BABRA: Aamua kuwavuruga viongozi wa SIMBA SC • Amkingia kifua Mo DEWJI • Atupa lawama hadharani.
HTML-код
- Опубликовано: 8 июн 2024
- Salamba Tv.
Link ya Telegram:
Njia rahisi zaidi ya kupata kifurushi:
t.me/salambatv_bot
Link ya kujiunga na Whatsapp Channel yetu,
JAMVIKA NA SALAMBA.
whatsapp.com/channel/0029VabT...
Tunatoa huduma ya Ubashiri wa matokeo ya mechi,
Tunatoa mikeka kwa njia ya sms za kawaida zinazowafikia watumiaji wa huduma zetu kila siku,
Kuanzia:
Saa 5:30 asubuhi : KIFURUSHI CHA PREMIUM
Saa 7:30 mchana : KIFURUSHI CHA V.I.P
JAMVIKA NA SALAMBA
JAMVI LA ALHAMISI
Atalanta vs Marseille (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Leverkusen vs Roma (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
Bayern W vs Wolfsburg W (GERMANY) : Ov1.5 ✅
Umea vs IFK Stocksund (SWEDEN) : 1X ✅
Union St. Gilloise vs Royal Antwerp (BELGIUM) : Ov0.5 ✅
Stroemsgodset vs Lillestrom (NORWAY) : Ov1.5 ✅
Al Sadd vs AL Markhiya (QATAR) : 1X ✅
Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Friska Viljor vs Assyriska (SWEDEN) : X2 ✅
--Total Odds: 5.01
BONUS TIPS vs () :
Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov0.5 ✅
Aarau vs Sion (SWITZERLAND) : X2 ✅
Al Fayha vs Al Fateh (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Hapoel Beer Sheva vs Maccabi Bney Rein (ISRAEL) : 1X ✅
Olympiacos vs Aston Villa (EUROPA C. LEAGUE) : Ov1.5 ✅
CfR Pforzheim vs FV Ravensburg (GERMANY) : 1X ✅
--Total Odds: 2.12
JAMVI SPECIAL
2024-05-07
Pyunik vs Van (ARMENIA) : 1X ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
Atalanta vs Marseille (UEFA EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Olympiacos vs Aston Villa (UEFA CONFERENCE LEAGUE) : Ov1.5 ✅
--Total Odds: 2.05
Hao wajumbe ni njaa tupu. Mpaka professionalism imewashinda.
Barbra yupo sahihi hao wanaodai mwekezaji hatoi hela walikuwa wapi muda wote hadi leo kimenuka wanakuja mbele ya media kutugawa zaidi wanasimba tunahitaji mfumo ubadilike tuepukane na viongozi wapigaji
Mchambuz mkundu UNAKUWASHA
Nawewe mh shangazi nizair shair ukiwa namapenzi natimu yetuumeshindwa kuwa mkwel
Kweli njaa imewapitiliza
Timu ataka kupewa mdogo wake gsm mpango huyo umesukwa mangungu tryageni kajula pamoja na wajumbe hao wabodi upande wa wanachama
wajumbe wanakosa maneno uwezi kusema pesa zakununua mchicha na boksa, niujinga
Hawa wajumbe leo ndo wameona ndo mda wa kunyosha siku zote walikua wapi
Tatizo ukweli huwa hauchangamani na uwongo na porojo
Hao walikuwa wapi kusema mapema kuwa boss hatoi pesa wanaona maji yamefika shingon ndo wanasema boss anataka Hera zake zote hatuwaelew nakwann hawataki kujiuzulu kunanininhapo
Wana simba tuwe naakili maana kuna watu wananjaa sana wasaliti inabidi watoke kwani wao niwakina nani
Hivi kuinyoosha timu kunaanzia sasa baada ya kuambiwa mjiuzulu? Kabla ya hapo mbona hamkuinyoosha Simba? Mapungufu ya mwekezaji MO mbona hamkuyasema kabla mnasubiri bigula la kujiuzulu limepulizwa ndipo mnaanza kutapika mapungufu ya MO.
Si semi kwamba MO hana matatizo la hasha. Lakini hata nyie viongozi mnamatatizo tena yenu ni makubwa zaidi wajibikeni haraka.
Arudi huyu dada na apewe uwenyekiti kwa mashabiki kwenye 51%
Tena issa ni mpumbavu Bora akae kimiya yeye issa anaela yakuongoza simba
na wewe muandishi hueleweki ulichokisema sikuelewi huyo mjumbe njia aliyopitia kuleta ujumbe simuamini mwanzo hakusema anaona maji ya shingo ndio anaanza kutengeneza makundi watu kama hawa hawafai kuchaguliwa mungu ibariki simba pamoja na ujanja wao simba itabaki simba
Mo hana mapungufu yoyote. Ogopa mtu anaetoa hela na anajuwa wazi inaliwa lakini anaendelea kutowa tu.
Kiukwel viongozi wa Simba ni chenga kabisa kwasababu wakati wote walikuwa wap? Kusema hayo mpaka timu inapotea miaka mitatu hadi GB 64 aliyesema ukweli mkamuona mbaya
MO ANATOA HELA WAPIGAJI WANA HAHA KUMCHAFUA, MO KESHA AMUA WATOKE TU.
Eeee hii kweri ni chaneli ya maokoto daah!! Hamuna loloteeee hamueleweki!! Watu wenye akiri nzuri tunasubir SIMBA DAY ili tuamini vizuri laikini kwa sasa no🙅♂️🙅♂️🙅♂️🙅♂️