the story book Jamal April. liko wapi sanduku la agano?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 36

  • @Kelvincomedian
    @Kelvincomedian 3 дня назад +2

    Jamal April kinara mkuu wa stori za kweli Africa nzima, twakupenda mkuu

  • @KalalaErick-n7d
    @KalalaErick-n7d 14 дней назад +2

    Jamal nilikuwa nakusubiri kwaham sana story zako uwa zinanikosha, mdamwingi unakuwa kimia sana kwamda mrefu, hatujuwi kwanini

  • @AsajileDanielMwalyego
    @AsajileDanielMwalyego 8 дней назад +1

    ❤❤❤ amina❤

  • @markoalfred
    @markoalfred 13 дней назад +5

    Saduku ra agano ripo mbinguni patakatifu pa mbinguni soma ufunuo was yohana

  • @emmanuelmwakibolwa735
    @emmanuelmwakibolwa735 14 дней назад +7

    Wakristo tunaye Yesu Kristo. Huyu ndiye yote katika yote. Hatujitaji kusumbuka juu ya vitu visivyookoa roho zetu. Sanduku hilo kama lipo kweli halina sehemu kwa sasa katika wokovu wetu. Yesu atosha. Wala Yesu hajawahi kuongelea juu ya hilo sanduku. Lilikuwa ni mfano tu wa mambo yatakayokuja, yaani Kristo.
    Tukiwa na Yesu Kristo tumepata vyote!!!

  • @AsajileDanielMwalyego
    @AsajileDanielMwalyego 8 дней назад +1

    ❤❤❤ amina

  • @emmanuelmwakibolwa735
    @emmanuelmwakibolwa735 14 дней назад +4

    Yeremia 3: 16 Kisha itakuwa, mtakapoongezeka na kuwa wengi katika nchi hiyo, asema Bwana, siku zile hawatasema tena, SANDUKU la AGANO la BWANA; wala HALITAINGIA MOYONI; wala HAWATALIKUMBUKA, wala HAWATALIZURU, wala HAYATAFANYIKA hayo tena.

  • @MajaliwaMhungati
    @MajaliwaMhungati 29 дней назад +1

    ❤❤❤❤i love this

  • @AloyceLwenje
    @AloyceLwenje 21 день назад +1

    Asante ujumbe, 🚶 kwako mtumishi mungu

  • @johanesjofrey2105
    @johanesjofrey2105 25 дней назад +9

    Kizazi Cha king Solomon kilichopo miaka ya Leo,kitusaidia kulipata sanduku la agano,Siri wanaijui

    • @ljmarketlakhshov36
      @ljmarketlakhshov36 16 дней назад +3

      😂😂😂😂
      amakweli dawa ilingia ipaswavyo....
      wakoloni waliweza na kuifanya kazi yao vizuri....
      Ukweli ni kwamba kama ww ni m-bantu...
      Basi wewe ni Taifa la Yuda yaani Muizraeli halisi
      Sasa kama wewe mwenyewe muhusika hujui lilipo basi mwizi wako atakuwa anajua lilipo

  • @josephThomas-x6c7c
    @josephThomas-x6c7c 11 дней назад +1

    ili mjue Mungu yupo ndo hapo.
    Ombi langu ni hili Mungu aendelee kushikilia tuu lisionekanr maana likionekana wanadam watafanya mageuzi ya Amri za Mungu na kupotosha Umma ya wanadamu.

  • @HusseinYabidi
    @HusseinYabidi 8 дней назад +1

    Sandugu la Agano lipo Mashariki ya DRC ,ukipenda KUJUWA mengi KUHUSU SANDUGU LA AGANO NIONE KWA UPEKE

  • @RahmaAbdullah-sg6fb
    @RahmaAbdullah-sg6fb 8 дней назад +1

    We want to download mate😢😢😢😢😢😢

  • @robertchazya2351
    @robertchazya2351 10 дней назад +2

    Boya

  • @emmanuelmwakibolwa735
    @emmanuelmwakibolwa735 14 дней назад +3

    Yeremia nabii alitoa unabii kuwa mambo ya sanduku hilo yangekoma ma hata waisraeli hawatauliza liko wapi.

  • @ZaanZeen-j6d
    @ZaanZeen-j6d 20 дней назад +1

    Ameen Ameen ❤❤

  • @EdwinLumumba-rk9nu
    @EdwinLumumba-rk9nu 15 дней назад +2

    Revelation 11:19
    [19]And the temple of God was opened in heaven, and there was seen in his temple the ark of his testament: and there were lightnings, and voices, and thunderings, and an earthquake, and great hail.
    Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana.

  • @upendokwaya8043
    @upendokwaya8043 16 дней назад +1

    Mungu wetu ni mkubwa

  • @mikebaraka4719
    @mikebaraka4719 Месяц назад +1

    God above everything

  • @levissifuna2852
    @levissifuna2852 15 дней назад +2

    Professor jamwar mustafa ningependa usimulie story ya mount everest

  • @BenjaNetanyahu
    @BenjaNetanyahu 19 дней назад +1

    Sio, nebukarneza,, ni Nebukadreza., alikua na utawala wa chuma.

  • @hekima-p6o
    @hekima-p6o 6 дней назад +1

    Kwani alukaba nnn?

  • @upendokwaya8043
    @upendokwaya8043 16 дней назад +1

    AMINA MNO

  • @VagheniPatient
    @VagheniPatient 18 дней назад +1

    Kwani sikuhizi kizazi cha solomona kina existé😊

  • @AsanteSanga
    @AsanteSanga 19 дней назад +2

    Jmn kwan the story book inakua saa ngp Azam tv

  • @arthuragina4360
    @arthuragina4360 16 дней назад +1

    Hii kitu iko Ethiopia Axum

  • @cliffogachi2545
    @cliffogachi2545 14 дней назад +1

    We have the Bible why are you still searching

  • @benmwangi6676
    @benmwangi6676 13 дней назад +1

    Hii kitu iko Mt Kenya bro .... Leo history imekuweka nje .... Wakikiyu kenya ndio real Hebrews... If you know you know

    • @michaelkipngeno1537
      @michaelkipngeno1537 4 дня назад

      Je tupee story kuhusu river inayoendelea kupotea upande wa Iraq,uaphrate river

  • @AsajileDanielMwalyego
    @AsajileDanielMwalyego 8 дней назад +1

    ❤❤❤ amina❤

  • @AsajileDanielMwalyego
    @AsajileDanielMwalyego 8 дней назад +1

    ❤❤❤ amina❤

  • @AsajileDanielMwalyego
    @AsajileDanielMwalyego 8 дней назад +1

    ❤❤❤ amina❤