Kweli tumsifu Allah vile alivyojisifia yeye mwenyewe ktk Qur'an au alivyosifiwa na mtume wake (صل الله عليه وسلم) ktk hadith, na hakuna sifa ya Allah iliyothibiti ktk kitabu na sunna ambayo inatafsiriwa MBABE. (Allahu a'lam)
@@sabihaibrahim143 Kwan ni nin maana ya mbabe ktk lugha ya kiswahili na ni ipi maana ya Aljabbaar kilugha na kisheria? halafu tulinganishe tuone, je MBABE itaingia ktk tafsir za neno Aljabbaar?
@@IbnuAlly-cg2gn mbabe ni mtu anayejiona na nguvuu lolote anaweza kufanya hashindwi na kitu kikitokea kitu kimeshindikana basi yeye ndo anaitwa linakaa sawa na watu husema angekuwepo fulanii ni kujipa cheo kama hicho tu
@@sabihaibrahim143 basi huyo sio mbabe huyo ni mwenye nguvu(Alqawiyyu) na mwenye uwezo juu ya kila jambo(Alqaadir) mbabe ni mtovu wa adabu au mtu aliyepata ushindi ktk jambo fulani gumu linalosumbua watu wengi
Leo wa kwanza nipen hizo. Like zangu 😊😊😊😊
Tukupe maua yako
🎉
❤
❤❤❤
@@ahslsports60 nin sas
Masha allah team Mau hongera sana kama kuna mchezo uliobeba ujumbe mzito bx ni hii 'M'babe' 🇰🇪 🇰🇪 tunawapenda sana .
Dongo msafi mashallaah kwapa halna mashahari❤
Atuwavyiya mijicho tu huyu...safi sana makunde kipemba hukitupi...hongereni pia
Kabisa shk mau mpemba hakuna m babe ispokuwa Allah
Eeeh dongoo tuachee hy kulaaa😂😂😂😂😂
Ma Shaa allaha 🔥
Leo nimekua wa mwanzo
❤❤❤
😊😊😊😊😊😊😁😁
Hahahaha guuu nilivunje
Mbabe huyo
Mashaallah kaz mzuri
Nice 😂
Watuwaviya mijicho hahahaha
Mashaallah mashaallah
Hatupoi
Wooooh nice
Baada ya kunambia nipa ili guu nilivunje😂😂
Mbabe ni Allah pekee
Nice
Wap naomba na mwinyi mpeku
Mau nipe mtu mke huyo ulomulizia maskani yavijana
shukran
Dini na dunia😅
*nzr kwa kwl*
Watatu leo
❤❤❤
Pamoja sana
Yan mau unaju mpak unakera ww ila fanya mpag wa kiiswabi awep hap jap sik 1
Sifa ya ubabe haikuthibiti kwa Allah
Kweli tumsifu Allah vile alivyojisifia yeye mwenyewe ktk Qur'an au alivyosifiwa na mtume wake (صل الله عليه وسلم) ktk hadith, na hakuna sifa ya Allah iliyothibiti ktk kitabu na sunna ambayo inatafsiriwa MBABE. (Allahu a'lam)
Aljabaar
@@sabihaibrahim143 Kwan ni nin maana ya mbabe ktk lugha ya kiswahili na ni ipi maana ya Aljabbaar kilugha na kisheria?
halafu tulinganishe tuone, je MBABE itaingia ktk tafsir za neno Aljabbaar?
@@IbnuAlly-cg2gn mbabe ni mtu anayejiona na nguvuu lolote anaweza kufanya hashindwi na kitu kikitokea kitu kimeshindikana basi yeye ndo anaitwa linakaa sawa na watu husema angekuwepo fulanii ni kujipa cheo kama hicho tu
@@sabihaibrahim143 basi huyo sio mbabe huyo ni mwenye nguvu(Alqawiyyu) na mwenye uwezo juu ya kila jambo(Alqaadir) mbabe ni mtovu wa adabu au mtu aliyepata ushindi ktk jambo fulani gumu linalosumbua watu wengi
Iyo Gym sio pow
Fundi wazidi chafukwa
😂❤
Watoa mijicho tuu
😂😂😂😂😂😂😂
Si
Nawapata vixr nipo brasil
dongo kushaacha kupiga dufu?
Unafanya nini huko Brazil? Pemba na Brazil wapi kuzuri?
@@mohamededdi7527 pemba bado tupo nyuma kiuchumi na ndo maan watu weng san wanapenda kutfata sehem nyengine