uamuzi muafaka Allah amuongoze zaidi mmngu Ushike dini utubie Allah akupe mwisho mwema nafurahi sana kusikia unarudi Kwa Allah jazakallah kheir Allah akupe umry mrefu wenyewe neemaa
Sister nakuombea kwa Allah Subhanahu Wataala Uwache kabisa .yaani uwache moja kwa moja .usiwe ni mwalimu au mkosoaji wa waimbaji wengine. utaisabiwa hujaacha kuimba . Na mauti huja ghafla my sister tubia Leo kabla ya kesho . Allah akuongoze katika hakki na akuepushe na batil. ALLAHUMMAAMIIN
Mama kama unataka kuachana na masuala ya kuimbaa basi uwache tu mana mziki ni kharam usimsapoti wala usimkosoe mtu wee achaa tu na ishallah Allah atakupa kheri
BI Sabah umri ushaenda sana Allah akuongoze wewe pamoja na sisi. Mauti huja ghafla sana kama kupwesa tu! Niliwahi kuskia interview yake alisema akifikisha 50yrs ataacha kuimba! Sasa 63 yrs Ibilisi bado amemvaa na anajua kabisaa kama anamkasirisha Mungu. Miezi mitukufu hii jamanii tumuogope Mungu adhabu zake ni Kali hatuziwezii tuache ukaidi tumrudie Allah kisawasawa. Allah husamehe madhambi yooote tunapo muomba Toba ya kweli. Hakika ukumbusho huwafaa walioamini.
ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH IKIWA NI KWELI BASI TUMEFURAHI SANAA MAMA WA MWENZETU MAAANA JUZI NILIONA STATUS YA MTU KAWEKA UNAIMBA KWENYE SHEREHE NYAMA NA USO ZISHAKUSHUKA NIKASEMA UNGEKUWA KARIBU NIKUNASIHI MAMA WA MWENZANGU LKN MOLA AKUSIMAMIE KWENYE NIA YAKO NJEMA NA AKUONDOSHEE KILA MABILISI WA KIBINAADAM NA KIJINI PIA 😭😭😭
Allah akukinaishe ishaAllah naulizia kwanza nauli inayotokana namziki inafaa ucjeukaenda kutembea tuu umri umeenda mama rudi kwa Allah hebu muogope muumba wako mama
Wewe mama unamkosea sna mungu, unajua kabisa mungu hapendi ila unasema ndo unapotoa riski kuna watu wamehiari kuwa maskini ila wasifanye yakumkera mungu
We mama tubia haswa maana badala ya swadakatul jahriah we unawezakua haramuljahria kwa sababu hizo nyimbo zilitasikilozwa Hadi kiama baada ya wewe kuondoka Duniani kwaiyo basi fanya Toba ya kweli Allah ni ghafur Rahim. Wacha kupitia pita majukwaani na sura yako ni mtiani kwa wenye maradhi mioyo kwa maana japo umri wote huo bado tu humo vaaga burka au niqab ukitaka kutubia ila usipo taka haya mahakamu ya mutakabir yatusubiri.
Umekwenda umra na in sha allah atakujalia ukamilishe hajj amin Music ni haram... Zina haram... Ulevi haram... Wizi ni haram... Ukisema music ni kazi umekosea sana
@@bintmuhammad4913 Najua tofauti ya Umra na Hija ila nilijua alienda Macca ktk kumbukumbu zangu sikujua nikipindi gani km cha hija au laa . Inshaallah Mungu amjaaliye huyo shetani wa kuimba amuondokee . Amin
Lakin tuache ushabiki umeenda umra lkn bado unaimba daa itoe hio kusema music ipo kwenye moyo wako mam usicheze nadini hakuna islam yahivyo unachotakiwa nikuacha music nakufuta hio hali moyoni mwako ufahamishe ninn tena umri umeenda simkipatag mfungue na biashara,, in shaa Allah Allah akufanyie wepesi
🤔Mchango wangu: Kama bado unaweza kuimba, kufanya kazi na watu wanakupenda, usiache fani yako dada yangu. Kwa kupitia imani basi sali tu na kumuomba Mungu lakini katu usidanganyike na maneno ya watu. Watu hawapendi kazi za watu wanahukumu ovyo na kuchanganya mambo. Dini ni ya Mungu, kazi ni kwa maslahi yako na familia yako🤔.
Ma sha allah nampenda sana sana mama huyu hanasahunti mzri allah hakusimamie na uwendele kupata mafanikio zaid nyie mritakiwa mujengewe masanamu yenu we dada yangu ?
Mtangazaji, hujamuuliza chochote kuhusu alikozaliwa morogoro, umeuliza sana kuhusu zanzibar, umekosea sana, Leo ndio najua ametoka morogoro, ungeuliza zaidi kuhusu connection yake na morogoro. Sad
Hayatuusu sie wa Tanzania kwn Zanzibar wanaubanguzi najionea paka mausitazati wanadiriki kusema eti unakuja kuoa znz mtu weyewe kutoka bara kahiyo tunasema tz hayatu usu matamasha ila lailah rashidi anatuusu kw sabbu nimu Tanzania halisi not cop
Pesa ya umra niyakutoka kweny mziki wko ?.....Watoto wko wako sahihi...Ukiend hija ucjshrikishe kmuandkia mtu wala kumshaur kuhs mzki man itkua kzi nibure t dhamb iko pleple
Nami nakuombe uache mamangu km ulivyosema unamkosea Mungu hujapindisha maneno Mashallah
uamuzi muafaka Allah amuongoze zaidi mmngu Ushike dini utubie Allah akupe mwisho mwema nafurahi sana kusikia unarudi Kwa Allah jazakallah kheir Allah akupe umry mrefu wenyewe neemaa
Masha allaah bi sabaha mungu akujaalie utulie uwache taarabu umri umeenda imebak kumuomba mungu 🙏🙏 nakupenda mama
Kwani kuna
Umri wa kuacha dhambi au
Sister nakuombea kwa Allah Subhanahu Wataala Uwache kabisa .yaani uwache moja kwa moja .usiwe ni mwalimu au mkosoaji wa waimbaji wengine. utaisabiwa hujaacha kuimba . Na mauti huja ghafla my sister tubia Leo kabla ya kesho . Allah akuongoze katika hakki na akuepushe na batil. ALLAHUMMAAMIIN
Ameeen yaarabbi na ss tuzidi kumuombea
Miaka 40 simchezo kwakweli wazee wetu wazamani wanajutuma sana vijana wa sasa mtu mwaka 1 tu kashachoka kufanya kazi , Mungu akusimamie Mama 😍😍♥️
bisabahi nakushauri basi tena pumzika mama acha kuimba mamangu , Allah atuongoze njia ya haki.na atujalie Mwisho mwema
Ameen
@@kalssambaboo9932 enheee aamiyna yaarabiyy
HERI KUACHA KITU KULIKO KITU KIKUACHE WEWE....tuombeane hidaya na muongozo mwema
@@Khalid-mf3iu hakika swadaktaaa Allah atuzindue
Wa Muchacho. Napenda kazi zako. Wanakupenda sana Zanzibar!
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💕 bi sabaha mama wa morogoro Moja
Alhamd mashalah kila siku nikijiuliza kwa nn mamaangu hawachi kuimba mungu akuongoze iwe muendelezo kuacha kwako hadi kiama
Mama kama unataka kuachana na masuala ya kuimbaa basi uwache tu mana mziki ni kharam usimsapoti wala usimkosoe mtu wee achaa tu na ishallah Allah atakupa kheri
Haram au kharam?
Kweli ni haramu
Kiarabu cha kharam bado hakijafika 😂 we all know neno ni HARAM… unifunze unkileta wewe duniani khaa 😂
@@themembinga3996 najua hilo ndugu ila katamka vengine ndio nikauliza
@@jkizondoswahilibites434 😂😂😂😂 kumbe unajua nilizani umedandia gari hahahhha
Asalamalykum m.mungu abadilishe yalioko ktk nafsi zetu tuikinai dunia na tutaman akhera iliyo bora na ya kudumj
nimemkumbuka marehemu bibi yangu. Allah ampunguzie adhabu ya kaburi, najua angefurahi sana kuiona hii interview ya msanii wake pendwa
Yaani bado unamuombea angekuwa hai kuona haramu
@@aliabdalla9297ndo. Nashangaa waallahi
Afadhal Mungu akufanyie kheir na wepes uache kabisa ufike Makkah kuhijj InshaAllah
Mungu atakusimamia dada yangu inshaallah utaenda makaa kwa nguvu za mungu
BI Sabah umri ushaenda sana Allah akuongoze wewe pamoja na sisi. Mauti huja ghafla sana kama kupwesa tu! Niliwahi kuskia interview yake alisema akifikisha 50yrs ataacha kuimba! Sasa 63 yrs Ibilisi bado amemvaa na anajua kabisaa kama anamkasirisha Mungu. Miezi mitukufu hii jamanii tumuogope Mungu adhabu zake ni Kali hatuziwezii tuache ukaidi tumrudie Allah kisawasawa. Allah husamehe madhambi yooote tunapo muomba Toba ya kweli. Hakika ukumbusho huwafaa walioamini.
We mama ludi kwa ALLAH mauti ujaghafla achakuimba kwa ajili ya ALLAH na izo nyusi Kama umetinda acha it nizambipia
Mungu akupe Imani umrudie Allah achana na taarab
Mashaalah ALLAH akukinaishe urejehe kwa Allah
Mzazi mwenzangu Allah Akujaalie kuwacha kuimba maana dunia imeisha sasa
Sabah salum muchacho ni bibi sasa. Rudi kwa mungu umri umekwenda ALLAH AKUPE UKUMBUSHO IBILISI. LLAANA AKUWACHE
Ila mama mzur huyu 63 stops looking good
Mashaa allah
Nakupenda sana sana ant sabaha Allah akuweke
Mama usisikilize pia sio nzuri
ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH THUMMA ALHAMDULILLAH IKIWA NI KWELI BASI TUMEFURAHI SANAA MAMA WA MWENZETU MAAANA JUZI NILIONA STATUS YA MTU KAWEKA UNAIMBA KWENYE SHEREHE NYAMA NA USO ZISHAKUSHUKA NIKASEMA UNGEKUWA KARIBU NIKUNASIHI MAMA WA MWENZANGU LKN MOLA AKUSIMAMIE KWENYE NIA YAKO NJEMA NA AKUONDOSHEE KILA MABILISI WA KIBINAADAM NA KIJINI PIA 😭😭😭
Anaimba kama kawa
@@sabihaibrahim143 sianasema apo anataka kuacha akiacha kinakuumanini
Tatizo hamna imani yadini
Kabisa we esilam majina
Anaimba lakini hajawahi fanya haram tafauti na waimbaji wengine pia sijawahi kusikia matusi kwa nyimbozake hongera khale sabah
Hongera mama unajua kuimba sio siri nikisiliza nyimbo zako huwaga nakumbuka mbali mno
Ila Huyu Mama maisha yote nilikuwa najua ni Mzanzibari maana lugha yake ni ya Zanzibari kabisa yaani MashaAllah ,kumbe ni Mmorogoro dah ndio najua leo
Hata mie nilikuwa najua hivyo.
Hata mimi nilijua hivyo
Watu wa pwani huongea lugha aziiiz 😅🤣..... huwezi kuelewa km hujawahi kuishi pwani ✌️
Heeee dadangu tubia kabla umauti haujakufika. Mtu hajuwi wapi au saangapi au lini. Anae juwa ni yy peke yke Allah
Allah akukinaishe ishaAllah naulizia kwanza nauli inayotokana namziki inafaa ucjeukaenda kutembea tuu umri umeenda mama rudi kwa Allah hebu muogope muumba wako mama
Allah humma aminy mama anajielewa
Huyu mama namkubali Sana ngoma zake Zinanikosha hadi Leo haziishi ham
Love you cuz❤❤ Gwiji mwenyewe MashaAllah ❤❤❤
M'Mungu atuongoze sote
Nyimbo zake zinanikosha hadi leo.....zinatupa matumaini,Believe,Hopes,positivity!
Zangu pendwa ni #Mlango wa mungu uwazi #Tamba❣👊🙌 Mungu akuweke Mama🙏
Sabah anajibu vizuri kuliko maswali anayeuliza hajui
Mama anazeeka na ukali wake ...
Oooh nice to hear you Mama
Wee mama acha mziki umri umeenda rudi kwa allah fanya ibada
Achana na mziki utapata mwisho mbaya
Kila kitu kina mwisho wake
SABAH MIAKA 63 MAASHALLAH.KAA CHINI MAMA WACHA MZIKI
Hata mm nakupenda sana nakuombea kwa Mungu uache kama Sasa na kitu kihiki ukiachia bc usiwe mshaur wala kumkosoa Mt mana mziki ni haram
Uyu mom me nampenda mpk sijielewi......
kweli mama Allah atakupa moyo huo huo inshallah
Wewe mama unamkosea sna mungu, unajua kabisa mungu hapendi ila unasema ndo unapotoa riski kuna watu wamehiari kuwa maskini ila wasifanye yakumkera mungu
Mama mzuri Sana ana rangi moja Mungu alimjalia uzuri nakipaji
We mama tubia haswa maana badala ya swadakatul jahriah we unawezakua haramuljahria kwa sababu hizo nyimbo zilitasikilozwa Hadi kiama baada ya wewe kuondoka Duniani kwaiyo basi fanya Toba ya kweli Allah ni ghafur Rahim. Wacha kupitia pita majukwaani na sura yako ni mtiani kwa wenye maradhi mioyo kwa maana japo umri wote huo bado tu humo vaaga burka au niqab ukitaka kutubia ila usipo taka haya mahakamu ya mutakabir yatusubiri.
amin inshaAllah Allah atakuongoa ulipo
Uyu mama anajua Sana hadja kopa anmjua vzur uyu napia ana busarah Sana kulko malkia wamipasho
Maimamu na mashejkh wa RUclips kazi kuhukumu.mwenzenu
Namuombaa Allah akuongoze ktk hakii mama 7bu umra cyo mchezoo
Mashaallah mama wacha mziki uelekee kwa Allah mama wakati umendaaaàa
zanzibar ni njema atakae na aje 🥥🏝
Basi huyu nilikua najua ni mzanzibar duuuh sio pwa
Nimefurahi Sana kusikia sauti yako mam naenjoy sana na nyimbo zako uishi miaka mingi
Iwe uhakika t asimtanie Mungu
Mashauri na kopa aache
Umekwenda umra na in sha allah atakujalia ukamilishe hajj amin
Music ni haram...
Zina haram...
Ulevi haram...
Wizi ni haram...
Ukisema music ni kazi umekosea sana
Kashahiji huyu ikisha amerudi na kuimba .
@@kiri5807 kasema amekwenda hijja ndogo ( Umra ). Akienda Hijja kubwa ndio ataacha rasmi!! Kama anajua vile miaka atayoishi Subhana Allah!
@@kiri5807 KWENDA UMRA SIO KUHIJI.
@@bintmuhammad4913 Najua tofauti ya Umra na Hija ila nilijua alienda Macca ktk kumbukumbu zangu sikujua nikipindi gani km cha hija au laa . Inshaallah Mungu amjaaliye huyo shetani wa kuimba amuondokee . Amin
@@kiri5807 Amiin
Umri umenda kila kitu kina mwisho wke
Allah akusimamie swabakha
Nakupenda sana mama😍😍😍😍😍😍😍
Anazeeka na utamu wake dahh njoo nikuoe sabaha umri huo huwa ni watamu na full kudeka ni mwendo wa kukupelekea moto
Lakin tuache ushabiki umeenda umra lkn bado unaimba daa itoe hio kusema music ipo kwenye moyo wako mam usicheze nadini hakuna islam yahivyo unachotakiwa nikuacha music nakufuta hio hali moyoni mwako ufahamishe ninn tena umri umeenda simkipatag mfungue na biashara,, in shaa Allah Allah akufanyie wepesi
Nice
Kwani mwenyewe hajui kama kuimba dhambi mwacheni, kila mtu na shimole.
🤔Mchango wangu: Kama bado unaweza kuimba, kufanya kazi na watu wanakupenda, usiache fani yako dada yangu. Kwa kupitia imani basi sali tu na kumuomba Mungu lakini katu usidanganyike na maneno ya watu. Watu hawapendi kazi za watu wanahukumu ovyo na kuchanganya mambo. Dini ni ya Mungu, kazi ni kwa maslahi yako na familia yako🤔.
Ovoo
Ma sha allah nampenda sana sana mama huyu hanasahunti mzri allah hakusimamie na uwendele kupata mafanikio zaid nyie mritakiwa mujengewe masanamu yenu we dada yangu ?
Milad ayo nawakubali Sana kamera zenu zinatoa safi
Unauhakika gani utafika kwenda kuhiji..
BIBI ACHIA TENA HAYA MAMBO UMRI USHAENDA.
mbona muda tu alisemaga anaacha na bado akawa yupo tu na taarabu. Anyways Mungu akuongoze
Mungu akufanyie wepesi uache kwani hakika music ni haraam
Mama umejistiri vizuri kidini hassa lkn muziki kharamu. Jitahidi kurudi kwa Mola
Mtangazaji, hujamuuliza chochote kuhusu alikozaliwa morogoro, umeuliza sana kuhusu zanzibar, umekosea sana, Leo ndio najua ametoka morogoro, ungeuliza zaidi kuhusu connection yake na morogoro. Sad
Ukiacha acha, sy useme unasaport waimbaji chipukizi
Nitamasha zuri Mashaa Allah lakin ifike mda mtu aridhike naalichokifanya hususan music niharam
Ukiamua kuacha acha tu usishiriki kwa namna yoyote
Tubia tena bibi weye saa ya kutolewa roho utajuta na kulia sana
Hata pumzi huna tena
#fundii
👌🏽
Mrudie tu Allah!maana na umri nao ndio hivyo tena,waachie vijana
HISANI ni wimbo hatari unajua mama.
Na haya matamasha sijui kwa nini lazima yafanyike karibu na Ramadhan
Hayatuusu sie wa Tanzania kwn Zanzibar wanaubanguzi najionea paka mausitazati wanadiriki kusema eti unakuja kuoa znz mtu weyewe kutoka bara kahiyo tunasema tz hayatu usu matamasha ila lailah rashidi anatuusu kw sabbu nimu Tanzania halisi not cop
@@surusuru1994 mbn pumba tupu hufahamiki wewe
Acha mama toba inatuhitajia sana
Penda quran sio mziki hasa allah amekupa umri uweze kufanya toba wala usifundishe mtu ujaendekeza dhambi hy adhabu itakupata pk kaburin
Anapenda pesa huyu bibi ukimuita ujipangee hasa....
Ata hujaelekea asa kuwa muimbaji hujielewi tu inamaana hujui kama zambi kuimba
SABAH BADO HUJATUBU.
Huyu mama kisu😘
mbona sautti kama mama samia
Pesa ya umra niyakutoka kweny mziki wko ?.....Watoto wko wako sahihi...Ukiend hija ucjshrikishe kmuandkia mtu wala kumshaur kuhs mzki man itkua kzi nibure t dhamb iko pleple
Swabaha salum zindabar
Sawa muhind ila ni zindabad
@@wasilaahmad7913 axante leo nimejua kumbe ni zindabad
♥️💫
Shabaha acha kuimba we c usharudi kuhiji Makka, unaomba kichwa wazi "Subbhanna'allah"
Mashaallaah Alhamdulilaah
Vizuri watoto wako hawataki sasa jitulize uwache uwe na Allah
Dogo amkia ww Salam maana yake nn vidooo
Nilishamwambia Shikamoo alipofika nikampokea
@@vidovidox2632 😁😁
@@vidovidox2632 achana nae kakosa lakusema tu
Du hakutosh iyo siku
Kumbe ni wa moro nilijua ni mzanzibar
pia mm
Basi wacha kuimba NA urudi kwa salah NA ibada uombe akhera kuimba ni haramu
Mpaka uende MAKKAH ndio uwache kuimba je una uhakika wa kufika kesho?
Ye kila sku anacha tafabu tu
Mungu akusamehe mama maana inaonekana huijui dini vizuri,,,
Huyu na khadija kopa mziki umo ndani ya damu zao. Hawana hisia za mwisho wa dunia. Hizo sura zao zisharegea lakini bado hawarudi kwa Allah
Et naacha alf nackiliza