Yaani akija mtu anayetetea maskini anauawa! Ee Mungu utete na wanaoteta na Makonda, upigane na wanaopigana naye. Mungu akupiganie mtetezi wa wanyonge, kazi unzofanya tunaziona 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Hao wanaotumwa kuwa wekea sumu viongozi wenzao watambue kuwa Pua zao zimetizama chini. Tz kiongozi mkweli mtetea haki kwa wanyonge huwa wanachukaua jukumu la kummaliza kwa sumu iliafe wao waendelee kula rushwa pesa za wananchi. Mwenyezi Mungu akupe shifaa Mh Makonda 😢
Pole Sana mtani wangu na mwanangu Makonda Mwenyezi Mungu yupo pamoja nawe,na wasijisahau kuwa Sisi wote hapa tunapita haija kugombea kufuri au funguo Wkt Mungu ndio mfungaji na mfungaji.❤
Inaumiza sana kwa kweli, yaani mmeona Makonda anasifika kila kona basi mnataka kutuondolea, Eeh Mungu Mponye Makonda, Bado tunamhitaji sana. Ila kiukweli Watanzania tu wapole sana lkn kwa matukio kama haya ya Waziwazi mtatuua wote ili mtawale vzr. Hata kama hawasemi Watanzania tumuombeeni tu kwa vyovyote vile, nakumbuka aliongea hadharani siku moja kuwa ametumiwa watu wa8 wa kumuua, sasa ikashindikana wameamua waweke Sumu na itakuwa ni watu wa karibu sana na marafiki. Ee Mwenyezi Mungu hujawahi kimuacha Mtu anayekuja mbele yako, tunaomba Uponyaji kwa ndg. Na kipenzi chetu Paul Makonda.
Ee mungu tunakuomba uponye Mh : Makonda kiukweli ni mtetezi wa watu wote haangalii sura wala kabila tunakuomba mungu umsaidie ili aendelee na kazi nzuri hakuna wa kufananisha naye 🙏
Mungu wetu ni mwema sana, atakuponya,Damu ya Yesu ikasafishe hiyo sumu yote kwenye kwenye mwili wa Makonda mtumishi wa watu,Apone,na aliyefanya hivyo Mungu ndio mtoa hukumu.
Ndo nchi ya Tanzania ilivyo lakini mungu atamponya amtete Kwa sababu hakuna anawenza kubishana na mungu na hii nchi mambo ya vificho siyo nzuri watu waambiwe ili waendelee kumwombea duh nchi Gani hii ya rabi
Tupo hapa watanzania tunakulilia,,😢😢😢😢😢😢upone haraka mtetezi wetu nusu ya watanzania wote ni masikini tunakuombea hata kwa kufungua upone haraka kaka yetu❤
Katika nchi yenye watu wabinafsi na wenye uroho wa madaraka na uongozi mbovu wakumkandamiza mweye nchi mwenyewe "DUNIANI" yakwanza ni TANZANIA tena nafikiri kuwa kama haijashika namba moja basi ni ya mwisho KIDUNIA amini hivyo🙌🏾🙌🏾🙌🏾 kutaka kumuua makonda ni kutaka kuyaficha madudu ya watu wabaya wenye matumbo yao makubwa na ya kibinafsi...😡😠 Pole sana pooh makonda na Kristo akusimamie🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hii nchi inakokwenda sijui yaan akitokea kiongozi anaetetea wanyonge wanamuundia trik za kumpoteza hii sio sawa na ninaamin paul atapona kwa uwezo wake muumba! Mungu yupo jaman tuendelee kumuombea mtetezi wetu
Tunakuombea na itajulikana kwamba MUNGU ndiye anayetawala juu ya wanadamu hayuko wakuizima nyota yako Makonda kama KRISTO YESU aishivyo umemfanya alie juu kuwa makao yako,hakika mabaya hayatakupata,kafanikiwe njia zako kwa utukufu wa MUNGU JUU MBINGUNI
Wathu wa moyo mbaya vapo ndani la shilikila. Tanzania munabatika shana na mungu, nahomba wanaichi musifanye mabaya makonda. Munapenda utajiri au maskini? Mungu ambarike Makonda.
Mungu ni mwema atamponya,neno la mungu linasema hata tukila kitu cha kufiisha hakitatuzuru kabisa na iwe hivyo kwa poul makonda,damu ya yesu imnene mema
Nyie wenye roho mbaya mnadkri awamu hii tutawavumilia.....najua ata Mwenyezi Mungu mmemkasirisha subr mpukutishwe haiwezekan Kila kiongozi mzalendo kwenu hafai.
Mimi binafsi huwa siamini haraka kama wengine Kwa sababu Hawa viongozi huwa suala la kuwelewa sumu huwa Lina ewaongezea zaidi umaarufu Kwa wananchi Kwa hiyo wajomba tusikurupuke siasa mchezo mchafu sana na hasa viongozi wetu wanatuonaga sisi bado laia wa enzi za mwalimu nyerere.
Uwe mzima kwa Jina la Yesu,mauti Haina nafasi kwako kiongozi wetu tukupendae.uponyaji uwe juu yako na Damu ya Yesu na Neema yake ikutunze kiongozi Makonda
Siku zote katika ulimwengu mtu mwema na mwenye huruma itambuluke kua mtu huyo ni mboni ya jicho la mungu msifikiri kua Ile mijitu iliyo jaa laana inayojiona Dunia ni Yao inapenda mtu mwema ila mijitu kama hiyo siku zote ayanaga amani Kwa sababu ni mapandikizi ya ibilisi nimijitu miofu mingine utaona ikicheka lakini ni nibaya kama nyoka
Jamani Mungu awa angamize wote mlioshiliki kumwekea Sumu kiongozi Paulo Makonda Mungu akuponye haraka 😭😭
Mungu baba Nakuomba umponye na kumlinda na mabaya yote Mh Paul Makonda, Awe Salama in Jesus name 🙏
Na iwe ivo
Yaani akija mtu anayetetea maskini anauawa! Ee Mungu utete na wanaoteta na Makonda, upigane na wanaopigana naye. Mungu akupiganie mtetezi wa wanyonge, kazi unzofanya tunaziona 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Namuombea Kwa Mungu aliye hai amponye arejee kwenye Hali yake ya Mwanza nakwanini Mungu utamtendea mwanao Paul Makonda mtetee baba. Amen
Hao wanaotumwa kuwa wekea sumu viongozi wenzao watambue kuwa Pua zao zimetizama chini. Tz kiongozi mkweli mtetea haki kwa wanyonge huwa wanachukaua jukumu la kummaliza kwa sumu iliafe wao waendelee kula rushwa pesa za wananchi. Mwenyezi Mungu akupe shifaa Mh Makonda 😢
Ni basi tu kutokujua kuwa hiyo tabia sio solushen bali ni kuchochea uadui Kati ya wazalendo na wenye vyao
mungu yupo na wewe makonda.mungu yupo nyuma yako ninaimani utapona tu.yote ni mipango ya mungu
Huyo aliyefanya hiyo hila atakufa yeye muda c mrefu
Inasikitisha sana huyu jamaa mimi nampenda sana.
Mungu akusaidie DC makonda nakupenda sana kwa kweli kwa kazi unao ifanya from omani ❤️😍💕
Makonda ni RC ARUSHA
Ni Rc
Poleni.ndugu.zetu.watanzan8a.from.kenya.mungu.amponye.makonda
Tunaomba kwa Iman mwenyez mungu amlinde tumuombee apone haraka Dunia mzima ifunge kwa maombi tunampenda saaana
Amen hakika makonda ni jembe letu tumuombee jamani
Pole Sana mtani wangu na mwanangu Makonda Mwenyezi Mungu yupo pamoja nawe,na wasijisahau kuwa Sisi wote hapa tunapita haija kugombea kufuri au funguo Wkt Mungu ndio mfungaji na mfungaji.❤
Mungu akuponye nakupendaaa,
Inaumiza sana kwa kweli, yaani mmeona Makonda anasifika kila kona basi mnataka kutuondolea, Eeh Mungu Mponye Makonda, Bado tunamhitaji sana.
Ila kiukweli Watanzania tu wapole sana lkn kwa matukio kama haya ya Waziwazi mtatuua wote ili mtawale vzr.
Hata kama hawasemi Watanzania tumuombeeni tu kwa vyovyote vile, nakumbuka aliongea hadharani siku moja kuwa ametumiwa watu wa8 wa kumuua, sasa ikashindikana wameamua waweke Sumu na itakuwa ni watu wa karibu sana na marafiki.
Ee Mwenyezi Mungu hujawahi kimuacha Mtu anayekuja mbele yako, tunaomba Uponyaji kwa ndg. Na kipenzi chetu Paul Makonda.
Kwa msaada wa Mwenyez Mungu upone Paul Makonda
Mungu ni mwema na atapona tu kwa jina la Yesu🙏
Kwa tetesi hii imeniuma sana nakama ndivyo naomba mungu amponye mi chadema ilakwa huyubwana mungu tusaidie apone
Ee mungu tunakuomba uponye Mh : Makonda kiukweli ni mtetezi wa watu wote haangalii sura wala kabila tunakuomba mungu umsaidie ili aendelee na kazi nzuri hakuna wa kufananisha naye 🙏
Duh ila nchi hii mtu ukiwa mzalendo lazima wakuue mungu akulinde broo mim naamini mungu yupo
Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge akupe afya tena uedelee kutekeleza majukumu yako ❤
Mungu wetu ni mwema sana, atakuponya,Damu ya Yesu ikasafishe hiyo sumu yote kwenye kwenye mwili wa Makonda mtumishi wa watu,Apone,na aliyefanya hivyo Mungu ndio mtoa hukumu.
Washenzi nyie na huyu Tena?. mmezoea Sasa na mjue kila jbo nna za mwizi NI 40 Safari hii Safari hii Safari hii.haya
Safari hii kitawaka hatukubari tumechokaaaaaa
Niko pamoja na wewe
Ndivyo ilivyo. Anayesema ukweli au kufichua maovu anapata majanga.
Tuamke
Nipo palee na wangalia mnavyo pigwa mabom
Tumechoka kwakweli
Makonda ni mzarendo ,
Ndo nchi ya Tanzania ilivyo lakini mungu atamponya amtete Kwa sababu hakuna anawenza kubishana na mungu na hii nchi mambo ya vificho siyo nzuri watu waambiwe ili waendelee kumwombea duh nchi Gani hii ya rabi
Watasema nn na wao ndo watendaji wakuu kwani kwa magufuli ilikuaje
Hatutaelewa
MAKONDA ATAPONA,WATU WOTE TUSEME AMINA, WAMEONA ATAKUWA RAISI AJAYE
Jamani mungu amponye paul makonda awe mzma mtetezi wa wanyonge jaman
Mungu kumbuka vilio vya wajane yatima na masikini kama nikweli!!! Kufa Afi subirieni fimbo ya mungu
Jamani hii ndio Tanzania kama ni sumu kweli akipona anitafute nimpatie dawa hata wakiweka sumu haifanyi kazi. Mungu amponye mtetezinwetu
Quick recovery sir I'm from Kenya but I real watch your concern. Through you cube...
Hii ikiwa kweli basi nchi hii haitakuja kupata kiongozi mzalendo wote wataogopa kuuawa na mawakala wa shetani wauao mwili
Tupo hapa watanzania tunakulilia,,😢😢😢😢😢😢upone haraka mtetezi wetu nusu ya watanzania wote ni masikini tunakuombea hata kwa kufungua upone haraka kaka yetu❤
NAKUOMBEA sana Paul sana mkuu wa mkoa wetu wa Arusha upone haraka
Hiii nchi ukitetea wananchi wa chini lazima utafanyiwa kitu kibaya jamaniiii uwiiiiii
SIO TANZANIA TU HADI MAREKANI IKO HIVO
Kuhusu mkuu wetu chochote kikitokea basi na sisi tutafanya chochote kwa waliohusikaaa. Hatutakubaliiiii hataa kidogoooo😢😢
Hill.neno
Mungu asimame nawewe atete na wanao Tena nawe apigane na wanao pigana naweee❤😢
mwenyezi mungu muumba mbingu na arthi mponye kiongozi huyu wa wanyonge
Pole mungu akuponye
Mwenyezi mungu akuponye baba.mtetezi wa wanyonge nakuombea sana
God bless Africa God bless Tanzania God bless Paul makonda
Get well Baba Keegan Got he is with you always🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤
Makonda is like the late Magofuli. Mtetezi wa wanyonge
Jamani mnataka msiba tena mhh kaka paul mkono wa mungu tunauweka kifuani kwako kaka
Hamna
Uwiiiii,jamani mungu ingilia Kati mponye kakaetu mnusulu na hili,ndugu zanguni mnataka kiongozi awaje awafanyie nn?
Mungu umlinde🙏
M.Mungu amsimamie jamani kwanini Tz kila mtetezi wa wanyonge mnataka kumtoa roho inasikitishaaaa😢😢😢😢😢
we pray for your Health . God will be with you . amin
Katika nchi yenye watu wabinafsi na wenye uroho wa madaraka na uongozi mbovu wakumkandamiza mweye nchi mwenyewe "DUNIANI" yakwanza ni TANZANIA tena nafikiri kuwa kama haijashika namba moja basi ni ya mwisho KIDUNIA amini hivyo🙌🏾🙌🏾🙌🏾 kutaka kumuua makonda ni kutaka kuyaficha madudu ya watu wabaya wenye matumbo yao makubwa na ya kibinafsi...😡😠 Pole sana pooh makonda na Kristo akusimamie🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Na ndo hao hao waliompiga risasi tundu lisu Mungu aliyemponya tundu lisu amponye na Makonda wote tuseme amina
Kama ni kweli Damu ya Yesu Kristo imponye kwa Jina la Yesu Kristo
Aliefanya hivo familiar yake yote iteketee kwa jina la yesu,,be healed our RC😢😢😢😢❤
Watasshindwa tu....Mungu hakosei..
Hii nchi inakokwenda sijui yaan akitokea kiongozi anaetetea wanyonge wanamuundia trik za kumpoteza hii sio sawa na ninaamin paul atapona kwa uwezo wake muumba! Mungu yupo jaman tuendelee kumuombea mtetezi wetu
Alafu mnajiita serikali yawanyonge akitpatikana mtetezi wawatu mnamuuwa laanaya jpm hamjaimaliza mmeanza tena mengine
Mungu wangu na baba yangu wa mbinguni sikia kuomba kwetu mponye yesu wangu ujawahi kuacha kusikia maombi mponye yesu wangu
Tunakuombea na itajulikana kwamba MUNGU ndiye anayetawala juu ya wanadamu hayuko wakuizima nyota yako Makonda kama KRISTO YESU aishivyo umemfanya alie juu kuwa makao yako,hakika mabaya hayatakupata,kafanikiwe njia zako kwa utukufu wa MUNGU JUU MBINGUNI
Wathu wa moyo mbaya vapo ndani la shilikila. Tanzania munabatika shana na mungu, nahomba wanaichi musifanye mabaya makonda. Munapenda utajiri au maskini? Mungu ambarike Makonda.
Mungu nakuomba mponye makonda😭
Mungu hata kuacha pokea uzima katika jina la yesu amen.
mungu kama ni kweli kuna mtu au watu wamwfanya ivo mungu awalaan sana pia mungu tunaba umponye ndhgu yetu poul makonda
Kiongozi Imani yako isipumgue kwa Mungu wako Mungu akujalie afya njema
Naomba kwa Mungu yule aliyemwekea sumu, apate mapigo ya kutosha kabisa. Mungu mlinde mtu wako Makonda.
Magufuli tena Makonda dahhh!!😭😭😭😭
Pole sana shujaha wetu
What?? My brother. Noo pls Lord help him😂😂
Mungu mnusulu mheshimiwa Makonda
mungu amfanyie wepesi inshaallah
Hawamwezi makonda analindwa na mungu
Kaz huna
Mungu amponye jmn mtetez wa wanyonge 🙏
Eee mungu mlinde makonda mponye na iyo sumu aliyopewa na hao mashetani wa nchi wasiotaka kuambiwa ukweli
Mh makonda watanzania tunakuamini na tunakupenda sana mungu akuponye wewe ni mzalendo wa kweli
Neno la Mungu linasema hata mkinywa vya kufisha havitawazulu Marko 16:18 namuombea Bwana Yesu Kristo Ampoyee Katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth .
Mungu ni mwema atamponya,neno la mungu linasema hata tukila kitu cha kufiisha hakitatuzuru kabisa na iwe hivyo kwa poul makonda,damu ya yesu imnene mema
Mungu Asante wepesi, apone haraka
Mungu tunaomba tusahidiye makonda wetu Arusha tunaumiya sana Arusha pesailikuwa ahionekani lakini Paul makonda alipokuja vituvingi vimefanyika napesa tunazihona makonda usituhache baba makonda shujaha wetu emungu turudishiye shujaha wetu
Tanzania huu upumbavu wakuua viongozi utalighalim Taifa.Hebu kila mtu akemee ushenzi huu
😢😢😢jamani mungu ampe shufaa ya haraka mm 🇰🇪 lkn utenda kaji wa kiongozi uyu naupenda sana
Jamani nimeliaaa😢😢😢😢 kweli nyiee jamani jamaniii Tanzania
Mungu Amponye Kiongozi wetu,
Mungu amponye jamni
Kila mutu anatenda ayo kumupa sumu!ayuwe anaingiza laana mbaka kwenye kizazi chake!malipo niapa duniayani Mungu awakemeye
Nyie wenye roho mbaya mnadkri awamu hii tutawavumilia.....najua ata Mwenyezi Mungu mmemkasirisha subr mpukutishwe haiwezekan Kila kiongozi mzalendo kwenu hafai.
Mimi binafsi huwa siamini haraka kama wengine Kwa sababu Hawa viongozi huwa suala la kuwelewa sumu huwa Lina ewaongezea zaidi umaarufu Kwa wananchi Kwa hiyo wajomba tusikurupuke siasa mchezo mchafu sana na hasa viongozi wetu wanatuonaga sisi bado laia wa enzi za mwalimu nyerere.
Ni kwel ww
Inawezekana Kiki.anataka urais.
Bongo wanataka majizi sio mzarendo
Mungu mponye Paul makonda
Allah amlinde
Uwe mzima kwa Jina la Yesu,mauti Haina nafasi kwako kiongozi wetu tukupendae.uponyaji uwe juu yako na Damu ya Yesu na Neema yake ikutunze kiongozi Makonda
Daaah huyu anaumwa nini jamani huyu mtu mzuri huyu ni mtu wa mungu jamani
Hakika wanadamu hatuna wema,ila kwa jinsi ulivyowatetea wanyonge Mungu aliyehai akuponye kwa Utukufu wa jina lake Takatifu.
Feel better soon and be healed in Jesus Name
Jamani Mungu baba mlinde kondoo wako..uwiiiiiii binadamu mbona tuna roho mbaya sana.
Tunakuomb mungu mpone makonda akitokeya MTU mwema wanamuuwa nihatari sana
Kumbe nandomana Tanzania tunaciongozi wegi mataira kumbe wenye hakili wanauwawa ili kwamba tuongozwe na wajinga 😪😪😪😪😪😪 mungu ponya makonda wetu
Eee mwenyezi mungu mponye
Allah atamfnyia wepes apone haraka
pole yake mungu atamponya tu hao ni adui zake pia ni chama chake
Mungu ampiganie! Get well soon
Pole sana mkuu Bwana akuponye
Yesu akusimamiye Kama kunajambo
Mungu yupo pamoja naye hakika ataishi ili kuaibisha ushetan
Siku zote katika ulimwengu mtu mwema na mwenye huruma itambuluke kua mtu huyo ni mboni ya jicho la mungu msifikiri kua Ile mijitu iliyo jaa laana inayojiona Dunia ni Yao inapenda mtu mwema ila mijitu kama hiyo siku zote ayanaga amani Kwa sababu ni mapandikizi ya ibilisi nimijitu miofu mingine utaona ikicheka lakini ni nibaya kama nyoka
Mungu akusaidie upone haraka