EXCLUSIVE: MTANZANIA ALIYESHINDA BILIONI YA SPORTPESA AFUNGUKA, WEZI WAMVAMIA, ATAJA MIPANGO YAKE
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Sio ndoto inayowatokea wengi, sio ndoto rahisi kumtokea yoyote lakini imetokea kwa Florian Massawe, Kijana wa Kitanzania Fundi Malori ambaye alishinda Shilingi BILIONI 1 za SportPesa hivi karibuni na sasa maisha yake yamebadilika ambapo amekaa kwenye EXCLUSIVE na Millard Ayo na kueleza mengi.
Florian amesimulia jinsi Wezi walivyovamia nyumbani kwake baada ya ushindi huo, mipango ya hiyo bilioni moja, jinsi alivyohangaika kuhama nyumbani baada ya Wezi kuvamia nyumbani kwake, mipango yake na kitu anachotaka kufanya pamoja na mengine mengi kwenye video hii.
Binafsi nafurahi kuona kijana Mwenzangu katusua Mungu akutangulie mzeee , umepoa Sana Jah bless you
MashaAllah MashaAllah iyo pesa hatimaye imenyakuliwa..hongera sana kijana
hongera sana brother kwa kuwa bilionaire....mungu awasimamie wewe na familiy yako....
Mtu na mkewe inaonyesha wako matured enough... Mungu akawasimamie mfanikishe ndoto zenu hongereni sana.
Ingekuwa wengine kwa level ulofika Ayo asinge onekana kabisa! Lakini unapiga kazi bila kujali unaumaarufu na ukubwa kiasi Gani. Much respect Ayo... Tuna chakujifunza kwako🙌🙌🙌
MILLARD AYO YOU ARE THE NEXT LEVEL. CONGRATULATIONS BRO.
pamoja sana Novat
novat millard kaku taja ni bless iyo millard ni taasisi kubwa kwenye taifa
@@bakariabdallah8702 kabxaa yaani
Dahh noma sana ..massawe yuko real yaan🤙 anataja umri kama mzungu
Watu wenye utulivu ni rahisi sana kuongezwa kifedha hangera sana bro , interview kal sana Millard 💪
pamoja sana Naftal
Millardiayo aki simimia Interview ni moto 🔥🔥🔥...napenda interview zako Bro God bless you 🙏
My role model wangu Millard much love brother 🥰
Hongera Sana kijana. Mshukuru sana Mungu kwa jambo hili alilokutendea. Usiwasahau watoto yatima...
Millard ayo si mtangazaji pekee ila ana kipaji cha maongez mazur inshort mungu akubless brood natamani nami nipate ata interview nikuoji mimi japo mimi ni mwanamuziki
Hongera sana mangi hapo baba yuko nawe ujue hujapoteza kitu Mungu akusaidie sana nenda kaweke mshimbika
Very humble guy,MashaAllah
Ema wa mama Norine jamaa yuko humble sana
Hongera kaka .Mungu akuangazie njia nzuri ya kuekeza hela yako
Hongera anko
Mungu akubariki sana
Daah! Safi sana mirad ayo unahoji kwakina lakn nasi iposiku tutafauru
pamoja sana Mondo
Lightness😍... hata nyumba inaonekana ina nuru.. amani upendo na mshikamano..
Pale anasema nilikua namuita mke wangu pamenivutia sana kuna baadhi ya wanandoa hawaongeagi humo ndani!🙄acha kushirikishana jambo!
hongereni sana, mke ana sehemu ya kumfanya mwanaume apambane kwa ujasiri zaidi na kujiamini zaidi ..
Pia inaonekana ni watu wanayo hofu ya Mungu.😍
Habari za Millard za uhakika 😍
Kabsa
NOMAAAA SANA 🙌🙌
Nice milard Ayoo
Sema jamaa anajiexplain fresh sana yaan
Interview imekaa poa sana hongera
Millard wewe ni mtangazaji na mwandishi was habari mwenye weledi wake na kazi yako....una maswali ya technic Sana ya kistaarabu.....kwa kifupi umetulia mno...Mungu akubariki mno
Jamaa yupo makini sana
Humble guy. Wishing him all the best
Walikosea sana kuacha nyumba bila kuweka walinzi,,ata sportpesa nao walikosea sana kuchukua familia bila kuacha walinzi wajifunze ilo
All in all jamaa anakitu kikubwa kuliko hio billioni 1, MKE MWEMA
au sio 👊👊
Mmeshaanza kumsifia mke wake? Ohoo jamaa ana mguu wa kuku akifa mtu msije mkasema sijawaambia😮
Well spoken
Hii ilinipita, hongera sana kaka.
Aise 09/06! pacha! Basi nashinda next 🤓💪🏼
Matured Couple
Vijana mjifunze apo kama mtu ana bahatika kushinda billion lkn Bado hana ndoto za kuvunja mkataba wa Kaz alio kua anafanya awali 👏👏👏😃😃
au sio 😅
Mm navunja mkataba najiajiri,ukiwa tu makini huwezi feli bilion nipesa mingi sana
One day yes
👊👊
Hongera sana,
Jamaa ni mpambanaji kiasi kuwa hata asingeshinda bado ana maisha yanayodhihirisha bidii.
Basi kuna vijana nao watajikuta ni washindi na watafirisi hadi basi... Kama kilimo cha matikiti kilivopigiwa hesabu za kila namna na mwisho wengi wakalima matikiti, mwisho wa yote yaliyouzwa elfu mbili, yakaozea sokoni kwa ku kosa soko😄 Hongera kwake... Kila mtu anaweza kuwa mshidi pahala alipo na kwa shughuli alipo. Heshima kwako sana Millard
Mungu nisaidie na Mimi cku moja nishinde japo Mln 5 Mungu nijaribu na Mimi cku moja maisha haya dah haya
Pambana usikate tamaa
Jah bress you is you time enjoy life
Broo aujikwezi kwanza maana wengine wangekuwa wana jikweza brooo bless you
Safi sana mwananetu ,,,kikazkaz tunakuja km imah huna baya mzee👊🏾👊🏾✌🏾all the best Mungu akuzdishie sana
👊👊
@@millardayoTZA mambo millardayo
Pamoja Sana brother
Good interview
Jamaa iliandikiwa kwake anayo Bahati sana
sio ishu ya bahat kaka ni kwamba siku yake ya kufanikiwa imefika Mungu aloiandika na kwa kupitia njia fulani
Makini sana masawe pambana broo
Nakubali kaka milard intrview zako ziko poa
Nimeipenda hii interview
pamoja sana Ras !!
Rass
Millard is so silly lol😂😂😂, wa Arusha tunapenda story lol😁💕💕
😅😅
Safi Sana Kaka
A+ plus..
Mkuu well done jamaa ni akili kubwa sana anautulivu,ni mfano wa kuigwa japo mi huwa naishia 6/13.One day yes!
Usikate tamaa
One day yes
Bonge moja ya interview
pamoja sana Derrik
Bonge moja na interview
Great fella! Invest on what you know is the winning strategy( garage). Lastly, one of those sports shows should hire this fella as betting analyst.
MILLARD AYO...UNAWEZA SANA MTU WA NGUVU.
Millard ayo is the best 👌
pamoja sana Peter
Huyu mwanamke,
she is very smart.
Mungu akubariki brother
Baba Mungu ndo kila kitu...Atakulinda Binadam si chochote mbele za Mungu....Mungu Atakusimamia kwa kila Jambo..fanya Ibada Usiache kuabudu.
AMEN AMEN !
Mbona hela ndogoo njooo South Africa utembe kidogo angalia sup Quikri
Congratulations brother 👏, Millad Ayo ❤
All the way from sango Habari yafo
Millard unajua ,unajua tena,, unauliza maswali ya muhimu sana.
Hongera boss wetu wa sango
Mwanangu safi sana kaka sisi tupo tabata Dampo kama kawa hongera sana mwanangu
Hongera sana broo mwindi alikosea njiaa saf sana😂😅
Zuchu ajakupigia
Pesa haiongopi unaeza sema ana miaka 26
🙄🙄🙄Ni kweli au🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️Inshalllha kheri na mimi nitacheza🙌🙌🙌siku
Usithubutu kucheza kamari hizo
HONGERA SANA MZEE
I was waiting for this
👊👊👊
Mirad ni fire
Millard napenda habar zako
pamoja sana Mlimakala !!
Napenda sana interview zako bro niwaga🔥🔥 wagaukosei nomasana
Millard upo vizuri
Umekua mfano kwetu sisi wakamaria...tunaendelea kuomba Mungu tukiamini ipo cku buddy
Yaa mwambie
Shikamoo Millard ayo
Baba denisu na mama ima jirani zangu nyie wa kigogo hongeren sana
U deserve, una akili na tabia njema . Mungu akulinde.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sijui na mimi nicheze naweza bahatika🤔
Shauri yako ndugu
daa mungu mkubwa sana awalinde sana
❤
Mama uko strong
Glory to God
Rafikiangu kashinda tu mil 23 nilikua nakua nae muda wote kanipotea leo siku ya tano sijamuona wakati alikua hawez kukaa masaa mawili bila kuja tuwe wote angeshinda bilion nahisi angehama na nchi kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mashalhaaa mashalhaaa
Broo una utulivu sana, utafika mbali.... nimecheka sana apo kwene rumion aisee
Usimtupe boss bro shirikiana naye huyo umfanyie kazi zake kwenye garage yako. Nimefurahi sana fikra na utulivu wako natamani nami nirudi nyumbani toka ulaya huku
❤️❤️❤️
Mimi habari ninazo soma kwa milard ayo najua huwa ni za uhakika hakika media yangu pendwa na number one ni kwa milard kwengine naperuzi tu
Sio siku nyingi utasikia
Marufuku wachaga kubadhiri
Saf sana
Kuwa makini hyhyo sportpesa watairudisha pesa yao kwa kuwabetia tena focus kwa mambo yako ya biashara
Kaka naomba ytayvuu nawewe
Huyu jamaa kubet ilikuwa kama kazi kwake.
Jamaa ana akili sana huyu
Ahojiwe tena
huyu jamaa ana akili nyingi sana hana hata presha ya hela zake
Na atafika mbali
Ukute alibadilishiwa namba ya mtihani
How much is That in Kenya shillings