Asee ni Mimi kabisa.. nikasafiri kumfuata mtoto wa mama mkwe kipindi hicho kazi Bado sijapata aliponiona nilivyovaa kasema hapana.😢😢😢. Nikatafuta katoto nikatia kwenye omo week nne na kukanywesha supu buana buana wee ...katoto kakaiva mtaa mzima OMARY kaoa muarabu..❤❤❤😂😂. Yule tena akataka kulidandia wakati nampeleka wife chlini lazima nipige picha tunatembea niiweke status... Maua kipenzi nakupenda sana
Huwa naipenda lakin nikisikiza nalia wakat nyimbo inatoka nilikuwa single nikawa namkumbuka niliachana nae mana nilimpenda akanites nakunipiga ilikuwa ngum kusahau but maisha yakaenda nayo furaha sasa nimeolewa na alhamdulilah
Nimejikuta machozi yananitoka nipo katika vuguvugu yamapenzi niliempenda kaongeza mke kaniacha naumwa hata Hali anijulii japo Bado mke kwake dah😭😭
Pole Sana dadangu mungu atakujalia kheri inshallah
@@tamtamband amina
njoo kwangu
Pole sana
Laumu moyo wako Dada
Kilio cha penz kumbe kitambo sana tang enze ya wahenga, wazee mapenz yaliwatesa
Najikuta machozi yananitoka sielewi napendwa au sipendwi😭😭
baba anacharaza kinanda km hana akili vzr dahh salute sana afu uku anaimba saf salute once again big up aisee.
Dahh...noma sanaa namkubali sanaa huyuu jamaa mana anaimba kwa hisia zaidii
Asante kaka kwakunipokea nakaziyangu
Anajua maashaallh
@@tamtamband maashaallh Maashaallh
Naumizwa sana ktk mapenz,nilaumu macho yangu au moyo nambien
Nampenda sana mumewangu najikuta machozi yananitoka
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Laumu vyote viwili usi laumu kimoja macho ndio ya awali mashakan kukutia moyo ukawa wa pili lawamani kuingia moyoo hauna akili jicho halina pazia
Jamani Zanzibar ni asili yao Taarab. Kwa makini mtu anaimba maneno ya maana na watu wanasikiliza. Ndio maana ya Taarab❤❤❤❤❤❤
Imenigusa sana mpaka nahisi kulia perfect one
Regardless of who signs this song it still looks original
Umetonesha kidonda professor imewezaaa Sanaa 🔥🔥🔥
Masha Allah nyimbo imenilenga mimi.wakumshauri cna akajua hali yangu.amenikimbia .😢😢😢😢
Full stres but sauti ndo imenkosha baba hongeraaaaaaaaaaaa😍wimboo umengusa nilaumu macho au moyo
Asante
Usiuraumu MOYO yaraumu macho ndio yalioanza kuona na moyo umepokea daaaaaah neno kubwa sana from Mafia island Tam Tam band
Mie Hilo Piyano Nakupa Ene Kofiiiii. Tenaaaaa Naaa Athilika Kupendaaa Kitu Sichanguuu. Nilaumu Machooo Yangu Au Moyooo...NAMBIEEENI
Asante
Naomba ufanye cover ya sema kweli yako. Unapendeza zaidi ukiimba taarab za zamani
Mashallwaa 👍👍
Mashallah nyimbo imenigusa sana sababu nipo ktk hali yamateso yamapenz
Pole Sana kaka
Tupo wengi tunaoteseka na mapnz
@@faridamahir2338 hata weee mwnamke wateseka??
Mm nilijua tunaoteseka n cc wanaume
@@juxjemc5768 mapenzi hayana mke wala mume kaka
@@faridamahir2338 tobaaaa!!!!
Baaas sawa tuendeleee kuteseka mwenzangu ila ukipata suluhisho utaniambia maana mm nitaaban tena
😭😭😭😭😭😭😭🙌navyokupenda we kaka na huwa unaimba taarabu nizipendazo ..allah akuweke tu 🥰🥰🥰♥️
Asante sana nawe mungu akupe umrimrefu pia
Asee ni Mimi kabisa.. nikasafiri kumfuata mtoto wa mama mkwe kipindi hicho kazi Bado sijapata aliponiona nilivyovaa kasema hapana.😢😢😢.
Nikatafuta katoto nikatia kwenye omo week nne na kukanywesha supu buana buana wee ...katoto kakaiva mtaa mzima OMARY kaoa muarabu..❤❤❤😂😂.
Yule tena akataka kulidandia wakati nampeleka wife chlini lazima nipige picha tunatembea niiweke status...
Maua kipenzi nakupenda sana
Kijana safi sana unaimba vizuri sana hlafu twaarab yenyewe kabisa haina shaka
Hii songs nilikuw nkitaft kwli kwli nilion titok. Ila leo nmeipt daa. Song nzr sn inajumbe mzito 🇧🇷🇧🇷🇹🇿🇹🇿💯🔥
Asante
Huu wimbo Huwa unanifariji baada ya kupenda paspo pendwa...nyie shikamoo mapenz
Many people don’t understand the talent this guy has, singing and playing piano simultaneously , this is a very difficult task
Nalamu macho yg sioni wa kumpenda 😂😂
Huyo Dada hajapendezesha, kukatamauno , taarabu safii saana
Duh umenirogha kaka nahisi kisunzi cha mapenzi
Umetisha mpendwa tarabu safi sana kiboko
Yani sisi watanzania kwa muziki mungu ametujalia hongera
Asante
Vitaaa umetisha broooo Safi sana kazi mzuri na tabasamu lako zuri au moyo nambieni teynaaaa lete matamu broooo
💯💯💯💯 nyimbo inagusa na haichoshi kuskiza
Nyimbo nzuri lakini hawa kina dada wana laana na pia musituonyeshe ujinga wao
Nyimbo inanigusa panapo hasaaa cnt get tired of listenin to it
kwely
Wacha weee shuushah!
Good music
Mashaalla nyimbo nzuri sanaa waoooo
Asante
From Mombasa 🇰🇪 hii ndio Taarab sasa nice song MashAllah
Asante
Mashallaa
nyimbo ndio , ila bado hujamfikia mwenye nyimbo
@@tamtambandin
From Tanzania or
Nyimbo nzuri sana 🇿🇦 home sweet home
Asante sana
Kwa kweli sichoki kuisikiza hii nyimbo hongera prof umeweza
Asante sana
Mashaallah naipenda sana hii taraab natokea lamu hunipa faraja
Mm natokea lamu hunipa faraja naipenda sana hapo cna mume ❤
Mashaallah napo sikia hii nyimbo najiskia raaha Sana hizo ndio taarab
Huwa naipenda lakin nikisikiza nalia wakat nyimbo inatoka nilikuwa single nikawa namkumbuka niliachana nae mana nilimpenda akanites nakunipiga ilikuwa ngum kusahau but maisha yakaenda nayo furaha sasa nimeolewa na alhamdulilah
Ishalla mungu azid kukufungulia kher maisha yawe mazur kwakila hatua amin
Mashallah 🥰
Wkt nymbo inatoka wee ushaaliwa Wkt hata kweny zipu hujakarbia😂
Kweli moyo umesalitika sababu ni macho yng
Mashallah nyimbo hii mtunzi katunga jamani
Nipogeto nakurasabun Niko mpweke nani wakunipenda Dada vuvuzera no
Ongereni kwa kazi zenu nzuri ila mnachelewa kupoosti kazi zenu
Asante kaka tutajitahid tusichelewe maana tulikua tunajipanga natayar kazi zipo zakutosha
@@tamtamband nashkulu tunawasapoti kwa vyovyote vile ili Bendi yetu ifkie malengo
Kweli nalaum macho yngu
Laumu moyo macho kazi yake kuona moyo ndio unachagua
Umeichapuza inekolea.kweli kweli
Shukran sana
Macho yakiona ndo moyo ushaona top sana
Kaka ongera sana umeimba kweli
Asante sana
Hilo bonge linajizalilisha tu hapo kiuno chenyewe kigumu
Nalaumu macho yangu hayana pazia.
Nakwalika mombasa uniimbia kwa harusi yangu Ishallah
Ok Asante
Nasikiliza hapa inanifanya nikumbuke mbali Sana hii bonge la mwambao
Asante
Unamanisha mambo mengi sana huwo wimbo kwakweli
Kazi nzuri brother....nitfurah sana ukiirudia Mazoea yana Tabu
Ok
Mungu abariki kipaji chako kaka angu man hii nyumbo sio poka kabisa yaani sija wahi kuichoka kila ninapo sikiliza nyimbo nziri broo❤❤
Amin Asante sana
Moyo na macho kipi chakulaumiwa
Mashaallah sichoki kuisikiliza
I listen to this song 30 times a day month I mean daily it's super hot ❤..#kenya Lamu
MASHALLAH PONGEZI ZAIDI KWAKO KIPAJI KIKUBWA SANAAAAAA 👏🏽
Asante udugu
Wp weeh tam tam bend akuna kma w am from Oman 🇴🇲 ndugiako kutoka unguja nakukubal miaka mianane 🥰💯😅😅
Getting goosebumps when listening... A Song with so many feelings 💖💖💖💖
Yenyewe iko juu sana 🔥🔥🔥🔥
Mashallah nilaumu macho yangu au moyo nambieni
Unajua mpaka unajua teeeena go bro
Nimependa sana nikiongeza mkee nitakuleta uniimbie
Asante sana
Hii nyimbo umeitendea haki hongera yako🥰
Asante sana
Bado sijaipata ile ladha kamili
Bado Yuko hai huyu Kaka?
Lazma atakufkiria pindi tu akimaliza kuskiza hii nyimbo... #Yankolowski
Mapenzi mapenzi jamani kaka umepiga kwenye mshono nilaumu macho yangu au moyo nambieni 😭😭😭😭😭😭😭
Tena mdhono wa ndani
Tena mshono wa ndani
Laumu moyo
Nyimbo kali imenifanya nkapata nimpendae siku nilio iskiza hii nyimbo
Hahahahah
Maasha Allah
Nyimbo mzuri sana mashallah unajuwa unajuwa na tena yani nimeupenda sana😍😍
Asante sana
Unalau macho yake
Daah nyimbo imenikosha sanaa
I can't get over this song😭😭
Same here
Tuko wengi hii ni MASTER PIECE anikumbusha bhalo LEGEND
@@Generali.-yp9rk Sio Seif Salim
🤩
One of the best for sure
MaashaAllah nme ipenda sanaa yani
Hatareee, hii ndo taarabu inagonga kumoyoo
Nice sauti mashallah nakupnda Bure 😘
Pambeeee Sana kiboko ya stress 😘
Kwa kweli kibogo ya stress uwiiih
😭💯
Naaam
Can't get enough of this song wallai❤
Fani za wanawake zetu wa kiswahili ni hizi basi hakuna lingine!
Wow!! Sauti tamu hii, na mpangilio wa ngoma ni wa ajabu
Asante sana
Sanaaaaa tu
Best song sijawahi sikia Fz from kenya
U need to listen the original from bakari abedi
MashAllah ♥️♥️♥️ moyo wangu husikii jamanii...nilaumu lipi mie
Nawal bibie upo hapa pia hahaha
Uko vizuri mzee
Wonderful song Mashaallah I salute you haki
Jmn huu Wimbo unanitoa machozi 😢Daah nakumbuka mbali sana
Heee pole sana
Honger San mk uko pwa honger kaka hongra San
Hongera San
Asante
Asante Sana
Uko vizur sana utafika mbali
From tanzania🇹🇿hii ndio taarab asilia maqam ajam
Safi sana mzee baba
Asante
Huu wimbo unanugusa na ndo nilivo hautoshi kusikiliza
Huyu mwanamke wa kwanza kulala chin ni kujiainisha tu
Nauwomba uwo wimbo uwo ni meupenda San ni laum mcho yangu au moyo nambien uko swa honger
😢😢😢 apa moyo ndio unashida
usiweke hawa wasagaji wanaharibu tamaduni za Zanzibar
Mashallah nyimbo nzuri sana🇰🇪💃🙏
great!.
Sanaa
Nzuuri saana tena saana ❤
Mumeee akiongezaaa mkeee uwaaa unatakiwaaa kuona raaah kwani kapunguxa ka,z
Listen from Qatar wimbo mzuri sana
HONGERA KAKA keep it up 😍👊🔥💯❤
Asante sana
Napenda Sana nyimbo zako good idea
Asante sana
Taarab tamu iliyoharibiwa na picha mbaya hapo wimbo ukianza.
Excellent prof mk
Mm husikiza kila siku Yani haiishii siku bila 😘😘😘😘😘😘 ❤️
Asante sana
Hii kanyimbo kazuri sana shikamoo mapenzi
Hii song ukimtumia mtu mpenzi wako.. usiku aipate asubuhi..ushammaliza😂😂