Hata mie nashangaa jaman mie nilikutan narafiki mmoja wa mwanza tulikuw wote huku oman yy sai yupo TZ NIKAMTUMA KWETU ALICHO FANYA HUKO NYUMBAN MUNGU NDO ANAJUE
Japokua akina zaii tunamidomooo lkn sisi niwaaminifuu sanaah mm pia shemeji ang alinitongoza namchukia kinomaa yan nikamwambia rfk ang uzuri alinielewa na anajua nadeal na mtu wa aina gan😢😢😢
Jamaniii kumbee wapo marafiki kama hawa jamaniii nimelia sana 😢 mungu nipe rafiki kama huyu ni mkweli sana jamaniii marafiki wapo kama hawa ✌️
Mm hap nipo kipenz tupo wote kwa anko j mpka huk tupo wote
Mm natafut bff kwakwel
Jamani hawa marafiki wahivi kumbe bado wapo🎉🎉
Tupo mamy nihofu ya Mungu tu inachangia
Hata mie nashangaa jaman mie nilikutan narafiki mmoja wa mwanza tulikuw wote huku oman yy sai yupo TZ NIKAMTUMA KWETU ALICHO FANYA HUKO NYUMBAN MUNGU NDO ANAJUE
@@user-ls2nq2eq3l kumbe wapo duuh
Huyu dada aliigiza kwenye Shilling alikua na tabia nzuri sana nikajua ni kwenye kuigiza tu kumbe hadi uhalisia kwa kweli upewe maua yako🌹🌹🌹
Jamn team shilling 😁😁
Japokua akina zaii tunamidomooo lkn sisi niwaaminifuu sanaah mm pia shemeji ang alinitongoza namchukia kinomaa yan nikamwambia rfk ang uzuri alinielewa na anajua nadeal na mtu wa aina gan😢😢😢
hujui kuongea kiingereza mr uky, acha swagga za english unaharibu...ongea kiswahili acha kujichanganya
Mwaminifu sana uyu mdada rafiki mzuri👌🤗
Tangia nianze kuangalia ivi vt ndo kwnza nimeona rafiki muaminifu
Namtafuta rafiki kama huyu😅😅😅😅
Tuko wengi tunaowatafuta
Niko hapa mpz
Niko hapa nitafute baby tuwe marafiki wa kudumu
Mbona kevooo tu kila siku 😂😂
Yani😂😂😂
😂😂😂 kuna kajambo na haya majina
Mm adi naogopa na nina bwana anaitwa kevoo na nampenda kama nn😢
Hawa wakina kevoo hawa 😂😂..
Tuache
Matatizo tu😂😂😂😂
Haya ma kevoo mbona moto chini sana.😢😢😢
Asee Mungu angenijalia kupata lafiki km huyu asee ningetamba sana ❤asee lafiki mzuli sana
Mbn kam huy dad kaigz shilingi alkua anmpend David jmn
Zai naomba niwe rafiki yako, unaupendo wa dhati kwakweli❤❤
Rafiki nzuri sana
Kwani apo kwa mwana mnaficha nini jaman kama katoka kwake kavaa Ivo c mtuachie na sisi tuone 🤣😝
Ili jina Leo mara ya pili nalisikia kevo😅😅😅
Nais kama waongo hawa maana kevo
Kevoo on fire atawamaliza wa dada 😂😂😂
Mr uky kiingeleza kingi chann dada kashakuchana mapema haelewi😅😅
Mr uky jaman naomba muendelezo😢
Akija mkaka anaitwa Keivoo kuniaprochi ntakimbia mbio maana hichi kipindi naona Makeivoo wote wasumbufu😂😂😂😂
Sana kevoo wametishaaa
We are good
Me ndio maan msela tu mashoga udugu rafiki tupakuleee😅endeleni na urafiki wenu
Mwendelezo
She is a good girl ❤
Ni vile tu mdada hajamuelewa huyo jamaa, vinginevyo asingesema anasumbuliwa.
Mbona akina kevo walilaaniwa na Nani mbona wameandamwa na matukio hv 😂😂😂😂😂
Haya ni maigizo bwana😂
Mbona mnamfunika nawakati nguo kavaa mwenyewe
Mnanikera na icho kimvul s ameamua mwenyewe kuvaa ivyo wa2 wangap wamemuona uko njian achen na ss tuone
Jamni mwendelezo
Kama ni mwanaume wa Buza basi kwishaaa😅😅😅
Part2 jamani kevoo anadhalilika vibaya 😂😂😂
Jaman kwann mnanfunika
Mmmmmmh mnaona kama mm😢😢
Huyu dada zai mbna nishamuoan kwenye movie jamn waooh uko vzr
hawa wana act kutengeneza content...sio ukweli haya maigizo
@@bushbabytz itakuw kwel
Kina kevoo jmn 😂😂😂wanaongoza kwa Mr Uk
Yooooh uyu dada anaroho nzuli sana sijaamini🎉❤🤑
Kwani kina kevo mna nn lkn😂😂😂😂
Ni kumfata Mr uky tuuu, kunifata mm aaaaah
Jamani kina kevoo mnanini mmh
Tunajiaminiiiii huyo zai tumelandana majina hadi tabia hatupendi ujinga
Rafiki was faida😍👌
Uyu dada rafik bor sana
Mwendelezo mbona hulet kaka unafeli wapi?
Ila we jamaa mbn stor zako nizakutengeneza naona km kiredio anakupiga babao kazi zake
Ahooo kumbe kelvo ok amna shidooo
Kelvo nae ni mwanaume wa kujivunia kweli? 🤣
Kwani kutongoza ni nin s kawaida2 Jaman 😅😂 zai naee angempaaa2 afu amuambia marufuku hahahahaha 🤣
Shemej KVo mwenyewe ndyo aliyeingia mtumbwin apo nyuma yao kuvua samak?😂😂😂😂😂
😅😅😅😅Umetisha kaka
Mwendlezo ndo ttzo
Mwendelezo mr uk una post nusu nusu...
ili likaka lina kingereza kimoja situation baba ongea kiswahili kimoja izo like seriously ni manini for sure
Lafki mzury 🎉
Uwe unabadilisha majina, kevoo linajirudia movie hainogi
Nimekupenda bule
mmmh sitaki kuamini uyu kevo ana pesa angekua na pesa sizani kama ungeweza kumkataa
Acha kifua hicho an wew unaona aibu wakt mwenywe anedhamilia kuvaa hivyo ungeacha hivyo2
Mnaficha hzo katambili hpo kifuan kwann
Mbn imeisha mapema naatujasikiy
Mbona waziba kifua😅.. mr
Anaziba matiti yapo njee 😢😢 kifupi kifua kipo wazi sana
Yeye hajakifunika vip www ukifunike😅😅@@ukhtymwana40
Ety jmn kama kawez kutembea ivyo Mr uky unaziba nn
Ata mm nimeshangaa kutoka kwenye sura adi kifuwa heee Mr uky😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤠🤠🤠🤠🤠🤠
Kwani so kavaaa mwenyewe acha Kaká zetu waone mambo ayo
Si alisema ni miaka miwili. Af badae miaka mitano
Pt2 jamani 😅😅😅😅😅ila mashem
Mm na kev wangu tumekaa maiaka minne na nusu na mwezi huu tumeachana kina kevo ni malaya hatar ila wanajua kutunza
Ivi nyie mnawajua hao kina keivoo au mnawasikua😂😂ni zaidi ya kitunguu maji hawachokag kutoka mtu machozi na wapppo😋
Duuuh Kwani wakina kevoo mnanini 😅😅😅😅
Mwanamke huyu mjinga san unamwamin mwanaume kiyasi hicho utafikir wamezaliw nae jinga san hili sijui la wap
The situation,like serious,thats why,....jmn mr UK
First to comment..😅
Mr situweshen😂😂
Muendelezo jamani Mr uk
Why kevooo always😂😂😂😂
Tunaomba part 2 bhna Mr uky
Sasa Mbona Wee Mbona Unaangalia Kifua Sisi Watamazaji Wako Unatuzibia Kakaa😢😢
😂😂😂roho inakuuma
Upload next part jaman 😢
Wakina kevoo wako nashida akii kheee
Majina ya zai cy malaya
plz mr uky jitahid bas kuwahisha part 2 maana kuna nyingine ndo hukupost kabisaaa part two
Kevo wanadunia yao 🤣🤣🤣🤣
Uongo mtupu kila siku jina moja tu kevoo
Tunaomba pati 2 jamani
Mwana n mm jmn uwiiii
Mbona kevoo kila siku hili jina la kevooo
Wadada tuwajulie kina kevo na tuwaogope
Lina kipepo flan hivi🤣
Next please 🙏🏽
Jamn nyie naomb tu unanifanyie challenge plz 🙏🙏🙏 San Niko arusha njiro nawaomba San
Yaan mwanaume anaitwa kev unamwamin heeeh hawa watu wanakuaga kama wamelogwa na majina yao
Nimeipenda location tuu
Mbna imeshia ptam
Daaah😢😢
Part two please 😅😅😅
Mbona clip zako kila watu k voo
Haya majina ya kevo ni shida
😂😂😂acha ujiga siumbolok haw wtoto 2002 hajielewi alafu wanapeda umaarufu
Jamn nikiangalia daah mmh😢
Mimi naona jina la kevo kila siku jina hili Hilo kevoo .
Mr Uk mbona humaliziga party 2?
Awo kina kvoo mbona wasumbufu ivyoo
Kwan uyo kvo ni yupi mbona wanawake wengi wanaitaja iyo jina
Mwendelezo 😂
Sasa unamziba wa nini wakati ye kaamua kutoka hivo 😢
Jmn kevoo tena😂
Ndio umuumbue si mngeyajenga nje ya camera