APIGA BILIONI 1.2 ZA SPORTPESA /MBINU ZA USHINDI/ MKE APAGAWA/ SIMU 300 KUTOKA KWA MARAFIKI/ MSHINDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2022
  • Mshindi wa Bilioni 1.2, Florian Valerian Massawe amesema kabla hata ya kutangazwa na SportPesa kuwa mshindi alijaribu kuficha ukweli wa ushindi wake mpaka atakapothibitishwa lakini alishangaa kuona simu zaidi ya 300 akipigiwa kutoka kwa marafiki.
    Serikali imepata kodi ya Shilingi Milioni 188 kutoka Fabian Massawe baada ya kushinda Jackpot hiyo iliyotokana na kubashiri michezo 13 za ligi mbalimbali duniani..
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 64

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 года назад +7

    Siku zote tunaoumia ni sisi watu wa kubashiri sio timu yenyewe 🙌🙌🙌🙌👏👏👏😀

  • @JosephMhecha
    @JosephMhecha 9 месяцев назад +1

    Hongera sana bwana Masawe. Naamini na sisi pia ipo siku tutashinda.

  • @mussamkalawa2101
    @mussamkalawa2101 2 года назад +5

    Hongera sana ndugu yangu ngoja namimi niendelee kupambana ipo siku ntapata kama wewe

  • @philiplenardsylvester6063
    @philiplenardsylvester6063 2 года назад +3

    Kweli kabsa iyo jackpot ilikuwa ngumu ,ila jamaa katoboa , hongera zako jamaa

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 года назад +6

    Hongera Sana hiyo kauli ya kusema IPO siku nitashinda hata Mimi hua nawaambiaga Sana jamaa zanga na nacheza Sana spoti pesa pamoja sasaivi jakport imeshuka Hadi milini Mia mbili lakini bado siachi kucheza maana hata uliposhinda wewe nilitumiwa sms na spoti pesa Kama mdau wao kua jackpot imepata mshindi hivo nilitamani Sana kujua huyu mshindi ni Nani hongera Sana Sana hakika maisha yako yameshabadilika gafla

    • @bentez911
      @bentez911 2 года назад

      Kumbe uwa wanatuma msg kam kuna mtu ameshinda

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 года назад

      @@bentez911 ukiwa unachezaga jackpot unatumiwa sms Kama jackpot imepata mshindi

  • @JoviniFaida-uj5qb
    @JoviniFaida-uj5qb 8 месяцев назад +2

    Kamari kamari2 mungu anisaidie niache kabisa

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga2941 2 года назад +7

    Malegend wanaelewa hii wacha tuseme hongera legendary 👏👏👏

  • @shau78
    @shau78 2 года назад +1

    hongera sana man. nakupongeza kwa kumtaja mama Denis. nenda nae pamoja hivyo hivyo. atakusaidia sana kwenye utulivu

  • @habibuomary1935
    @habibuomary1935 2 года назад +3

    Safi sana kaka ,luckiest in deed

  • @irenesalvatory260
    @irenesalvatory260 2 года назад +1

    dah hongeraa mm massaw wennzio.nilipambana ila ndo ivo tuzid kuombeana aisee ipo siku na mm

  • @kikaelvis4116
    @kikaelvis4116 2 года назад +1

    Hongera kaka duh imepambna sana sana

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Год назад +2

    Tumecheza hadi mitaji imeisha yan lakini tumeambulia patupu

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 года назад +3

    serikal bhana kodi zao kubwa sana 15% du

  • @didierdrogbar2302
    @didierdrogbar2302 2 года назад +1

    Lets us go my fellow gamblerss mikeka tuwke kwaa kasi ya 5G nasi tutoboe aise

  • @gorgemuok6565
    @gorgemuok6565 2 года назад +2

    Hata huku kenya 🇰🇪 hatukati tamaa

  • @bentez911
    @bentez911 2 года назад +4

    JAMAAA AMEVUNJA REKODI

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 2 года назад +3

    Daah jamaa kweli anayo bahati

  • @mcmambo8774
    @mcmambo8774 2 года назад +2

    Hongera kk

  • @BizzBayser-ue4vq
    @BizzBayser-ue4vq Год назад +1

    Hongera sana

  • @jamesswai1683
    @jamesswai1683 2 года назад +3

    Wake zetu Raha sana..hapo ukute alikuwa anagombana na jamaa Kila siku kuhusu kubet

    • @bentez911
      @bentez911 2 года назад

      😀😀😀😀😀

  • @africatanzaniatours5980
    @africatanzaniatours5980 2 года назад +1

    Hongera sana broo

  • @naha4records144
    @naha4records144 2 года назад +2

    Never give up iko siku

  • @zuberkabwele6913
    @zuberkabwele6913 2 года назад +2

    Kaka hongra sana nass tunajongea

  • @pendoshoo403
    @pendoshoo403 2 года назад +2

    hongera sana

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 2 года назад +3

    Na wanotapeliwa mamilioni pia nao muwatangaze ,

  • @elicanageorge1319
    @elicanageorge1319 2 года назад +1

    Daah hongera

  • @ngwanamabande8036
    @ngwanamabande8036 2 года назад +9

    Hongera kaka sisi wengine pia tunaendelza pambano MUNGU akupe akili ya kuitumia usimsalti shemeji yetu

  • @hajeemchenga6139
    @hajeemchenga6139 2 года назад +3

    Masawe ulichelewa wapi kunishare huo mkeka dah Hongera🔥

  • @emmanueljohnrwabaziga1089
    @emmanueljohnrwabaziga1089 2 года назад +2

    KING masawe ongela san kak sema tukukumbuke ndugu zako huku kibosho kwa mzee masawe hap

  • @adamsonwizz79
    @adamsonwizz79 2 года назад +2

    Ongera kaka na sisi ipo siku

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 2 года назад +3

    Kulala maskin kuamka tajir

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 2 года назад +1

    Never Giveup

  • @abuupanther4470
    @abuupanther4470 Год назад

    Dahhhh mung anmpa amtakae

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 2 года назад +6

    KIZAZI KINAANGAMIA KWA KUCHEZA KAMARI

  • @ibrahimkabisi689
    @ibrahimkabisi689 2 года назад +2

    Nami zilitiki 6 tu

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 года назад +1

    Hizo point point si anipe basi..

  • @saruni5673
    @saruni5673 2 года назад +2

    Mi kumi

  • @nonitv160
    @nonitv160 Год назад

    ❤❤❤

  • @ParodyTv_
    @ParodyTv_ 2 года назад +1

    ipo siku namimi

  • @stivertz7014
    @stivertz7014 6 месяцев назад +1

    TRA 😅😅😅

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz8054 2 года назад +2

    Duuuh

  • @lootaloishooki3021
    @lootaloishooki3021 2 года назад +2

    Ima mwangu pongezi kwako usitusahau kijiweni kwako cha kahawa kariakoo faya saluti sana.

    • @lootaloishooki3021
      @lootaloishooki3021 2 года назад

      Ndogo zako zimetimia xo badilisha maisha kule kwako pazamani asee pauze tafuta sehemu nyingine penye usalama na familia yako sisi ipo siku tutaonana tuliza kichwa ndugu.

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 2 года назад +1

    Massawe oyeee wachaga tunanyota kwa pesa

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 2 года назад

      Nyota ya pesa si kwa wachaga kwa yoyote mpambanaji sasa we sema wachaga mna nyota ya pesa alafu lala

    • @abiollashayo5698
      @abiollashayo5698 2 года назад

      @@lucasmhagama8166 wachaga bana wanajua kuzitumia fursa

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 11 месяцев назад

    Aliishia wapi Hy bwana

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 года назад +1

    .

  • @tegea9504
    @tegea9504 2 года назад +1

    Wewe Ni bwaza angu

  • @samkite9257
    @samkite9257 2 года назад +2

    Ongera yake my braz kikubwa ni kutokata tamaa

  • @zuberigwakula8531
    @zuberigwakula8531 2 года назад

    Hiyo pesa inaruhusiwa kupokelewa madhabahuni, naulizatu

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 2 года назад +2

    Ujinga tu mnawaibia watz bill 1 ingegaiwa watu m 10 c ingewanufaisha wengi usenge tuuu

  • @kikaelvis4116
    @kikaelvis4116 2 года назад +1

    Hongera kaka duh imepambna sana sana