MIRAJI AWAUMBUA VIONGOZI SIMBA KWENYE USAJILI/ MO HAWEZI KUBAKI MILELE SIMBAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036

Комментарии • 70

  • @peterDominick-h2n
    @peterDominick-h2n 3 месяца назад +4

    Yupo sahihi sana huyu mwamba.

  • @SadamSarita-t7z
    @SadamSarita-t7z 3 месяца назад +16

    Jamaa anaongea point sana hatuna wachezaji Simba saiv

  • @HassanMkwenda
    @HassanMkwenda 3 месяца назад

    Saana mwamba, nakubali maneno yako

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад +2

    Miraji unaongea unanyooka kabisa nakukubar sana mwamba

  • @MwazambaMicrofinance
    @MwazambaMicrofinance 3 месяца назад +3

    Uyo Mo mwenyew ni snich sana wanasimba hamjui tu😀😀😀

    • @mzeebabumzee
      @mzeebabumzee 3 месяца назад +2

      usnichi wake nini sisi atujui twambie wewe tuna taka jibu fasta

    • @ibrahimabdullah1887
      @ibrahimabdullah1887 3 месяца назад

      ​@@mzeebabumzeembabaifu

  • @HamzaRashid-iq1yf
    @HamzaRashid-iq1yf 3 месяца назад +5

    Wakwanza leo

  • @alexkajerelo5571
    @alexkajerelo5571 3 месяца назад +2

    Simba kwa sasa wasipokuwa makini nafasi ya 3 waizoee tu

  • @abdullahmohamudmohamed4450
    @abdullahmohamudmohamed4450 2 месяца назад

    😅😅😅😂 Tano Safi kabisa😅😅 Yani 5 zimenyooka😂😂

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 месяца назад +1

    Ngunguzi anasomesha kupitia simba sasa akijiuzulu watoto nao wajiuzulu kusoma

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 3 месяца назад

    Miraji Mwenyekiti Anasema kwamba Mbona hao Wachezaji wengine mbona hamuwasifiii mnawaangalia Hawa wachachee

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Walituletea watu walio fer safar hii hatutaki ijirudie

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 месяца назад

    Moo kikwazo anco

  • @ShabanMohamed-e9l
    @ShabanMohamed-e9l 3 месяца назад +3

    Mangu kinacho msumbua ni chajuu kwenye usajili ana ona Zina pita hovi

  • @ramadhaniharuna5441
    @ramadhaniharuna5441 3 месяца назад +1

    Zile 5 kuna mwanachama wetu kafa huku Kitunda.

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад

    Wakumbushie viongozi ipigwe kisomo wasali na watoa taarifa siri club ipigwe kisomo niko tayari kuchangia, maana magugu try agani wajue bado wapo, wasijisahaulishe

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад +1

    Fred na jobe wote waondoke Bora arundi bocco Bora kuliko hao

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад

    Mwambie mzee magoli huyu mshambuliaji nikama jobe wasimuache kramo, na mzee mgunda anaujua mpira wetu, wachezaji tumepa lakini kocha sinaimani tusije kulia,

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +1

    HUYO MANGUNGU ATUJIBU KWA NINI ALIWAACHA BALEKE NA MOSES PHIRI WAONDOKE KIRAHISI??? NA HUKU ANASEMA KUSAJILI NI KAMARI MPUMBAVU MWIZI HUYO HATA OKRA MAGIC KAMTOWA KINJAMA ILI AENDE UTOPOLO MACHOGO FC MKUNDU WA MAMAKE MBWA HUYO

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 3 месяца назад +2

    Unajua sana kuongea kwa fact kaka miraji saluti kwako tunataka watu kama nyie ili kuiongoza Simba yetu

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад

    Miraji waambie viongozi wanahujumu wachezaji, ona tunambiwa mchezaji mbaya mbona wanamchukua wanawasajiri, hivi wachezaji ni wabaya kweli kama firi,baleke leo kaenda yanga,haya okra huyo, anayefanya mchezo try agani na mangungu,

  • @IsihakaAlly-fj4qo
    @IsihakaAlly-fj4qo 3 месяца назад +1

    Mzee wa kazi 😂😂😂

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 месяца назад +1

    Mm najua muhindi akuna anaekula asara moo atawaumiza msipo jitafta

  • @hamzahnassor153
    @hamzahnassor153 2 месяца назад

    Ukweli kabixa mangungu anazingua

  • @YusuphJilala-r4e
    @YusuphJilala-r4e 2 месяца назад

    Waambie hao madunduka mabwegeeeee

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 3 месяца назад +1

    MWAMBA UNAONGEA FACTS SANA 100%

  • @abdulswamadfakih7327
    @abdulswamadfakih7327 3 месяца назад +1

    Miraji ww ni mtu na nusu

  • @Anthon.h.Ngailo
    @Anthon.h.Ngailo 3 месяца назад

    Kaka hapo viongozi wanatupaka mafuta mgongo wa chupa

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 3 месяца назад

    Tatizo la Simba ni Injia Heris .
    Mbona Simba queen inashinda ?

  • @AdijaJumsnne
    @AdijaJumsnne 3 месяца назад +1

    Oya unasema kwel mwamba

  • @minshehekollora5751
    @minshehekollora5751 3 месяца назад

    Huyu mamba anaongea point tu viongozi acheni unafk

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад +1

    Mangungu hanaswaga astuone SS kama hatuna uelewa kwanza asituchefue

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад +1

    Miraji Mimi nakukubali sana

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e 2 месяца назад

    Na bado mpaka msemeeee.

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn 3 месяца назад +1

    Mara moja hunaga baya

  • @Anthon.h.Ngailo
    @Anthon.h.Ngailo 3 месяца назад

    Kobe hatakiwi kubaki Simba Sheri angebaki ntiba

  • @happynjikho4515
    @happynjikho4515 3 месяца назад +2

    point sanaaaa

  • @FrankLeonard-wh5jm
    @FrankLeonard-wh5jm 3 месяца назад +1

    Sahihi kakaa ukoo sawa kabisa

  • @ALLYMATIMBWA-cz3zg
    @ALLYMATIMBWA-cz3zg 3 месяца назад +4

    Sema miraji kichwa San yan unaongea vitu vyamaana san

    • @ZakariaChapa
      @ZakariaChapa 3 месяца назад

      Unacho kiongea uko sahihi.

  • @adilmohamed2117
    @adilmohamed2117 3 месяца назад

    Sasa hv mpira kwetu ni siasa tuta umiza vichwa sana tu 10:09

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 3 месяца назад

    Kaka miraji uko sahihi na hiyo ndio maana ya kupngea kwa fact tena wachane kabisa wakina kisugu wakina aggy simba wanakuja kuongea maji yamesha mwagika?

  • @GidionMarwa
    @GidionMarwa 3 месяца назад

    Joshua mtale

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Wote wachezaji maboya wote waondoke tunataka wapya

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 3 месяца назад

    Huyu miraji anatakiwa awe mwenyekiti wa klabu ya Simba,kwa sababu anajua matatizo ya klabu

  • @JoelyEmmanuel
    @JoelyEmmanuel 3 месяца назад

    Kweli kabisa kakaangu unasema ukweli wanatakiwa wajifuze viongozi wasimba

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Issa aonge na haombe ladhi na mangungu aonbe ladhi

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 3 месяца назад

    Hakuna muhindi dunian anaekula hasara

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Chama aende tu tusajiri vizuri kuliko chama pumbavu

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 3 месяца назад

    Thamk you maramoja aggy na dokta mo mamuluki mangungu yangaa

  • @Is-hakameni
    @Is-hakameni 3 месяца назад +3

    Nakubali sana brother miraji mara Moja tunakusamia Zanzibar tunakukubali sana

  • @JimmywilliamCharo
    @JimmywilliamCharo 3 месяца назад

    Miraji mwanangu umenyooka sana aisei..huna baya ankal

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Jobe na Fred waondoke Tena lazima

  • @KenedyMartin-it9hw
    @KenedyMartin-it9hw 3 месяца назад

    Miraji bonge la m2

  • @nestory8045
    @nestory8045 3 месяца назад

    Edwen barua 😂😂😂😂😂 anavaaa Mbona kaka miraji😅😂😂

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 3 месяца назад

    Huyu miraji kama namuelewa vile?

  • @FrankLeonard-wh5jm
    @FrankLeonard-wh5jm 3 месяца назад

    Sahihi wapishe

  • @danieligledson5697
    @danieligledson5697 3 месяца назад

    Miraji upo sawa sana😂

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 3 месяца назад

    Mo atakaa simba mpaka kizazi chake

  • @JoshuaZebedayo-nd1oj
    @JoshuaZebedayo-nd1oj 3 месяца назад

    Uko sahihi kaka

  • @Retaj-jj7rp
    @Retaj-jj7rp 3 месяца назад

    Jomba miraji unajuwa sana

  • @JumaSalimin
    @JumaSalimin 3 месяца назад

    Miraji ziangalie goli Tano ulio sema Zina makando kando tele kutoka kwa refa goli la 3,la mkono na 4la Arajige. Tizama hio halafu utasema kweli.

  • @AhmadyMtebwa
    @AhmadyMtebwa 3 месяца назад

    Miraji na mchome mnaonge point ilawenzenu hawaoni.

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 месяца назад

    Wa nne leo

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Timekusamehe

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 3 месяца назад

    🙏🤝

  • @QchiefuBarnaba-u3q
    @QchiefuBarnaba-u3q 3 месяца назад +1

    Mangungu nichizi hajui mpira