Kiswahili kitukuzwe! Tumemaliza kusherehekea siku ya Kiswahili duniani, waafrika wote tafadhali kienzi na kujivunia Kiswahili chetu tukipigia upatu na trumbeta kufikia watu wetu wa asili ya kiafrika waliotekwa nyara na kusakamwa huku ughaibuni kwenye utumwa. Nderemo, vigelegele na vifijo kutoka kwa watu wangu vipungiwe hewani. Salamu salaami kwa waafrika wote, amina.
A friend of mine used to play this song back in high school days and we all hated it but now i feel like crying every-time i listen to it. my favorite 😭😭 Nostalgia is a bad thing!! Thank you Iddy.
@@caljersilverhabor464 Painful endeed. We used to wish we were adults and now that we are adults we wish we're young again. Life sucks!!! Thank God for music like this
Yusuf achana na mambo ya watu,wewe fanya kazi zako aza music,hawo wanasema eti wuko Hadji ni ni Hidja,siyo wewe,wewe M:.Mungu alikupa kipaji akiona kama ndo maisha yako,na kuonya fanya kazi,pepo siyo yawo ni ya ule alikupa khakiri hiyo ya music,asante tuko wote
This amazing song brings me memories of the first day I stepped in Mombasa in 2003. To me it was like a signature tune that everyone needed to listen while in the Coastal towns of Africa.
Inanikumbusha ñdani Equatorial Grili Mtongani kwa Azizi Ally ndio ilikuwa maskani yao kundi hilo maarufu LA mziki wa taarabu ñchini kabla ya kuhamishia makao yao Traventine Hoteli Magomeni ukiacha Mzee yusuphu mwenyewe wakali wengine walikuwa Marehemu Mariam Hamis ambaye badae alienda New Zanzibar stars Modern taarab na pia zena Mohamedi ambae Alienda East Africa Merod
Huu wimbo huwa inanifurahisha sana. Yanikumbusha ligizo na starehe zenye huwa ninapata kule pwani Mombasa. Kwa hawa wasanii ninasema shukrani na hongera sana kwa kazi njema.
Nyimbo zote za Zanzibar stars zinanifanyaga nikukumbukage Sana miss ayecha Sada maana wakat nimefall in love with you ndo nyimbo nilikua nazickiliza ucku kujiliwaza, still in 💜 with u mama Salha....
Any one in 2024❤
🎉❤
100!!
We're 2gether 2024.....❤❤❤
Am here too say thank you God for this year 🙏🏽🙏🏽💝 nashukuru mungu wangu
my mum loves Taarab! i grew up listening to this type of music full blast! this sounds like Home
Najisikia kama nipo nyumbani Tanzania 🇹🇿,wallah enzi kama hizi sijui kama zitarudi,😍
255744144441 samahan lkn kwa usumbufu naomba nichek watsap
Hazirud i feel like crying i used to say nataka niwe mkubwa but now i want again being young
2024 live tupo kama kawaida maisha hayarudi nyuma ila yakale dhahabu
Jamani watoto wa pwani mtatuua,dash nakubali nataka paja babu💟👍
Kenyans in the house one love....
revisiting 2022
Kiswahili kitukuzwe! Tumemaliza kusherehekea siku ya Kiswahili duniani, waafrika wote tafadhali kienzi na kujivunia Kiswahili chetu tukipigia upatu na trumbeta kufikia watu wetu wa asili ya kiafrika waliotekwa nyara na kusakamwa huku ughaibuni kwenye utumwa. Nderemo, vigelegele na vifijo kutoka kwa watu wangu vipungiwe hewani. Salamu salaami kwa waafrika wote, amina.
Shkamoni mama zangu
Manshallah.
Nawamkiya mama zangu wadogo huko Dar salam na Bujumbura Buyenzi uswahilini.
Mimi Kudura Kasongo ML
Hongera sana wasanii wa taarabu nitadumu nae tena pole kwa kumpoteza baba wa taiga awamu ya tank mzee Joseph pombe magufuli💞👍
2021 here I'm listening, team kenya,mapenzi yawe ya daima.... patamu hapo ❤️❤️❤️❤️
Mambo vp
A friend of mine used to play this song back in high school days and we all hated it but now i feel like crying every-time i listen to it. my favorite 😭😭 Nostalgia is a bad thing!! Thank you Iddy.
I concur with you. Nostalgia is painful thing...even if its not about death, just remembering my high school moments, i feel sad
@@caljersilverhabor464 Painful endeed. We used to wish we were adults and now that we are adults we wish we're young again. Life sucks!!! Thank God for music like this
@@donovanmars329غف
Your Profile Picture is Awesome 😊,we hukumbuka buddies later in Life, Good Tidings 😊
موسيقى وإيقاع جميل احب سماع هذا الأغنية مند مدة تحياتي من المملكة المغربية
Is Morocco a kingdom? I never knew. You are welcome. From kenya
Yusuf achana na mambo ya watu,wewe fanya kazi zako aza music,hawo wanasema eti wuko Hadji ni ni Hidja,siyo wewe,wewe M:.Mungu alikupa kipaji akiona kama ndo maisha yako,na kuonya fanya kazi,pepo siyo yawo ni ya ule alikupa khakiri hiyo ya music,asante tuko wote
Me🥰
Nikiwa katoto ka mama enzi hizo nilikuwa napenda taarabu sana mpaka now 2023
2023🎉🎉🎉 , Taraab is still cool music , it reminds me the cool coastal life
2021 still my favorite all the way from kenya❤❤
SO beautiful! Upendo mwingi kwa Afrika! From the diaspora!
E.A.C. ❤️to the world. Tuwache kupunguzwa. 🇰🇪
@@t0n0k0 ll of
Ayyyeeeeeee East Africa 🌍 tune in!!!! 🇰🇪🇺🇬🇹🇿🇸🇸
hii wimbo noma, nimekuwa fan wa taarab wa nguvu!
This amazing song brings me memories of the first day I stepped in Mombasa in 2003. To me it was like a signature tune that everyone needed to listen while in the Coastal towns of Africa.
as à€~~ffffgg
Ik see to day 2023
I miss mad Africa!damn 11 years and am here!#Rwanda!i have heard grand pa is from Tanzania!maybe thats why am here!🥰
Listening this sweet song here in uganda. Tafadhali nipe likes, tuduumu pamoja. (y)
I really miss Mzee Yusuf 2020🔥🔥
Nani ako humu mwaka 2020 nipe like
Nipo
Am here during lockdown quarantine covid 19
Nipo
Tupo kama kawa mambo ya pwanii
2020
Who else is here in 2020?
Npo
Tupo tupo🔥🔥💯
Me
❤️
Iam
In Tanzania when you hear taarab you just know either you are in Zanzibar or Dar es salaam.
And Tanga👌👌
mashaaAllah niko hapa 2021, nani mwingine wenzangu?
Tuko pamoja
Pamoja 👍👍
☝
@@moshiraelqady9513 👍
Pamoja
Best taarabu ever. Milele nitadumu nae 😍😍.... InshaAllah
Rosa M bio 0
Real love taarab
In Rwanda, when you hear Taarab you just know you are in Nyamirambo
Muziki mzuri na safi kabisa. Naburudika nao kutoka papa hapa jijini New York, Marekani. Mungu ibariki taarab. Waafrika tuko pamoja milele daima.
Mwaaah good 👍 hii nimambo swafi nasikiza Kila jioni
love taarab music here in Uganda
Wallahi naona rahaa, rahaa kama hii🇹🇿
I have literally searched for Mombasa songs 🤣😂 Kuumbe ni taarabu.
It’s 2022 life ain’t easy. I needed some songs to soothe my brain.
😅😅
😀😀😀love conquers "aneye jua mapemzi'
Ati Mombasa songs.....you've made my morning
😂😂😂😂
They are from Tanzania ,Zanzibar
The music make so emotional and home sick I just feel like heading to JFK airport now from Manhattan right now and going back home in Kenya.
Uko kama mimi wimbo mtamu sana
Welcome
Sasa ivi ameacha kuimba Taarabu yeyee shekh
Nimedumu nae 1994 Hadi 2021 🙏
My favourite taraab song both in smoothness and meaning. Good music for all ages.
i luv taarab music....real african...mwaaaah
In Kenya, when you hear Taarab you just know you are in Mombasa
Eddie kimutai not only in Mombasa
Am from Nairobi nugu hii😅
Inanikumbusha ñdani Equatorial Grili Mtongani kwa Azizi Ally ndio ilikuwa maskani yao kundi hilo maarufu LA mziki wa taarabu ñchini kabla ya kuhamishia makao yao Traventine Hoteli Magomeni ukiacha Mzee yusuphu mwenyewe wakali wengine walikuwa Marehemu Mariam Hamis ambaye badae alienda New Zanzibar stars Modern taarab na pia zena Mohamedi ambae Alienda East Africa Merod
Rwanda kingari tuna kubari wibohuyu ziripendwa na fagiriya
😍👀👂⌚🙌👊nice
2024 Natamani wa kudumu nae ❤
❤ Naipata wimbo apa Moçambique, kama zamani nafuraika🎉
Watched it in 1999
Watched it in 2009
Watching it in 2019
Hope you’re watching in 2024!
Hope you’re watching in 2024!
Am staying in South Africa still enjoying this song😘
Mapenzi ❤❤❤ yatadumu 😊😊😊
special dedication to my lady wherever she is...forever nitadumu nawe,,,mwaaaah
Huu wimbo huwa inanifurahisha sana. Yanikumbusha ligizo na starehe zenye huwa ninapata kule pwani Mombasa. Kwa hawa wasanii ninasema shukrani na hongera sana kwa kazi njema.
December 2020 nani mwengine, 🔥
Mwaka ni 2022, wimbo bado wagonga ni kama ndo wapakuliwa kutoka jikoni. None compares to Taarab
Missed hearing this song it has been long!!!! ❤😍❤
Any body still admiring this song in 2019 🤔💥👑
I really miss Mombasa and the Taarab music and dances.
Listening from Oman via UAE
Volume hadi Oman
Volume basi hadi oman
Jamaa wa kinanda anaenjoy bana 🤣 kweli Raha jipe mwenyewe
2017 & 2018 this song is all time hit, ukikubali nami huu wimbo utadumu milele nipe likes..
KUDUMU NA ULIE MPENDA NA UKADUMU NAE NI RAHAAAAAAA, SANAAA
Ghalilly Omuko Chris izkxl
Ghalilly Omuko Chris likes
p1
inashika kwetu maishani mtadumu mlele
Nitadumu naye ,october 2019 who listens???? Llke kama zooteee
mm hapa
Hapana mchezo
Am in britain ,i dont understand that language but its a nice the song.and the ladies are very beautiful
Swahili
Taarab mambo yote zinatuliza mawazo yangu....kazi nzuri waimbaji wote wa taarab,,Maulana awalinde.
WaKenya 🇰🇪 muko
Am trying to download it but inakataa,can you help
my fav taarab song..growing up in Mombasa Kenya
Same to me mtoto wa kongowea
2019..... Still watching it from 254.love Taarab ndani ya 001💪❤❤🔥
Nyimbo zote za Zanzibar stars zinanifanyaga nikukumbukage Sana miss ayecha Sada maana wakat nimefall in love with you ndo nyimbo nilikua nazickiliza ucku kujiliwaza, still in 💜 with u mama Salha....
Hehehee wanao chonga nawachonge mpango wao respect mzee yusuf the king of taarab
So nice song
We used to sing it in primary back but have found it 🔥🔥🔥
Mtu hotaka mbali🙆🙆🎹🎹🎹🎹meet this team 2day u can't recall even their faces
After 10 years am still here 🙌🏽 timeless
Kwa raha zangu Mimi, nazipenda
God is wonderful. Were you also in that music video?
Nitampenda mapenzi ni yake yeye 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
This song is so good,I have been watching this video with my wife at home but we have not been getting an end for watching this video taarab.
2021 Lexington, KY USA Listening
Gotta move to Florida for that Mombasa raha weather ☁️🌡️
Yes Naipata kutoka hapa Canada mziki mzuri mzee yusufu Canada tunakupenda ..Tanzania yetu na muziki mzuri😘😘
Kaka canada wanasemaje
Kaka niaje,samahani naweza kukuuliza kitu
Manshallah 2024 ningali kbs❤❤❤
WOW What a nice song nitadumu mzee yusuf yukoo juu what a big T.B.T
2019 still hot
Yap still hot
i love this song yani ww acha 2.i listen to ths hundredy tmes....can't get enough..
Taarab ya Rabii
Good soothing music, as it relaxes me and keep me working hard on these files.
Mimi ni mbajuni Naipenda taarabu Sana ❤❤❤
Muna Muna stylista Mbajooo!penda pia
kenyan love this shit too..
Watoto wa Pwani ndio wako on the Dance floor,I Salute
Sijui niseme nini bana ila ninayo furaha chungu nzima kwa taarab wimbo mzuri mwaaaaa waibanji barikiwa na wenu mwaaaaa
So good to dance to. It's all about the rhumba beat
Smelling Mombasa lol,Love that place,things have changed but still love Mombasa 😍👌
Daah hii ngoma inanikumbusha mbali sana abdara dereva wa haki elimu ezi izo ndani ya dodoma
I love Taarab music!
December 14 mwaka 2019 ninasikiliza gonga like kama unasikiliza mwisho wa mwaka huu
I love this Tarab music...helps me learn more Swahili words.
Mr. Bagaika a.k.a Tajiri, I remember, it is not only that Taarab you like, what I remember from you, is you prefer almost all Taarab music.
+Edwine Mugarula i want to learn more about taarab music im from Mexico i love Bi kidude
dix song iko xna isey
Kiswahili is a beautiful language, and Taarab is beautiful music....very romantic.
I agree with you 100%.
Duuu!! Big up artists to sing a good song 2019/2020
Wapi mama john nakupenda sana mke wangu
Yaarabi iwe salama nifike Zanzibar, Tanga kwa taarab.
13 September 2023 Nan tuko sawasawa, gonga like hapaaa
i can't stop loving this song
Nice song mapenzi
2021 still listening 🎧
this song always remember me of where i came from in Burundi.
I love the story content in this song
Ata na corona bado tuna skiza 👑👑👑
Napenda shaanaa hii ngoma..mistari imepangwa ikapangika!!
Mpo! 2019 and loving this song
I love this song kabisa. One Love
Wangapi tupo ndani 2021 tukielekea valentine's... 💕💕
Make me remember home
@@charokarisa8818 wallah
Sijapata wa kudumu nae, lakini wimbo huu unanipa matumaini. One of the biggest EA songs ever.
❤2023 wengine wanaosikiza gonga like
anavyojua mapenzi ..sijaona ksma yeye na kumkosa siwezi...mmmmmh thz song soothes me ...hongera wana pwani.
it juz kills yu softly.....
Mkoyogore zikili
Lamu Kenya listening too
All the best mpka sasa 27-3-2023 nimpate mke sahihi InshaaAllah nimuoe🙏