PSG kutua Bongo kucheza na YANGA SC🤔• SIKU YA MWANANCHI kuweka historia • Ujio wa Hakimi una nini?
HTML-код
- Опубликовано: 26 июн 2024
- Salamba Tv.
Link ya Telegram:
Njia rahisi zaidi ya kupata kifurushi:
t.me/salambatv_bot
Link ya kujiunga na Whatsapp Channel yetu,
JAMVIKA NA SALAMBA.
whatsapp.com/channel/0029VabT...
Tunatoa huduma ya Ubashiri wa matokeo ya mechi,
Tunatoa mikeka kwa njia ya sms za kawaida zinazowafikia watumiaji wa huduma zetu kila siku,
Kuanzia:
Saa 5:30 asubuhi : KIFURUSHI CHA PREMIUM
Saa 7:30 mchana : KIFURUSHI CHA V.I.P
JAMVIKA NA SALAMBA
JAMVI LA ALHAMISI
Atalanta vs Marseille (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Leverkusen vs Roma (EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
Bayern W vs Wolfsburg W (GERMANY) : Ov1.5 ✅
Umea vs IFK Stocksund (SWEDEN) : 1X ✅
Union St. Gilloise vs Royal Antwerp (BELGIUM) : Ov0.5 ✅
Stroemsgodset vs Lillestrom (NORWAY) : Ov1.5 ✅
Al Sadd vs AL Markhiya (QATAR) : 1X ✅
Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Friska Viljor vs Assyriska (SWEDEN) : X2 ✅
--Total Odds: 5.01
BONUS TIPS vs () :
Pyunik vs Van (ARMENIA) : Ov1.5 ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov0.5 ✅
Aarau vs Sion (SWITZERLAND) : X2 ✅
Al Fayha vs Al Fateh (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Hapoel Beer Sheva vs Maccabi Bney Rein (ISRAEL) : 1X ✅
Olympiacos vs Aston Villa (EUROPA C. LEAGUE) : Ov1.5 ✅
CfR Pforzheim vs FV Ravensburg (GERMANY) : 1X ✅
--Total Odds: 2.12
JAMVI SPECIAL
2024-05-07
Pyunik vs Van (ARMENIA) : 1X ✅
Azam vs Simba (TANZANIA) : Ov1.5 ✅
Atalanta vs Marseille (UEFA EUROPA LEAGUE) : 1X ✅
Al Khdoud vs Al Nassr (SAUDIA) : Ov1.5 ✅
Olympiacos vs Aston Villa (UEFA CONFERENCE LEAGUE) : Ov1.5 ✅
--Total Odds: 2.05
Duuuuh maisha ya YANGA mbona yanatupa matumaini ya soccer letu la BONGO 😂😂😂 Eng. hatari sanaàa🎉
Hii Ni dalili tosha kuwa mpira wetu wa Africa ususani Africa mashariki unakuwa kwa speed Sana,, km simba SC walicheza na sevilla from Spain si ajabu yanga kucheza na psg from Paris, na pia tunampongeza eng hersi said kuwa shababi kwenye kiti chake anafanya Kazi kweli coz unaunganisha vilabu kutoka balan ulaya mpk Africa,, km n kweli yanga day psg ndan big up,
Hakika kuna wanaoteseka
Ya bongo hayo yamejiri tusubiri kuona aibu na shangwe😂😂😂😂😂😂
@KwellyRyoba-xp6y acha wivu, PSG ni moja ya timu bora Duniani.
Kisugu yuko kazini kupotosha na kuendelea kuwafubaza makoro kuhusu ujio wa Hakimi
Elimu ya rais wa yanga kimichezo Tz hakuna
Yanga 😂😂
Yanga bingwa tena
Waje psg tuwaoneshe soccer
Kuja psg siku ya mwananchi siyo issues kubwa sana.mbona simba waliwaleta sevilla.kwani kulitokea nn?Acheni ushamba Psg ni timu tu ya mpira kama ilivyo yanga.
Sevilla haikuleta na simba kk bali ililetwa na sport pesa, wanachokifanya Yanga ni Zaid ya kutanua wigo wao kweny soka
Sevilla hawakuletwa na simba elewa hilo
Timu ya watu Saba toka PSG sio kitu kidogo, hebu watani nao wajifunze yaliyonamwendelezo wa Soccer Bongo, hebu waaachane na akina KISUGU, GB64 na akina K pambanieni maendeleo ya soccer ,Sasa naona AZAM kama wamenyooka kiburi chao wanaona furaha kuwa na nafasi ya kucheza klabu bingwa, wameshawaponda walio wabeba nafasi ya pili😂😂😂😂😂 kwa kuwashangilia goli la FEI la offside 😅😅😅😅
Wewe ni utopolo siyo mchambuzi
SIMBA IGENI KWA INJINIA HENSI. HASA KWA SWALA LA USAJILI. KM YANGA INGEKUWA HAIPO VZR PSG HAINGEKUJA. JAMANI IGENI HV VITU. SIMBA TUNAKWAMA WAPI?
Wanasimba wanamsikiliza Kisugu
Acha uongo
Ww ni mpuuzi nani aige kwa nyuma mwiko?ujinga
Mpuuzi ni yule anayejua upuuzi wa mwingine!!
😂😂😂😂 Sasa unakataa nn wewe Kobe ujinga utawaua endeleeni kushupaza shingo tabu Iko pale pale
Fubazeni akili zenu! Acha mteseko uendelee ukolokwinyoni