Vitu 10 ambavyo ni Dizasta Vina tu anafanya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Matumizi ya sauti, nyimbo na picha kwenye makala hii ni kwa ajili ya elimu, uchunguzi na burudani pekee. No copyright was intended in production of this work.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 96

  • @Fans_of_Dizasta-10
    @Fans_of_Dizasta-10 5 месяцев назад +8

    1. Kuweka comment 😊 likes

  • @ChuxDaniel
    @ChuxDaniel 5 месяцев назад +7

    dizasta ni kiumbe Cha sayari nyingine ambayo Kili penda kuishi maisha ya wanadamu maana icho kichwa kina ufundi wa hajabu🎉🎉 respect DV

  • @mulanmike1997
    @mulanmike1997 5 месяцев назад +8

    soon tutaanza kumsoma dizasta chuoni .
    dizastology 😂😰

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb 4 месяца назад +4

    Napenda sana mchambuzi ulivyo na taaruma na akili nyingi pia za kuchambua kwa kindani mauwa yako sista blless for you

  • @AfrikanusAlchard
    @AfrikanusAlchard 5 месяцев назад +14

    Dizasta atakuwa mtoto wa Theobald Mvungi

  • @stevemwachi254
    @stevemwachi254 5 месяцев назад +4

    Toleo la mwisho la viumbe aina yake...hakutawahi kutokea msanii mwenye anaitawala fasihi kwa upana kama huyu mwamba🔥🔥🔥
    #ShuleYaMtaa

  • @AbdillahAlly-so9xs
    @AbdillahAlly-so9xs 5 месяцев назад +3

    Dizasta vina ni msanii mwenye maarifa kinoma 😲🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😮

  • @johkakey5863
    @johkakey5863 5 месяцев назад +3

    Akil kubwa sana inachukuwa mda mwingi sana kuelewa anachosema

  • @juliuschipanha6625
    @juliuschipanha6625 5 месяцев назад +6

    Kamwe sitokuja kijutia kumjua vina....Maana sio kwa madini ambayo anayotema

  • @Mpongobhivadenga
    @Mpongobhivadenga 5 месяцев назад +3

    Natamani kuwa shujaa nzuri ila bado najifunza

  • @wakijivu8562
    @wakijivu8562 5 месяцев назад +4

    Tangu nmekujua hujawah niangusha ✌

  • @Gangsterkid01
    @Gangsterkid01 5 месяцев назад +4

    Favorite Rapper DZSTVN Big Brain ✨ COUNTRY Icon

  • @FredySoul-vc7jq
    @FredySoul-vc7jq 5 месяцев назад +5

    Toleo la mwisho la viumbe wa aina yangu

  • @majestystillg.i.g8538
    @majestystillg.i.g8538 5 месяцев назад +4

    🔥🔥🔥definition ya game✊

  • @AhmedYasseen-hc2px
    @AhmedYasseen-hc2px 5 месяцев назад +3

    Eh bana ehh🥲
    Yaan mwanajua nmeimeza yote,, ila sasa nilichokua nawaza mm na nilichokijua leo ni vitu viwili tofaut🙌🏾

  • @maty_tz
    @maty_tz 5 месяцев назад +3

    My all the time Mcee

  • @franktom667
    @franktom667 4 месяца назад +3

    Profesa Tungo

  • @barakashoo4286
    @barakashoo4286 5 месяцев назад +2

    Dizasta anaitumia Fasihi ipasavyo kama mistari yake mingi anafata aina tofauti tofauti za mashairi
    Well Keep It Up VINA🙌🙌

  • @UswegeHamza-d8z
    @UswegeHamza-d8z 5 месяцев назад +4

    ni bahat kuishi kipind dizasta yupo

  • @AbdalahAbbas
    @AbdalahAbbas 5 месяцев назад +3

    Respect vina sjui kwann media hazioni kama wewe ni shule ya hip-hop wanatuletea babogam music tu mapreaenter nao sjui hawajielew ila bro utafka mbali sana "sjui tukimsain ata change ata kdgo weee kaa na pesa yako afu ntunzie heshima yangu bro braza usibadilike..

  • @saidikutwambi1799
    @saidikutwambi1799 5 месяцев назад +3

    Ukisikiliza ngoma za Huyu jamaa ni darasa huru

  • @raphaelmwangosi9295
    @raphaelmwangosi9295 5 месяцев назад +3

    Mwamba my philosopher mtu san mkal wang

  • @gerriemagic
    @gerriemagic 5 месяцев назад +1

    Kila kesho inajengwa na Leo.
    Jesuzsta ✌🏿

  • @nickyvanich6214
    @nickyvanich6214 5 месяцев назад +5

    Huyu ni nyoko mbili.

  • @FlugenceLwila
    @FlugenceLwila 4 месяца назад +4

    Ni toleo la mwisho la watu wa aina yake

  • @sharifukitori239
    @sharifukitori239 5 месяцев назад +2

    Dizasta kaweka verse kwenye "Underated" halafu kawaonyesha kwanini yupo underated.
    He simply understood the assignment

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 5 месяцев назад +3

    HIGH IQ DIFFERENTIAL 🔥🔥🔥

  • @mwasavevo
    @mwasavevo 5 месяцев назад +5

    Jamaa amezaliwa mwezi wa ngapi

  • @JamesmwangiNjehia-uf2uw
    @JamesmwangiNjehia-uf2uw 4 месяца назад +1

    Napenda uchambuzi wako,, pia we really like dizasta vina,,

  • @_Sammy_BbOy_Bseven
    @_Sammy_BbOy_Bseven 5 месяцев назад +4

    Akili nying daaaah ila hii ngoma ya mwanajua kumbe inamaana nyingine kabisa😂😂 duu atar xana❤🎉🎉

  • @adrianorayner6551
    @adrianorayner6551 5 месяцев назад +3

    Kaaa huyu janaa

  • @godblessluvanda9808
    @godblessluvanda9808 5 месяцев назад +2

    Busala za NYERERE na AKILI za ................🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 2 месяца назад

    Inapendeza Mzazi Dizasta Umoumo Mzee Mwendo Shosho🤛🤛🤛🤛👊👊👊👊👊👊👊

  • @Heisbry_
    @Heisbry_ 5 месяцев назад +4

    Half man half god paradox

  • @hassanihussein2731
    @hassanihussein2731 5 месяцев назад +2

    Doooh aiseee salut sana vina

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy4357 5 месяцев назад +2

    Best composer

  • @gaddibullahtzg5635
    @gaddibullahtzg5635 5 месяцев назад +2

    Dizasta Vinaaaa unatisha sana hadi mathematics are you Esteinn!??

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 5 месяцев назад +2

    Vina ni fire🔥🔥

  • @lucashenry2406
    @lucashenry2406 5 месяцев назад +4

    Hatia ni nyimbo bora kuna had repoter kam movie yan bil hat video lakn kun matukio yanajijenga kichwan

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 5 месяцев назад +4

    Hapo kwenye Sequence and Series ndo nmeelewa leo. Na hii ni kwasababu hesabu nilipata F Form Four. Mana Dizasta Vina kama hukuwa na hata D mbili huwezi kumuelewa 😂😂

  • @chitaboytz896
    @chitaboytz896 5 месяцев назад +3

    Vina🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯

  • @petersimon2115
    @petersimon2115 5 месяцев назад +1

    Dizasta ni bahati sana kuwepo kwenye hii sayari kipindi hiki ukiifanya rap

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Месяц назад

    Sky Zoo alifanya hivyo kwenye Frisbee

  • @DanyDaudy
    @DanyDaudy 4 месяца назад

    One of the best Lyrical Genius in Hip Hop culture....

  • @UwezoSimon-lh2me
    @UwezoSimon-lh2me 3 месяца назад +3

    Disaster ni zaid ya professor

  • @realgiroudtjnr2489
    @realgiroudtjnr2489 5 месяцев назад +2

    Mwamba uneshindikana✊🏾🙌🏾

  • @erickkilave8586
    @erickkilave8586 5 месяцев назад

    Disasta vina is extra-ordinary🔥

  • @erastomichael9840
    @erastomichael9840 5 месяцев назад +1

    Rap God 🔥🔥

  • @nsimagdenis8114
    @nsimagdenis8114 3 месяца назад +1

    Incredible🎉

  • @joelymgimba7826
    @joelymgimba7826 5 месяцев назад +2

    Jini la hip hop

  • @SaidiMkinga
    @SaidiMkinga 5 месяцев назад +2

    Geniosly

  • @mteule2046
    @mteule2046 5 месяцев назад +2

    yan baada ya uchambuz huu ndio nimegundua wimbo wa Mony ,kwamba kila mwisho wa mstar kuna A

  • @robertgagabhi8188
    @robertgagabhi8188 5 месяцев назад +1

    Huyu jamaa ni hatari🎉🎉

  • @GOg-zk5yr
    @GOg-zk5yr 4 месяца назад +1

    Kiukweli huyu jamaa hafai...dizaster

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 2 месяца назад +1

    Alisemaga yeye ni nyoko mbili😂😂😂

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 5 месяцев назад +2

    DIZASTA VINA IS 🔥🔥🔥🔥

  • @rammyseykhaleed3481
    @rammyseykhaleed3481 5 месяцев назад +2

    Dizasta shkamoo brother

  • @abbymchwembo3905
    @abbymchwembo3905 5 месяцев назад +1

    Mungu wa rap

  • @simbamabande2967
    @simbamabande2967 5 месяцев назад +1

    The means of black maradona ❤❤❤

  • @Mtamaduni_3301
    @Mtamaduni_3301 5 месяцев назад +2

    Ni bahati kuwa hai kipindi dizasta vina anarap

  • @michaelginnerykisura9668
    @michaelginnerykisura9668 5 месяцев назад +4

    Waliotega skuli awawez elewa

  • @lamumohamedi
    @lamumohamedi 5 месяцев назад +1

    Respect boe

  • @mckoba2428
    @mckoba2428 5 месяцев назад +5

    Sijawa coment lakin namshukuru muumba kwa kwa kutubalikia zawadi ya ubongo wa aina yake

  • @damsdasz9356
    @damsdasz9356 5 месяцев назад +2

    Babake na Dazsatavina ni NGUGI WATHIGO

  • @Norrisnoriega
    @Norrisnoriega 5 месяцев назад +3

    😄😄😄😄 mtu unamshilikisha kwenye nyimbo yako yeye anaenda zitaja movies dizasta vina ni zaidi ya AI

    • @AlliyMohamedAlliy
      @AlliyMohamedAlliy 2 месяца назад

      🤦‍♂️😂😂😂Huwezi jua kama anataja majina ya move!

  • @OmariMwalemba
    @OmariMwalemba 8 дней назад

    Dizasta cjui nikampe zawadi gani

  • @JohnsonKizito
    @JohnsonKizito 12 дней назад

    Mwamba

  • @changanataliforlife3760
    @changanataliforlife3760 5 месяцев назад +2

    🔥🔥🔥

  • @felixrumisha5132
    @felixrumisha5132 4 месяца назад

    hii sanaa ni world class, sad to him is, he is nat in a right place, to be respected

  • @DaveEasy
    @DaveEasy 5 месяцев назад +2

    Huyu jamaa ni jini…Mimi sim yangu imejaa ngoma zake

  • @SebaSports255-nd3tx
    @SebaSports255-nd3tx 5 месяцев назад +2

    Respect dizasta vina

  • @lamumohamedi
    @lamumohamedi 5 дней назад

    Mwamba na nusu

  • @Norrisnoriega
    @Norrisnoriega 5 месяцев назад +2

    🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @SirajCreedi
    @SirajCreedi 5 месяцев назад +1

    Fundi vina adi bass

  • @Billysign-li4qr
    @Billysign-li4qr 5 месяцев назад +3

    MZIMU WA LANGA

    • @collihgram
      @collihgram 5 месяцев назад

      yupo juu sana.

  • @Dessuny
    @Dessuny 5 месяцев назад +2

    🎉

  • @enerikoselemani8579
    @enerikoselemani8579 5 месяцев назад +1

    Black Maradona

  • @Vers456
    @Vers456 5 месяцев назад +2

    Diz

  • @rajabusingano4654
    @rajabusingano4654 5 месяцев назад +2

  • @KelvinSarapi-bk1gr
    @KelvinSarapi-bk1gr 5 месяцев назад +2

    Monster 👹

  • @amidymajof3860
    @amidymajof3860 5 месяцев назад +1

    Huyu mtu kama katoka mars

  • @philiptz118
    @philiptz118 5 месяцев назад +1

    Mtu wamaana sana disaster

  • @jephramso
    @jephramso 5 месяцев назад +3

    ALIEN DZSTVN

  • @mkwavinyikanguyu923
    @mkwavinyikanguyu923 5 месяцев назад +1

    Giaaa

  • @jumamshana4639
    @jumamshana4639 5 месяцев назад

    Baada ya kuona hii inafaha sasa kupewa heshima yako

  • @kimgift8922
    @kimgift8922 5 месяцев назад +2

    Mungu wa rap😂😂😂

  • @RapperTyger-vv1vt
    @RapperTyger-vv1vt 5 месяцев назад +2

    Uyu dizasta dah anajua mpaka anaboa maana yupo sayar ya pekee ambayo hats miungu yenyew ya ulimwengu huu inaogopa uwezo

  • @JonathanLudovickLudovick
    @JonathanLudovickLudovick 5 месяцев назад +3

    Chupa moja ya ziada na siri ya mchezo fid q

  • @twalibabdallah5546
    @twalibabdallah5546 4 месяца назад

    U

  • @imeldaernest711
    @imeldaernest711 5 месяцев назад +2

    Black Maradona @dizastavina