MWILI WA MAREHEMU WAGOMBANIWA ZANZIBAR, AZIKWE KIISLAMU AU KIKRISTO?, "MZOZO SIKU 5"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 72

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 месяца назад +2

    Kwa nini ubaguzi wa imani..waislamu kwa nini hakuna uhuru wa mtu kubadili imani.. tatizo ni nini.. tusilazimishane imani

    • @SalumJohn-h2s
      @SalumJohn-h2s 3 месяца назад +1

      Hawa ndugu zangu wa zanzibar hakili kisoda

    • @MahmoudDouch-o6t
      @MahmoudDouch-o6t 26 дней назад

      ​@@SalumJohn-h2sakili zako wewe za Nini

  • @mussamhando22
    @mussamhando22 9 месяцев назад +2

    MwandishI jifunze kubalance habari mbona hukuwahoji upande wa pili, kwa maelezo tu amesema documents zilichelewa kuletwa lkn badae zilipelekwa police ulipaswa kumuhoji mke wake, huyo mtoto liyetoa taarifa na kanisa ndio ungetuletea taarifa iliyokamilika, lkn kwa Zanzibar tunayoijua huyo jamaa ana dalili kubwa kuwa alibadili dini, Wakristo wa Zanzibar hawana nguvu hiyo ya kupambania kitu kama hawana Evidence, take note.

  • @SalumJohn-h2s
    @SalumJohn-h2s 3 месяца назад

    Christianity,Islam,Buddhism,Taoism,Shinto, Hinduism,Sikhism,Confuciasm, Jainism,Judaism &Zoroastriansm,Dini zote hizi zina mwabudu mung kwa namna yake,Lakin hawa kumanina ndo wanaon wao uislam2 ndo dini ya mungu,utafikir dunia imetengenezwa na mtume mhamad

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Год назад +8

    Mtihan wallah allah atuvushe tukiwa waislam 😢😢

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 Год назад

      Mmmh kujishaua kwahyo waliowavusha wakiwa kristo watafanyaje udin tu

    • @SeluSelu-lc8rp
      @SeluSelu-lc8rp Год назад +1

      @@faithmapondo7370 din ndio kla ktu na kila mtu anapenda din yke kma ww hupend uo udin hauko sawa

    • @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
      @Zanzibar2023Zanzibarzanzibar Год назад

      Allah, tujitahidi tukiandika Allah basi tuanze kwa Spelling kubwa

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 Год назад

      Unajifanya ujuaj na lolote hujui mdomo unakuzid mwendawazim wewe, unwandikaje kwa herufi ndogo

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 Год назад +1

      😁😂😄 embu toen upuuz wetu kujifanya ujuaj halaf Jna la Mung mnaandka tu kwa heruf ndogo

  • @SalumJohn-h2s
    @SalumJohn-h2s 3 месяца назад

    Kuna baadhi ya waumin wa kiislam ni waungwana kishenzi lakin kuna hawa watoto wa nje ya ndoa loooh,wanajifany waislam wakati wazazi wao walitombana pasipo kusema BismilaHh

  • @EliatoshaLema-rw5hm
    @EliatoshaLema-rw5hm Год назад +4

    Yaani azikwe kwa Imani yeyote Ile .Mungu Ndiye atakayejua kuwa marehemu moyoni mwake alikuwa anamwamini nani.maana yeye mwendo amemaliza hukumu ni juu ya mola.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад +1

    kwani km alibadilisha dini ni pow si atazikwa huko kwani shida iko wapi? mbele ya safari ni mungu.pekee ndo anajua dini aliyopenda ni ipi hukumu.anayo mungu pekee na siyo dini

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 Год назад +8

    Kama alionekana kujitenga na family inawezekana alibadilisha dini mwacheni tuu azikwe na wenzie

    • @neemambotola1139
      @neemambotola1139 Год назад +2

      Inaelekea alibadikisha din wakamtenga na yy akaamua Aishi maisha yake..ndio maana imekua ngumu hao kujua Kama amefariki ..sasa Kama walimtenga Yu hai why wamgombanie akiwa amefariki?? Wamuache tu..

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 Год назад +1

    HUSN LKHAATMA YAA RABBY

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Год назад

    Subhana Allah huu ni mtihani

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 5 месяцев назад

    Nilikutana na jamaa mzanzibar anasema yeye alishaondoka kwenye dini ya kiislamu ila anagopa kujitangaza kwasababu ya usalama wake.Kama unavyojua mtu akiacha uislam anatakiwa kuuwawa

  • @Neema-c3r
    @Neema-c3r Год назад +2

    Ata mkizika kipagan ni sawa maana roho yake na nafsi yake havipo nili mwili tu ndo mnayo hapo ikisha waozea ndo mtajua kuwa hiyo mwili haikuwa na kazi amebaki anawashangaa mnavyo teseka nafsi zenu

  • @SalumJohn-h2s
    @SalumJohn-h2s 3 месяца назад

    Yaan mie huwa wana nikera baadhi ya hawa makafiri wa kiislam

  • @aminaadam9914
    @aminaadam9914 Год назад +4

    Bin adamu twaishi vibaya. Tunakata kizazi kisha majuto. Allah atujaalie mwisho mwema indal maut 🤲🏾

  • @Muslim-gs6rn
    @Muslim-gs6rn Год назад +1

    Innalillah wainnaillayhi rajiuun 😢

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj Год назад

    Km karitad hiar yke Allah atupe mwisho mwema 🙂

  • @emmamga5495
    @emmamga5495 Год назад +3

    Hizi dini mbili zimekua Tatzo Zina tugawa sana katka jamii zetu

    • @svt3
      @svt3 Год назад +1

      Emma Mga: tatizo dini zenyewe zililetwa na wageni mababu zetu wakalazimishwa wazikubali,walio zipinga waliuwawa kikatili, ila mpaka leo sababu ya ujinga ya mtu mweusi na Akili ni nyeusi bado tunachukiana kwa dini za wageni

    • @kipupwefedede7130
      @kipupwefedede7130 Год назад +1

      ​@@svt3 nimekupenda bure una akili sana na nataman niwe pamoja na wewe

    • @svt3
      @svt3 Год назад

      @@kipupwefedede7130 asante ila ki ukweli tunasahau kwamba mu china na mjapani wangekuja mbele ya mzungu na Mwarabu kama saa hizi dini ni Buddha na Shinto

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Год назад

      Somen maandiko

    • @kipupwefedede7130
      @kipupwefedede7130 Год назад

      @@halimahbwelele694 umetosomesha wewe?

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Год назад

    Hatari

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Год назад +3

    Nilijua mtoto kumbe zee zima acha acheni akazikwe na wenzie

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Год назад +2

    Mtu hujitaabisha mwenyewe dunia sijui huko akhera

  • @fatmaissa5685
    @fatmaissa5685 Год назад +1

    Kaka yangu kama mwenyewe alijikataa mwacheni akazikwe huko

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад +1

    Mtihani kwakweli saivi watu wanachanganya dini hiyo ndio shida sasa lakini mtu azikwe na familia yake wakati wapo hai

  • @dppd4219
    @dppd4219 Год назад +2

    Sasa kumbe ni mtu mzima sasa mnagombania nn ikiwa ana family yake

  • @SalumJohn-h2s
    @SalumJohn-h2s 3 месяца назад

    Ubishi2 q'uran yenyew kinahua Alfu2

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 Год назад +2

    Kama kabadili dini mwacheni azikwe huko

  • @raiyansaleh9255
    @raiyansaleh9255 Год назад +2

    Dunia hiii unaona familia jamani familia tushikamane tusibaguane conflict inatokea Sasa wakati mtu amefariki aibu gani hii

  • @MwajumaOmary-l3u
    @MwajumaOmary-l3u Год назад

    Innalilah wainna ilaihi raajiun

    • @neemambotola1139
      @neemambotola1139 Год назад

      Maisha yanaumiza sana dia ..alafu mungu Wala SI wa hayo ...hayo ni ya kwetu sisi binadamu mungu hana ubaguzi mungu wetu ni WA wote

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 Год назад

    Utazika mtu vipi bila kuwajuulisha ndugu zake ?

  • @princechriss3654
    @princechriss3654 Год назад

    Nyie mnataabika tu ebu zikeni atajuana yeye na mungu wake

  • @neemambotola1139
    @neemambotola1139 Год назад +2

    Jamani habari kwanza...me naona hapo uyo marehemu alibadilisha dini ila familia ilimtenga ndio maana na yy alijitenga kwa maana huyo ni mtu mzima kwann ajitenge na hao kwann wasijue ina maana walimtenga huyo i know Muslim din mimi jaman yalishawahi kutikea kwa mtu wa karibu sana kabadirisha dini kaolewa ..akafariki mume analeta msiba kwa baba mkwe akasema sina mtoto kafil kama huyo huwez amin .yule marehemu kazikwa na mumewe kaacha watoto wadogo wote wametengwa nao nimakafiri so sad jamni usikie tu ..

    • @sagboison6297
      @sagboison6297 Год назад

      Mmh inauma wanaumri gani hao watoto

    • @reginalongwe8701
      @reginalongwe8701 Год назад

      Jamani sio vzr kwakweli

    • @neemambotola1139
      @neemambotola1139 Год назад

      @@sagboison6297 mi 5,2 inauma San Yani ..

    • @sagboison6297
      @sagboison6297 Год назад

      @@neemambotola1139 daaah nimeumia sana

    • @bintyk5149
      @bintyk5149 Год назад

      Jaman jaman watoto wanakua hawana makosa kuna wazazi wengine inakua hawajui dini kiundan. Apo wakukataliwa ni uyo aloritad tu😢 sio watoto lakini😢

  • @reginalongwe8701
    @reginalongwe8701 Год назад

    Alikuwa mu Khristo huyo mzee na alitengwa azikwe tu finish

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    😲🤦🏿‍♀️

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 Год назад

    Mwandishi kwa nini usiulize kwa nini mkristu na mwislam ilikuwaje"??mbona uulizi swali la msingi?

  • @jambo3751
    @jambo3751 Год назад

    Mwacheni akazikwe na wakristo
    Ameritadi huyo.Halafu unasema Kule kuna shemegi wenu..amemuoa kwa dini gani?!

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Год назад

    Mtihan wallah unazaliwa MUISLAMU halafu unartadi jmn

    • @hanifaomar7438
      @hanifaomar7438 Год назад

      Yaani niuzuni kwakweli

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 месяцев назад

      ​​@@hanifaomar7438Ukiwa giza unaweza kudhani dini inakupeka mbinguni kumbe ni uchafu mtupu, Mungu anahitaji watakatifu tu siyo wanaabudu dini

  • @mohdchuma78
    @mohdchuma78 Год назад

    Sasa uyo unaesema mkewe je kamuowa kw dini ipi?

  • @theafricaiknow6615
    @theafricaiknow6615 Год назад

    Sasa kumbe ni mtu mzima na familia yake inakuwaje mnamgombea?

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 Год назад

    Muna mumiza marehemu zikeni bana