RAIS SAMIA ASHINDWA JIZUIA, AKOSHWA NA TAARAB AMPA MWIMBAJI PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июн 2021

Комментарии • 192

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 3 года назад +14

    Anaitwa Sabaha Salum Mchachu 👌
    Usipofurahia nyimbo zake, ukapimwe mkojo.

  • @shillahmahiri855
    @shillahmahiri855 3 года назад +13

    Nmesikia Jina magufuli nmetokwa na machozi from Kenya poleni sana watanzania jurani zetu tuko pamoja na mama samia 🙏🙏🇰🇪🇰🇪

  • @fatmaabdalla8543
    @fatmaabdalla8543 3 года назад +13

    Anakumbukia enzi zake na yy alikiwa wamooo

  • @MegaHazry
    @MegaHazry 3 года назад +11

    Samia modern taarab!!

  • @huseinsenior4429
    @huseinsenior4429 3 года назад +3

    Congratulations 👏🎈👏 swaba salim good song

  • @forkanoman740
    @forkanoman740 3 года назад +10

    Hapo sawa nyimbo zenye ujumbe mnzuri sio kitimbua sijui sukari🤣😂😂😂

    • @siyabongakzn9864
      @siyabongakzn9864 3 года назад +3

      Forkan Oman unasema kweli kabisa sio hao wengine wanaimba nyimbo za kihuni mpaka kuimana utadhani wamekulia Buza.

    • @forkanoman740
      @forkanoman740 3 года назад +1

      @@siyabongakzn9864 😂😂😂😂😂

    • @user-fv2sn7js7g
      @user-fv2sn7js7g 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣

    • @joezeno8
      @joezeno8 3 года назад

      @@siyabongakzn9864 😂😂😂😂😂😂😂

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 3 года назад +2

      Yaani kaka nakuunga hizi ndio nyimbo zenye maudhui zile za Zuchu sukari ni uhuni wala sio nyimbo wajameni

  • @luganoamosi6416
    @luganoamosi6416 3 года назад +1

    Hapo akina mond Bay Bay,ni kazi iendelee na taraabu tu

  • @thatcontentguy5322
    @thatcontentguy5322 3 года назад +4

    Blessed vocal mama uko juu 🇰🇪🇰🇪 swabah salum

  • @user-se5jr6rk6t
    @user-se5jr6rk6t 6 месяцев назад

    Mungu akupe Maisha marefu mama suluu

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 3 года назад +2

    Baraka za mama zatufikia East.Africa yote

  • @abdulijongo1355
    @abdulijongo1355 3 года назад +8

    Kila Zama Na Kitabu Chake.🖐

    • @jennytugara9470
      @jennytugara9470 3 года назад +2

      Ata Magu alisakata rumba ya Hamonize sana pale uwanja wa Taifa umesahau

    • @abdulijongo1355
      @abdulijongo1355 3 года назад

      @@jennytugara9470 Nakumbuka Sana Sio Rhumba Tu Ya Harmo Hata Singel Ya Shoro Alicheza, Kwahyo Ndio Tunarud Palepale "Kila Zama Na Kitabu Chake"

  • @azdaally5324
    @azdaally5324 3 года назад +4

    Nmependa uyo mama alivonyenyekea

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 года назад +1

    Saaaaaaf saaana taaarabu yenye ladha na maneno mazuri kusif na kumtukuza kiongozi wetu. Hongera saaana dada.

  • @armanichicandow1225
    @armanichicandow1225 3 года назад +3

    Safi sana Mama Samia. Tunakupenda na Mungu awe pamoja nawe In the name of Jesus

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 3 года назад +15

    Nchi nzima sasahivi itapenda taarab sasa!

  • @josephwahome4836
    @josephwahome4836 3 года назад +1

    Nampenda Samia na nampenda Sabah

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 2 года назад +1

    Yangu machotu hapa wall jaa liwa nawafanye sisi tutazametu

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 3 года назад +3

    Safiii mamaa tupo nawe pamoja sana shaka ondoa huku pembeni tunakuunga mkono vibaya sanaa.na inshaallah utavuka tu mungu mkubwa inshaallah❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿👍

  • @hemedijuma4099
    @hemedijuma4099 3 года назад +1

    Mama Samia hoyeee hoyeee Hongeraaa hongeraa Mama Samia

  • @ranahadi5178
    @ranahadi5178 3 года назад +2

    Masha allah

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 Год назад

    Ww Hodari Sana Kusikiliza Matatizo Ya Familia Yk Ina Maana Huangalii Mpira Wala Husikilizi Mziki Ww Kl Mara Unasikiliza Kero TU Za Nyumbani Kwako

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 года назад

    👌🏾

  • @rukiagambere8050
    @rukiagambere8050 3 года назад

    👏👏👏👏

  • @hamzahassan2079
    @hamzahassan2079 3 года назад +3

    Dah. ASante sana
    Umeichelewwsha jana
    Sabah ndiyo Aliye funika kwawimbo saaafi bila makelele

  • @josephatjordan5560
    @josephatjordan5560 3 года назад +4

    Watz wenzangu tuendelee kula msoto Tuko pamoja tu

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 3 года назад

      Imba na wew taarabu utapewa manoti na mama wala sio zito kwake 😂😂

    • @josephatjordan5560
      @josephatjordan5560 3 года назад

      @@ibnayub2374 Sipewi nafasi ndugu😂😂😂

    • @makulaikuku6909
      @makulaikuku6909 3 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani 3 года назад

      😅😅😅😅

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 3 года назад +1

      Fanya kazi nani akupe pesa bure au uolewe

  • @hamaddady4862
    @hamaddady4862 3 года назад +1

    Nikiwa +259 Zanzibar nimeipenda hii

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 года назад +2

    Mi nishaanza kula hadi urojo kariakoo, maisha yenyewe magumu alafu tuchoshane na mineno migumu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 года назад +2

    Huenda ni mtoto wa mamake mdogo huyo

  • @hassanmohammed9153
    @hassanmohammed9153 3 года назад +2

    Hizo Taarabu mametu kafika

  • @metnews42
    @metnews42 3 года назад +6

    Ni mwendo wa taarabu mpaka kieleweke

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking6608 3 года назад +3

    Mama kwenye taarabu ndo ungepeleka mashuka,hospital ungepeleka fedha,kweli kazi tunayo hadi 2025 tutanyoka

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 3 года назад +1

      Wacheni unafiki nyie Wakati wa mwendazake kila hafla yake wasanii wote huwepo na hupiga miziki ila nyie munachuki zenu tu

    • @macaver1859
      @macaver1859 3 года назад

      Kabisa umeonaeee bt vice vessel is true da mama kazingua sa

    • @salmashahbal9306
      @salmashahbal9306 3 года назад +1

      Heee mnaumwa na nn walimwengu? Achen afanye kazi roho mbaya tu...kwan walopita walikua hawatuzi waimmbaji

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 3 года назад +3

    Thats amazing!!hivi niulize hio noti ya pink ni ya pesa ngapi?

    • @mariyamgharib940
      @mariyamgharib940 3 года назад +1

      Red iyo elf 10 iyo

    • @shiksshiks8494
      @shiksshiks8494 3 года назад

      @@mariyamgharib940 thanks sana

    • @matanojuma8333
      @matanojuma8333 3 года назад

      Ak ww

    • @shiksshiks8494
      @shiksshiks8494 3 года назад

      @@matanojuma8333 am a kenyan so sijui n huona sana sana ikitumiwa na wasanii na celebs wakiwa kwa event😆😆😆

    • @danielswai8027
      @danielswai8027 3 года назад

      @@shiksshiks8494 mambo?

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 Год назад

    Wacha Kumkosoa Raisi Kuna Muda Wa Kazi Na Muda Wa Mapumziko Katoka Mapumziko Yk Unaamua Ufanye Nini Nayy Ameamua Kwenda Kwenye Taarab Kosa Liko Wapi

  • @kagodenis783
    @kagodenis783 3 года назад

    Oookay! Mama Samia making it rain. I see

  • @mwanad4595
    @mwanad4595 2 года назад

    huyo mdada anawashwa washwa nikimpata disco atakubal show yangu atarembua Hadi mwaka unaisha😁😁😁

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад

    Safiiiiii sana

  • @wamoroboy8963
    @wamoroboy8963 3 года назад

    At nin taarabu😲🙉

  • @rafiamussa8918
    @rafiamussa8918 2 года назад

    Naitawauma sana imetoka iyoo

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 3 года назад +2

    Taarab iendelee

  • @witnessmwigune1690
    @witnessmwigune1690 3 года назад

    Penda sana Mama samia

  • @muungujaunguja8609
    @muungujaunguja8609 2 года назад

    Huko taarab huku mauaji 😭😱

  • @saniamsae1148
    @saniamsae1148 3 года назад

    Acheni unaaa

  • @asyakhamis1602
    @asyakhamis1602 3 года назад

    Choyo kinawauma kwa kweli na nyie kaimbeni

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 3 года назад +3

    Wananiudhi wanavo vaa mabarakoa

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 3 года назад +2

    Serikali ya waimba taarabu hii yangu macho.bora magufulu mara billioni.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 3 года назад +2

      Charles:umesahau marehemu Magufuli alipokuwa akicheza wakati Diamond akiimba.Kweli haikuwa taarab lakini ni bandit ya mbona kama taarab.
      Tofauti ni kuwa taarab ni ya wanapwani na ile ya Diamond ya Wabara.Upo?

    • @gavanaimrani6777
      @gavanaimrani6777 3 года назад +2

      WW MSENGE TULIA TULIAA MTAUMIA SANA LKN HUYO NDO ALOCHAGULIWA NA ALLAH ACHENI ROHO MBAYA HAIJENGI NCHI MBONA NYERERE ALIPOOONA ISHAMSHINDA ALIMPA MWINYI🤣🤣🤣🤣🤣

    • @saadaissa2524
      @saadaissa2524 3 года назад +2

      Na Magu alikua mcheza nini

    • @saadaissa2524
      @saadaissa2524 3 года назад +2

      Na bado mtaumwa na mama samia habari ya mjini

    • @saadaissa2524
      @saadaissa2524 3 года назад +2

      Piga kazi mama waache wanopika majungu

  • @zenj1986
    @zenj1986 3 года назад +2

    Tofauti ya Magufuli ni kwamba alikuwa anachangisha na kutoa kwa wahitaji. Huyu mama anatoa kwa lipi??*

    • @omarylukindo5306
      @omarylukindo5306 3 года назад +2

      Acha kuongopea watu,yule mzee alotoa jogoo nae akapewa pesa tuambie zilichangwa kwa Nan?

    • @fauzimohamed5757
      @fauzimohamed5757 3 года назад +1

      @@omarylukindo5306 mwambie shoga huyo hajitambui kashasahau jpm alikuwa anapiga ngoma

    • @hijabomaa1390
      @hijabomaa1390 3 года назад +3

      @@omarylukindo5306 tatizo lao wamejawa na fitna na uzandiki,huyo mwendazake alishakwenda so' sasahivi ni awamu ya mama acheni apige kz,,,mitano mingine mama

    • @emmanuelbonaventura4258
      @emmanuelbonaventura4258 3 года назад +1

      Acha ushamba wewe

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 3 года назад +1

      @@omarylukindo5306 huo ni msumari pahala pake

  • @hawamohammed6939
    @hawamohammed6939 Год назад

    Wacha Ufala

  • @asyakhamis1602
    @asyakhamis1602 3 года назад +1

    Watqnganyik mnaumia wap mbon wakitwa kin diamond hamsem kitu choyo tuuuu

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +1

    huyu anaonekana poa nyimbo zimeendana lakini zuchu ni ile super women tu zilobakia uharo mtupu manyimbo ya mapenzi nampa sukari siaseme tu nampa utamu kuficha nini ?

    • @siyabongakzn9864
      @siyabongakzn9864 3 года назад +1

      Arimari usisahau Zuchu katoka Wasafi Headquarters ya nyimbo ambazo hazina maadili na zenye matusi. Wimbo wa Sukari ni matusi matupu. Eti onjesha onjesha, ndo nini.
      Get to the point Zuchu.

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад

      @@siyabongakzn9864 wallah . ndio vioo vya jamii hivyo

  • @hamadihamadiali2033
    @hamadihamadiali2033 3 года назад +3

    Kwan bi sabah Salum si ushaacha kuimba ushrd makka au siyo weyeee?

    • @zakiahaji1683
      @zakiahaji1683 3 года назад

      karud mzee yussuf bdo hao hawajwah tyr kurud kw Allah

  • @mosesallyson7846
    @mosesallyson7846 3 года назад +1

    Hela zetu hizi jamani

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад +2

      Za kwako ziko mfukoni kwako, hizo si zako,,,,,,!!!

    • @fauzimohamed5757
      @fauzimohamed5757 3 года назад +1

      Babako alivokuwa kanagawa ovyo pesa ulishawahi kuandika hivyo pesa yetu hizi?

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 3 года назад +1

      Moses,umeona wapi jogoo ananunuliwa kwa laki moja?Jee ile ilikuwa hela ya nani?

    • @asaaomar4315
      @asaaomar4315 3 года назад +1

      @@jumakapilima5674 😂😂

    • @mosesallyson7846
      @mosesallyson7846 3 года назад

      Mbwa nyie kwani kusema pesa zetu nimekosea au nimetukana, au mnajua me niko upande wa magufuli mamae....," this is free country i comment what i feel"

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 3 года назад +1

    MtuMbuE LuKuVi NA SiLLo.
    HawAnA mAanA yEYoTe .

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 3 года назад

    Raisi Atunza🤣🤣🤣🤣

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 2 года назад

      Acha roho mbaya na umbea ww .mwanaume....kwan raisi hana moyo

    • @pascalgasper403
      @pascalgasper403 2 года назад

      @@salamasaidi6620 Hapo Kwanza Nicheke 😂😂,,
      Rest In Peace Maghu

  • @jocenocha8846
    @jocenocha8846 3 года назад +5

    Leo Rais gani huyu anaacha kwenda kusikiliza kero za wananchi anasikiliza taarabu kweli wazalendo tunatukanishwa

    • @eddy4998
      @eddy4998 3 года назад +5

      Hapo hakuwa kwenye taarab alikuwa kwenye kikao na akina mama pumbav ww kichwa boga

    • @mayaniphilipo9256
      @mayaniphilipo9256 3 года назад

      @@eddy4998 🤣🤣🤣🤣

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 3 года назад +2

      Kwan waimba taarabu sio wananchi....?

    • @huseinshedrack6180
      @huseinshedrack6180 3 года назад +1

      @@eddy4998 Hahahahaha umeanza vzr ulivyo maliza sasa Hahahahaha

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 3 года назад +1

      Joce,wacha ukereketwa,Marehemu magufuliì alikuwa hachezi kwenye mziki wa Diamond?

  • @anahna6788
    @anahna6788 3 года назад +13

    INCH YANGU TZN RASI WANGU JPM
    WENGINE WAPITE KUSHOTO

    • @florianhenry7198
      @florianhenry7198 3 года назад

      Kesho tunasain mkataba mwingine !!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад +3

      Nenda nae kaburini!

    • @hawamabira1499
      @hawamabira1499 3 года назад +2

      @@jumakapilima5674 ucje ukatangulia ww tu😂😂😂😂 Mana maisha saiv hayana formular wa mwisho anakua wa kwanza.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад +3

      @@hawamabira1499 ishu sio kutangulia, ishu ni yeye huyo ambae hataki kukubali kuwa magufuli keshakwenda,,,,,

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 3 года назад

      @@jumakapilima5674 🤣🤣🤣🤣