PAUL MAKONDA AWEKEWA SUMU AKIMBIZWA AFRIKA KUSINI | UKWELI WOTE HUU...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 414

  • @aminafrancismwandu5789
    @aminafrancismwandu5789 Месяц назад +5

    Jamani Mungu awa angamize wote mlioshiliki kumwekea Sumu kiongozi Paulo Makonda Mungu akuponye haraka 😭😭

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Месяц назад +36

    Mungu baba Nakuomba umponye na kumlinda na mabaya yote Mh Paul Makonda, Awe Salama in Jesus name 🙏

  • @julieluziga4773
    @julieluziga4773 Месяц назад +27

    Yaani akija mtu anayetetea maskini anauawa! Ee Mungu utete na wanaoteta na Makonda, upigane na wanaopigana naye. Mungu akupiganie mtetezi wa wanyonge, kazi unzofanya tunaziona 🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️

  • @SalomeMalema
    @SalomeMalema Месяц назад +11

    Namuombea Kwa Mungu aliye hai amponye arejee kwenye Hali yake ya Mwanza nakwanini Mungu utamtendea mwanao Paul Makonda mtetee baba. Amen

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Месяц назад +51

    Hao wanaotumwa kuwa wekea sumu viongozi wenzao watambue kuwa Pua zao zimetizama chini. Tz kiongozi mkweli mtetea haki kwa wanyonge huwa wanachukaua jukumu la kummaliza kwa sumu iliafe wao waendelee kula rushwa pesa za wananchi. Mwenyezi Mungu akupe shifaa Mh Makonda 😢

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 Месяц назад

      Ni basi tu kutokujua kuwa hiyo tabia sio solushen bali ni kuchochea uadui Kati ya wazalendo na wenye vyao

    • @mpindafamily1496
      @mpindafamily1496 Месяц назад

      mungu yupo na wewe makonda.mungu yupo nyuma yako ninaimani utapona tu.yote ni mipango ya mungu

    • @user-ml5tq8hj2x
      @user-ml5tq8hj2x Месяц назад

      Huyo aliyefanya hiyo hila atakufa yeye muda c mrefu

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Месяц назад +19

    Inasikitisha sana huyu jamaa mimi nampenda sana.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Месяц назад +10

    Mungu akusaidie DC makonda nakupenda sana kwa kweli kwa kazi unao ifanya from omani ❤️😍💕

  • @user-fi4qy9se4r
    @user-fi4qy9se4r Месяц назад +6

    Poleni.ndugu.zetu.watanzan8a.from.kenya.mungu.amponye.makonda

  • @LascoMwasege
    @LascoMwasege Месяц назад +20

    Tunaomba kwa Iman mwenyez mungu amlinde tumuombee apone haraka Dunia mzima ifunge kwa maombi tunampenda saaana

  • @tunudimandogreek9683
    @tunudimandogreek9683 Месяц назад +2

    Pole Sana mtani wangu na mwanangu Makonda Mwenyezi Mungu yupo pamoja nawe,na wasijisahau kuwa Sisi wote hapa tunapita haija kugombea kufuri au funguo Wkt Mungu ndio mfungaji na mfungaji.❤

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Месяц назад +16

    Mungu akuponye nakupendaaa,

  • @judithsarahmasanja550
    @judithsarahmasanja550 Месяц назад +12

    Inaumiza sana kwa kweli, yaani mmeona Makonda anasifika kila kona basi mnataka kutuondolea, Eeh Mungu Mponye Makonda, Bado tunamhitaji sana.
    Ila kiukweli Watanzania tu wapole sana lkn kwa matukio kama haya ya Waziwazi mtatuua wote ili mtawale vzr.
    Hata kama hawasemi Watanzania tumuombeeni tu kwa vyovyote vile, nakumbuka aliongea hadharani siku moja kuwa ametumiwa watu wa8 wa kumuua, sasa ikashindikana wameamua waweke Sumu na itakuwa ni watu wa karibu sana na marafiki.
    Ee Mwenyezi Mungu hujawahi kimuacha Mtu anayekuja mbele yako, tunaomba Uponyaji kwa ndg. Na kipenzi chetu Paul Makonda.

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n Месяц назад +9

    Kwa msaada wa Mwenyez Mungu upone Paul Makonda

  • @dicksonjonas1799
    @dicksonjonas1799 Месяц назад +5

    Mungu ni mwema na atapona tu kwa jina la Yesu🙏

  • @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
    @MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh Месяц назад +8

    Kwa tetesi hii imeniuma sana nakama ndivyo naomba mungu amponye mi chadema ilakwa huyubwana mungu tusaidie apone

  • @fransiscajohn4373
    @fransiscajohn4373 Месяц назад +11

    Ee mungu tunakuomba uponye Mh : Makonda kiukweli ni mtetezi wa watu wote haangalii sura wala kabila tunakuomba mungu umsaidie ili aendelee na kazi nzuri hakuna wa kufananisha naye 🙏

  • @MwanahamisiHashim
    @MwanahamisiHashim Месяц назад +6

    Duh ila nchi hii mtu ukiwa mzalendo lazima wakuue mungu akulinde broo mim naamini mungu yupo

  • @JacklineKessi
    @JacklineKessi Месяц назад

    Mungu akulinde mtetezi wa wanyonge akupe afya tena uedelee kutekeleza majukumu yako ❤

  • @gloriamavura3706
    @gloriamavura3706 Месяц назад +3

    Mungu wetu ni mwema sana, atakuponya,Damu ya Yesu ikasafishe hiyo sumu yote kwenye kwenye mwili wa Makonda mtumishi wa watu,Apone,na aliyefanya hivyo Mungu ndio mtoa hukumu.

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Месяц назад +22

    Washenzi nyie na huyu Tena?. mmezoea Sasa na mjue kila jbo nna za mwizi NI 40 Safari hii Safari hii Safari hii.haya

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Месяц назад +40

    Safari hii kitawaka hatukubari tumechokaaaaaa

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n Месяц назад +19

    Makonda ni mzarendo ,

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Месяц назад +12

    Ndo nchi ya Tanzania ilivyo lakini mungu atamponya amtete Kwa sababu hakuna anawenza kubishana na mungu na hii nchi mambo ya vificho siyo nzuri watu waambiwe ili waendelee kumwombea duh nchi Gani hii ya rabi

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 Месяц назад +3

    MAKONDA ATAPONA,WATU WOTE TUSEME AMINA, WAMEONA ATAKUWA RAISI AJAYE

  • @AgnessZephania
    @AgnessZephania Месяц назад

    Jamani mungu amponye paul makonda awe mzma mtetezi wa wanyonge jaman

  • @DeboraKaaya-du9ot
    @DeboraKaaya-du9ot Месяц назад +1

    Mungu kumbuka vilio vya wajane yatima na masikini kama nikweli!!! Kufa Afi subirieni fimbo ya mungu

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Месяц назад +4

    Jamani hii ndio Tanzania kama ni sumu kweli akipona anitafute nimpatie dawa hata wakiweka sumu haifanyi kazi. Mungu amponye mtetezinwetu

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 Месяц назад

    Quick recovery sir I'm from Kenya but I real watch your concern. Through you cube...

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie Месяц назад +1

    Hii ikiwa kweli basi nchi hii haitakuja kupata kiongozi mzalendo wote wataogopa kuuawa na mawakala wa shetani wauao mwili

  • @irenejoh1242
    @irenejoh1242 Месяц назад

    Tupo hapa watanzania tunakulilia,,😢😢😢😢😢😢upone haraka mtetezi wetu nusu ya watanzania wote ni masikini tunakuombea hata kwa kufungua upone haraka kaka yetu❤

  • @user-uo3jl7jb6x
    @user-uo3jl7jb6x Месяц назад

    NAKUOMBEA sana Paul sana mkuu wa mkoa wetu wa Arusha upone haraka

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 Месяц назад +9

    Hiii nchi ukitetea wananchi wa chini lazima utafanyiwa kitu kibaya jamaniiii uwiiiiii

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 Месяц назад +2

    Kuhusu mkuu wetu chochote kikitokea basi na sisi tutafanya chochote kwa waliohusikaaa. Hatutakubaliiiii hataa kidogoooo😢😢

  • @antoniaseif2480
    @antoniaseif2480 Месяц назад

    Mungu asimame nawewe atete na wanao Tena nawe apigane na wanao pigana naweee❤😢

  • @HamadiHussein-y8l
    @HamadiHussein-y8l Месяц назад

    mwenyezi mungu muumba mbingu na arthi mponye kiongozi huyu wa wanyonge

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 Месяц назад +2

    Pole mungu akuponye

  • @JosephinaNyoni-l3b
    @JosephinaNyoni-l3b Месяц назад

    Mwenyezi mungu akuponye baba.mtetezi wa wanyonge nakuombea sana

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp Месяц назад

    God bless Africa God bless Tanzania God bless Paul makonda

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Месяц назад +1

    Get well Baba Keegan Got he is with you always🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤

  • @patelokoh5828
    @patelokoh5828 Месяц назад +1

    Makonda is like the late Magofuli. Mtetezi wa wanyonge

  • @jacobmachibula5171
    @jacobmachibula5171 Месяц назад +1

    Jamani mnataka msiba tena mhh kaka paul mkono wa mungu tunauweka kifuani kwako kaka

  • @AnnaMsigwa-oi8do
    @AnnaMsigwa-oi8do Месяц назад +1

    Uwiiiii,jamani mungu ingilia Kati mponye kakaetu mnusulu na hili,ndugu zanguni mnataka kiongozi awaje awafanyie nn?

  • @EliafuraGabriel
    @EliafuraGabriel Месяц назад

    Mungu umlinde🙏

  • @rukkysayid6613
    @rukkysayid6613 Месяц назад

    M.Mungu amsimamie jamani kwanini Tz kila mtetezi wa wanyonge mnataka kumtoa roho inasikitishaaaa😢😢😢😢😢

  • @kivurimwerumungwi
    @kivurimwerumungwi Месяц назад

    we pray for your Health . God will be with you . amin

  • @user-br4hg9tb5c
    @user-br4hg9tb5c Месяц назад +3

    Katika nchi yenye watu wabinafsi na wenye uroho wa madaraka na uongozi mbovu wakumkandamiza mweye nchi mwenyewe "DUNIANI" yakwanza ni TANZANIA tena nafikiri kuwa kama haijashika namba moja basi ni ya mwisho KIDUNIA amini hivyo🙌🏾🙌🏾🙌🏾 kutaka kumuua makonda ni kutaka kuyaficha madudu ya watu wabaya wenye matumbo yao makubwa na ya kibinafsi...😡😠 Pole sana pooh makonda na Kristo akusimamie🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @BernardMwakipesile-nq5ze
    @BernardMwakipesile-nq5ze Месяц назад

    Na ndo hao hao waliompiga risasi tundu lisu Mungu aliyemponya tundu lisu amponye na Makonda wote tuseme amina

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Месяц назад

    Kama ni kweli Damu ya Yesu Kristo imponye kwa Jina la Yesu Kristo

  • @irenejoh1242
    @irenejoh1242 Месяц назад

    Aliefanya hivo familiar yake yote iteketee kwa jina la yesu,,be healed our RC😢😢😢😢❤

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 Месяц назад +3

    Watasshindwa tu....Mungu hakosei..

  • @user-tg1ob1gr7l
    @user-tg1ob1gr7l Месяц назад +1

    Hii nchi inakokwenda sijui yaan akitokea kiongozi anaetetea wanyonge wanamuundia trik za kumpoteza hii sio sawa na ninaamin paul atapona kwa uwezo wake muumba! Mungu yupo jaman tuendelee kumuombea mtetezi wetu

  • @user-oq5oy8cl6u
    @user-oq5oy8cl6u Месяц назад +1

    Alafu mnajiita serikali yawanyonge akitpatikana mtetezi wawatu mnamuuwa laanaya jpm hamjaimaliza mmeanza tena mengine

  • @evamallya6083
    @evamallya6083 Месяц назад

    Mungu wangu na baba yangu wa mbinguni sikia kuomba kwetu mponye yesu wangu ujawahi kuacha kusikia maombi mponye yesu wangu

  • @emmanueltuppa5459
    @emmanueltuppa5459 Месяц назад +4

    Tunakuombea na itajulikana kwamba MUNGU ndiye anayetawala juu ya wanadamu hayuko wakuizima nyota yako Makonda kama KRISTO YESU aishivyo umemfanya alie juu kuwa makao yako,hakika mabaya hayatakupata,kafanikiwe njia zako kwa utukufu wa MUNGU JUU MBINGUNI

  • @joanessimaosinamakonde6498
    @joanessimaosinamakonde6498 Месяц назад +3

    Wathu wa moyo mbaya vapo ndani la shilikila. Tanzania munabatika shana na mungu, nahomba wanaichi musifanye mabaya makonda. Munapenda utajiri au maskini? Mungu ambarike Makonda.

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Месяц назад

    Mungu nakuomba mponye makonda😭

  • @user-ur6un3jp1v
    @user-ur6un3jp1v Месяц назад

    Mungu hata kuacha pokea uzima katika jina la yesu amen.

  • @user-ri2cr2zp4o
    @user-ri2cr2zp4o Месяц назад

    mungu kama ni kweli kuna mtu au watu wamwfanya ivo mungu awalaan sana pia mungu tunaba umponye ndhgu yetu poul makonda

  • @sabinaleonce8243
    @sabinaleonce8243 Месяц назад

    Kiongozi Imani yako isipumgue kwa Mungu wako Mungu akujalie afya njema

  • @juliethhenrymasanja940
    @juliethhenrymasanja940 Месяц назад

    Naomba kwa Mungu yule aliyemwekea sumu, apate mapigo ya kutosha kabisa. Mungu mlinde mtu wako Makonda.

  • @estherkibajiro3480
    @estherkibajiro3480 Месяц назад +2

    Magufuli tena Makonda dahhh!!😭😭😭😭

  • @MsafirialfaTemba
    @MsafirialfaTemba Месяц назад

    Pole sana shujaha wetu

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Месяц назад +1

    What?? My brother. Noo pls Lord help him😂😂

  • @MAIkojumaikelyaIkelya-ug1uh
    @MAIkojumaikelyaIkelya-ug1uh Месяц назад

    Mungu mnusulu mheshimiwa Makonda

  • @masoudnzowa4608
    @masoudnzowa4608 Месяц назад

    mungu amfanyie wepesi inshaallah

  • @BarakaMwakalambile-u6n
    @BarakaMwakalambile-u6n Месяц назад +4

    Hawamwezi makonda analindwa na mungu

  • @user-cx7rh6jt6y
    @user-cx7rh6jt6y Месяц назад

    Mungu amponye jmn mtetez wa wanyonge 🙏

  • @queenolais2098
    @queenolais2098 Месяц назад

    Eee mungu mlinde makonda mponye na iyo sumu aliyopewa na hao mashetani wa nchi wasiotaka kuambiwa ukweli

  • @LaurentMagesa-iv5yt
    @LaurentMagesa-iv5yt Месяц назад

    Mh makonda watanzania tunakuamini na tunakupenda sana mungu akuponye wewe ni mzalendo wa kweli

  • @thomasernest4363
    @thomasernest4363 Месяц назад

    Neno la Mungu linasema hata mkinywa vya kufisha havitawazulu Marko 16:18 namuombea Bwana Yesu Kristo Ampoyee Katika Jina la Yesu Kristo wa Nazareth .

  • @OliverMwaky
    @OliverMwaky Месяц назад

    Mungu ni mwema atamponya,neno la mungu linasema hata tukila kitu cha kufiisha hakitatuzuru kabisa na iwe hivyo kwa poul makonda,damu ya yesu imnene mema

  • @KissaMwaibila-xp7io
    @KissaMwaibila-xp7io Месяц назад +1

    Mungu Asante wepesi, apone haraka

  • @MsafirialfaTemba
    @MsafirialfaTemba Месяц назад

    Mungu tunaomba tusahidiye makonda wetu Arusha tunaumiya sana Arusha pesailikuwa ahionekani lakini Paul makonda alipokuja vituvingi vimefanyika napesa tunazihona makonda usituhache baba makonda shujaha wetu emungu turudishiye shujaha wetu

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Месяц назад +3

    Tanzania huu upumbavu wakuua viongozi utalighalim Taifa.Hebu kila mtu akemee ushenzi huu

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Месяц назад

    😢😢😢jamani mungu ampe shufaa ya haraka mm 🇰🇪 lkn utenda kaji wa kiongozi uyu naupenda sana

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Месяц назад +1

    Jamani nimeliaaa😢😢😢😢 kweli nyiee jamani jamaniii Tanzania

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c Месяц назад +1

    Mungu Amponye Kiongozi wetu,

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Месяц назад +2

    Mungu amponye jamni

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 Месяц назад

    Kila mutu anatenda ayo kumupa sumu!ayuwe anaingiza laana mbaka kwenye kizazi chake!malipo niapa duniayani Mungu awakemeye

  • @DalaliNgasa-xq8ec
    @DalaliNgasa-xq8ec Месяц назад

    Nyie wenye roho mbaya mnadkri awamu hii tutawavumilia.....najua ata Mwenyezi Mungu mmemkasirisha subr mpukutishwe haiwezekan Kila kiongozi mzalendo kwenu hafai.

  • @Kwarasi
    @Kwarasi Месяц назад +1

    Mimi binafsi huwa siamini haraka kama wengine Kwa sababu Hawa viongozi huwa suala la kuwelewa sumu huwa Lina ewaongezea zaidi umaarufu Kwa wananchi Kwa hiyo wajomba tusikurupuke siasa mchezo mchafu sana na hasa viongozi wetu wanatuonaga sisi bado laia wa enzi za mwalimu nyerere.

  • @GraceDeo-g1n
    @GraceDeo-g1n Месяц назад +7

    Bongo wanataka majizi sio mzarendo

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Месяц назад

    Mungu mponye Paul makonda

  • @FatmaAlabri-lz2cw
    @FatmaAlabri-lz2cw Месяц назад

    Allah amlinde

  • @paulinajohn5911
    @paulinajohn5911 Месяц назад

    Uwe mzima kwa Jina la Yesu,mauti Haina nafasi kwako kiongozi wetu tukupendae.uponyaji uwe juu yako na Damu ya Yesu na Neema yake ikutunze kiongozi Makonda

  • @user-hu6kw7rk2h
    @user-hu6kw7rk2h Месяц назад +2

    Daaah huyu anaumwa nini jamani huyu mtu mzuri huyu ni mtu wa mungu jamani

  • @user-xl1kj3om8g
    @user-xl1kj3om8g Месяц назад

    Hakika wanadamu hatuna wema,ila kwa jinsi ulivyowatetea wanyonge Mungu aliyehai akuponye kwa Utukufu wa jina lake Takatifu.

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s Месяц назад

    Feel better soon and be healed in Jesus Name

  • @Lucy-im9tv
    @Lucy-im9tv Месяц назад +1

    Jamani Mungu baba mlinde kondoo wako..uwiiiiiii binadamu mbona tuna roho mbaya sana.

  • @user-xj7ek3bo4w
    @user-xj7ek3bo4w Месяц назад

    Tunakuomb mungu mpone makonda akitokeya MTU mwema wanamuuwa nihatari sana

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb Месяц назад

    Kumbe nandomana Tanzania tunaciongozi wegi mataira kumbe wenye hakili wanauwawa ili kwamba tuongozwe na wajinga 😪😪😪😪😪😪 mungu ponya makonda wetu

  • @faridaibrahim1965
    @faridaibrahim1965 Месяц назад +1

    Eee mwenyezi mungu mponye

  • @zaiboris9696
    @zaiboris9696 Месяц назад

    Allah atamfnyia wepes apone haraka

  • @OmarySaidi-yj2eh
    @OmarySaidi-yj2eh Месяц назад +1

    pole yake mungu atamponya tu hao ni adui zake pia ni chama chake

  • @romanasanga94
    @romanasanga94 Месяц назад

    Mungu ampiganie! Get well soon

  • @fellisianholle9431
    @fellisianholle9431 Месяц назад

    Pole sana mkuu Bwana akuponye

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703 Месяц назад

    Yesu akusimamiye Kama kunajambo

  • @alexkamba5264
    @alexkamba5264 Месяц назад

    Mungu yupo pamoja naye hakika ataishi ili kuaibisha ushetan

  • @SablinaNgweta
    @SablinaNgweta Месяц назад

    Siku zote katika ulimwengu mtu mwema na mwenye huruma itambuluke kua mtu huyo ni mboni ya jicho la mungu msifikiri kua Ile mijitu iliyo jaa laana inayojiona Dunia ni Yao inapenda mtu mwema ila mijitu kama hiyo siku zote ayanaga amani Kwa sababu ni mapandikizi ya ibilisi nimijitu miofu mingine utaona ikicheka lakini ni nibaya kama nyoka

  • @WillibartJames
    @WillibartJames Месяц назад

    Mungu akusaidie upone haraka