanza anazidi kupaa
Dully kanyooka sana hana makando kando
Diamond ni 🔥 hata wengine wasipomkubali,sisi tunaomkubali tunatosha pamoja na chris
Me here too I love him ❤🎉
Pamoja sana....team chrisplatinumz 😂
Kweli kabisa
Allah akuzidishiye kila laheri inshaalah diamond akulinde nahsuda za mwanadamu akuzidishiye riski ameen
Mungu amzidishie kwenye muziki?
Asante mond😊🎉🎉🎉❤
diamond platnamz ❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🎵🎵🎵🙏🙏
My brother Diamond platinum 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰🥰🔥
Kaka dully umeongea fakti bro watu ni wanafki kazi za tz ghost singer hawapendi kazi zake hasa huyo ombaomba mwijaku
Simba la masimba dangote
Dully ameongea kupitia uvungu wa moyo dahhhh😢😢 nakubali sana kaka hiyo roho usije ukaiachia maana dahhh kwaimani niliyonayo naona milango inafunguka kwa simba la masimba dangote
Milango hipi? Wakati kalipia hiyo post
@@allenonesmomwebembezi6248unauhakika kalipia? Unarisiti ya malipo aliyofanya 😂 wabongo bana wivu tu
😂😂😂@@allenonesmomwebembezi6248
@@allenonesmomwebembezi6248vp mlikuw pamoj wakt analip
@@allenonesmomwebembezi6248😂😂😂😂😂jmn
Unyama san👏🏿👏🏿👏🏿
Diamond mwamba Sanaa jamaa
On time 💯💯
Mimi nikishamkubari #Diamond inatosha wasiyompenda shahuli yao.
Diamond anaweza sana
Huu mwaka wa platinum
Hili ni trela bado picha lenyewe😅
Simba la masimba
Wata shazam weng
❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥
Diamond for G ......Big D❤
Simba la simba❤❤❤
👋👋👋👋👋👋
Dully kanyooka sana ana moyo wa pekee
Kumbe TID anaakili kubwa tu
Hii channel ya Millard Ayo si wanajifanyaga hawapost habari za mondi Leo VP??
❤❤❤
Daaa
Diamond pia ajifunze kwa hilo anapoona msanii mchanga tz anafanya vzr amsapot hata kwa kupost kaz zake
Sio kazi yake...
@@godfreydavid6847Santaaaaaaa😂😂😂😂
Alimpa support harmonize alimpa nn zaidi y kumshusha kutumia machawa wake
Tid tunaongelea diamond sio wewe😂
Amapiano ni bongo fleva au... Sema msanii wa bongo fleva sy nyimbo ya bongo fleva muwe makin sku ingine 😊 congratulations 🎉
Kwan piano wa Niger hawaimbi au..... mziki una hitaji mixer coz ya biashara na kuteka mashabiki
We unaijua bongo fleva?? Hakuna mziki unaitwa hivo
Ila wa bongo ni watu wa kushangaza saana sasa Chris Brown njo kitu gani ao njo nini mbona mweye mnacheza ngoma zao awawatangazi ivo
Dhahabu
❤❤❤🥰🥰🔥🙏🙏
At tenge wa uganda kashapostiwa na huyo mshikaji tena kacheza kile kinyimbo chake mbn mambo ya kawaida sana hayo mnakuza ivo
Utakufa mwaka huu😅😅😅
@@ziggertv3185 tatizo watanzania wengi ujinga ndo unawasumbua toka enzi za Nyerere
Na badooo chuki tuuu kuoga janaba aaah shenz
Ifike mahala watanzania mujitambue sijuwi ila naomba samahani sijui wengi wenu kama wanaelewa siasa ya hawa wamerekani, naishi hapa USA 🇺🇸 ni miaka 15 ila hawa jamaa wakikuposti ujuwe yy anafaidika, ila ww utabaki mtu wa tiktop tu akuna utakachovuna
Diamond has more money kuliko WEWE mbeba maboksi
@@rahmaidd8818😂😂😂😂
Mm sioni chajabu hapo jamani mbona dogo ngomayake ili fanyapoa ulaya mavokali
I say daemongo ni Mkali
Amsterdam tid alikuja na rau c waliwekwa kwenye majumba ya watu na wakaanzia kuvuta unga Amsterdam
😂😂😂, Nchi ya ovyoo kisenge Chris Alisha post MISO MISONDO achani promo za kipuuzi af huo ushamba hio ni kawaida sana kwa Chris brown, alisha post madogo wa kenya waliofanya covering, 😂😂😂😂
Haya kameze wembee ,,chuki tuu kupiga mswaki aah idiot
Azijakukaa
Wembe ni bei chee sana, chukua mmoja umeze
Dhahabu inayochafuliwa kilasiku
Tunafanyaga hawa wazungu nikama mungu wetu ndo maana wanatubebanga ufala kupistiwa 2 Africa kumbe bado tunatawaliwa
Aminiy Duri sesk
Sio mnafiki tu huyo nyoko sanaaa tena kkkkkkkkk kubwaaaaaaaaaaaas😅😅😅😅😅
Dully kaongea ukweli wa moyo wake kabisa
Kapostiwa au chris kajipost😂
Mapiono nyimbo mnajisifia jamani
Acheni kusapot upumbafu
Vp misomisondo
Sema tid kama hajakubali xana.mbn kuna maneno hanyooki hyo english inaficha what
Mbona ata miso misondo hamkumpa maua yake
HATA MISO MISONDO WALIPOSTIWA ..
IPO tofauti ya kupostiwa kama kichekesho na kujiposti akifanya kurudia ulichofanya
Sawa miso misondo walipostiwa lkn hii chris ametenga muda wake akaweka dancers wake na mtu wa camera kacheza alipomaliza kucheza aka post huoni Kuna utofauti hapo
Miso misondo ni nan wechoko
Asante kwa kuwaelewesha maana watu hawajaelew utofauti@@BILALIMSANGI-kw2ki
Wa sanii bongo machawa kwani misomiaondo mbona amja wa pongeeza leo mnajifa nya 😂😂😂 makellele mengi yule dogo mulimuonea wivuu nini
Kuna baazi ya watu wanamkataa diamond lakini utamkuta kwenye simu ya zimejaa ngoma za mondi jaman au mnataka mtu akifa ndo mumsifie
@@MapradoMsondeila bado hoja ya misomisondo ujaijibu
Kila mtu na nyota yake
Wapongeze wewe hao misomisondo au na wewe haujulkani 😅😅😅😅
@@isayamsisika6255hao misomisondo hata ukiwasifia wewe inatosha😊😊😊
Nyinyi mjitambue pale kacheza kajua ngoma ya sauzee
😂😂😂😂😂kwel
inaonekana inauma eee!?
Pole sana
😂😂😂 amapiano to the world
Diamond ni mmoja tu wengne ni nsensema mashenzi😂😂😂😂😂
😬😬Natamani ingekuwa ni bongo fleva, tatizo ni amapiano so respect to southafrica country.
Kwel
Bwege wewe
@andrewmassy5204 tz inawasanii zaidi ya elfu2 wamefikisha wapi bongo flevo? Hata wewe ni mu tz hii ni jukumu lako pia
Saw amapiano tz kwhy amapiano ilyofnyka n moja tu ya diamond sio....ngoz nyeuc ina matatzo
@@zedohmariotz741 sensema yenyewe pia ni Amapiano wanaimba na kucheza, na wanasahau mdundo uko juu kila mahali saa hii ni amapiano
Sisi Watanzania nibwashamba sana, kiukweli tunatia aibu sana, lakini pia hii inathibitisha kwamba sisi ni wadogo sana.
Simba la masimba