MSHINDI Wa Sportpesa Jinsi Alivyokuwa Akipanga Beti Zake
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- MSHINDI Wa Sportpesa Jinsi Alivyokuwa Akipanga Beti Zake
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY: bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe bit.ly/globaltv...
Kwanza spot pesa mungu awabarikiiiiii mlinipa hela mshiko deilee dah
Shee hongera mnoooooo iyo siyo kamari endelea kushinda
Hata mimi sioni kamari hapo maana una bashiri tukio litakalo tokea Wana mahesabu tunaita probability" pia hao mnaosema niharamu kwatarifa yenu serikali inaingiza mapato haitambui hilo, hongera kaka umetoboa maisha bado mimi
Daaah Hongera Shehe Wangu ....
Next Time Ni Zamu Yangu ... AMEEEEEN ...
Sportpesa imekua msaada kwetu Mungu awabariki wote viongozi wa sportpesa
Shekhe usiwasikilize hawa hio ni njia mungu aliokupa kutengeneza maisha yako
Tunakuomba ALLAH mtukufu tusamehee waja wako wakosefu tuongoze njia iliyo nyooka Amiin imani yangu kufuga ndevu au kuvaa kibaraka shehee si yakuwa sheikh muonekano tu Allah atamuongoza yeye na sisi Bali kama engetaka kweli kuishim dini yake engeenda tu kawaida bila ya muonekano wa kiostadhi
KWAHY MUNGU ANAIJUA PEESAAA
Usihukumu maana nawe utahukumiwa,Kabla ya kusema hayo jiangalie mwenyewe kwanza
Acha unafiki Mwenyezi Mungu Anapinga kamari huo ni mchezo wa shetani na hazina baraka yeyote.Ittaqillah
Sasa kapewa na nani?
Kakaaa hivyo hivyo
Tunaitaji maandiko yanayoonyo kuhusu hayo sababu ata mm cjui Kama ni dhambi ama hapana
Akuna cha maesabu wew unazingua iyo bahati tuu
Ustadh na kamali wapi na wapi
Mm sijapta hata Mia naitafuta kwa Kasi sana
Ww si usitadhi kabisa,unamshirikish Mungu
Hongera sana
Achen wivu kashinda si zake kwamba kamari ndio dhambi kuu pekee embu jifikirie ww unafanya dhambi ngap
Shekhe anacheza mchezo wa jackpot mchezo wa kubahatisha lamba loloh
Achaa wivu mwenzako keshapata
Safii
Mm nilipoteza timu mbili tuu allah ata nipa ishaalah
Hi
Je mtu akishinda tsh 500,000/= kwa mkeka wa kawaida, anarushiwa huo ushindi kwenye akaunti yake kimya kimya au anapigiwa simu na kutangazwa hadharani?
hamna kamari maana mtu unasumbua akili kama uko kwenye chumba cha mtihani alaf next upate matokeo
🎉
Nimejifunza kutoka kwako
Shekheee sio vibaya kumshukuru Mola ila omba msamaha kwake manake pesa za kamaree hizo zimelaniwa mbaya
Huku ni tz jameni sio kenya
Nataka kucheza ila sijui jinsi ya kucheza
💯
Next was me
Gonga like
I.b.u.tz🇹🇿
sio kamali hii kucheza naa kili yako
mnafiki mkubwa shekh w kutoka wap c umeriski pesa yako kuiyeka so ukikosa c imeliwa...si kamari vp waislam tuachen unafik kw tamaa z dunia
Semeni kalaaniwa nyie mnavidhambi vya Siri Siri mwamba kapiga Ela ajaiba Cha mtu
Niaje nitumie games
Apo uliupiga mwingi
Aki Matiangi
Kunanjia ionekanayo kwa mtu ni nzr lakini mwisho wake ni njia ya kwenda mautini (16:25)
Sja kuelewa
Wivu huo
Ujinga bhanaa.. ivi nyinyi mnaosema hii kamari na mnasema haram.. fanyeni bas na nyinyi mupate...
Waislamm wanafiki mnasema kamali ni haramu ovyoo
Na atakae shinda kama hazitaki anipe mimi
Kwa mujibu wa mtume wako nabii Mohammad wewe ni kafiri
Ww nd sheikh au mnafik t
Mh
Muongo wewe
KAMARI NI KAMARI
Wacha ujinga na upumbavu. Hizo pesa ni za haramu.
Uhalamu wake ukoje
ni haramu kwa muislam kucheza hizi beti
Ila kuzini inaruhusiwa
Huu ni mchezo wa kusumbua akili na probability
ww umeteleza bc tubia lkn usijihalalishie bet ukajitoa kwenye makosa iyo ni kamari isio na shaka hata kidogo na iyo ni haramu ila kwa vile mungu kaahidi kusamehe dhambi yoyot km utafanya toba ya kweli na kutokurejea tena kuifanya dhambi iyo bc utasamehew ila musihalalishe haramu kwa kujitoa makosani jitowe makosani kwa toba ya kweli Allah atakusamehe inshaAllah