#39- ZOA ZOA - MAU MPEMBA - FUMBUA MACHO

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 92

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 9 месяцев назад +5

    Yaleo motoo🔥🔥🔥🔥Dongo umejua kunifraisha😂😂😂😂...

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm 9 месяцев назад +3

    Ujumbe mzuri mashallah haya ni mafunzo tunatakiwa kuyazingatia

  • @user-mz8we1th1p
    @user-mz8we1th1p 9 месяцев назад +4

    Usifumbe macho kweli fumbueni MACHOO' kodoo🇹🇿🇴🇲

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 9 месяцев назад +5

    Hongera sana Mau mpemba na team yako Said Majumba nawewe tunakukubalinsana ila tunaomba hizi habari utuekee na muendelezo

  • @SelemaniDowile-mk1wm
    @SelemaniDowile-mk1wm 9 месяцев назад +3

    Sio film za kucheka tu wanafikisha ujumbe kwenye jamiii ilopotea na haya yapo hususan sisi wanaume Kila mtu tunamtaman

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 9 месяцев назад +4

    Ati akiamka shuka kashalichana kwa mikea😂😂😂😂😂

  • @mohamededdi7527
    @mohamededdi7527 9 месяцев назад +4

    Bila Warda hakuna fumbua macho, maashaalwah Warda mzuri.

  • @RashidAli-rn3ro
    @RashidAli-rn3ro 9 месяцев назад +2

    Hongereni eti yy hasa anawapenda wanawake wanaovaa nikabu

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 9 месяцев назад +2

    Warda maandazi hujayatia upepo ayo naona yanevimba 😘😘

  • @user-eg4zn5ih1c
    @user-eg4zn5ih1c 9 месяцев назад +3

    Mpemba mwenzenu nawakilisha kutoka brasili

  • @masturamohd4920
    @masturamohd4920 9 месяцев назад +3

    hongereni munajua mpk munajua tena nakukubali dongo

  • @kisiwaPanza
    @kisiwaPanza 9 месяцев назад +2

    Mi Watu Wakisha kudai like na Kila mmoja kusema mimi wa kwanza leo.. Kabla Sijaangalia fumbua macho napitia Comments Halafu unaangalia Raha na Asili za Kwetu.. PBA
    Na wasilisha Kisiwa Panza..

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 9 месяцев назад +13

    Ndani ya mda namba 1 from Oman🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @MariamHamad-jn9zk
    @MariamHamad-jn9zk 9 месяцев назад +3

    Duh wat mnawah mdagn jmn

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 9 месяцев назад +3

    Alop mpaka kisiwani kwa Bint Abeid kwetu mmafurahi kupaskia

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 9 месяцев назад +4

    Daah kijana anampiga kamba mamkwe wake😂😂😂

  • @mwinyisarbok2261
    @mwinyisarbok2261 9 месяцев назад +4

    Hatupoi

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 9 месяцев назад +3

    Mbavu zangu mieeee😂😂😂😂😂😂 dogo leo umefikwa

  • @abdillahali836
    @abdillahali836 9 месяцев назад +2

    Hahahaha leo dongo kanichekesha sana mau hongera sana movie zenye mafunzo na maadili kama hizi zahitajika sana boss mau Allah awabariki kwa kweli jamii sahii zimeharibika hata mtu Akiwa na channel sahii hukimbilia kupost hanasa lakini hii yako tunaifatilia na tunajifunza kaka Asili zetu ni tunu yetu 💪🎉

  • @user-mz8we1th1p
    @user-mz8we1th1p 9 месяцев назад +4

    😂😂 mbavu zangu hongereni mchuzi na tomato mkewe kankumbana na zoazoa🇴🇲🇹🇿

  • @muhamadmasoud4936
    @muhamadmasoud4936 9 месяцев назад +3

    😂😂😂 mankwe nweye

  • @abdiabrahmani7823
    @abdiabrahmani7823 9 месяцев назад +4

    Hatupow

  • @SuleSule-fh8fd
    @SuleSule-fh8fd 9 месяцев назад +2

    Hongera mau na dogoo

  • @user-jy5ll6mp6v
    @user-jy5ll6mp6v 9 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂mankweeeee ni weeeeeeee

  • @jikelasimba4178
    @jikelasimba4178 9 месяцев назад +3

    Naomba yukowapi?

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 9 месяцев назад +3

    P1 4rm 🇰🇪 🇧🇭 ❤❤❤

  • @mayaashassan3918
    @mayaashassan3918 9 месяцев назад +2

    Ndo ukome kutongoza kupitiliza😂😂

  • @user-wk4cs6iw3d
    @user-wk4cs6iw3d 9 месяцев назад +2

    Naomb kibendera hatumuoni yupo wapi?

  • @user-xl4it5ev3g
    @user-xl4it5ev3g 9 месяцев назад +2

    Tunataka muje kama uvi mutume kila siku sio muje kwa msimu

  • @shmsazahir4021
    @shmsazahir4021 9 месяцев назад +2

    Kwa makea😂😂😂 maji ya pilipili manga

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 9 месяцев назад +2

    Mankwenweye😅 so poa mzee. Speed kama zote. 120 na nusu.😂

  • @mussayusuph8661
    @mussayusuph8661 9 месяцев назад

    Nampenda warda hata sizingatiwi Kila siku nasema

  • @khaliphanassoro4851
    @khaliphanassoro4851 9 месяцев назад +3

    Mmmhhh Kuna watu hawapimziki

  • @MrMona_TZ
    @MrMona_TZ 9 месяцев назад +1

    Hiii team kubwa mau mbona wengne hatuwaoni yaan kila kinachotok kipo vzr ila ata actors some time wakiwa wanabadilik italeta picha mzur .. ila n mawazo tu wapemba wenzangu 🙏

  • @abdulsalum1901
    @abdulsalum1901 9 месяцев назад +1

    Choba yumo had atangoza mkwewe

  • @user-gk3wz8wb3t
    @user-gk3wz8wb3t 9 месяцев назад +2

    Pamoja sana

  • @mariamsefukhamissi8809
    @mariamsefukhamissi8809 9 месяцев назад +3

    😂😂😂😂Jmn MashaAllah tabarakallah ❤❤❤

  • @user-mz8we1th1p
    @user-mz8we1th1p 9 месяцев назад +4

    ❤ 🇹🇿🇴🇲

  • @user-fw6wt4mf3b
    @user-fw6wt4mf3b 9 месяцев назад

    Inaabwaa nimbichiii 😅😅😅😅😅😅 mau naomba namba yako nnashida na wewe

  • @khamissalim3379
    @khamissalim3379 Месяц назад

    Dah.. hii imenifanya niweke comment, Yaan mamkwe kachukuwa lawama za makosa ya mtoto wake tu instead ya kumlaumu mkwe wake.. Hongereni mumeupiga mwingi hapa

  • @khamisali5978
    @khamisali5978 9 месяцев назад +1

    Usije angusha mgombangwa

  • @SubiraSalum-pq9vo
    @SubiraSalum-pq9vo 9 месяцев назад +3

    🥰

  • @hamisgaga3169
    @hamisgaga3169 9 месяцев назад +2

    Ya Leo n moto

  • @user-nm7by5bp8b
    @user-nm7by5bp8b 8 месяцев назад

    Kipindi chá ujahilia kina Mau tuacheni kwanza hbr zenu tunazo

  • @alisaid7299
    @alisaid7299 9 месяцев назад

    Naishia kuanhalia lkn hii natia neno Dongo hodari sana ni umasikini na upemba umetufny kuwepo hapa mpk leo.

  • @kimendehemed9664
    @kimendehemed9664 9 месяцев назад +1

    Mleteni naomba jamaniii twawaombaaaa

  • @wanimzur5597
    @wanimzur5597 9 месяцев назад

    napenda michezo yunu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ngenzitigana5344
    @ngenzitigana5344 9 месяцев назад

    Ila ndogo anajuwa😂😂😂 Sn waallah Ila jameni tume miss naomba ❤❤

  • @adamali545
    @adamali545 9 месяцев назад +2

    Wakwanza

  • @ArafaOmar-md8hc
    @ArafaOmar-md8hc 9 месяцев назад +3

    😅

  • @AliMsellem-pe3ms
    @AliMsellem-pe3ms 9 месяцев назад +1

    Dongo utatongoza jini wacha tabia hio nikiwa Qatar

  • @Business_opportunites
    @Business_opportunites 9 месяцев назад

    Nishalavyukaaa 😂😂😂

  • @adamali545
    @adamali545 9 месяцев назад +4

    😂

  • @HalimaAly-jn1rh
    @HalimaAly-jn1rh 9 месяцев назад

    Dongo nakukubali Ile mbaya

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 9 месяцев назад +2

    much love

  • @ALIALI-es3eu
    @ALIALI-es3eu 9 месяцев назад

    Hhhhh.ety mamkwe ni weye😂

  • @abdallahaly1760
    @abdallahaly1760 8 месяцев назад

    Safi sana

  • @salimasalim405
    @salimasalim405 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 9 месяцев назад +1

    ❤❤

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 9 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 9 месяцев назад +3

    😂😂😂

  • @user-tg3fy3yh5m
    @user-tg3fy3yh5m 9 месяцев назад

    Inaambwa imbichi 😂

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 9 месяцев назад +2

    Lol😂😂😂😂

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 9 месяцев назад

    Jamani mwinyi mpeku yuwapiiii?????

  • @munamkasihassn9215
    @munamkasihassn9215 9 месяцев назад

    😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪💜💜

  • @munamkasihassn9215
    @munamkasihassn9215 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 9 месяцев назад +2

    Watu ikitoka.tu washadaka

    • @fatmasaid9765
      @fatmasaid9765 9 месяцев назад +1

      Nakwambia

    • @SubiraSalum-pq9vo
      @SubiraSalum-pq9vo 9 месяцев назад +1

      Hatulali😂

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 9 месяцев назад +1

      Kuna huyo Dada wa Oman utadhan yy ndie anaupload

    • @fatmasaid9765
      @fatmasaid9765 9 месяцев назад

      @@allymbarouk5362 ww upo wapi

    • @rahmamct
      @rahmamct 9 месяцев назад

      ​@@allymbarouk5362huyo itakuwa sio mfanyakazi

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 9 месяцев назад +1

    😂😂😂

  • @engineerkhamis9275
    @engineerkhamis9275 9 месяцев назад +1

    😂