#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 332

  • @kinyanjuicarlos8899
    @kinyanjuicarlos8899 2 года назад +7

    Man doesn't thrive in clouts and controversy '..he is always mature in what he says!..kudos' to you diamond..

  • @firdaushassan4754
    @firdaushassan4754 2 года назад +15

    🥰🥰🥰❤❤diamond is the man, hata wakikuongelea u will continue shining

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 2 года назад +21

    Lil ommy king of interview's
    Bro nakukubali sn mzee yani umemchimba Diamond mpaka ka chimbika...

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 2 года назад +42

    Msanii mwenye kujielewa bongo na mwenye malengo makubwa sn!!🔥🔥

    • @mamatifaibaraim9358
      @mamatifaibaraim9358 2 года назад

      MALENGO saw kujielewa no huyu si ndo alienda redioni kumkana baba yake

  • @em_vee_josh
    @em_vee_josh 10 месяцев назад +1

    Diamond is always amazing with collabos with Rayvanny ❤

  • @dama4995
    @dama4995 2 года назад +74

    Diamond n mtu mwenye hana shida na mtu kabisa sema binadamu tuu hawakosi la kuongea .....Diamond thawabu yko iko kwa Mungu usichoke kusaidia wanaohitaji msaada wako hata wakutukane baada ya mafanikio shukuru Allah maana kila jambo nilakusudio lake sbb hata yesu alikuwa na wanafunzi na hatimae wengine walimsaliti wakamkana na hata kuuzwa kikubwa dua kakangu huwez badilixha binadamu hata ufanye wema vipi Nakuombea kwa Mungu nyota yko izidi kung'aa mpka mahadui waulizane🤲🤲🤲🤲

    • @msalabanireko1518
      @msalabanireko1518 2 года назад +4

      Na semema ivi ulicho kiandika nimekuelewa si kupingi

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 года назад +6

      Kinachotutesa n mafanikio yake

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 2 года назад

      🤣🤣🤣

    • @mamatifaibaraim9358
      @mamatifaibaraim9358 2 года назад

      Mi nilianza kumchukia pale alivyomkataa baba yake kwenye vyombo vya habari

    • @msalabanireko1518
      @msalabanireko1518 2 года назад +1

      @@mamatifaibaraim9358 mama tifa Ni kweli ata mim ni shabiki mkubwa wa diamond lkn mm mwenyewe sikupendag like kitendo lkn ata usimchukie Sana kwa sababu diamond wote sisi tumemjua ukubwan lkni atujui ktk utoto wake na Changamoto alizo pitia yy na mama yke atufahamu na mzee uyu atuzijui kwaiyo sisi watoto wa kiume huwa tunakamata upendo wa mama kwa asilimia 80 alfu bb asilimia20 kwaiyo uyu jmaa amelelewa Sana na mama klko bb kwaiyo apo chochote anachoambia na mama yake Ni laisi kuzingatia kuliko mtu mwingine kwaiyo ukimchukia Ni kma unamuonea vle

  • @gagedamoursarusaru8079
    @gagedamoursarusaru8079 2 года назад +43

    Always smart ideas ❤️❤️❤️your fan from Canada 🇨🇦

    • @ab3ab313
      @ab3ab313 2 года назад +2

      Nakipend bure❤❤❤

  • @miriumplatnumz1848
    @miriumplatnumz1848 2 года назад +4

    Ndo mana nampenda 💎 diamond hanaga baya Mungu aendelee kukupa maisha marefu.viropo ropo mkome kuchonganisha watu bhana

  • @juniornamao527
    @juniornamao527 2 года назад +31

    Diamond sio kufanya vizur kwenye mziki nimegundua jamaa ni genuis sana ana akili mingi sana huyu jamaa

  • @sheilablessing5041
    @sheilablessing5041 2 года назад +18

    My favourite ni mtasubiri Sana.

  • @fatumasaidi2592
    @fatumasaidi2592 2 года назад +27

    Frère tu es fort unajua nini unafanya na ni unaongea 'kweli kabisa rey anatuheshimisha wabongo tuliokua nchini Paris 🇲🇫🇲🇫🇨🇵🇹🇿

    • @mesukanku6016
      @mesukanku6016 2 года назад

      Fatuma Rayvanny a joué où à Paris ? dans quelle salle ?? Y'avait il publicité ?

    • @fatumasaidi2592
      @fatumasaidi2592 2 года назад

      @@mesukanku6016 Pour ton information Rayvanny était a l'Accor Hotel Arena et ça c'est a Paris mon vieux si tu savais pas. Il a aussi fait Montpellier. Donc il est où ton problème ? T'es au courant que il était au studio avec Gims même ? T'es en retard toi je sais pas tu viens d'où mais reste a ta place !!! 🇨🇵🗼

    • @nusramohammedabdillah6870
      @nusramohammedabdillah6870 2 года назад

      BONYEZA NA HAPA 👇
      ruclips.net/video/b8Tj7WP0M0A/видео.html

  • @mullahmasudy2622
    @mullahmasudy2622 2 года назад +20

    Lion hapo nmekupata Uzuri, umenyoosha maelezo💥🔨

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n 11 месяцев назад +1

    Chui and simbaaa🎉🎉🎉

  • @ebouezaion1477
    @ebouezaion1477 2 года назад +10

    Simbaaa 🦁 simbaaa 🦁 much more love from kampala uganda 🇺🇬

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 года назад +8

    🔥🔥🔥

  • @rajabuamiri5016
    @rajabuamiri5016 2 года назад +67

    Naifatilia live muda huu from nairobi

    • @onasa5229
      @onasa5229 2 года назад +1

      From Qatar

    • @KnasheyDopelartist
      @KnasheyDopelartist 2 года назад +1

      Baba the fufth😂😂

    • @Kimbururu
      @Kimbururu 2 года назад

      Kwahiyo tukusaidiaje aisee?

    • @johnsanga1077
      @johnsanga1077 2 года назад

      Kiswahili t5oy pop t you kuu b juu

    • @dukecliff6944
      @dukecliff6944 2 года назад

      Wachana na mambo ya naifatilia frm Nairobi.
      Say nafuatilia frm Nairobi.

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 2 года назад +71

    Diamond mm sio shabiki yake hata siku 1 ila linapokuja swala la interview na kuongea huyu jamaa anaongeaga ukweli sana ajikwezi hata siku 1 anaongea ile life aliyoipitia ya umasikini na hali ya chini na anaonyesha ataki kuirudia kwa gharama yoyote hapo tu ndipo ninapokukubali simba

  • @palepale7768
    @palepale7768 2 года назад +8

    Mpo juu Wasafi

  • @hathumanimahale1746
    @hathumanimahale1746 2 года назад +7

    Simba mungu akuzidishie zaidi na zaidi na akuepushe na Mambo mabaya yote sisi watanzania tunajivunia Sana uwepo wako 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @KnasheyDopelartist
      @KnasheyDopelartist 2 года назад

      Mungu ayupo hapo ata kidoo😂😂illuminati controls music

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 2 года назад +1

    Nextilevo misic RAVNNYN CHUIII

  • @patrickgodfrey7230
    @patrickgodfrey7230 2 года назад +24

    Genious simba.

    • @juniornamao527
      @juniornamao527 2 года назад

      Jamaa genious sanaaaaaaa

    • @macknonkibona2401
      @macknonkibona2401 2 года назад

      Nilichogundua Mungu fundi sana huyu jamaa angefanikiwa kuwa na PhD yahelimu nadhani kwa maarifa na ufahamu mkubwa aliobarikiwa sijui angekuwaje,sipat picha maana nizaid ya Genuas....

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 года назад +7

    Dai kaongea vizuri sana

  • @swiftsmith3100
    @swiftsmith3100 2 года назад +11

    True Leader

  • @tagefinance3314
    @tagefinance3314 2 года назад +55

    He is so wise 💯

    • @nusramohammedabdillah6870
      @nusramohammedabdillah6870 2 года назад

      BONYEZA NA HAPA 👇
      ruclips.net/video/b8Tj7WP0M0A/видео.html

    • @mckobatz5861
      @mckobatz5861 2 года назад

      @@nusramohammedabdillah6870 he is

    • @Omarion268
      @Omarion268 2 года назад

      ruclips.net/video/0Hh-NHyn868/видео.html

  • @Stella-vh4oc
    @Stella-vh4oc 2 года назад +5

    Respect my man. no time to gossip

  • @lillianatieno5362
    @lillianatieno5362 2 года назад +25

    Chibuuuu the lion watching from 254 WCB4life🙏🏻

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 года назад +11

    Tatizo mnawapa airtime sana hawa wa online Tive maana bila hao mbona mambo yangekua safi ila kila kukicha mara media hii imeandika ivi nyingine imeandika ivi 🙌🙌🙌🤣🤷

    • @009biafra8
      @009biafra8 2 года назад +1

      Yan mzizi n Diamond 💎 bila yy hakuna kinachoenda

  • @sakeshmyra7890
    @sakeshmyra7890 2 года назад

    Diamond kasema ukweli aisee 🥰🥰🥰simbaaaaa💪💪

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka7463 2 года назад

    Vzr hujawahi niangusha kweli mungu alikuinua kwa malengo maalumu...big up simba

  • @ottodispensarykatoke459
    @ottodispensarykatoke459 2 года назад +20

    Simba amejibu vzr, ifike mahalaa tukue, sio kila sehem awepo 2acheuchonganishi nlm#wcb 4life

  • @danielymwangonda140
    @danielymwangonda140 2 года назад +4

    God blessing my bro

  • @cecilemsupa2015
    @cecilemsupa2015 2 года назад +5

    I just enjoy listening & ur videos only

  • @professorzola7742
    @professorzola7742 2 года назад +29

    Nauliza #FOA ni brand atakayokuwa anauza nguo zake kama vile African boy na logo yake

  • @navokisembo
    @navokisembo 2 года назад +1

    Wabongo wachonganishi saana. Good answer baba Tee. Ni wivu tuuuu unawasumbua watu.

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 года назад +11

    TUNAJUA WANAOCHONGANISHA RAYVANNY KWA DIAMOND N WALE TEAM HAMOKINYESI NA MAREHEMU KIBAMIA ILI KUPUNGUZA NGUVU VANNY MAANA UKIMTOA DIAMOND 💎 HAKUNA MTU ANAMZIDI RAYVANY EA HII.. RAYVANNY SIO MWEHUU.

  • @kenadomedia8244
    @kenadomedia8244 2 года назад +24

    Was missing Lion's interview,Simba🔥🔥🔥

  • @catherinelaurene2841
    @catherinelaurene2841 2 года назад +7

    Hamjambo nyote...? Pongezi sana Diamond kwa Mwenye bidii

  • @jfrankmusic1205
    @jfrankmusic1205 2 года назад +15

    Simba wewe umefanya mingi bro umesaindia watu wengi Sana najuwa kenye unashika tu inakuuwa dhaabu

  • @lesblaguesdejacques9597
    @lesblaguesdejacques9597 2 года назад +2

    This guy is so wise

  • @beetechtechnologiesandserv586
    @beetechtechnologiesandserv586 2 года назад +10

    Mwenye anabisha Simbaa acheki subscribers Kwanza za hii channel ya wasafi, shows the true icon

  • @tilaabien3616
    @tilaabien3616 2 года назад +11

    🇨🇩✌️Tilaa depuis Congo

  • @shumiraiakumu
    @shumiraiakumu 2 года назад +4

    Hats 🎩 off Diamond! You are an astute businessman. Quite insightful, thanks. Glad this showed up on my feed!

  • @Conshamusic
    @Conshamusic 2 года назад +1

    WEWE SIO BINADAMU WA KAWAIDA DIAMONDPLATNUMZ WEW NI GENIUS NA TUNAJIVUNIA WEW🙏🙏🙏❤️🔥

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 2 года назад +20

    Music ni biashara miaka hii,tutaelewana 2

  • @kellyyobaibe4027
    @kellyyobaibe4027 2 года назад +10

    Mwambieni huyo mondi wenu sisi wakenya tunamsupport sana hata kuliko watu wa nchi ila hamna collabo ya MKENYA hio sio sawa mondi huzarau wakenya sana mwambie aendelee

    • @estherwalsh4658
      @estherwalsh4658 2 года назад

      @Maniack67 akothee sio msanii yeye kazi yake nikupigia watu makelele.. 😆

    • @khanifajoy7473
      @khanifajoy7473 2 года назад

      Si amefanya na Akothee

    • @maryakinyi8430
      @maryakinyi8430 2 года назад

      Kwani akothee ni w ethiopia

  • @simonlyimo4360
    @simonlyimo4360 2 года назад +2

    Dah konde kambadilisha mwambino na wasafi wake kuhus msanii kualikwa na wasanii wenzake🙌 salute kwake Bakheresa

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 2 года назад +1

    NEXTI LEVO MISIC RAVNNYN MACVOICE NEXTI LEVO MISIC RAYVANNY

  • @009biafra8
    @009biafra8 2 года назад +12

    Rayvanny sio MWEHUU hii nimeielewa hiyo.. Wanaoteseka na mafanikio ya Rayvay n mashabiki wa HÀMOKINYESI na marehemu kibamia maana Rayvanny anawapa taabu sana wanashindana na kivuli chako!

  • @omarkutunga8054
    @omarkutunga8054 2 года назад +3

    Wewe ni kiongozi mzuri Sana

  • @saudatoto3010
    @saudatoto3010 2 года назад

    KAZI nzur

  • @akimudominik5695
    @akimudominik5695 2 года назад

    Love Mond♥️♥️

  • @oscarpelesi18
    @oscarpelesi18 2 года назад +6

    Kuna namna nausoma moyo wa D tofauti sana....naona una moyo mwema tu...maneno huwa kuna wakati yanafunua mtu ni nani!

  • @lisamwamelodybaby4289
    @lisamwamelodybaby4289 2 года назад

    Nakubali

  • @stivenyoungson2288
    @stivenyoungson2288 2 года назад +12

    Nice

  • @shavakhantz7960
    @shavakhantz7960 2 года назад +1

    Umeongeaa pow sana bro

  • @farijanibakari9018
    @farijanibakari9018 2 года назад +11

    Safi sana simba umeachia mawe mazuri sana achana na maneno ya watu hawanalolote njaaaaaaaaa tu

  • @hamzasanane5171
    @hamzasanane5171 2 года назад

    King

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 2 года назад +4

    💪💪💪💪 diamond 💎

  • @sophie777-t8w
    @sophie777-t8w 2 года назад +1

    Kweli kuwa mswahili ni kazi ....swali Moja ..lina majibu hamsini .... Hataki hiyo swali la Ray

  • @jumabokole4642
    @jumabokole4642 2 года назад

    simba yuko tu sawa, hanaga roho mbaya bana bigapu sana mwamba💪💪💪🥰🙏

  • @aishaomar1845
    @aishaomar1845 2 года назад

    We 😍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @aishaomar1845
      @aishaomar1845 2 года назад

      we 🇰🇪🇰🇪 Don't CARE 😄😄😄😄

  • @sammyhassan6033
    @sammyhassan6033 2 года назад +9

    Simba msanii bora African

  • @dr.mgungo1429
    @dr.mgungo1429 2 года назад +4

    That's good

  • @JimmySirya
    @JimmySirya 2 года назад +3

    💯🔥🔥🔥🔥

  • @franktoneskorosov.4217
    @franktoneskorosov.4217 2 года назад

    The problem with diamond,is he doesn't want,,any msanii amutangulie... remember kulikuwa na wengine...tuliwapenda...

  • @issahnyamle4957
    @issahnyamle4957 2 года назад +1

    Angekuwa mwehu😁😁😁

  • @phelgonaamondi7251
    @phelgonaamondi7251 2 года назад +4

    It makes sense... yaani mtu anataka kuforce bifu yenye haiko

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 2 года назад +3

    Upo juu kinyama aisee mond umejipanga achana na hizi story kusemanq tunadis kila kitu aisee

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 2 года назад +3

    Unaonesha leadership maturity kwasasa 💥

  • @JimmySirya
    @JimmySirya 2 года назад +1

    Maswali ya Lil Ommy ni 🔥🔥💯💯🔥

  • @hamisishabani8864
    @hamisishabani8864 2 года назад

    🦁SIMBA KAMA🦁hakuna utani muda wa kazi

  • @doncarlosonyango4915
    @doncarlosonyango4915 2 года назад +1

    Jamani ame mwacha lavalava mbali

  • @franckmuhakwanke9546
    @franckmuhakwanke9546 2 года назад

    Hapana Hapana Hapana ngombe wew

  • @ronniekemboi9207
    @ronniekemboi9207 2 года назад

    Great idea

  • @veryaloyce3874
    @veryaloyce3874 2 года назад +2

    Yesa

  • @anthonyke254
    @anthonyke254 2 года назад

    Diamond ni mjaja sana he is more than genius yaani huyu msee hakuna mahali atawai ropokwa kama wasanii wengine

  • @jessendegwahmusic488
    @jessendegwahmusic488 2 года назад

    WCB for life

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 2 года назад

    diamond ni msanni mzuri ila anatabia moja mbaya sana hayuko wazi kuwasidia wenzangui zaidi anawatumia tuh kutengeneza hela.

  • @petermaduka5775
    @petermaduka5775 2 года назад +3

    Mmh angekua mmakonde ndo ana BET sijui ingekuaje nawaza

  • @ceciliambui5972
    @ceciliambui5972 2 года назад +1

    Nice simbaa

  • @Mifurumboangelotmiz
    @Mifurumboangelotmiz 11 месяцев назад

    Genious platnumz akili anayo

  • @benimj2323
    @benimj2323 2 года назад

    sikuzote anaefanya mazuri anaonekana mbaya anaefanya mabaya anaonekana mkwel sasa kaka diamond usichoke kutusaidia sisi vijana kisa maneno mabaya ya watu wew toa msaada utalipwa na mwenyezi mungu

  • @elifrewjohn8723
    @elifrewjohn8723 2 года назад +20

    Kama umeona mtangazaji ana ofcoz nyingi like hapa🤣🤣🤣🤣

    • @saidrimoh8476
      @saidrimoh8476 2 года назад +3

      Aongee kiswahili tunaelewa pia

  • @tonnnieghm
    @tonnnieghm Год назад

    CHUI🏆🏆🏆

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 2 года назад +5

    Mond binafsi huwa spend saana mzik lakn ukweli we dogo nakukubali mana unajielewa aiseee

  • @felizardovicentepedropedro211
    @felizardovicentepedropedro211 2 года назад

    Pamoja brother

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад

    Daimond platinum
    Simbaaaaaa

  • @paulineonkoba1196
    @paulineonkoba1196 2 года назад

    Diamond is smart

  • @work4lifenews276
    @work4lifenews276 2 года назад

    Diamond platnumz mkubwa wao

  • @bercyhot5924
    @bercyhot5924 2 года назад +1

    Love from #burundi🇧🇮

  • @rajaburamadhan2057
    @rajaburamadhan2057 2 года назад

    I Love you

  • @princeh4875
    @princeh4875 2 года назад

    Simba respect kwa good speek

  • @mesatagirassane4853
    @mesatagirassane4853 2 года назад

    Jamani mimi niko Mozambique, uyo Diamond ameanza kukonda kapungua sana.

  • @abdulmiyugi8987
    @abdulmiyugi8987 2 года назад

    Moaka 100 zaidi

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 2 года назад

    Lil omy angalia maswali yako kisije kikaota ohoo... shauriakoo...akikuwekea kinyongo huyoo so mtu mzuri....

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 2 года назад +5

    Mondi wewe ni Mbinafsi sana hilo halipingiki sema Unajiaminisha tu kwa Watu. Una Moyo wa Kusaidia lakini hutaki unayemsaidia Akuzidi Pale ulipo. Ukweli lazima Usemwe. But Shoutout kwasababu umeibua Vipaji vingi.

    • @slimmuhabesh2400
      @slimmuhabesh2400 2 года назад +2

      Ni maneno ambayo wew unayaamini hivyo...

    • @lyrics_forum
      @lyrics_forum 2 года назад +1

      @@slimmuhabesh2400 Siongei na Chawa Broh. 🤞

    • @valeriachipeta774
      @valeriachipeta774 2 года назад +3

      Kwa hyo ww ndio unaemjua diamond kuliko anavyojijua mwenyew? Mbona huwa mnamsema huyu mtu vibaya wakat hamjawah hata kukaa nae mkanywa nae maji?

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 2 года назад +6

    Ikiwa kwama hio vp Tena Simba😂😂😂🦁🦁🦁🔥🔥🔥

  • @ramadhanishemweta371
    @ramadhanishemweta371 2 года назад +2

    Simbaaaaaa

  • @davidmartinojangole4339
    @davidmartinojangole4339 2 года назад +4

    Wasafi tv Next time you host diamond...please ask him why he is not doing Any collaboration with ugandan Artists

  • @mariamramadhani9282
    @mariamramadhani9282 2 года назад +2

    Kumbe diamond ni mweusi.. Au basii