Wakumbushie viongozi ipigwe kisomo wasali na watoa taarifa siri club ipigwe kisomo niko tayari kuchangia, maana magugu try agani wajue bado wapo, wasijisahaulishe
HUYO MANGUNGU ATUJIBU KWA NINI ALIWAACHA BALEKE NA MOSES PHIRI WAONDOKE KIRAHISI??? NA HUKU ANASEMA KUSAJILI NI KAMARI MPUMBAVU MWIZI HUYO HATA OKRA MAGIC KAMTOWA KINJAMA ILI AENDE UTOPOLO MACHOGO FC MKUNDU WA MAMAKE MBWA HUYO
Miraji waambie viongozi wanahujumu wachezaji, ona tunambiwa mchezaji mbaya mbona wanamchukua wanawasajiri, hivi wachezaji ni wabaya kweli kama firi,baleke leo kaenda yanga,haya okra huyo, anayefanya mchezo try agani na mangungu,
Kaka miraji uko sahihi na hiyo ndio maana ya kupngea kwa fact tena wachane kabisa wakina kisugu wakina aggy simba wanakuja kuongea maji yamesha mwagika?
Yupo sahihi sana huyu mwamba.
Jamaa anaongea point sana hatuna wachezaji Simba saiv
Saana mwamba, nakubali maneno yako
Miraji unaongea unanyooka kabisa nakukubar sana mwamba
Uyo Mo mwenyew ni snich sana wanasimba hamjui tu😀😀😀
usnichi wake nini sisi atujui twambie wewe tuna taka jibu fasta
@@mzeebabumzeembabaifu
Wakwanza leo
Simba kwa sasa wasipokuwa makini nafasi ya 3 waizoee tu
😅😅😅😂 Tano Safi kabisa😅😅 Yani 5 zimenyooka😂😂
Ngunguzi anasomesha kupitia simba sasa akijiuzulu watoto nao wajiuzulu kusoma
Miraji Mwenyekiti Anasema kwamba Mbona hao Wachezaji wengine mbona hamuwasifiii mnawaangalia Hawa wachachee
Walituletea watu walio fer safar hii hatutaki ijirudie
Moo kikwazo anco
Mangu kinacho msumbua ni chajuu kwenye usajili ana ona Zina pita hovi
Zile 5 kuna mwanachama wetu kafa huku Kitunda.
Wakumbushie viongozi ipigwe kisomo wasali na watoa taarifa siri club ipigwe kisomo niko tayari kuchangia, maana magugu try agani wajue bado wapo, wasijisahaulishe
Fred na jobe wote waondoke Bora arundi bocco Bora kuliko hao
Mwambie mzee magoli huyu mshambuliaji nikama jobe wasimuache kramo, na mzee mgunda anaujua mpira wetu, wachezaji tumepa lakini kocha sinaimani tusije kulia,
HUYO MANGUNGU ATUJIBU KWA NINI ALIWAACHA BALEKE NA MOSES PHIRI WAONDOKE KIRAHISI??? NA HUKU ANASEMA KUSAJILI NI KAMARI MPUMBAVU MWIZI HUYO HATA OKRA MAGIC KAMTOWA KINJAMA ILI AENDE UTOPOLO MACHOGO FC MKUNDU WA MAMAKE MBWA HUYO
😂
Unajua sana kuongea kwa fact kaka miraji saluti kwako tunataka watu kama nyie ili kuiongoza Simba yetu
Miraji waambie viongozi wanahujumu wachezaji, ona tunambiwa mchezaji mbaya mbona wanamchukua wanawasajiri, hivi wachezaji ni wabaya kweli kama firi,baleke leo kaenda yanga,haya okra huyo, anayefanya mchezo try agani na mangungu,
Mzee wa kazi 😂😂😂
Mm najua muhindi akuna anaekula asara moo atawaumiza msipo jitafta
Ukweli kabixa mangungu anazingua
Waambie hao madunduka mabwegeeeee
MWAMBA UNAONGEA FACTS SANA 100%
Miraji ww ni mtu na nusu
Kaka hapo viongozi wanatupaka mafuta mgongo wa chupa
Tatizo la Simba ni Injia Heris .
Mbona Simba queen inashinda ?
Oya unasema kwel mwamba
Huyu mamba anaongea point tu viongozi acheni unafk
Mangungu hanaswaga astuone SS kama hatuna uelewa kwanza asituchefue
Miraji Mimi nakukubali sana
Na bado mpaka msemeeee.
Mara moja hunaga baya
Kobe hatakiwi kubaki Simba Sheri angebaki ntiba
point sanaaaa
Sahihi kakaa ukoo sawa kabisa
Sema miraji kichwa San yan unaongea vitu vyamaana san
Unacho kiongea uko sahihi.
Sasa hv mpira kwetu ni siasa tuta umiza vichwa sana tu 10:09
Kaka miraji uko sahihi na hiyo ndio maana ya kupngea kwa fact tena wachane kabisa wakina kisugu wakina aggy simba wanakuja kuongea maji yamesha mwagika?
Joshua mtale
Wote wachezaji maboya wote waondoke tunataka wapya
Huyu miraji anatakiwa awe mwenyekiti wa klabu ya Simba,kwa sababu anajua matatizo ya klabu
Kweli kabisa kakaangu unasema ukweli wanatakiwa wajifuze viongozi wasimba
Issa aonge na haombe ladhi na mangungu aonbe ladhi
Hakuna muhindi dunian anaekula hasara
Chama aende tu tusajiri vizuri kuliko chama pumbavu
Thamk you maramoja aggy na dokta mo mamuluki mangungu yangaa
Nakubali sana brother miraji mara Moja tunakusamia Zanzibar tunakukubali sana
Miraji mwanangu umenyooka sana aisei..huna baya ankal
Jobe na Fred waondoke Tena lazima
Miraji bonge la m2
Edwen barua 😂😂😂😂😂 anavaaa Mbona kaka miraji😅😂😂
Huyu miraji kama namuelewa vile?
Sahihi wapishe
Miraji upo sawa sana😂
Mo atakaa simba mpaka kizazi chake
Uko sahihi kaka
Jomba miraji unajuwa sana
Miraji ziangalie goli Tano ulio sema Zina makando kando tele kutoka kwa refa goli la 3,la mkono na 4la Arajige. Tizama hio halafu utasema kweli.
Miraji na mchome mnaonge point ilawenzenu hawaoni.
mchome mnafiki
Wa nne leo
Timekusamehe
🙏🤝
Mangungu nichizi hajui mpira