EXCLUSIVE: MTANZANIA ALIYESHINDA BILIONI YA SPORTPESA AFUNGUKA, WEZI WAMVAMIA, ATAJA MIPANGO YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Sio ndoto inayowatokea wengi, sio ndoto rahisi kumtokea yoyote lakini imetokea kwa Florian Massawe, Kijana wa Kitanzania Fundi Malori ambaye alishinda Shilingi BILIONI 1 za SportPesa hivi karibuni na sasa maisha yake yamebadilika ambapo amekaa kwenye EXCLUSIVE na Millard Ayo na kueleza mengi.
    Florian amesimulia jinsi Wezi walivyovamia nyumbani kwake baada ya ushindi huo, mipango ya hiyo bilioni moja, jinsi alivyohangaika kuhama nyumbani baada ya Wezi kuvamia nyumbani kwake, mipango yake na kitu anachotaka kufanya pamoja na mengine mengi kwenye video hii.

Комментарии • 203

  • @abdibilali4186
    @abdibilali4186 2 года назад +21

    Binafsi nafurahi kuona kijana Mwenzangu katusua Mungu akutangulie mzeee , umepoa Sana Jah bless you

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +2

    MashaAllah MashaAllah iyo pesa hatimaye imenyakuliwa..hongera sana kijana

  • @gtv5622
    @gtv5622 2 года назад +9

    hongera sana brother kwa kuwa bilionaire....mungu awasimamie wewe na familiy yako....

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 2 года назад +13

    Mtu na mkewe inaonyesha wako matured enough... Mungu akawasimamie mfanikishe ndoto zenu hongereni sana.

  • @crisndembwele4016
    @crisndembwele4016 2 года назад +7

    Ingekuwa wengine kwa level ulofika Ayo asinge onekana kabisa! Lakini unapiga kazi bila kujali unaumaarufu na ukubwa kiasi Gani. Much respect Ayo... Tuna chakujifunza kwako🙌🙌🙌

  • @Jackson-Novat
    @Jackson-Novat 2 года назад +28

    MILLARD AYO YOU ARE THE NEXT LEVEL. CONGRATULATIONS BRO.

  • @elisantesilaa1468
    @elisantesilaa1468 2 года назад +11

    Dahh noma sana ..massawe yuko real yaan🤙 anataja umri kama mzungu

  • @imanaftal6422
    @imanaftal6422 2 года назад +12

    Watu wenye utulivu ni rahisi sana kuongezwa kifedha hangera sana bro , interview kal sana Millard 💪

  • @reubenedwinnditi9979
    @reubenedwinnditi9979 2 года назад +14

    Millardiayo aki simimia Interview ni moto 🔥🔥🔥...napenda interview zako Bro God bless you 🙏

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 года назад +5

    My role model wangu Millard much love brother 🥰

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 2 года назад +3

    Hongera Sana kijana. Mshukuru sana Mungu kwa jambo hili alilokutendea. Usiwasahau watoto yatima...

  • @homesaickofficial7407
    @homesaickofficial7407 2 года назад +7

    Millard ayo si mtangazaji pekee ila ana kipaji cha maongez mazur inshort mungu akubless brood natamani nami nipate ata interview nikuoji mimi japo mimi ni mwanamuziki

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa2987 2 года назад +5

    Hongera sana mangi hapo baba yuko nawe ujue hujapoteza kitu Mungu akusaidie sana nenda kaweke mshimbika

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +1

    Very humble guy,MashaAllah

  • @jacksonmpangala2730
    @jacksonmpangala2730 2 года назад +8

    Ema wa mama Norine jamaa yuko humble sana

  • @twenty2264
    @twenty2264 2 года назад +2

    Hongera kaka .Mungu akuangazie njia nzuri ya kuekeza hela yako

  • @Ahofasi
    @Ahofasi 3 месяца назад

    Hongera anko
    Mungu akubariki sana

  • @shimemondo5448
    @shimemondo5448 2 года назад +9

    Daah! Safi sana mirad ayo unahoji kwakina lakn nasi iposiku tutafauru

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 2 года назад +4

    Lightness😍... hata nyumba inaonekana ina nuru.. amani upendo na mshikamano..
    Pale anasema nilikua namuita mke wangu pamenivutia sana kuna baadhi ya wanandoa hawaongeagi humo ndani!🙄acha kushirikishana jambo!
    hongereni sana, mke ana sehemu ya kumfanya mwanaume apambane kwa ujasiri zaidi na kujiamini zaidi ..
    Pia inaonekana ni watu wanayo hofu ya Mungu.😍

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 2 года назад +18

    Habari za Millard za uhakika 😍

  • @TemuTV
    @TemuTV 2 года назад +1

    NOMAAAA SANA 🙌🙌

  • @fulgencemlay2365
    @fulgencemlay2365 2 года назад +8

    Nice milard Ayoo

  • @jumadaud3117
    @jumadaud3117 2 года назад +8

    Sema jamaa anajiexplain fresh sana yaan

  • @ndiiyolazarolemoloo2164
    @ndiiyolazarolemoloo2164 2 года назад +7

    Interview imekaa poa sana hongera

  • @maasaieastafrica2556
    @maasaieastafrica2556 2 года назад +1

    Millard wewe ni mtangazaji na mwandishi was habari mwenye weledi wake na kazi yako....una maswali ya technic Sana ya kistaarabu.....kwa kifupi umetulia mno...Mungu akubariki mno

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 2 года назад +9

    Jamaa yupo makini sana

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc 2 года назад +7

    Humble guy. Wishing him all the best

  • @mussamussa8181
    @mussamussa8181 2 года назад +9

    Walikosea sana kuacha nyumba bila kuweka walinzi,,ata sportpesa nao walikosea sana kuchukua familia bila kuacha walinzi wajifunze ilo

  • @victorkumenyafilms716
    @victorkumenyafilms716 2 года назад +15

    All in all jamaa anakitu kikubwa kuliko hio billioni 1, MKE MWEMA

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +5

      au sio 👊👊

    • @talents7934
      @talents7934 2 месяца назад

      Mmeshaanza kumsifia mke wake? Ohoo jamaa ana mguu wa kuku akifa mtu msije mkasema sijawaambia😮

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 2 года назад +4

    Well spoken

  • @JosephMhecha
    @JosephMhecha 11 месяцев назад

    Hii ilinipita, hongera sana kaka.

  • @khalidlolo9994
    @khalidlolo9994 2 года назад +5

    Aise 09/06! pacha! Basi nashinda next 🤓💪🏼

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 2 года назад +1

    Matured Couple

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 года назад +13

    Vijana mjifunze apo kama mtu ana bahatika kushinda billion lkn Bado hana ndoto za kuvunja mkataba wa Kaz alio kua anafanya awali 👏👏👏😃😃

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  2 года назад +2

      au sio 😅

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 2 года назад

      Mm navunja mkataba najiajiri,ukiwa tu makini huwezi feli bilion nipesa mingi sana

  • @NasikikaTV
    @NasikikaTV 2 года назад +9

    One day yes

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 Год назад

    Hongera sana,

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 2 года назад +1

    Jamaa ni mpambanaji kiasi kuwa hata asingeshinda bado ana maisha yanayodhihirisha bidii.
    Basi kuna vijana nao watajikuta ni washindi na watafirisi hadi basi... Kama kilimo cha matikiti kilivopigiwa hesabu za kila namna na mwisho wengi wakalima matikiti, mwisho wa yote yaliyouzwa elfu mbili, yakaozea sokoni kwa ku kosa soko😄 Hongera kwake... Kila mtu anaweza kuwa mshidi pahala alipo na kwa shughuli alipo. Heshima kwako sana Millard

  • @georginajohn8456
    @georginajohn8456 2 года назад +4

    Mungu nisaidie na Mimi cku moja nishinde japo Mln 5 Mungu nijaribu na Mimi cku moja maisha haya dah haya

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад +5

    Jah bress you is you time enjoy life

  • @burudanitiv324
    @burudanitiv324 2 года назад

    Broo aujikwezi kwanza maana wengine wangekuwa wana jikweza brooo bless you

  • @brightonmsilu8905
    @brightonmsilu8905 2 года назад +5

    Safi sana mwananetu ,,,kikazkaz tunakuja km imah huna baya mzee👊🏾👊🏾✌🏾all the best Mungu akuzdishie sana

  • @simonimajalimarco7811
    @simonimajalimarco7811 2 года назад +1

    Pamoja Sana brother

  • @fulgencemlay2365
    @fulgencemlay2365 2 года назад +5

    Good interview

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 2 года назад +6

    Jamaa iliandikiwa kwake anayo Bahati sana

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 2 года назад +1

      sio ishu ya bahat kaka ni kwamba siku yake ya kufanikiwa imefika Mungu aloiandika na kwa kupitia njia fulani

  • @jamesmsokwa2635
    @jamesmsokwa2635 2 года назад

    Makini sana masawe pambana broo

  • @ellygach6515
    @ellygach6515 2 года назад +1

    Nakubali kaka milard intrview zako ziko poa

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 2 года назад +12

    Nimeipenda hii interview

  • @jocyjocy3050
    @jocyjocy3050 2 года назад +11

    Millard is so silly lol😂😂😂, wa Arusha tunapenda story lol😁💕💕

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 2 года назад +4

    Safi Sana Kaka

  • @twiser6029
    @twiser6029 2 года назад +4

    A+ plus..

  • @kalobhachannel6129
    @kalobhachannel6129 2 года назад +3

    Mkuu well done jamaa ni akili kubwa sana anautulivu,ni mfano wa kuigwa japo mi huwa naishia 6/13.One day yes!

  • @derrikdesertman4564
    @derrikdesertman4564 2 года назад +17

    Bonge moja ya interview

  • @Igauf3
    @Igauf3 2 года назад +6

    Great fella! Invest on what you know is the winning strategy( garage). Lastly, one of those sports shows should hire this fella as betting analyst.

  • @Masudi_kimonjo
    @Masudi_kimonjo Год назад

    MILLARD AYO...UNAWEZA SANA MTU WA NGUVU.

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 2 года назад +4

    Millard ayo is the best 👌

  • @johnsondavid1619
    @johnsondavid1619 2 года назад +5

    Huyu mwanamke,
    she is very smart.

  • @dmdrockcity432
    @dmdrockcity432 2 года назад

    Mungu akubariki brother

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 года назад +6

    Baba Mungu ndo kila kitu...Atakulinda Binadam si chochote mbele za Mungu....Mungu Atakusimamia kwa kila Jambo..fanya Ibada Usiache kuabudu.

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 2 года назад +3

    Mbona hela ndogoo njooo South Africa utembe kidogo angalia sup Quikri

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 2 года назад +1

    Congratulations brother 👏, Millad Ayo ❤

  • @ireneshayo413
    @ireneshayo413 Год назад

    All the way from sango Habari yafo

  • @benardmwakilasa3969
    @benardmwakilasa3969 2 года назад

    Millard unajua ,unajua tena,, unauliza maswali ya muhimu sana.

  • @heavingtonkimambo3860
    @heavingtonkimambo3860 2 года назад

    Hongera boss wetu wa sango

  • @husseinhaule9340
    @husseinhaule9340 2 года назад

    Mwanangu safi sana kaka sisi tupo tabata Dampo kama kawa hongera sana mwanangu

  • @NganziJasho-c8n
    @NganziJasho-c8n 9 месяцев назад

    Hongera sana broo mwindi alikosea njiaa saf sana😂😅

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 2 года назад +11

    Zuchu ajakupigia

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 2 года назад +4

    Pesa haiongopi unaeza sema ana miaka 26

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +2

    🙄🙄🙄Ni kweli au🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️Inshalllha kheri na mimi nitacheza🙌🙌🙌siku

  • @saidissm293
    @saidissm293 2 года назад

    HONGERA SANA MZEE

  • @kibakaya
    @kibakaya 2 года назад +4

    I was waiting for this

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Год назад

    Mirad ni fire

  • @salimmlimakala3608
    @salimmlimakala3608 2 года назад +7

    Millard napenda habar zako

  • @timothysengo2459
    @timothysengo2459 2 года назад

    Napenda sana interview zako bro niwaga🔥🔥 wagaukosei nomasana

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 года назад

    Millard upo vizuri

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 2 года назад +2

    Umekua mfano kwetu sisi wakamaria...tunaendelea kuomba Mungu tukiamini ipo cku buddy

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 2 года назад

    Shikamoo Millard ayo

  • @saidiramadhani7886
    @saidiramadhani7886 2 года назад

    Baba denisu na mama ima jirani zangu nyie wa kigogo hongeren sana

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 2 года назад +1

    U deserve, una akili na tabia njema . Mungu akulinde.

  • @emanuelkisanga3429
    @emanuelkisanga3429 2 года назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dianacornely4600
    @dianacornely4600 2 года назад +6

    Sijui na mimi nicheze naweza bahatika🤔

  • @majidmusa309
    @majidmusa309 2 года назад +3

    daa mungu mkubwa sana awalinde sana

  • @patrickkiptoo6733
    @patrickkiptoo6733 Год назад

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 2 года назад

    Mama uko strong

  • @daniel.shao.9028
    @daniel.shao.9028 2 года назад +4

    Glory to God

  • @cathykayinga9327
    @cathykayinga9327 2 года назад +3

    Rafikiangu kashinda tu mil 23 nilikua nakua nae muda wote kanipotea leo siku ya tano sijamuona wakati alikua hawez kukaa masaa mawili bila kuja tuwe wote angeshinda bilion nahisi angehama na nchi kabisa

    • @jamesobedy3940
      @jamesobedy3940 2 года назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AkidaSekivugo
    @AkidaSekivugo 2 месяца назад

    Mashalhaaa mashalhaaa

  • @godfreyndelwa
    @godfreyndelwa 2 года назад

    Broo una utulivu sana, utafika mbali.... nimecheka sana apo kwene rumion aisee

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa2987 2 года назад +1

    Usimtupe boss bro shirikiana naye huyo umfanyie kazi zake kwenye garage yako. Nimefurahi sana fikra na utulivu wako natamani nami nirudi nyumbani toka ulaya huku

  • @lagrangeukuri3277
    @lagrangeukuri3277 2 года назад

    ❤️❤️❤️

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 2 года назад +1

    Mimi habari ninazo soma kwa milard ayo najua huwa ni za uhakika hakika media yangu pendwa na number one ni kwa milard kwengine naperuzi tu

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 2 года назад +2

    Sio siku nyingi utasikia
    Marufuku wachaga kubadhiri

  • @barakamaduhu9581
    @barakamaduhu9581 Год назад

    Saf sana

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 2 месяца назад

    Kuwa makini hyhyo sportpesa watairudisha pesa yao kwa kuwabetia tena focus kwa mambo yako ya biashara

  • @MagrethSaid-z6y
    @MagrethSaid-z6y Год назад

    Kaka naomba ytayvuu nawewe

  • @hezzyhezzy
    @hezzyhezzy 2 года назад +3

    Huyu jamaa kubet ilikuwa kama kazi kwake.

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas2535 2 года назад +4

    Jamaa ana akili sana huyu

  • @fahmibinis-haq8119
    @fahmibinis-haq8119 10 месяцев назад

    Ahojiwe tena

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 2 года назад +4

    huyu jamaa ana akili nyingi sana hana hata presha ya hela zake

  • @BENCOLE510
    @BENCOLE510 2 года назад

    Ukute alibadilishiwa namba ya mtihani

  • @tommillia7816
    @tommillia7816 Год назад

    How much is That in Kenya shillings