Matumizi ya sauti, nyimbo na picha kwenye makala hii ni kwa ajili ya elimu, uchunguzi na burudani pekee. No copyright was intended in production of this work.
Respect vina sjui kwann media hazioni kama wewe ni shule ya hip-hop wanatuletea babogam music tu mapreaenter nao sjui hawajielew ila bro utafka mbali sana "sjui tukimsain ata change ata kdgo weee kaa na pesa yako afu ntunzie heshima yangu bro braza usibadilike..
Hapo kwenye Sequence and Series ndo nmeelewa leo. Na hii ni kwasababu hesabu nilipata F Form Four. Mana Dizasta Vina kama hukuwa na hata D mbili huwezi kumuelewa 😂😂
1. Kuweka comment 😊 likes
dizasta ni kiumbe Cha sayari nyingine ambayo Kili penda kuishi maisha ya wanadamu maana icho kichwa kina ufundi wa hajabu🎉🎉 respect DV
soon tutaanza kumsoma dizasta chuoni .
dizastology 😂😰
Napenda sana mchambuzi ulivyo na taaruma na akili nyingi pia za kuchambua kwa kindani mauwa yako sista blless for you
Dizasta atakuwa mtoto wa Theobald Mvungi
Toleo la mwisho la viumbe aina yake...hakutawahi kutokea msanii mwenye anaitawala fasihi kwa upana kama huyu mwamba🔥🔥🔥
#ShuleYaMtaa
Dizasta vina ni msanii mwenye maarifa kinoma 😲🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😮
Akil kubwa sana inachukuwa mda mwingi sana kuelewa anachosema
Kamwe sitokuja kijutia kumjua vina....Maana sio kwa madini ambayo anayotema
Natamani kuwa shujaa nzuri ila bado najifunza
Tangu nmekujua hujawah niangusha ✌
Favorite Rapper DZSTVN Big Brain ✨ COUNTRY Icon
Toleo la mwisho la viumbe wa aina yangu
🔥🔥🔥definition ya game✊
Eh bana ehh🥲
Yaan mwanajua nmeimeza yote,, ila sasa nilichokua nawaza mm na nilichokijua leo ni vitu viwili tofaut🙌🏾
My all the time Mcee
Profesa Tungo
Dizasta anaitumia Fasihi ipasavyo kama mistari yake mingi anafata aina tofauti tofauti za mashairi
Well Keep It Up VINA🙌🙌
ni bahat kuishi kipind dizasta yupo
Respect vina sjui kwann media hazioni kama wewe ni shule ya hip-hop wanatuletea babogam music tu mapreaenter nao sjui hawajielew ila bro utafka mbali sana "sjui tukimsain ata change ata kdgo weee kaa na pesa yako afu ntunzie heshima yangu bro braza usibadilike..
Ukisikiliza ngoma za Huyu jamaa ni darasa huru
Mwamba my philosopher mtu san mkal wang
Kila kesho inajengwa na Leo.
Jesuzsta ✌🏿
Huyu ni nyoko mbili.
Ni toleo la mwisho la watu wa aina yake
Dizasta kaweka verse kwenye "Underated" halafu kawaonyesha kwanini yupo underated.
He simply understood the assignment
HIGH IQ DIFFERENTIAL 🔥🔥🔥
Jamaa amezaliwa mwezi wa ngapi
Napenda uchambuzi wako,, pia we really like dizasta vina,,
Akili nying daaaah ila hii ngoma ya mwanajua kumbe inamaana nyingine kabisa😂😂 duu atar xana❤🎉🎉
Alimaanisha nn
Kaaa huyu janaa
Busala za NYERERE na AKILI za ................🎉🎉🎉🎉🎉
Inapendeza Mzazi Dizasta Umoumo Mzee Mwendo Shosho🤛🤛🤛🤛👊👊👊👊👊👊👊
Half man half god paradox
Doooh aiseee salut sana vina
Best composer
Dizasta Vinaaaa unatisha sana hadi mathematics are you Esteinn!??
Vina ni fire🔥🔥
Hatia ni nyimbo bora kuna had repoter kam movie yan bil hat video lakn kun matukio yanajijenga kichwan
Hapo kwenye Sequence and Series ndo nmeelewa leo. Na hii ni kwasababu hesabu nilipata F Form Four. Mana Dizasta Vina kama hukuwa na hata D mbili huwezi kumuelewa 😂😂
😢😢😢
Vina🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯
Dizasta ni bahati sana kuwepo kwenye hii sayari kipindi hiki ukiifanya rap
Sky Zoo alifanya hivyo kwenye Frisbee
One of the best Lyrical Genius in Hip Hop culture....
Disaster ni zaid ya professor
Mwamba uneshindikana✊🏾🙌🏾
Disasta vina is extra-ordinary🔥
Rap God 🔥🔥
Incredible🎉
Jini la hip hop
Geniosly
yan baada ya uchambuz huu ndio nimegundua wimbo wa Mony ,kwamba kila mwisho wa mstar kuna A
Huyu jamaa ni hatari🎉🎉
Kiukweli huyu jamaa hafai...dizaster
Alisemaga yeye ni nyoko mbili😂😂😂
DIZASTA VINA IS 🔥🔥🔥🔥
Dizasta shkamoo brother
Mungu wa rap
The means of black maradona ❤❤❤
Ni bahati kuwa hai kipindi dizasta vina anarap
Waliotega skuli awawez elewa
Respect boe
Sijawa coment lakin namshukuru muumba kwa kwa kutubalikia zawadi ya ubongo wa aina yake
Babake na Dazsatavina ni NGUGI WATHIGO
AUSIO😂😂😂😂
😄😄😄😄 mtu unamshilikisha kwenye nyimbo yako yeye anaenda zitaja movies dizasta vina ni zaidi ya AI
🤦♂️😂😂😂Huwezi jua kama anataja majina ya move!
Dizasta cjui nikampe zawadi gani
Mwamba
🔥🔥🔥
hii sanaa ni world class, sad to him is, he is nat in a right place, to be respected
Huyu jamaa ni jini…Mimi sim yangu imejaa ngoma zake
Respect dizasta vina
Mwamba na nusu
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Fundi vina adi bass
MZIMU WA LANGA
yupo juu sana.
🎉
Black Maradona
Diz
❤
Monster 👹
Huyu mtu kama katoka mars
Mtu wamaana sana disaster
ALIEN DZSTVN
Giaaa
Baada ya kuona hii inafaha sasa kupewa heshima yako
Mungu wa rap😂😂😂
Uyu dizasta dah anajua mpaka anaboa maana yupo sayar ya pekee ambayo hats miungu yenyew ya ulimwengu huu inaogopa uwezo
Chupa moja ya ziada na siri ya mchezo fid q
Bit zinafanana
U
Black Maradona @dizastavina