MKONGWE WA TAARABU SABAHA KAFUNGUKA KUHAMIA ZANZIBAR, KUACHA MUZIKI KUMRUDIA MUNGU NA MENGINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 161

  • @fatmaahamadabass8080
    @fatmaahamadabass8080 Год назад +21

    Nami nakuombe uache mamangu km ulivyosema unamkosea Mungu hujapindisha maneno Mashallah

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 Год назад +8

    uamuzi muafaka Allah amuongoze zaidi mmngu Ushike dini utubie Allah akupe mwisho mwema nafurahi sana kusikia unarudi Kwa Allah jazakallah kheir Allah akupe umry mrefu wenyewe neemaa

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Год назад +30

    Masha allaah bi sabaha mungu akujaalie utulie uwache taarabu umri umeenda imebak kumuomba mungu 🙏🙏 nakupenda mama

    • @aishaz1
      @aishaz1 Год назад +1

      Kwani kuna
      Umri wa kuacha dhambi au

  • @fatmamohamed372
    @fatmamohamed372 Год назад +8

    Sister nakuombea kwa Allah Subhanahu Wataala Uwache kabisa .yaani uwache moja kwa moja .usiwe ni mwalimu au mkosoaji wa waimbaji wengine. utaisabiwa hujaacha kuimba . Na mauti huja ghafla my sister tubia Leo kabla ya kesho . Allah akuongoze katika hakki na akuepushe na batil. ALLAHUMMAAMIIN

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 Год назад +2

      Ameeen yaarabbi na ss tuzidi kumuombea

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +14

    Miaka 40 simchezo kwakweli wazee wetu wazamani wanajutuma sana vijana wa sasa mtu mwaka 1 tu kashachoka kufanya kazi , Mungu akusimamie Mama 😍😍♥️

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +31

    bisabahi nakushauri basi tena pumzika mama acha kuimba mamangu , Allah atuongoze njia ya haki.na atujalie Mwisho mwema

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 Год назад +1

      Ameen

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 Год назад +1

      @@kalssambaboo9932 enheee aamiyna yaarabiyy

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Год назад +1

      HERI KUACHA KITU KULIKO KITU KIKUACHE WEWE....tuombeane hidaya na muongozo mwema

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 Год назад +1

      @@Khalid-mf3iu hakika swadaktaaa Allah atuzindue

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Год назад +3

    Wa Muchacho. Napenda kazi zako. Wanakupenda sana Zanzibar!

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Год назад +7

    🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💕 bi sabaha mama wa morogoro Moja

  • @husseintayar699
    @husseintayar699 Год назад +5

    Alhamd mashalah kila siku nikijiuliza kwa nn mamaangu hawachi kuimba mungu akuongoze iwe muendelezo kuacha kwako hadi kiama

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 Год назад +25

    Mama kama unataka kuachana na masuala ya kuimbaa basi uwache tu mana mziki ni kharam usimsapoti wala usimkosoe mtu wee achaa tu na ishallah Allah atakupa kheri

  • @citychannel2393
    @citychannel2393 Год назад +5

    Asalamalykum m.mungu abadilishe yalioko ktk nafsi zetu tuikinai dunia na tutaman akhera iliyo bora na ya kudumj

  • @almasially6509
    @almasially6509 Год назад +9

    nimemkumbuka marehemu bibi yangu. Allah ampunguzie adhabu ya kaburi, najua angefurahi sana kuiona hii interview ya msanii wake pendwa

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Год назад

      Yaani bado unamuombea angekuwa hai kuona haramu

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 Год назад

      ​@@aliabdalla9297ndo. Nashangaa waallahi

  • @hamadmohamed3056
    @hamadmohamed3056 Год назад +2

    Afadhal Mungu akufanyie kheir na wepes uache kabisa ufike Makkah kuhijj InshaAllah

  • @thuraiyathuraiya401
    @thuraiyathuraiya401 Год назад +2

    Mungu atakusimamia dada yangu inshaallah utaenda makaa kwa nguvu za mungu

  • @bintmuhammad4913
    @bintmuhammad4913 Год назад +11

    BI Sabah umri ushaenda sana Allah akuongoze wewe pamoja na sisi. Mauti huja ghafla sana kama kupwesa tu! Niliwahi kuskia interview yake alisema akifikisha 50yrs ataacha kuimba! Sasa 63 yrs Ibilisi bado amemvaa na anajua kabisaa kama anamkasirisha Mungu. Miezi mitukufu hii jamanii tumuogope Mungu adhabu zake ni Kali hatuziwezii tuache ukaidi tumrudie Allah kisawasawa. Allah husamehe madhambi yooote tunapo muomba Toba ya kweli. Hakika ukumbusho huwafaa walioamini.

    • @muhsinisihaka7739
      @muhsinisihaka7739 Год назад +2

      We mama ludi kwa ALLAH mauti ujaghafla achakuimba kwa ajili ya ALLAH na izo nyusi Kama umetinda acha it nizambipia

    • @ausimuba6336
      @ausimuba6336 Год назад +2

      Mungu akupe Imani umrudie Allah achana na taarab

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +4

    Mashaalah ALLAH akukinaishe urejehe kwa Allah

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 Год назад +1

    Mzazi mwenzangu Allah Akujaalie kuwacha kuimba maana dunia imeisha sasa

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Год назад

    Sabah salum muchacho ni bibi sasa. Rudi kwa mungu umri umekwenda ALLAH AKUPE UKUMBUSHO IBILISI. LLAANA AKUWACHE

  • @linahkweka5492
    @linahkweka5492 Год назад +7

    Ila mama mzur huyu 63 stops looking good

  • @wardamahango2455
    @wardamahango2455 Год назад

    Nakupenda sana sana ant sabaha Allah akuweke

  • @hamzamohamedKeslivol
    @hamzamohamedKeslivol Год назад

    Mama usisikilize pia sio nzuri

  • @khadijazungu8627
    @khadijazungu8627 Год назад +14

    ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH IKIWA NI KWELI BASI TUMEFURAHI SANAA MAMA WA MWENZETU MAAANA JUZI NILIONA STATUS YA MTU KAWEKA UNAIMBA KWENYE SHEREHE NYAMA NA USO ZISHAKUSHUKA NIKASEMA UNGEKUWA KARIBU NIKUNASIHI MAMA WA MWENZANGU LKN MOLA AKUSIMAMIE KWENYE NIA YAKO NJEMA NA AKUONDOSHEE KILA MABILISI WA KIBINAADAM NA KIJINI PIA 😭😭😭

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Год назад +1

      Anaimba kama kawa

    • @tatotato506
      @tatotato506 Год назад +1

      ​@@sabihaibrahim143 sianasema apo anataka kuacha akiacha kinakuumanini

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +10

    Tatizo hamna imani yadini

  • @3nllymhamad784
    @3nllymhamad784 Год назад

    Anaimba lakini hajawahi fanya haram tafauti na waimbaji wengine pia sijawahi kusikia matusi kwa nyimbozake hongera khale sabah

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 Год назад +2

    Hongera mama unajua kuimba sio siri nikisiliza nyimbo zako huwaga nakumbuka mbali mno

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Год назад +11

    Ila Huyu Mama maisha yote nilikuwa najua ni Mzanzibari maana lugha yake ni ya Zanzibari kabisa yaani MashaAllah ,kumbe ni Mmorogoro dah ndio najua leo

    • @Wastara001
      @Wastara001 Год назад

      Hata mie nilikuwa najua hivyo.

    • @lilianmakwati5228
      @lilianmakwati5228 Год назад

      Hata mimi nilijua hivyo

    • @saidnasihu540
      @saidnasihu540 Год назад

      Watu wa pwani huongea lugha aziiiz 😅🤣..... huwezi kuelewa km hujawahi kuishi pwani ✌️

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Год назад +5

    Heeee dadangu tubia kabla umauti haujakufika. Mtu hajuwi wapi au saangapi au lini. Anae juwa ni yy peke yke Allah

  • @mouzaseif1099
    @mouzaseif1099 Год назад +4

    Allah akukinaishe ishaAllah naulizia kwanza nauli inayotokana namziki inafaa ucjeukaenda kutembea tuu umri umeenda mama rudi kwa Allah hebu muogope muumba wako mama

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад +2

    Allah humma aminy mama anajielewa

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Год назад +1

    Huyu mama namkubali Sana ngoma zake Zinanikosha hadi Leo haziishi ham

  • @jkizondoswahilibites434
    @jkizondoswahilibites434 Год назад +1

    Love you cuz❤❤ Gwiji mwenyewe MashaAllah ❤❤❤

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Год назад +3

    M'Mungu atuongoze sote

  • @just.elhadji__7148
    @just.elhadji__7148 Год назад

    Nyimbo zake zinanikosha hadi leo.....zinatupa matumaini,Believe,Hopes,positivity!
    Zangu pendwa ni #Mlango wa mungu uwazi #Tamba❣👊🙌 Mungu akuweke Mama🙏

  • @BTVBATTAWY
    @BTVBATTAWY Год назад

    Sabah anajibu vizuri kuliko maswali anayeuliza hajui

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Год назад +2

    Mama anazeeka na ukali wake ...

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 Год назад +1

    Oooh nice to hear you Mama

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Год назад +1

    Wee mama acha mziki umri umeenda rudi kwa allah fanya ibada
    Achana na mziki utapata mwisho mbaya

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 Год назад +8

    Kila kitu kina mwisho wake

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Год назад +1

    SABAH MIAKA 63 MAASHALLAH.KAA CHINI MAMA WACHA MZIKI

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Год назад

    Hata mm nakupenda sana nakuombea kwa Mungu uache kama Sasa na kitu kihiki ukiachia bc usiwe mshaur wala kumkosoa Mt mana mziki ni haram

  • @ismailmjeshi8145
    @ismailmjeshi8145 Год назад

    Uyu mom me nampenda mpk sijielewi......

  • @SalehAlAmry-on8lt
    @SalehAlAmry-on8lt Год назад +1

    kweli mama Allah atakupa moyo huo huo inshallah

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 Год назад

    Wewe mama unamkosea sna mungu, unajua kabisa mungu hapendi ila unasema ndo unapotoa riski kuna watu wamehiari kuwa maskini ila wasifanye yakumkera mungu

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +5

    Mama mzuri Sana ana rangi moja Mungu alimjalia uzuri nakipaji

  • @abeidkhamis6130
    @abeidkhamis6130 Год назад

    We mama tubia haswa maana badala ya swadakatul jahriah we unawezakua haramuljahria kwa sababu hizo nyimbo zilitasikilozwa Hadi kiama baada ya wewe kuondoka Duniani kwaiyo basi fanya Toba ya kweli Allah ni ghafur Rahim. Wacha kupitia pita majukwaani na sura yako ni mtiani kwa wenye maradhi mioyo kwa maana japo umri wote huo bado tu humo vaaga burka au niqab ukitaka kutubia ila usipo taka haya mahakamu ya mutakabir yatusubiri.

  • @nadiromar9794
    @nadiromar9794 Год назад

    amin inshaAllah Allah atakuongoa ulipo

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад

    Uyu mama anajua Sana hadja kopa anmjua vzur uyu napia ana busarah Sana kulko malkia wamipasho

  • @laukeisa5358
    @laukeisa5358 Год назад

    Maimamu na mashejkh wa RUclips kazi kuhukumu.mwenzenu

  • @iddimasika1173
    @iddimasika1173 Год назад

    Namuombaa Allah akuongoze ktk hakii mama 7bu umra cyo mchezoo

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 Год назад

    Mashaallah mama wacha mziki uelekee kwa Allah mama wakati umendaaaàa

  • @nassorsalum3846
    @nassorsalum3846 Год назад

    zanzibar ni njema atakae na aje 🥥🏝

  • @bizzoforreal8502
    @bizzoforreal8502 Год назад

    Basi huyu nilikua najua ni mzanzibar duuuh sio pwa

  • @ramaamuro1275
    @ramaamuro1275 Год назад +1

    Nimefurahi Sana kusikia sauti yako mam naenjoy sana na nyimbo zako uishi miaka mingi

  • @ramadhanfoum7713
    @ramadhanfoum7713 Год назад

    Iwe uhakika t asimtanie Mungu

  • @mohddelo
    @mohddelo Год назад

    Mashauri na kopa aache

  • @shamzone388
    @shamzone388 Год назад +11

    Umekwenda umra na in sha allah atakujalia ukamilishe hajj amin
    Music ni haram...
    Zina haram...
    Ulevi haram...
    Wizi ni haram...
    Ukisema music ni kazi umekosea sana

    • @kiri5807
      @kiri5807 Год назад +1

      Kashahiji huyu ikisha amerudi na kuimba .

    • @bintmuhammad4913
      @bintmuhammad4913 Год назад

      @@kiri5807 kasema amekwenda hijja ndogo ( Umra ). Akienda Hijja kubwa ndio ataacha rasmi!! Kama anajua vile miaka atayoishi Subhana Allah!

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      ​@@kiri5807 KWENDA UMRA SIO KUHIJI.

    • @kiri5807
      @kiri5807 Год назад +1

      @@bintmuhammad4913 Najua tofauti ya Umra na Hija ila nilijua alienda Macca ktk kumbukumbu zangu sikujua nikipindi gani km cha hija au laa . Inshaallah Mungu amjaaliye huyo shetani wa kuimba amuondokee . Amin

    • @bintmuhammad4913
      @bintmuhammad4913 Год назад +1

      @@kiri5807 Amiin

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Год назад +3

    Umri umenda kila kitu kina mwisho wke

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Год назад +1

    Allah akusimamie swabakha

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Год назад +1

    Nakupenda sana mama😍😍😍😍😍😍😍

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      Anazeeka na utamu wake dahh njoo nikuoe sabaha umri huo huwa ni watamu na full kudeka ni mwendo wa kukupelekea moto

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 Год назад

    Lakin tuache ushabiki umeenda umra lkn bado unaimba daa itoe hio kusema music ipo kwenye moyo wako mam usicheze nadini hakuna islam yahivyo unachotakiwa nikuacha music nakufuta hio hali moyoni mwako ufahamishe ninn tena umri umeenda simkipatag mfungue na biashara,, in shaa Allah Allah akufanyie wepesi

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад

    Nice

  • @stonetown578
    @stonetown578 Год назад +4

    Kwani mwenyewe hajui kama kuimba dhambi mwacheni, kila mtu na shimole.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Год назад

    🤔Mchango wangu: Kama bado unaweza kuimba, kufanya kazi na watu wanakupenda, usiache fani yako dada yangu. Kwa kupitia imani basi sali tu na kumuomba Mungu lakini katu usidanganyike na maneno ya watu. Watu hawapendi kazi za watu wanahukumu ovyo na kuchanganya mambo. Dini ni ya Mungu, kazi ni kwa maslahi yako na familia yako🤔.

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +2

    Ovoo

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Год назад

    Ma sha allah nampenda sana sana mama huyu hanasahunti mzri allah hakusimamie na uwendele kupata mafanikio zaid nyie mritakiwa mujengewe masanamu yenu we dada yangu ?

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Год назад

    Milad ayo nawakubali Sana kamera zenu zinatoa safi

  • @salimsaid3292
    @salimsaid3292 Год назад +1

    Unauhakika gani utafika kwenda kuhiji..

  • @choba7101
    @choba7101 Год назад

    BIBI ACHIA TENA HAYA MAMBO UMRI USHAENDA.

  • @ilhambilly-mc9re
    @ilhambilly-mc9re Год назад

    mbona muda tu alisemaga anaacha na bado akawa yupo tu na taarabu. Anyways Mungu akuongoze

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar Год назад

    Mungu akufanyie wepesi uache kwani hakika music ni haraam

  • @salimsaid3292
    @salimsaid3292 Год назад

    Mama umejistiri vizuri kidini hassa lkn muziki kharamu. Jitahidi kurudi kwa Mola

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 Год назад

    Mtangazaji, hujamuuliza chochote kuhusu alikozaliwa morogoro, umeuliza sana kuhusu zanzibar, umekosea sana, Leo ndio najua ametoka morogoro, ungeuliza zaidi kuhusu connection yake na morogoro. Sad

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад

    Ukiacha acha, sy useme unasaport waimbaji chipukizi

  • @enterenter7798
    @enterenter7798 Год назад

    Nitamasha zuri Mashaa Allah lakin ifike mda mtu aridhike naalichokifanya hususan music niharam

  • @khalidkamanda8154
    @khalidkamanda8154 Год назад +1

    Ukiamua kuacha acha tu usishiriki kwa namna yoyote

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Год назад

    Tubia tena bibi weye saa ya kutolewa roho utajuta na kulia sana

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 Год назад

    Hata pumzi huna tena

  • @yassirgiya6743
    @yassirgiya6743 Год назад

    #fundii

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    👌🏽

  • @zubedasaid5962
    @zubedasaid5962 Год назад +3

    Mrudie tu Allah!maana na umri nao ndio hivyo tena,waachie vijana

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 Год назад +2

    HISANI ni wimbo hatari unajua mama.

  • @khadijazungu8627
    @khadijazungu8627 Год назад +5

    Na haya matamasha sijui kwa nini lazima yafanyike karibu na Ramadhan

    • @surusuru1994
      @surusuru1994 Год назад +2

      Hayatuusu sie wa Tanzania kwn Zanzibar wanaubanguzi najionea paka mausitazati wanadiriki kusema eti unakuja kuoa znz mtu weyewe kutoka bara kahiyo tunasema tz hayatu usu matamasha ila lailah rashidi anatuusu kw sabbu nimu Tanzania halisi not cop

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 Год назад +5

      @@surusuru1994 mbn pumba tupu hufahamiki wewe

    • @samahabdallahmohamed1135
      @samahabdallahmohamed1135 Год назад +3

      Acha mama toba inatuhitajia sana

    • @samahabdallahmohamed1135
      @samahabdallahmohamed1135 Год назад +4

      Penda quran sio mziki hasa allah amekupa umri uweze kufanya toba wala usifundishe mtu ujaendekeza dhambi hy adhabu itakupata pk kaburin

    • @neamusic2601
      @neamusic2601 Год назад +1

      Anapenda pesa huyu bibi ukimuita ujipangee hasa....

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +4

    Ata hujaelekea asa kuwa muimbaji hujielewi tu inamaana hujui kama zambi kuimba

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Год назад

    SABAH BADO HUJATUBU.

  • @shanmlawa
    @shanmlawa Год назад +1

    Huyu mama kisu😘

  • @simbafadhili
    @simbafadhili Год назад

    mbona sautti kama mama samia

  • @nayfatsalim7828
    @nayfatsalim7828 Год назад +1

    Pesa ya umra niyakutoka kweny mziki wko ?.....Watoto wko wako sahihi...Ukiend hija ucjshrikishe kmuandkia mtu wala kumshaur kuhs mzki man itkua kzi nibure t dhamb iko pleple

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 Год назад

    Swabaha salum zindabar

  • @nassirazzyazzy9871
    @nassirazzyazzy9871 Год назад +5

    ♥️💫

    • @mosiomar
      @mosiomar Год назад

      Shabaha acha kuimba we c usharudi kuhiji Makka, unaomba kichwa wazi "Subbhanna'allah"

  • @faudhiaabubakary1704
    @faudhiaabubakary1704 Год назад

    Mashaallaah Alhamdulilaah

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Год назад +2

    Vizuri watoto wako hawataki sasa jitulize uwache uwe na Allah

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Год назад +6

    Dogo amkia ww Salam maana yake nn vidooo

  • @mussamc641
    @mussamc641 Год назад

    Du hakutosh iyo siku

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 Год назад

    Kumbe ni wa moro nilijua ni mzanzibar

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Год назад

    Basi wacha kuimba NA urudi kwa salah NA ibada uombe akhera kuimba ni haramu

  • @bakarimohammed2796
    @bakarimohammed2796 Год назад

    Mpaka uende MAKKAH ndio uwache kuimba je una uhakika wa kufika kesho?

  • @shamsaelbeity8250
    @shamsaelbeity8250 Год назад

    Ye kila sku anacha tafabu tu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Год назад

    Mungu akusamehe mama maana inaonekana huijui dini vizuri,,,

  • @fathiyasalim3946
    @fathiyasalim3946 Год назад

    Huyu na khadija kopa mziki umo ndani ya damu zao. Hawana hisia za mwisho wa dunia. Hizo sura zao zisharegea lakini bado hawarudi kwa Allah

  • @hafsabakar3141
    @hafsabakar3141 Год назад

    Et naacha alf nackiliza