KISHERIA 'LAMECK LAWI' NI MCHEZAJI WA TIMU HII • DILI LAKE LA KWENDA NJE YA NCHI LIMEKAA HIVI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 июн 2024
  • Salamba Tv.
    Link ya Telegram:
    Njia rahisi zaidi ya kupata kifurushi:
    t.me/salambatv_bot
    Link ya kujiunga na Whatsapp Channel yetu,
    JAMVIKA NA SALAMBA.
    whatsapp.com/channel/0029VabT...
    Tunatoa huduma ya Ubashiri wa matokeo ya mechi,
    Tunatoa mikeka kwa njia ya sms za kawaida zinazowafikia watumiaji wa huduma zetu kila siku,
    Kuanzia:
    Saa 5:30 asubuhi : KIFURUSHI CHA PREMIUM
    Saa 7:30 mchana : KIFURUSHI CHA V.I.P
    JAMVIKA NA SALAMBA
    JAMVI LA ALHAMISI
    Atalanta vs Marseille (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
    Leverkusen vs Roma (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
    Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
    Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
    Bayern W vs Wolfsburg W (GERMANY) : Ov1.5 ✅
    Umea vs IFK Stocksund (SWEDEN) : 1X ✅
    Union St. Gilloise vs Royal Antwerp (BELGIUM) : Ov0.5 ✅
    Stroemsgodset vs Lillestrom (NORWAY) : Ov1.5 ✅
    Al Sadd vs AL Markhiya (QATAR) : 1X ✅
    Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
    Friska Viljor vs Assyriska (SWEDEN) : X2 ✅
    --Total Odds: 5.01
    BONUS TIPS vs () :
    Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
    Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov0.5 ✅
    Aarau vs Sion (SWITZERLAND) : X2 ✅
    Al Fayha vs Al Fateh (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
    Hapoel Beer Sheva vs Maccabi Bney Rein (ISRAEL) : 1X ✅
    Olympiacos vs Aston Villa (EUROPA C. LEAGUE) : Ov1.5 ✅
    CfR Pforzheim vs FV Ravensburg (GERMANY) : 1X ✅
    --Total Odds: 2.12
    JAMVI SPECIAL
    2024-05-07
    Pyunik vs Van (ARMENIA) : 1X ✅
    Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
    Atalanta vs Marseille (UEFA EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
    Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
    Olympiacos vs Aston Villa (UEFA CONFERENCE LEAGUE) : Ov1.5 ✅
    --Total Odds: 2.05

Комментарии • 78

  • @namtingakassim5529
    @namtingakassim5529 12 дней назад +1

    Hujui mpira slamba

  • @RAMADHANAllykibanga
    @RAMADHANAllykibanga 6 дней назад

    Salamba kumbewewe nifala nilikuwa sijui

  • @CharlesAlly-jp1ms
    @CharlesAlly-jp1ms 13 дней назад

    Tatizo la wachambuzi mnajifanya mnayajua mambo zaidi ya wenye matatizo mwisho wa siku mnakuwa waongo mkasome basic law

  • @emanuelyngailo6807
    @emanuelyngailo6807 12 дней назад

    Salamba tunza maneno yako brother.Unajidhalilisha na mpira huujui na hicho kionline chako kitakufa

  • @kamazimamuganyizi6932
    @kamazimamuganyizi6932 12 дней назад

    Ww unatuletea Uyanga ukichanganya kazi na ushabiki yatakushida broo

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 13 дней назад

    Mbona hazungumzii mkataba ambao timu zote zimesaini kuuziana mchezaji?

  • @christianrukurugu4341
    @christianrukurugu4341 13 дней назад

    Mchezajia alisaini na Timu pia ilisaini, kilichobakia ni pesa na pesa nusu walikuwa wameshapewa. Huna point, huwezi kuwa profesa

  • @imanmasawe749
    @imanmasawe749 12 дней назад

    Waoongee vizuri na viongz wa costal plz

  • @mikidadikiga90
    @mikidadikiga90 12 дней назад

    Salamba sikuizi umekua chizi kabisa yani

  • @user-ph7xf6hi8s
    @user-ph7xf6hi8s 13 дней назад

    Upo sawa kk

  • @godsonmolla1594
    @godsonmolla1594 13 дней назад +1

    😂😂😂Hakuna mchambuzi hapo, Utopolo mtupu.. ngoja tumsubiri Mbwaduke tu, bro kauze samaki huujui mpira

  • @thomaslyimo9556
    @thomaslyimo9556 13 дней назад

    salamba { professor} wa ,,,,,, unaupiga mwingii

  • @josephsiame5373
    @josephsiame5373 13 дней назад

    Baadhi ya wachambuzi mnatiaaibu jaribuni kuwa makini kusikiliza pande zote mbili ndio mchambue

  • @AbuuSumaiyah
    @AbuuSumaiyah 13 дней назад +1

    Upo sahihi Salamba

    • @KakeSimba
      @KakeSimba 12 дней назад

      Salamba we msenge kumamako acheni uyanganyinyi machoko

  • @khalifamaliki4179
    @khalifamaliki4179 13 дней назад +1

    Uyo jamaa fala tu Kama Simba aikuongeya na kost Simba walilipaje pesa acha ujinga

  • @edgarmbegu1974
    @edgarmbegu1974 12 дней назад

    Profesa hana hoja ...pengine ...pengine nyinhi

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 13 дней назад

    We inawezekana huo uprofesa uliiba vyeti vya Watu Yani mtu amesha Saini Kila kitu why na viongozi wao wamesaini why baadae ukatae Saini Yako jibu ulikubali

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 13 дней назад

    SIMBA NGUVU MOJA

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 13 дней назад

    Je mkisikia imekamilika mtachambua nin kuhus lawi

  • @abubakarmago2623
    @abubakarmago2623 11 дней назад

    Nilikuwa nakuelewa sn awali lkn kwa hiki unachochambua ndio nimejua Leo kumbe ww ni boya tu km maboya wengine na cku akitua msimbaz utaongea nn?

  • @MajaliwaJsalumu
    @MajaliwaJsalumu 13 дней назад

    Una rorotr

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 12 дней назад

    Kwa mfano Lameck Lawi akimua kurudi Coast Union, hizi kelele hautazisikia. Hapo Utopolo wanatafuta kiki

  • @imanmasawe749
    @imanmasawe749 12 дней назад

    Kuna mkono wa mwiko nyuma hapaa

  • @MezdDimoso
    @MezdDimoso 13 дней назад

    Acheni siasa zenu

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u 13 дней назад +1

    Kumbe unatumia akili yako hapo nimekuelewa

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 13 дней назад

    Hata wewe professor unanunuliwa,kupotosha ukweli mhh!

  • @harunkaluona7779
    @harunkaluona7779 13 дней назад

    Huna unachojua naona unasimulilia mambo ya mtaani.hutoi fakti yoyote

  • @AlamZambi-uz9rm
    @AlamZambi-uz9rm 12 дней назад

    Salamba unataka kuniambia kwamba simba niwajinga

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 7 дней назад

    Mkataba umeuona?

  • @goodluckpaschal7857
    @goodluckpaschal7857 11 дней назад

    Stop forcing brother ujui mpira ww unazinguwa matako

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 13 дней назад

    Lawi mbona mchezaji wa kawaida Sanaa.

  • @jankenkasambala7687
    @jankenkasambala7687 13 дней назад

    Kwani yeye mchezaji mwenyewe anasemaje

  • @MwenevyaleWaziri
    @MwenevyaleWaziri 13 дней назад

    Huyo professor ni muongo hajui lolote kwenye sheria au hajui nini kilitokea

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 13 дней назад

    Wewe ni mjinga siyo mchambuzi

  • @lahauonline217
    @lahauonline217 13 дней назад +2

    Hawa hawana uprofesa alie profesa habezi upande umoja alikuwa achanbue pande zote mbili Kisha sisi ndio tuone mkosa nani huyu ni mapandikizi waliokuwa hawaipendi Simba na kuzidi kuitia dowa tu profesa hajioneshi laivu majibu yake huwa sisi ndio wakutoa majibu .

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 13 дней назад

      Chupli chupli..ujanja ujanja umewajaa dunduka..mfadhili hana fedha... madhabiki acheni ushabiki, kubalini ukweli kuwa hamna pesa simba..wacheza wanatakiwa kula ili kupata nguvu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 12 дней назад

      ​@@josephlorri431MTANIIIIII LABDA SIMBA HAWANA PESA LAKINI SIO MFADHILI 😂😂😂 NA NYIE LIPENI MILIONI 860 ZA WATU 😂😂😂😂

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 13 дней назад

    Ila tuseme kweli Simba wanajua kuna ukweli wote, kwamba wamelazimisha kijanja kijanja

  • @MrishoMindu-zq7mz
    @MrishoMindu-zq7mz 13 дней назад

    Huyu mlevi wa Kisungura. Hajui kitu. Mtu akisha ingia mkataba na pesa umeipokea. Sasa mikataba yenu ndio inapelekwa sehemu husika ili wakajiridhishe mnunuzi sasa ndio awe mmliki halali. Hatua ya kwanza kuandaa mikataba inafuata ununuzi alafu unapeleka sehem husika kuidhinisha sasa ni mali yako umenunua kihalali muuzaji anaenda kailipie kodi. Wakati huo wote mali hiyo sasa inakua mikononi mwako. Prf kwa maelezo ya prof wa Kibuku inadhihirisha ya kua kuuza Dagaa kamba wala hajawahi hata kununua hata kibakuli inavyo jionyesha hapa. Kwa lugha nyepesi hajui kitu.

  • @KassimLisala
    @KassimLisala 11 дней назад

    Ulisha enda shule ata kuona majengo tu

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx 13 дней назад

    azam kulifukuza hilo jamaa walikua sahihi

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u 13 дней назад

    Da mchambuzi kanjanja

  • @JahnyabduelYoeza-m9o
    @JahnyabduelYoeza-m9o 12 дней назад

    kumbe hata we ni hewa kutaja mtu majina mawili sio kua ndio yaliyoandikwa kwenye kandarasi ya mtu husika wacha ujinga pimbi ww

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 13 дней назад

    Unauhakika

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 13 дней назад +1

    Wachambuzi tulizeni mishono mtaumbuka bure

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 12 дней назад

      WESHA ZOWEYA KUTUKANWA HAWA 😂😂😂😂😂😂 NA WAO WALIPE MILIONI 860 ZA WATU 😂😂😂

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 13 дней назад

    ww mlevi cosideration ilishakuwapo ww ni mjinga ,pumbavu sana ongea na kipengere cha fifa kuwa ikiwa mnunuzi hajatekekeza makipo muuzaji anatakiwa atoe notice kwa kwa mununuzi kwa muda wa cku10 baada ya muda wa makubaliano kupita ss niwaulize ninyi vilaza coastal waliwanotify hilo..mpira cyokama biashara ya nyanya nia ni kujenga mahusiano mema kat ya club na club cyo vita na visasi

  • @harunkaluona7779
    @harunkaluona7779 13 дней назад

    Msiharibu PhD za watu kwa ujinga unaoongea

  • @SwaleheHaji
    @SwaleheHaji 9 дней назад

    Wachambuzi musiwe waongo

  • @user-fh7gu7eb2d
    @user-fh7gu7eb2d 13 дней назад

    ugomvi wa ndugu

  • @sekrommbaga6234
    @sekrommbaga6234 13 дней назад

    Unahukumu kwa taarifa za mitandao. Tafuta taarifa kamili. Na nini kilitokea ndipo uanze kulaumu

    • @JabirJabir-c9o
      @JabirJabir-c9o 11 дней назад

      Mwambieni huyo Kuma atafute bwana wa kumshulikia Hana anachokijua kwenye uchambuzi.

  • @wakilisharaw
    @wakilisharaw 13 дней назад

    Hii walijua yanga wanakuja na GSM

  • @issahaji1910
    @issahaji1910 13 дней назад

    Kwanini hivi sasa iwe nongwa na suala la mgogoro wa Fei na Yanga c mlilishabikia sasa acheni na wenzenu watoe maoni yao kama nyinyi mlivyo kuwa mkitoa maoni yenu au ndio ule msemo usemao " Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu"

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 12 дней назад

      FEI MLILIPWA PESA ZENU ZOTE MKAGOMA KUMTOWA MACHOGO FC NJAA KALI JANGWANI 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 13 дней назад

    Ulitegemea Salamba Tv wasemeje? Wapo hivyo kila siku kinyume na Simba. Hili suala lingekuwa la utopolo angekuwa upande wao. Lakini salamba ni kitu gani? Mpira ni wa FIFA.

  • @mtaitamedia2024
    @mtaitamedia2024 13 дней назад

    Wengi wanaopinga uchambuzi wa Profesa ni Makolo fc. Viongozi wa Simba hawajielew ndo maana wameharakisha kutangaza usajiri wa Lawi kwakua wanajuafika usajiri wake haujakamilika.

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t 13 дней назад +2

    Simba na costal ni mtu na kaka ake na wote ni watoto wa karia kwahyo msijikaushe saut zenu ilo litamalizwa kifamilia tu salamba dose dose

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 13 дней назад

    Mpata pakusemea sasa

  • @victorgogadi55
    @victorgogadi55 13 дней назад

    Very Low! yaani picha iwe kigezo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 12 дней назад

      ATI NA MAJINA KIGEZO HUYU MSHAMBA SANA HIVI UKITAJA MARADONA WATU HAWAMJUWI AU RONALDO AU NIMAR AU M'BAPE HANA AJUWALO KENGE HUYO

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 13 дней назад

    wale wenye madeni jee hawana shida?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 12 дней назад

      TENA MILIONI 860 😂😂😂😂😂

  • @user-yt1lz6hz5p
    @user-yt1lz6hz5p 13 дней назад

    Wew jamaaa hiv kaz yako nni

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 12 дней назад

    Kumbe huyu jamaa ni utopolo 😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 12 дней назад

      TENA OG STATION YA MACHOGO FC HIYO WAONGEE KUHUSU MILIONI 860 WANAZODAIWA.

  • @Buy_YT_Views_94
    @Buy_YT_Views_94 13 дней назад

    💀

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g 13 дней назад +1

    Wachen uyanga wenu simba sio wajinga cost wameingia tamaa tu wa natak kumpeleka yanga

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 13 дней назад

    Majambazi Simba huyu anaye ongea nikiongozi wa costal wamemununua kwanani sasa au wanatumia ukubwa wao kuwakandamiza costal kwajanjajanja zao kupitia mgunda kwa kumdanganya mchezaji asanini Simba ili yeye aendelee kutumika pale kama dalali wao maisha yake yote

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 8 дней назад

      Jambazi wa kwanza ni wewe 😂😂😂

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 13 дней назад

    Simba bado Ina shida Sana yaani

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 12 дней назад

      SHIDA WANAZO MATOPOLO MACHOGO FC DENI MILIONI 860 😂😂😂

  • @NkondokayaJoe
    @NkondokayaJoe 13 дней назад

    Kama huyo ni pandikizi basi wewe ni tawi

  • @makamelila
    @makamelila 13 дней назад

    Hakuna sintofahamu ni mpropa Ganda tu hizo acheni chokochoko

  • @victorgogadi55
    @victorgogadi55 13 дней назад

    This guy hauki mpira na hajui sheria, mapungufu kwenye mikataba haiwezi kutokuwepo, hakuna mkatabausio kuwa na loopholes better shut up

  • @SeifAlly-fw6ns
    @SeifAlly-fw6ns 13 дней назад

    Punguza u yanga wako unajua mpaka unakera hata kama unaipenda yanga punguza mapenzi yako kwenye uchambuzi punguza chuki zako kwa simba unakera saaaana

  • @muhsinjuma1326
    @muhsinjuma1326 12 дней назад

    Profesa wa mchongo ,,kwni hatujui kuwa wewe nimwana yanga,kuanzia leo na unsubscribe hii tv ya kimchongo