NILAUMU MACHO PROFESSOR MK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 570

  • @hadijamwanana2471
    @hadijamwanana2471 2 года назад +67

    Nimejikuta machozi yananitoka nipo katika vuguvugu yamapenzi niliempenda kaongeza mke kaniacha naumwa hata Hali anijulii japo Bado mke kwake dah😭😭

  • @MselemIddi
    @MselemIddi Месяц назад +2

    Kilio cha penz kumbe kitambo sana tang enze ya wahenga, wazee mapenz yaliwatesa

  • @mwanamtama8096
    @mwanamtama8096 7 месяцев назад +3

    Najikuta machozi yananitoka sielewi napendwa au sipendwi😭😭

  • @chamnda1767
    @chamnda1767 Год назад +3

    baba anacharaza kinanda km hana akili vzr dahh salute sana afu uku anaimba saf salute once again big up aisee.

  • @hamidabdalla1814
    @hamidabdalla1814 2 года назад +6

    Dahh...noma sanaa namkubali sanaa huyuu jamaa mana anaimba kwa hisia zaidii

  • @MwajumaMrisho-em7yw
    @MwajumaMrisho-em7yw 2 месяца назад +2

    Naumizwa sana ktk mapenz,nilaumu macho yangu au moyo nambien

    • @MwajumaMrisho-em7yw
      @MwajumaMrisho-em7yw 2 месяца назад

      Nampenda sana mumewangu najikuta machozi yananitoka

    • @MwajumaMrisho-em7yw
      @MwajumaMrisho-em7yw 2 месяца назад +1

      ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @tamtamband
      @tamtamband  2 месяца назад +1

      Laumu vyote viwili usi laumu kimoja macho ndio ya awali mashakan kukutia moyo ukawa wa pili lawamani kuingia moyoo hauna akili jicho halina pazia

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 11 месяцев назад +1

    Jamani Zanzibar ni asili yao Taarab. Kwa makini mtu anaimba maneno ya maana na watu wanasikiliza. Ndio maana ya Taarab❤❤❤❤❤❤

  • @malindistandup1464
    @malindistandup1464 9 месяцев назад +4

    Imenigusa sana mpaka nahisi kulia perfect one

    • @FamilyVideos-pt1mo
      @FamilyVideos-pt1mo 2 месяца назад

      Regardless of who signs this song it still looks original

  • @husseinfatma6230
    @husseinfatma6230 2 года назад +7

    Umetonesha kidonda professor imewezaaa Sanaa 🔥🔥🔥

  • @siriwaziri2607
    @siriwaziri2607 8 месяцев назад +1

    Masha Allah nyimbo imenilenga mimi.wakumshauri cna akajua hali yangu.amenikimbia .😢😢😢😢

  • @prettyaydah434
    @prettyaydah434 2 года назад +4

    Full stres but sauti ndo imenkosha baba hongeraaaaaaaaaaaa😍wimboo umengusa nilaumu macho au moyo

  • @jerrjamary2649
    @jerrjamary2649 Год назад +1

    Usiuraumu MOYO yaraumu macho ndio yalioanza kuona na moyo umepokea daaaaaah neno kubwa sana from Mafia island Tam Tam band

  • @RamlaTumbaNitschke
    @RamlaTumbaNitschke Год назад +1

    Mie Hilo Piyano Nakupa Ene Kofiiiii. Tenaaaaa Naaa Athilika Kupendaaa Kitu Sichanguuu. Nilaumu Machooo Yangu Au Moyooo...NAMBIEEENI

  • @sultanhaji5264
    @sultanhaji5264 3 года назад +11

    Naomba ufanye cover ya sema kweli yako. Unapendeza zaidi ukiimba taarab za zamani

  • @khamismtaly3825
    @khamismtaly3825 2 года назад +8

    Mashallah nyimbo imenigusa sana sababu nipo ktk hali yamateso yamapenz

    • @tamtamband
      @tamtamband  2 года назад +1

      Pole Sana kaka

    • @faridamahir2338
      @faridamahir2338 2 года назад +2

      Tupo wengi tunaoteseka na mapnz

    • @juxjemc5768
      @juxjemc5768 2 года назад +1

      @@faridamahir2338 hata weee mwnamke wateseka??
      Mm nilijua tunaoteseka n cc wanaume

    • @faridamahir2338
      @faridamahir2338 2 года назад

      @@juxjemc5768 mapenzi hayana mke wala mume kaka

    • @juxjemc5768
      @juxjemc5768 2 года назад

      @@faridamahir2338 tobaaaa!!!!
      Baaas sawa tuendeleee kuteseka mwenzangu ila ukipata suluhisho utaniambia maana mm nitaaban tena

  • @fatmahrashidi1533
    @fatmahrashidi1533 Год назад +2

    😭😭😭😭😭😭😭🙌navyokupenda we kaka na huwa unaimba taarabu nizipendazo ..allah akuweke tu 🥰🥰🥰♥️

    • @tamtamband
      @tamtamband  Год назад

      Asante sana nawe mungu akupe umrimrefu pia

  • @omarysadiki9923
    @omarysadiki9923 2 месяца назад +3

    Asee ni Mimi kabisa.. nikasafiri kumfuata mtoto wa mama mkwe kipindi hicho kazi Bado sijapata aliponiona nilivyovaa kasema hapana.😢😢😢.
    Nikatafuta katoto nikatia kwenye omo week nne na kukanywesha supu buana buana wee ...katoto kakaiva mtaa mzima OMARY kaoa muarabu..❤❤❤😂😂.
    Yule tena akataka kulidandia wakati nampeleka wife chlini lazima nipige picha tunatembea niiweke status...
    Maua kipenzi nakupenda sana

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 2 года назад +2

    Kijana safi sana unaimba vizuri sana hlafu twaarab yenyewe kabisa haina shaka

  • @abdulaabdula2631
    @abdulaabdula2631 Год назад +3

    Hii songs nilikuw nkitaft kwli kwli nilion titok. Ila leo nmeipt daa. Song nzr sn inajumbe mzito 🇧🇷🇧🇷🇹🇿🇹🇿💯🔥

  • @SamudAbdu-bd3zj
    @SamudAbdu-bd3zj Год назад +3

    Huu wimbo Huwa unanifariji baada ya kupenda paspo pendwa...nyie shikamoo mapenz

  • @games4nuthin
    @games4nuthin 8 месяцев назад +2

    Many people don’t understand the talent this guy has, singing and playing piano simultaneously , this is a very difficult task

  • @AishaAmisi
    @AishaAmisi 5 месяцев назад +1

    Nalamu macho yg sioni wa kumpenda 😂😂

  • @aishamzee7123
    @aishamzee7123 2 года назад +4

    Huyo Dada hajapendezesha, kukatamauno , taarabu safii saana

  • @AliHussein-bc4ik
    @AliHussein-bc4ik Год назад +2

    Duh umenirogha kaka nahisi kisunzi cha mapenzi

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 2 года назад +3

    Umetisha mpendwa tarabu safi sana kiboko

  • @AA-pd4pz
    @AA-pd4pz Год назад +2

    Yani sisi watanzania kwa muziki mungu ametujalia hongera

  • @fatmambarouk8107
    @fatmambarouk8107 2 года назад +2

    Vitaaa umetisha broooo Safi sana kazi mzuri na tabasamu lako zuri au moyo nambieni teynaaaa lete matamu broooo

  • @suleimankariuki8752
    @suleimankariuki8752 Год назад +2

    💯💯💯💯 nyimbo inagusa na haichoshi kuskiza

  • @shufaamunir9814
    @shufaamunir9814 2 года назад +3

    Nyimbo nzuri lakini hawa kina dada wana laana na pia musituonyeshe ujinga wao

  • @faridamahir2338
    @faridamahir2338 2 года назад +12

    Nyimbo inanigusa panapo hasaaa cnt get tired of listenin to it

  • @sophiaayubu
    @sophiaayubu Год назад +1

    Mashaalla nyimbo nzuri sanaa waoooo

  • @eshasalim6969
    @eshasalim6969 2 года назад +26

    From Mombasa 🇰🇪 hii ndio Taarab sasa nice song MashAllah

  • @Salim-gaming244
    @Salim-gaming244 Год назад +1

    Nyimbo nzuri sana 🇿🇦 home sweet home

  • @samiralaakif
    @samiralaakif 2 года назад +3

    Kwa kweli sichoki kuisikiza hii nyimbo hongera prof umeweza

  • @user-qu5os5iz4u
    @user-qu5os5iz4u Год назад +1

    Mashaallah naipenda sana hii taraab natokea lamu hunipa faraja

  • @user-qu5os5iz4u
    @user-qu5os5iz4u Год назад +1

    Mm natokea lamu hunipa faraja naipenda sana hapo cna mume ❤

  • @Zainabmahege
    @Zainabmahege 3 месяца назад +1

    Mashaallah napo sikia hii nyimbo najiskia raaha Sana hizo ndio taarab

  • @MakayfuhMrsman-qm8cr
    @MakayfuhMrsman-qm8cr 9 месяцев назад +7

    Huwa naipenda lakin nikisikiza nalia wakat nyimbo inatoka nilikuwa single nikawa namkumbuka niliachana nae mana nilimpenda akanites nakunipiga ilikuwa ngum kusahau but maisha yakaenda nayo furaha sasa nimeolewa na alhamdulilah

    • @tamtamband
      @tamtamband  9 месяцев назад +2

      Ishalla mungu azid kukufungulia kher maisha yawe mazur kwakila hatua amin

    • @khadijashabani6167
      @khadijashabani6167 4 месяца назад

      Mashallah 🥰

    • @MselemIddi
      @MselemIddi Месяц назад

      Wkt nymbo inatoka wee ushaaliwa Wkt hata kweny zipu hujakarbia😂

  • @user-bt2bn2tw9z
    @user-bt2bn2tw9z 9 месяцев назад +1

    Kweli moyo umesalitika sababu ni macho yng

  • @user-dw3bl9vj3l
    @user-dw3bl9vj3l 10 месяцев назад +1

    Mashallah nyimbo hii mtunzi katunga jamani

  • @SmonTangas
    @SmonTangas Год назад +1

    Nipogeto nakurasabun Niko mpweke nani wakunipenda Dada vuvuzera no

  • @karimmohamed9447
    @karimmohamed9447 3 года назад +4

    Ongereni kwa kazi zenu nzuri ila mnachelewa kupoosti kazi zenu

    • @tamtamband
      @tamtamband  3 года назад +1

      Asante kaka tutajitahid tusichelewe maana tulikua tunajipanga natayar kazi zipo zakutosha

    • @karimmohamed9447
      @karimmohamed9447 3 года назад +1

      @@tamtamband nashkulu tunawasapoti kwa vyovyote vile ili Bendi yetu ifkie malengo

  • @aishaabd3483
    @aishaabd3483 Год назад +3

    Kweli nalaum macho yngu

    • @abdulhamidy8920
      @abdulhamidy8920 4 месяца назад

      Laumu moyo macho kazi yake kuona moyo ndio unachagua

  • @nusaebahkeis6774
    @nusaebahkeis6774 2 года назад +4

    Umeichapuza inekolea.kweli kweli

  • @Rahamijr
    @Rahamijr Месяц назад

    Macho yakiona ndo moyo ushaona top sana

  • @kokusima7400
    @kokusima7400 3 года назад +4

    Kaka ongera sana umeimba kweli

  • @fatmahamad6177
    @fatmahamad6177 Год назад +3

    Hilo bonge linajizalilisha tu hapo kiuno chenyewe kigumu

  • @robertmwaniki4235
    @robertmwaniki4235 11 месяцев назад +1

    Nalaumu macho yangu hayana pazia.

  • @beatricelichoti5028
    @beatricelichoti5028 2 года назад +3

    Nakwalika mombasa uniimbia kwa harusi yangu Ishallah

  • @mohamedyusuph3816
    @mohamedyusuph3816 Год назад +1

    Nasikiliza hapa inanifanya nikumbuke mbali Sana hii bonge la mwambao

  • @user-zl4gg5vw9w
    @user-zl4gg5vw9w 7 месяцев назад +1

    Unamanisha mambo mengi sana huwo wimbo kwakweli

  • @allycozo5072
    @allycozo5072 2 года назад +2

    Kazi nzuri brother....nitfurah sana ukiirudia Mazoea yana Tabu

  • @aishaomary6707
    @aishaomary6707 11 месяцев назад

    Mungu abariki kipaji chako kaka angu man hii nyumbo sio poka kabisa yaani sija wahi kuichoka kila ninapo sikiliza nyimbo nziri broo❤❤

  • @user-pg2cc3sk4y
    @user-pg2cc3sk4y Год назад +1

    Moyo na macho kipi chakulaumiwa

  • @aishaally3093
    @aishaally3093 2 года назад +3

    Mashaallah sichoki kuisikiliza

  • @AsuuVideo05
    @AsuuVideo05 7 месяцев назад +1

    I listen to this song 30 times a day month I mean daily it's super hot ❤..#kenya Lamu

  • @riyamaallydamwani8084
    @riyamaallydamwani8084 8 месяцев назад +1

    MASHALLAH PONGEZI ZAIDI KWAKO KIPAJI KIKUBWA SANAAAAAA 👏🏽

  • @samiraabdallah8699
    @samiraabdallah8699 2 года назад +2

    Wp weeh tam tam bend akuna kma w am from Oman 🇴🇲 ndugiako kutoka unguja nakukubal miaka mianane 🥰💯😅😅

  • @ashylab23
    @ashylab23 Год назад +13

    Getting goosebumps when listening... A Song with so many feelings 💖💖💖💖

  • @marshaly8473
    @marshaly8473 2 года назад +2

    Yenyewe iko juu sana 🔥🔥🔥🔥

  • @Monaish___mooon
    @Monaish___mooon Год назад +1

    Mashallah nilaumu macho yangu au moyo nambieni

  • @sharifeabdallah3247
    @sharifeabdallah3247 7 месяцев назад +1

    Unajua mpaka unajua teeeena go bro

  • @user-et2ix7rp3c
    @user-et2ix7rp3c 9 месяцев назад +1

    Nimependa sana nikiongeza mkee nitakuleta uniimbie

  • @samiralaakif8271
    @samiralaakif8271 2 года назад +3

    Hii nyimbo umeitendea haki hongera yako🥰

  • @yassinmumba8673
    @yassinmumba8673 2 года назад +2

    Lazma atakufkiria pindi tu akimaliza kuskiza hii nyimbo... #Yankolowski

  • @estermshuza5785
    @estermshuza5785 2 года назад +2

    Mapenzi mapenzi jamani kaka umepiga kwenye mshono nilaumu macho yangu au moyo nambieni 😭😭😭😭😭😭😭

  • @m.od.e.lb.o.y4898
    @m.od.e.lb.o.y4898 2 года назад +7

    Nyimbo kali imenifanya nkapata nimpendae siku nilio iskiza hii nyimbo

  • @fathyaomary4178
    @fathyaomary4178 2 года назад +1

    Nyimbo mzuri sana mashallah unajuwa unajuwa na tena yani nimeupenda sana😍😍

  • @khadijambegu103
    @khadijambegu103 2 года назад +1

    Daah nyimbo imenikosha sanaa

  • @aminaabdul6150
    @aminaabdul6150 Год назад +10

    I can't get over this song😭😭

  • @user-rh7gp7ks3g
    @user-rh7gp7ks3g 6 месяцев назад +1

    MaashaAllah nme ipenda sanaa yani

  • @salamahussein2071
    @salamahussein2071 2 года назад +2

    Hatareee, hii ndo taarabu inagonga kumoyoo

  • @lutfiakhatib469
    @lutfiakhatib469 Год назад +3

    Nice sauti mashallah nakupnda Bure 😘

  • @sabrinazuber5521
    @sabrinazuber5521 2 года назад +6

    Pambeeee Sana kiboko ya stress 😘

  • @user-pi7dd6fq2k
    @user-pi7dd6fq2k 11 месяцев назад +3

    Can't get enough of this song wallai❤

  • @maase2023
    @maase2023 9 месяцев назад +1

    Fani za wanawake zetu wa kiswahili ni hizi basi hakuna lingine!

  • @sylvesterowuor6516
    @sylvesterowuor6516 Год назад +4

    Wow!! Sauti tamu hii, na mpangilio wa ngoma ni wa ajabu

  • @malindistandup1464
    @malindistandup1464 9 месяцев назад

    Best song sijawahi sikia Fz from kenya

    • @games4nuthin
      @games4nuthin 8 месяцев назад

      U need to listen the original from bakari abedi

  • @nawal01
    @nawal01 2 года назад +2

    MashAllah ♥️♥️♥️ moyo wangu husikii jamanii...nilaumu lipi mie

    • @Amnesultan
      @Amnesultan 2 года назад +1

      Nawal bibie upo hapa pia hahaha

  • @saidmohamed8839
    @saidmohamed8839 Год назад +1

    Uko vizuri mzee

  • @malindistandup1464
    @malindistandup1464 9 месяцев назад +1

    Wonderful song Mashaallah I salute you haki

  • @bahatimgaya3623
    @bahatimgaya3623 Год назад +1

    Jmn huu Wimbo unanitoa machozi 😢Daah nakumbuka mbali sana

  • @atibz4570
    @atibz4570 2 года назад +3

    Honger San mk uko pwa honger kaka hongra San

  • @hidayaabdalla2854
    @hidayaabdalla2854 2 года назад +1

    Uko vizur sana utafika mbali

  • @daijuma3956
    @daijuma3956 2 года назад +1

    From tanzania🇹🇿hii ndio taarab asilia maqam ajam

  • @fatmaally1790
    @fatmaally1790 3 года назад +3

    Safi sana mzee baba

  • @m.mngereza456
    @m.mngereza456 Год назад +1

    Huu wimbo unanugusa na ndo nilivo hautoshi kusikiliza

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Год назад +1

    Huyu mwanamke wa kwanza kulala chin ni kujiainisha tu

  • @atibz4570
    @atibz4570 2 года назад

    Nauwomba uwo wimbo uwo ni meupenda San ni laum mcho yangu au moyo nambien uko swa honger

  • @nero7941
    @nero7941 Год назад +2

    😢😢😢 apa moyo ndio unashida

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 года назад +3

    usiweke hawa wasagaji wanaharibu tamaduni za Zanzibar

  • @chuumubaby7845
    @chuumubaby7845 2 года назад +9

    Mashallah nyimbo nzuri sana🇰🇪💃🙏

  • @chungabakari
    @chungabakari 3 месяца назад

    Mumeee akiongezaaa mkeee uwaaa unatakiwaaa kuona raaah kwani kapunguxa ka,z

  • @kimjey0012
    @kimjey0012 Год назад +1

    Listen from Qatar wimbo mzuri sana
    HONGERA KAKA keep it up 😍👊🔥💯❤

  • @mzeeabdalla9190
    @mzeeabdalla9190 2 года назад +1

    Napenda Sana nyimbo zako good idea

  • @charlesmwabili
    @charlesmwabili Год назад +1

    Taarab tamu iliyoharibiwa na picha mbaya hapo wimbo ukianza.

  • @athumanshadrack6065
    @athumanshadrack6065 2 года назад +8

    Excellent prof mk

  • @azizakea4209
    @azizakea4209 2 года назад +1

    Mm husikiza kila siku Yani haiishii siku bila 😘😘😘😘😘😘 ❤️

  • @RamadhanmakameHassan
    @RamadhanmakameHassan 2 месяца назад

    Hii kanyimbo kazuri sana shikamoo mapenzi

  • @AsuuVideo05
    @AsuuVideo05 7 месяцев назад +1

    Hii song ukimtumia mtu mpenzi wako.. usiku aipate asubuhi..ushammaliza😂😂