SHEMEJI KAFUNGUKA UKWELI WOTE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 июн 2024

Комментарии • 197

  • @Shadia544
    @Shadia544 3 дня назад +16

    Jamaniii kumbee wapo marafiki kama hawa jamaniii nimelia sana 😢 mungu nipe rafiki kama huyu ni mkweli sana jamaniii marafiki wapo kama hawa ✌️

  • @user-dr3qu6ow5v
    @user-dr3qu6ow5v 3 дня назад +28

    Jamani hawa marafiki wahivi kumbe bado wapo🎉🎉

    • @user-ls2nq2eq3l
      @user-ls2nq2eq3l 3 дня назад +1

      Tupo mamy nihofu ya Mungu tu inachangia

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 3 дня назад +1

      Hata mie nashangaa jaman mie nilikutan narafiki mmoja wa mwanza tulikuw wote huku oman yy sai yupo TZ NIKAMTUMA KWETU ALICHO FANYA HUKO NYUMBAN MUNGU NDO ANAJUE

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 3 дня назад

      ​@@user-ls2nq2eq3l kumbe wapo duuh

  • @user-jo8ci2jg5j
    @user-jo8ci2jg5j 2 дня назад +3

    Huyu dada aliigiza kwenye Shilling alikua na tabia nzuri sana nikajua ni kwenye kuigiza tu kumbe hadi uhalisia kwa kweli upewe maua yako🌹🌹🌹

  • @zainabadam123
    @zainabadam123 3 дня назад +5

    Japokua akina zaii tunamidomooo lkn sisi niwaaminifuu sanaah mm pia shemeji ang alinitongoza namchukia kinomaa yan nikamwambia rfk ang uzuri alinielewa na anajua nadeal na mtu wa aina gan😢😢😢

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 3 дня назад +8

    hujui kuongea kiingereza mr uky, acha swagga za english unaharibu...ongea kiswahili acha kujichanganya

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 3 дня назад +20

    Mwaminifu sana uyu mdada rafiki mzuri👌🤗

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 3 дня назад +1

      Tangia nianze kuangalia ivi vt ndo kwnza nimeona rafiki muaminifu

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 3 дня назад +13

    Namtafuta rafiki kama huyu😅😅😅😅

  • @gidoalfred8460
    @gidoalfred8460 3 дня назад +9

    Mbona kevooo tu kila siku 😂😂

    • @rechalmshana1293
      @rechalmshana1293 3 дня назад

      Yani😂😂😂

    • @rukiamtego
      @rukiamtego 3 дня назад

      😂😂😂 kuna kajambo na haya majina

    • @user-dc2nr7pu9y
      @user-dc2nr7pu9y 2 дня назад +1

      Mm adi naogopa na nina bwana anaitwa kevoo na nampenda kama nn😢

  • @hellenasylivester1067
    @hellenasylivester1067 3 дня назад +12

    Hawa wakina kevoo hawa 😂😂..

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 3 дня назад +3

    Haya ma kevoo mbona moto chini sana.😢😢😢

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e 3 дня назад

    Asee Mungu angenijalia kupata lafiki km huyu asee ningetamba sana ❤asee lafiki mzuli sana

  • @Zuwena-ju9xx
    @Zuwena-ju9xx День назад +1

    Mbn kam huy dad kaigz shilingi alkua anmpend David jmn

  • @user-no7pz1bz4y
    @user-no7pz1bz4y 3 дня назад

    Zai naomba niwe rafiki yako, unaupendo wa dhati kwakweli❤❤

  • @user-yi1lb8pb1w
    @user-yi1lb8pb1w 3 дня назад +6

    Rafiki nzuri sana

  • @NasmaMfinanga
    @NasmaMfinanga 2 дня назад +2

    Kwani apo kwa mwana mnaficha nini jaman kama katoka kwake kavaa Ivo c mtuachie na sisi tuone 🤣😝

  • @user-ew3zj8ig4n
    @user-ew3zj8ig4n 3 дня назад +5

    Ili jina Leo mara ya pili nalisikia kevo😅😅😅

  • @JacklinedamianMtweve
    @JacklinedamianMtweve День назад

    Kevoo on fire atawamaliza wa dada 😂😂😂

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413 2 дня назад +1

    Mr uky kiingeleza kingi chann dada kashakuchana mapema haelewi😅😅

  • @Kono_well
    @Kono_well 3 дня назад +5

    Mr uky jaman naomba muendelezo😢

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 3 дня назад +3

    Akija mkaka anaitwa Keivoo kuniaprochi ntakimbia mbio maana hichi kipindi naona Makeivoo wote wasumbufu😂😂😂😂

  • @estherlisahelifuraha9312
    @estherlisahelifuraha9312 2 дня назад

    Me ndio maan msela tu mashoga udugu rafiki tupakuleee😅endeleni na urafiki wenu

  • @ElidahJemes
    @ElidahJemes 3 дня назад +5

    Mwendelezo

  • @GLORIARESPICIUS-xl4gr
    @GLORIARESPICIUS-xl4gr 3 дня назад +2

    She is a good girl ❤

  • @petroprenge8716
    @petroprenge8716 2 дня назад

    Ni vile tu mdada hajamuelewa huyo jamaa, vinginevyo asingesema anasumbuliwa.

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz 3 дня назад

    Mbona akina kevo walilaaniwa na Nani mbona wameandamwa na matukio hv 😂😂😂😂😂

  • @LovelyDeer-kp4nx
    @LovelyDeer-kp4nx 2 дня назад

    Haya ni maigizo bwana😂

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 2 дня назад

    Mbona mnamfunika nawakati nguo kavaa mwenyewe

  • @NissileStephen
    @NissileStephen 3 дня назад

    Mnanikera na icho kimvul s ameamua mwenyewe kuvaa ivyo wa2 wangap wamemuona uko njian achen na ss tuone

  • @user-qh2cl3yb1m
    @user-qh2cl3yb1m 2 дня назад

    Jamni mwendelezo

  • @user-rh6qv5up6m
    @user-rh6qv5up6m 2 дня назад

    Kama ni mwanaume wa Buza basi kwishaaa😅😅😅

  • @nininahazweshakila6681
    @nininahazweshakila6681 3 дня назад +1

    Part2 jamani kevoo anadhalilika vibaya 😂😂😂

  • @MrishoAlly-j7p
    @MrishoAlly-j7p 2 дня назад

    Jaman kwann mnanfunika

  • @peninanelson1380
    @peninanelson1380 День назад

    Mmmmmmh mnaona kama mm😢😢

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 3 дня назад

    Huyu dada zai mbna nishamuoan kwenye movie jamn waooh uko vzr

  • @naomilyoto1977
    @naomilyoto1977 3 дня назад

    Kina kevoo jmn 😂😂😂wanaongoza kwa Mr Uk

  • @Aishatheboss117
    @Aishatheboss117 3 дня назад

    Yooooh uyu dada anaroho nzuli sana sijaamini🎉❤🤑

  • @user-ce2lm5on3p
    @user-ce2lm5on3p День назад

    Kwani kina kevo mna nn lkn😂😂😂😂

  • @user-gf1rp6ve7q
    @user-gf1rp6ve7q 3 дня назад

    Ni kumfata Mr uky tuuu, kunifata mm aaaaah

  • @Stella-oh3my
    @Stella-oh3my День назад

    Jamani kina kevoo mnanini mmh

  • @ZainabuAhmad-u1k
    @ZainabuAhmad-u1k 2 дня назад

    Tunajiaminiiiii huyo zai tumelandana majina hadi tabia hatupendi ujinga

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 3 дня назад

    Rafiki was faida😍👌

  • @ninaseleman5738
    @ninaseleman5738 3 дня назад +2

    Uyu dada rafik bor sana

  • @user-ls2nq2eq3l
    @user-ls2nq2eq3l 3 дня назад

    Mwendelezo mbona hulet kaka unafeli wapi?

  • @muddyramadhan3255
    @muddyramadhan3255 2 дня назад

    Ila we jamaa mbn stor zako nizakutengeneza naona km kiredio anakupiga babao kazi zake

  • @jackstar508
    @jackstar508 3 дня назад

    Ahooo kumbe kelvo ok amna shidooo

  • @user-tp4vd9mh2b
    @user-tp4vd9mh2b 3 дня назад

    Kelvo nae ni mwanaume wa kujivunia kweli? 🤣

  • @Ngufuboy
    @Ngufuboy 3 дня назад

    Kwani kutongoza ni nin s kawaida2 Jaman 😅😂 zai naee angempaaa2 afu amuambia marufuku hahahahaha 🤣

  • @wakembetajaphary6006
    @wakembetajaphary6006 2 дня назад +1

    Shemej KVo mwenyewe ndyo aliyeingia mtumbwin apo nyuma yao kuvua samak?😂😂😂😂😂

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 3 дня назад +2

    Mwendlezo ndo ttzo

  • @jumaomary7615
    @jumaomary7615 3 дня назад

    Mwendelezo mr uk una post nusu nusu...

  • @user-rt1nk2pt6d
    @user-rt1nk2pt6d День назад

    ili likaka lina kingereza kimoja situation baba ongea kiswahili kimoja izo like seriously ni manini for sure

  • @user-im2qb8ub2j
    @user-im2qb8ub2j 3 дня назад

    Lafki mzury 🎉

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 3 дня назад

    Uwe unabadilisha majina, kevoo linajirudia movie hainogi

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 3 дня назад

    Nimekupenda bule

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 3 дня назад +1

    mmmh sitaki kuamini uyu kevo ana pesa angekua na pesa sizani kama ungeweza kumkataa

  • @MwanaidYahaya-xp4fw
    @MwanaidYahaya-xp4fw 3 дня назад

    Acha kifua hicho an wew unaona aibu wakt mwenywe anedhamilia kuvaa hivyo ungeacha hivyo2

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 2 дня назад

    Mnaficha hzo katambili hpo kifuan kwann

  • @JeanneMwamini
    @JeanneMwamini 3 дня назад

    Mbn imeisha mapema naatujasikiy

  • @agnessimon6320
    @agnessimon6320 3 дня назад +12

    Mbona waziba kifua😅.. mr

    • @ukhtymwana40
      @ukhtymwana40 3 дня назад +1

      Anaziba matiti yapo njee 😢😢 kifupi kifua kipo wazi sana

    • @HjGh-cv9oh
      @HjGh-cv9oh 3 дня назад

      Yeye hajakifunika vip www ukifunike😅😅​@@ukhtymwana40

    • @user-yn8yj5xf2p
      @user-yn8yj5xf2p 3 дня назад +2

      Ety jmn kama kawez kutembea ivyo Mr uky unaziba nn

    • @MrsmasandunjeMrsmasandunje
      @MrsmasandunjeMrsmasandunje 3 дня назад +2

      Ata mm nimeshangaa kutoka kwenye sura adi kifuwa heee Mr uky😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤠🤠🤠🤠🤠🤠

    • @MrsmasandunjeMrsmasandunje
      @MrsmasandunjeMrsmasandunje 3 дня назад +2

      Kwani so kavaaa mwenyewe acha Kaká zetu waone mambo ayo

  • @dorcaskilimba4412
    @dorcaskilimba4412 2 дня назад

    Si alisema ni miaka miwili. Af badae miaka mitano

  • @user-je1kw8dv6b
    @user-je1kw8dv6b 3 дня назад

    Pt2 jamani 😅😅😅😅😅ila mashem

  • @LilianiMeena
    @LilianiMeena 3 дня назад

    Mm na kev wangu tumekaa maiaka minne na nusu na mwezi huu tumeachana kina kevo ni malaya hatar ila wanajua kutunza

  • @ZuhershyAbuubakary
    @ZuhershyAbuubakary 3 дня назад

    Ivi nyie mnawajua hao kina keivoo au mnawasikua😂😂ni zaidi ya kitunguu maji hawachokag kutoka mtu machozi na wapppo😋

  • @HawaMohammed-hk6bo
    @HawaMohammed-hk6bo 3 дня назад

    Duuuh Kwani wakina kevoo mnanini 😅😅😅😅

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 дня назад

    Mwanamke huyu mjinga san unamwamin mwanaume kiyasi hicho utafikir wamezaliw nae jinga san hili sijui la wap

  • @JoyceSteven-tu2fi
    @JoyceSteven-tu2fi 3 дня назад

    The situation,like serious,thats why,....jmn mr UK

  • @agnessimon6320
    @agnessimon6320 3 дня назад +3

    First to comment..😅

  • @dottocharles9645
    @dottocharles9645 3 дня назад

    Mr situweshen😂😂

  • @felistercharles
    @felistercharles 3 дня назад

    Muendelezo jamani Mr uk

  • @HappyAdam-tf6ow
    @HappyAdam-tf6ow 3 дня назад

    Why kevooo always😂😂😂😂

  • @TupeEdda
    @TupeEdda 3 дня назад

    Tunaomba part 2 bhna Mr uky

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 3 дня назад

    Sasa Mbona Wee Mbona Unaangalia Kifua Sisi Watamazaji Wako Unatuzibia Kakaa😢😢

  • @hellenasylivester1067
    @hellenasylivester1067 3 дня назад +2

    Upload next part jaman 😢

  • @SanjerSiamon
    @SanjerSiamon День назад

    Wakina kevoo wako nashida akii kheee

  • @ZainabuAhmad-u1k
    @ZainabuAhmad-u1k 2 дня назад

    Majina ya zai cy malaya

  • @user-tp3ct2vq5h
    @user-tp3ct2vq5h 3 дня назад

    plz mr uky jitahid bas kuwahisha part 2 maana kuna nyingine ndo hukupost kabisaaa part two

  • @winfridahubert4072
    @winfridahubert4072 3 дня назад

    Kevo wanadunia yao 🤣🤣🤣🤣

  • @MwanaidiSaid-qt2st
    @MwanaidiSaid-qt2st 2 дня назад

    Uongo mtupu kila siku jina moja tu kevoo

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 3 дня назад

    Tunaomba pati 2 jamani

  • @MwanaloveBou
    @MwanaloveBou 3 дня назад

    Mwana n mm jmn uwiiii

  • @mathnaasaa2166
    @mathnaasaa2166 3 дня назад +1

    Mbona kevoo kila siku hili jina la kevooo

  • @mimiyealycia8937
    @mimiyealycia8937 3 дня назад

    Next please 🙏🏽

  • @LeahPhilipo-kx8yn
    @LeahPhilipo-kx8yn 3 дня назад

    Jamn nyie naomb tu unanifanyie challenge plz 🙏🙏🙏 San Niko arusha njiro nawaomba San

  • @LilianiMeena
    @LilianiMeena 3 дня назад

    Yaan mwanaume anaitwa kev unamwamin heeeh hawa watu wanakuaga kama wamelogwa na majina yao

  • @aaliyahloubna8919
    @aaliyahloubna8919 3 дня назад

    Nimeipenda location tuu

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 3 дня назад

    Mbna imeshia ptam

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa 3 дня назад +2

    Daaah😢😢

  • @CuteMaryam818
    @CuteMaryam818 3 дня назад

    Part two please 😅😅😅

  • @tanzaboy4824
    @tanzaboy4824 3 дня назад

    Mbona clip zako kila watu k voo

  • @tedyclent8429
    @tedyclent8429 3 дня назад

    Haya majina ya kevo ni shida

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 3 дня назад

    😂😂😂acha ujiga siumbolok haw wtoto 2002 hajielewi alafu wanapeda umaarufu

  • @BwireMsafiri
    @BwireMsafiri 3 дня назад

    Jamn nikiangalia daah mmh😢

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 3 дня назад

    Mimi naona jina la kevo kila siku jina hili Hilo kevoo .

  • @user-rg2ul3ez5e
    @user-rg2ul3ez5e 3 дня назад

    Mr Uk mbona humaliziga party 2?

  • @Aisha-qg5mj
    @Aisha-qg5mj 3 дня назад

    Awo kina kvoo mbona wasumbufu ivyoo

  • @bdvc7107
    @bdvc7107 3 дня назад

    Kwan uyo kvo ni yupi mbona wanawake wengi wanaitaja iyo jina

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 3 дня назад

    Mwendelezo 😂

  • @deborahmchona5584
    @deborahmchona5584 2 дня назад

    Sasa unamziba wa nini wakati ye kaamua kutoka hivo 😢

  • @AminaAbdul-qk8sl
    @AminaAbdul-qk8sl 3 дня назад

    Jmn kevoo tena😂

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 3 дня назад

    Ndio umuumbue si mngeyajenga nje ya camera