#7-MGENI WENU- MAU MPEMBA- FUMBUA MACHO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 63

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 Год назад +3

    Mau leo mumejua kunichekesha hahahahaha hongera maulid na timu yako

  • @salummkubwa
    @salummkubwa Год назад +11

    Kama kuna tuzo za uigizaji bora kwa wanawake Zanzibar basi Naomba awepo kwenye list, kaza mama unaweza sana.

  • @saidseif1605
    @saidseif1605 Год назад +4

    Mnanifurahisha sana kumleta Kombo Bichwa ktk Team ynu

  • @hamisgaga3169
    @hamisgaga3169 Год назад +2

    Ukwel mpo vzur San, mungu azid kuwapa nguvu na afya mzid kutuburudisha na kutuelimisha

  • @abasskamanda7761
    @abasskamanda7761 Год назад

    Nawapata vizuri nikiwa Oman Naomba uko vizuri kama huna mume mm nipo

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 Год назад

    Kwenye hizi drama kuna m2 anaitwa Kitatange daaaah!!! Tuleeni jmnii

  • @hemedsuleiman7873
    @hemedsuleiman7873 Год назад +4

    Wa kwanza naombeni like

  • @AhmedalriyamAhmed
    @AhmedalriyamAhmed Год назад +2

    😂😂😂 mkojuu nikija znz nitawatafuta Ahmed zungu nawafuatilia kila siku huku niliko nimemis pba sana salam boss hafidh

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 Год назад +3

    Always always much love from damam city 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 11 месяцев назад

    Ma Shaa allaha 👌

  • @mohammedrehani7606
    @mohammedrehani7606 Год назад

    Hahaha 😂😂🤣🤣 mau na kombo jichwa wawapi hahaha gombe ume huyo

  • @altezzanzbar
    @altezzanzbar 10 месяцев назад

    fundi mau wacheza ngoma siyako😅

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Mzee mwinyi naomba mnaubika mwingi hakika

  • @samiramohamed5925
    @samiramohamed5925 Год назад

    Wamejificha nyumaa kimyàaa😂😂😂😂😂

  • @ahmedmbarouk3463
    @ahmedmbarouk3463 Год назад +1

    Munaacha mlima bungumi munkuja kwenye kitonga hichi😀😀😀

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Год назад +2

    Tukifanya masihara atakatolewa ntu roho.hahahaaa mau umetisha

  • @binssoud1995
    @binssoud1995 Год назад

    Naomba Ni best actress in Zanzibar. She deserve to be awarded.

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 Год назад +4

    Fundi wazidi chafukwa Sasa huwezeki tena unguja na pembaye

  • @kassimsalim3756
    @kassimsalim3756 Год назад +2

    Mzee mwinyi upo vzr tn cn😂

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Год назад +1

    Kweli Naomba Ana weza mashalla ila mm Nasha yangu nampa Asikae uchi

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 Год назад +1

    Ebwana mko vizuri tena so kdg sana

  • @binssoud1995
    @binssoud1995 Год назад

    Dongoooooo😆😆😆😆😆 mashavu yote yakuwaka Moto kwa kupigwa maganja 😂😂😂😂😂 Dongo hujawahi kuniboaaaa

  • @omarramadhan-dm7ce
    @omarramadhan-dm7ce Год назад +1

    Yani nyinyi nimafundi hongereni sana

  • @SeifHaruob-ly2sd
    @SeifHaruob-ly2sd Год назад +2

    Allah awepe wepesi kwa kila hatua ammiin

    • @khamisali5978
      @khamisali5978 Год назад

      Hizi dua baada mkawaombea masheikh wanaosomesha dini mnawaombea hawa wanaofanya upuuzi na maneno ya uongo.

  • @fifo262
    @fifo262 Год назад

    Mwinyi mb zanguuuuuuu

  • @hammyrashidi5820
    @hammyrashidi5820 Год назад +2

    Alhamndullillah mnatufurahisha na kutuelimisha

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 Год назад +6

    Apa kwenye Sean ya uganga mau ndio namkubali na hakuna anaemfikia na utafikiria ni kweli 😂😂😂

  • @mwinyisarbok2261
    @mwinyisarbok2261 Год назад +1

    Yaan mau hiyo ndio character anayopatia kuliko zote

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +1

    Haaaaa mau weye kiboko eti kunaacha kichwa cha kombo kichwa na huyu ana kichwa hatari

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 Год назад +1

    Nilijua Tu yaani filamu zooote tukose moja mau amekua mganga 😅😅😅😅😅😅

  • @aliymbarouk5212
    @aliymbarouk5212 9 месяцев назад

    Nawaunga mkona sana

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 Год назад +1

    Maa shaa Allah

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 Год назад +1

    Hataki kuku mtwana ❤😅😅😅

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Год назад +2

    Mau we fundi

  • @Business_opportunites
    @Business_opportunites Год назад

    Kweli kabisa yaani naomba yupo juu ..juu saaana

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 Год назад +2

    Jaman simuoni makame nuhusi

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 Год назад

    Yaleo ndo kiboko mashallaah...haya walewalowakiuliza naomba nyele zako au help me...naomba ana shungi la nyele kichwan km mie vile mashallaah tuendlee kuzifunika wajiulizeee 😂😂😂

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +1

    Haaaaaaaaaaaa nimecheka mapaka naana waganga wawachunguliya huku nyuma ya nyumba

  • @abdullahhassan.6368
    @abdullahhassan.6368 Год назад +3

    ÅSSÃLÅM ÅLÀYKÜM jmn ÑÃØMBÃ like🙏🙏🙏

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Год назад +1

    Naomba umenikumbusha mbali❤❤❤❤

  • @zayhimid
    @zayhimid Год назад +1

    Hilo samba soti

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k Год назад

    Maashaallah kazi nzuri

  • @GhatfaanZakariyya-co1px
    @GhatfaanZakariyya-co1px Год назад +3

    Towa ya 8

  • @alafasyquran9806
    @alafasyquran9806 Год назад +2

    😂😂😂mau wee

  • @hamidyakoub6865
    @hamidyakoub6865 Год назад +2

    😂😂😂 mau

  • @abdillahsleyyum2768
    @abdillahsleyyum2768 Год назад +2

    Mashallah,

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 Год назад +1

    ❤❤❤❤😊😊😊😊

  • @dullamuwise4802
    @dullamuwise4802 Год назад +2

    ❤❤

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Nipo saudiya naomba❤

  • @SaidiSaidiwaroma
    @SaidiSaidiwaroma 10 месяцев назад

    ❤😂❤😂❤😂❤

  • @SuleSule-fh8fd
    @SuleSule-fh8fd Год назад +1

    Mau mukoovizurisana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Год назад

    Hakika naomba tunzo inamuhusu

  • @aishaa2930
    @aishaa2930 Год назад

    😅😅😅😅😂

  • @aishaabdulla166
    @aishaabdulla166 Год назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @ifabeach3281
    @ifabeach3281 Год назад

    Mau 😂

  • @abuujureyjkhaniykhaniy9645
    @abuujureyjkhaniykhaniy9645 Год назад

    KWAHAPA MAU UMANZA KUFELI HIVI MUNAWAFUNZA WATU NINI KAMA SI KUAMIN USHIRIKINA NA KWAHILI MAU MEMEKOSEA MULITAKIWA KUWAFUNZA WATU KUMRUDIA ALLAH SIO KUWA WASHIRIKINA KWAHILI MUMEFELII KABBISAA...

    • @JokhaMussa-bt2ox
      @JokhaMussa-bt2ox Год назад

      Mbona hakuna sehem sehemu iloonesha mau kafanikiwa kutibu kaonesha kuwa uganga ni uwongo hajamtibu ata mgonjwa mmoja

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 Год назад

    😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Год назад

    😂😂😂😂😂😂