Yaleo ndo kiboko mashallaah...haya walewalowakiuliza naomba nyele zako au help me...naomba ana shungi la nyele kichwan km mie vile mashallaah tuendlee kuzifunika wajiulizeee 😂😂😂
KWAHAPA MAU UMANZA KUFELI HIVI MUNAWAFUNZA WATU NINI KAMA SI KUAMIN USHIRIKINA NA KWAHILI MAU MEMEKOSEA MULITAKIWA KUWAFUNZA WATU KUMRUDIA ALLAH SIO KUWA WASHIRIKINA KWAHILI MUMEFELII KABBISAA...
Mau leo mumejua kunichekesha hahahahaha hongera maulid na timu yako
Kama kuna tuzo za uigizaji bora kwa wanawake Zanzibar basi Naomba awepo kwenye list, kaza mama unaweza sana.
Bv
Mnanifurahisha sana kumleta Kombo Bichwa ktk Team ynu
Ukwel mpo vzur San, mungu azid kuwapa nguvu na afya mzid kutuburudisha na kutuelimisha
Nawapata vizuri nikiwa Oman Naomba uko vizuri kama huna mume mm nipo
Kwenye hizi drama kuna m2 anaitwa Kitatange daaaah!!! Tuleeni jmnii
Wa kwanza naombeni like
😂😂😂 mkojuu nikija znz nitawatafuta Ahmed zungu nawafuatilia kila siku huku niliko nimemis pba sana salam boss hafidh
Always always much love from damam city 🎉🎉🎉🎉🎉
Ma Shaa allaha 👌
Hahaha 😂😂🤣🤣 mau na kombo jichwa wawapi hahaha gombe ume huyo
fundi mau wacheza ngoma siyako😅
Mzee mwinyi naomba mnaubika mwingi hakika
Wamejificha nyumaa kimyàaa😂😂😂😂😂
Munaacha mlima bungumi munkuja kwenye kitonga hichi😀😀😀
Tukifanya masihara atakatolewa ntu roho.hahahaaa mau umetisha
Naomba Ni best actress in Zanzibar. She deserve to be awarded.
Fundi wazidi chafukwa Sasa huwezeki tena unguja na pembaye
Mzee mwinyi upo vzr tn cn😂
Kweli Naomba Ana weza mashalla ila mm Nasha yangu nampa Asikae uchi
Ebwana mko vizuri tena so kdg sana
Dongoooooo😆😆😆😆😆 mashavu yote yakuwaka Moto kwa kupigwa maganja 😂😂😂😂😂 Dongo hujawahi kuniboaaaa
Yani nyinyi nimafundi hongereni sana
Allah awepe wepesi kwa kila hatua ammiin
Hizi dua baada mkawaombea masheikh wanaosomesha dini mnawaombea hawa wanaofanya upuuzi na maneno ya uongo.
Mwinyi mb zanguuuuuuu
Alhamndullillah mnatufurahisha na kutuelimisha
Apa kwenye Sean ya uganga mau ndio namkubali na hakuna anaemfikia na utafikiria ni kweli 😂😂😂
Yaan mau hiyo ndio character anayopatia kuliko zote
Haaaaa mau weye kiboko eti kunaacha kichwa cha kombo kichwa na huyu ana kichwa hatari
Nilijua Tu yaani filamu zooote tukose moja mau amekua mganga 😅😅😅😅😅😅
Nawaunga mkona sana
Maa shaa Allah
Hataki kuku mtwana ❤😅😅😅
Mau we fundi
Kweli kabisa yaani naomba yupo juu ..juu saaana
Jaman simuoni makame nuhusi
Yaleo ndo kiboko mashallaah...haya walewalowakiuliza naomba nyele zako au help me...naomba ana shungi la nyele kichwan km mie vile mashallaah tuendlee kuzifunika wajiulizeee 😂😂😂
😂😂😂😂😂
Haaaaaaaaaaaa nimecheka mapaka naana waganga wawachunguliya huku nyuma ya nyumba
ÅSSÃLÅM ÅLÀYKÜM jmn ÑÃØMBÃ like🙏🙏🙏
Naomba umenikumbusha mbali❤❤❤❤
Hilo samba soti
Maashaallah kazi nzuri
Towa ya 8
😂😂😂mau wee
😂😂😂 mau
Mashallah,
❤❤❤❤😊😊😊😊
❤❤
Nipo saudiya naomba❤
❤😂❤😂❤😂❤
Mau mukoovizurisana
Hakika naomba tunzo inamuhusu
😅😅😅😅😂
😂😂😂😂😂😂😂
Mau 😂
KWAHAPA MAU UMANZA KUFELI HIVI MUNAWAFUNZA WATU NINI KAMA SI KUAMIN USHIRIKINA NA KWAHILI MAU MEMEKOSEA MULITAKIWA KUWAFUNZA WATU KUMRUDIA ALLAH SIO KUWA WASHIRIKINA KWAHILI MUMEFELII KABBISAA...
Mbona hakuna sehem sehemu iloonesha mau kafanikiwa kutibu kaonesha kuwa uganga ni uwongo hajamtibu ata mgonjwa mmoja
😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂