APIGA BILIONI 1.2 ZA SPORTPESA /MBINU ZA USHINDI/ MKE APAGAWA/ SIMU 300 KUTOKA KWA MARAFIKI/ MSHINDI
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2022
- Mshindi wa Bilioni 1.2, Florian Valerian Massawe amesema kabla hata ya kutangazwa na SportPesa kuwa mshindi alijaribu kuficha ukweli wa ushindi wake mpaka atakapothibitishwa lakini alishangaa kuona simu zaidi ya 300 akipigiwa kutoka kwa marafiki.
Serikali imepata kodi ya Shilingi Milioni 188 kutoka Fabian Massawe baada ya kushinda Jackpot hiyo iliyotokana na kubashiri michezo 13 za ligi mbalimbali duniani.. Развлечения
Siku zote tunaoumia ni sisi watu wa kubashiri sio timu yenyewe 🙌🙌🙌🙌👏👏👏😀
Hongera sana bwana Masawe. Naamini na sisi pia ipo siku tutashinda.
Hongera sana ndugu yangu ngoja namimi niendelee kupambana ipo siku ntapata kama wewe
Kweli kabsa iyo jackpot ilikuwa ngumu ,ila jamaa katoboa , hongera zako jamaa
Hongera Sana hiyo kauli ya kusema IPO siku nitashinda hata Mimi hua nawaambiaga Sana jamaa zanga na nacheza Sana spoti pesa pamoja sasaivi jakport imeshuka Hadi milini Mia mbili lakini bado siachi kucheza maana hata uliposhinda wewe nilitumiwa sms na spoti pesa Kama mdau wao kua jackpot imepata mshindi hivo nilitamani Sana kujua huyu mshindi ni Nani hongera Sana Sana hakika maisha yako yameshabadilika gafla
Kumbe uwa wanatuma msg kam kuna mtu ameshinda
@@bentez911 ukiwa unachezaga jackpot unatumiwa sms Kama jackpot imepata mshindi
Kamari kamari2 mungu anisaidie niache kabisa
Malegend wanaelewa hii wacha tuseme hongera legendary 👏👏👏
hongera sana man. nakupongeza kwa kumtaja mama Denis. nenda nae pamoja hivyo hivyo. atakusaidia sana kwenye utulivu
Safi sana kaka ,luckiest in deed
dah hongeraa mm massaw wennzio.nilipambana ila ndo ivo tuzid kuombeana aisee ipo siku na mm
Hongera kaka duh imepambna sana sana
Tumecheza hadi mitaji imeisha yan lakini tumeambulia patupu
serikal bhana kodi zao kubwa sana 15% du
Lets us go my fellow gamblerss mikeka tuwke kwaa kasi ya 5G nasi tutoboe aise
Hata huku kenya 🇰🇪 hatukati tamaa
JAMAAA AMEVUNJA REKODI
Daah jamaa kweli anayo bahati
Hongera kk
Hongera sana
Wake zetu Raha sana..hapo ukute alikuwa anagombana na jamaa Kila siku kuhusu kubet
😀😀😀😀😀
Hongera sana broo
Never give up iko siku
Kaka hongra sana nass tunajongea
hongera sana
Na wanotapeliwa mamilioni pia nao muwatangaze ,
Daah hongera
Hongera kaka sisi wengine pia tunaendelza pambano MUNGU akupe akili ya kuitumia usimsalti shemeji yetu
True
Masawe ulichelewa wapi kunishare huo mkeka dah Hongera🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
KING masawe ongela san kak sema tukukumbuke ndugu zako huku kibosho kwa mzee masawe hap
Ongera kaka na sisi ipo siku
Kulala maskin kuamka tajir
Never Giveup
Dahhhh mung anmpa amtakae
KIZAZI KINAANGAMIA KWA KUCHEZA KAMARI
Nami zilitiki 6 tu
Hizo point point si anipe basi..
Mi kumi
❤❤❤
ipo siku namimi
TRA 😅😅😅
Duuuh
Ima mwangu pongezi kwako usitusahau kijiweni kwako cha kahawa kariakoo faya saluti sana.
Ndogo zako zimetimia xo badilisha maisha kule kwako pazamani asee pauze tafuta sehemu nyingine penye usalama na familia yako sisi ipo siku tutaonana tuliza kichwa ndugu.
Massawe oyeee wachaga tunanyota kwa pesa
Nyota ya pesa si kwa wachaga kwa yoyote mpambanaji sasa we sema wachaga mna nyota ya pesa alafu lala
@@lucasmhagama8166 wachaga bana wanajua kuzitumia fursa
Aliishia wapi Hy bwana
.
Wewe Ni bwaza angu
🤣🤣😃😃😃😃
Ongera yake my braz kikubwa ni kutokata tamaa
bhana eeeh wajinga ndo waliwao
Hiyo pesa inaruhusiwa kupokelewa madhabahuni, naulizatu
🤣🤣🤣🤣🤣
Ujinga tu mnawaibia watz bill 1 ingegaiwa watu m 10 c ingewanufaisha wengi usenge tuuu
ilooo upewe tu,kazana kudanga huko uliko pimbi ww
@@abiollashayo5698 😅😅😅
Katikia dudu kwa speed ya mwanga. acha upwiru ww
Hongera kaka duh imepambna sana sana