Sina muda huo sina wa kukaa vibarazani kumdiskasi mtu 💃💃💃usinipikie majungu mie si mke mwenzio heheheyaaaa 🤣🤣😂😂 heheheyaaaa na utabaki kuwa malkia kwa miaka isiyo hesabika wapiiii 🔥🔥🔥 wapiiii malkiaaaa!
Leyla Rashid, nakupenda bure bilashi na kila siku najistarehesha na kujifariji na muziki wako. Mungu akubariki zaidi. Pokea salamu zangu za dhati kutoka papa hapa jijini New York Marekani. Karibu jimbo la Bungoma utuburudishe na muziki wako murwa.
Weeee malkia weeee 🔥 sanaaaa nakuombea mungu akujaalie uhai na afya nzuri katika dunia nakutakia kila la kheri I love you so much every day 💘💞💞💞 weeee my love weee 💯💯💯
Tunaobiskiza hiii Ngoma 2025 gonga like ❤
Asante taarab, karibu 2025
Tuko hapa😂😂
2024 mwez wa 11 tupo hapa ,ihi ngoma imepgwa vinanda hatari kweny mauji hapo duhhhhh❤❤❤
Wapi sasa 2024 twende pamoja❤❤❤❤❤
Tupo❤
Kabisaa❤
❤❤❤
Am here😹🙌
❤❤❤❤
Tunao tazana wimbo huu mwaka hu 2025 like hapa
wapi sasa 2025 twende pomoja weka mbali na watoto 😂
🎉🎉🎉
😂saa tatu za usiku mwaka huu 2024 bado goma kali🎉😅❤
ww ulali tuu😂😂
Umejuaje 😂
😂😂
Da mama yangu kama namuona vile ya Alla nakuomba mama yangu umlaze mahala pema peponi
Amin
Amin
Uyu aliye imba ni mama yako
Waliolud 2024 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Pianist ni hatariiiiiiii
Wapi wenzangu wa 2024
Nawakilisha 2024 sitaki kuchelewa
Tuliosikiliza 2024 tujuane
Tupo kitu kimo moto ❤❤❤
Tupo kwa kibao😂😂
Haiishi utamu
Wambie🎉🎉🎉❤
Ujumbe safi kwa miajirani wadaku👍👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tulip sikiliza 2024 tujuwane
tunakaribia kuingia 2025 tujuane hapa!
🫡
😅wao tujuane😅
2024 niko hapa.. ❤
Tulio kutana apa 2024/ 11 tujuane kwa like ❤❤
🎉
Tujuane mm naskiliz nikiwa zanzibar ❤❤
Who is here 2024 majirani nawafungulia iyo wamezidi vibarazani kusengenya😂😂😂😂😂
😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Me
Kumanina zao
Waongezeee na ya isha mashauzi mim sio levo yako
kama huna mda huo 💯 weka like 👍👍👍
❤❤❤
Mziki bila jasho,kama uko leo siku ya Zakayo kufuta CS wake gonga like tukisonga kama GEN Z
Okut
😂😂😂
Nakukubali sana dada
Sina mda huo ya kukimbiza na walimwengu,the little time i have is for my hustle to find my daily life, congratulations guys for good msg
Inatukumbusha mbali enzi hizo za utoto vigodoro wengine hatukosi!!!
Yaaah kama mimi tu
Tunao skiliza mwez wa 9,2024 tujuane
Nna meng yakufanya sio kukudiskas ww tafadhal nakukanya mie sina taim na wee weweeeeee cheze weee kitu kiko sw ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mzee Yusuf uko vzr kwa kinanda umetisha
ww hana bwana chakukushughulisha mdomk t hawakuwez
Kama kuna taraabu napenda hii ndio no one ireal like this song
Sina muda huo sina wa kukaa vibarazani kumdiskasi mtu 💃💃💃usinipikie majungu mie si mke mwenzio heheheyaaaa 🤣🤣😂😂 heheheyaaaa na utabaki kuwa malkia kwa miaka isiyo hesabika wapiiii 🔥🔥🔥 wapiiii malkiaaaa!
Malaika
Nyie wote mko sawa kulingana na dhamiria lengwa. Malkia ni "Queen" na Malaika ni "Angel" kwa lugha ya kimombo.
CJ wyhdk
Pl
💃💃💃💃💃💃💃
Bonge la ujumbe hapo dada,,nakuombea maisha marefu dada,,
Mim 2023 ndio taarabu yang bora hii🔥🔥
Huo mzuri kabisa,,, sina muda huo wa kutopenda taarab
I love taarab music big up Uganda
Unajuwa❤❤❤❤
Kweli kakiba tumuombe maulana atungulieye njiya tu
Hatar sana huo wimbo
Ile ya citizen TV ya tafakari ya babu inaitwaje❤
Nimeipenda sana❤
Weeeeeeeeee❤❤
Wow Iko sawa
Aliechambwa na hii ICU mara moja woiiii❤😂😂😊
Sina muda NA mtu
Dah bi leyla hapa umenikosha dada yangu ngoma hii haishi utamu siku zote,barikiwa sana dada yetu
Taraab moto sana. naipenda sana.💃💃💃💃🔥🔥🔥
Sawa tunajuwana
Tamu sana raaaahaa tupu
2025 tulio sikiliza hii nyimbo January
,,😂😂😂wa jina
@ abeee
Nampenda sana mum , unaweza kujaribu sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uongo tuczulianee vibaya ucniseme ukanitilia nuksi😋😋😋huu wimbo haunichosh miaka nenda rud nakupenda dada Leila Allah akujaalie umri mref kipnz
💃💃 maneno kuntu👌🏻👌🏻👌🏻
Muda Wakuchezea hakuna
Kbs Yan maneno yako sw
Leyla Rashid, nakupenda bure bilashi na kila siku najistarehesha na kujifariji na muziki wako. Mungu akubariki zaidi. Pokea salamu zangu za dhati kutoka papa hapa jijini New York Marekani. Karibu jimbo la Bungoma utuburudishe na muziki wako murwa.
Marekani ya nyoko
@@elishajuma2615 si kila mtu ana huo mtazamo. Ndugu, tonga si tuwi!
huyu mwana wa kiislamu mrembo kweli.
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂Omundu khula pungoma🤣🤣
Naupenda sana uu wimbo kwanza pale kwa mzee yusufu nipapasie kinanda,pongezi sana leyla
Asante Kwa wimbo huu murua kabisa na HAUtAKUJA kuchuja daima
Wapi shagwe ya malkia lelya rashidi oyaa
Nakupenda bure
Jamaaaaniiii kiuno changu
Asante.kwanyimbozako.dada
Wimbo POA,kama mchuzi was pweza
Pamoja na ubishi wao kwa wimbohuu
Bana weee nyimbo zingne haziiishii hamu
Ilove you leyla rashidi natizama hii nyimbo 2023
Dada penda sana wewe💞💞💞ujumbe mzuri sana una mafundisho,piga kazi mami,💪💪👌👌👌👌🎶🎶🎶🎵💯🥰
Leyla Rashid hupo kwa kiwango Cha kipekee. Kuangazia wasi wasi yalipo. Chukua uhondo!!!. Dr. Ogeto International
Nampenda Leila bc naomba tuimbe wote atafurahi
good work malkia Leyla mungu hazidi kuwa pamoja nae naenjoy xana ninapo sikiliza nyimbo zako
Siiina mda huo.....siiina.
2012_2013 chuo Cha maendeleo ya wananchi musoma (F,D,C)acha kabisa
Umeweza dad 2024
Mweziii 4 jaman mko wap 2024
Inanikumbusha mbaliii sana mzeee yusufuui
Tupo tunapata burudani
Aisee tupo 😂
Hii nyimbo itadumu moyon mwangu daima the best TAARAB kwang Mungu akuweke zaid malikia Leyla ❤❤
Hapajotekea bendi kamilifu zaidi ya hii. Sijaona mtunzi na mwimbaji zaidi ya mzee Yusuf. Kisha Leyla yupo league kivyake.
Pande la burudani.
Kamsikilize Khadija yusuph a.k.a chiriku
na mwanaidishaban je
kazi nzuri b blessed a lot
Tuko pamoja2024🥰🔥
Leo dec 23 tulio skiza gonga like ukipita❤❤❤
Waoooooooo wimbo huu nikiboko jamani
Nyimb0 za mzee yusufu zina ujumbe napenda kuzisikiliza
Ukosawa nampenda leila anajua kuimbaa
Me leo nimeamka na huu mzuka
Sina mdaa huo vyovyote mtakavoniita na kuniongela sitojibu kitu
taarab staarabu kweli Jmn Mungu akupatie riziki yako ❤❤❤🎉😊
Mtu mwwnyemziki wake bana hana ata alaka yaani mwenyewe anaenjoy
Kit pambeee❤🎉
Mzeee yusuphu rudi kwenye game aisee maana siku hizi hakuna taaarabu Bali Kuna twaarabuu,Hapa ulikung'uta kinanda mpaka basi
Leila nakupenda nikisikka mipasho yako nafarijika sana, allah akulindie kaz yako.
Hy nikwawale wacy kuwa nakz zakufany kz kusengenyat ndy wameendekez nip talatibuuuu nazungush kichwaaaaa nawimb mtamuuuuuuuuuuuuuu😅
Uko vizuri sana .Wapashe wajijue
My favourite taarab artiste
nange ndi muganda naye luno oluyimba lunyuma baba
Tarabu tamu sana❤️❤️
W Konk TM HAPA nimesikiliza 2023 mpaka na milele hili song la mwana Dada wetu huyu
❤❤❤
Weeee malkia weeee 🔥 sanaaaa nakuombea mungu akujaalie uhai na afya nzuri katika dunia nakutakia kila la kheri I love you so much every day 💘💞💞💞 weeee my love weee 💯💯💯
Asante dada iyo nyimbo iwafikie wore wanao nichukia
Ni 2022 lakni bdo npo hapa😊 am in love with this, Leyla Rashid🤗🥳 much love
Tupo site.... ❤ 😍 💖 ❣ 💕 inafika hadi kwenye kidole cha mwisho cha mguu....duh
Ubaya tusitaftane ilikuwa ni 🔥🔥🔥❤❤
Iko vizuri Sana radiation gem sasa
7:25 Hapo tu ❤
kweli taarab tamu endeleeni kutupambania Jamn ❤❤❤❤❤
Yangu nikukuombea Dua, mwenyezi mungu akurinde na akupee nguvu mob za kuzindi kukutolea tarabu mob zaidi
Haha sina muda wakusema mtu ...... So lit ❤
Unajuaaa mama
Sababu kubwa yakuja humu nasikilizisha jirani mmojA
🤣🤣🤣
@@beesmarttv3792 😁😁😁😁