Dizasta Vina - Kesho
HTML-код
- Опубликовано: 30 май 2023
- Official Music Audio of the record Kesho
Written and Performed by Dizasta Vina
Music by Ringle Beatz
Produced by Ringle Beatz
Audiomack - audiomack.com/dizastavina/son...
Boomplay - www.boomplay.com/songs/635549...
Mdundo - mdundo.com/song/2081302
Spotify - open.spotify.com/track/60dmJt...
lyrics - genius.com/Dizasta-vina-kesho...
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
RUclips - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Apple music - artists.apple.com/a/profile
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/DizastaVina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288... - artists.spotify.com/c/artist/...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / theblackmaradona
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Lyrics
Okay
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow...
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yakafana kwenye script hii
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow...
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yaka....
ah Kesho nafasi ya kuanza upya
Kumaliza kuishi nafasi ya kuanza kufa
Kuivunja sheria nafasi ya kufata ruksa
Kuikumbuka jana au kuanza kuifuata FUTURE
FUTURE ni leo siku ambayo miti hukimbia
Jua hushuka upendo wa marafiki HUFIFIA
HUFIFIA wimbi la wanafiki huingia
Kesho ya TUMAINI hubakia
TUMAINI shika walau shika walau
Na ujifunza kuziba kombe pindi anapopita nyang'au
Akishapita tenda wema alafu kisha sahau
Na uchunge unaponena watakuzika WADAU
WADAU walikuwa uchi ukawavika mavazi
Nyumba yako ikavunjika wakakunyima hifadhi
Je utasamehe utasahu kulipa kisasi?
Au kesho itakukuta umeshika RISASI?
RISASI nawaza wapi itakukutisa kesho
Utatoroka kambi ama utavungia Ghetto
Tusipofikia lengo utahama ukoo kwa kitu kidogo
Au utaiitumikia NEMBO?
NEMBO ya mjeshi ninayekaza mwendo kishujaa
Kama unavyoza nyonga kwenye tendo la zinaa
Napiga goti nashukuru uwepo wa sanaa
Kihisia nawapeleka kesho MAJAMAA
MAJAMAA walikuwa wavivu hawakukazana
Waliishia kuamini kuwa kuna wingu la laana
Wali-set mipango ila siku hazikufanana
Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana ah!
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yakafana kwenye script hii
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow...
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yakafana kwenye script hii
Nakuwekea Logic penye Faith
Nakutazama ukishahama nakuwekea topic kai-debate
Ninakunyima msosi kwenye Plate
Njaa ya kesho ikufunze kuheshimu pochi yenye PAY
PAY huna unatia neno kwenye bao
Ukirudi unalalama kuhusu kesho ya wanao
Myahudi ukisujudu kwenye uwepo wa Farao kwa wayahudi
Utaishia kwenye Tempo ya KARAO
KARAO kazikwa kama Historia ilivyozikwa na jana
Kesho ni siku ya kujitwika lawama
Kesho ni mbali natumai nitafika salama
Najipa moyo kisha ninaibusu picha ya MAMA
MAMA sishiki simu wakati na-drive sitii vocha
Na mafuta full tank kwa gari sisikii uwoga
Big G za kutosha, Chupa za maji na Diclopa
Na Cd za muziki wa Papii KOCHA
KOCHA kasema Kesho inataka bidii tosha
Nawaeleza watu wangu na bado hawasikii hoja
Wamesahau kesho ni nini, Niliwaamini leo najuta
ila kesho sirudii KOSA
KOSA ni kuchoka maana akili haifikiri
Taswira ya kesho naiona na mboni hazihimili
Kelele zimeshamiri masikio yameshagota na
Na mdomo unaropoka, Dunia haina SIRI
SIRI ikasambaa viganja vikanakiri
Miguu ikalemaa ila ubongo ulikariri
Tumbo halikujaa na mwili haukunawiei
Kesho ifike mapema inikute nipo Kamili
Wanasema tomorrow is the mystery
Wanasema tomorrow
Leo zawadi ikumbatie, jana ni History
Ya jana hayawezi yakafana kwenye script hii - Видеоклипы
The Great Dizasta Vina 🔥🔥🔥
Kuifwata ruksa - mwinyi
Upendo wa marafiki hufifia -rapcha
Je utasamehe utasahau kulipa kisasi ? -Lisu
Utahama ukoo -lowasa 😂
Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana -Chadema
Myahudi kwenyew tempo ya falao -baba levo
Kalao kazikwa kama historia - Mengi
Dmt the best artists we will ever see 🙌🫡🇹🇿
Good
Nimekuelewa
Khaa 🔥
KESHO NAFASI YA KUANZA UPYA gonga like kama umeenda hii
Huyu mwamba ni wachache wanamuelewa halaf hana pupa na upepo wa mziki wa bongo ila anaamin kwakila anachosema kuwa ni sahihi so ipo sku ataeleweka kwa umma i do appreciate you Vinna
Dammn,,, the guy is killin.
This guy is a master of hip hop,, I compare him with none of them rappers in a game
black maradona 💥💥 midundo ieendlee mwafrica
Mmmh nabiih wa kweliih ajitangazi vina vina kweli tungo wanaelewa wenye uelewa🔥🔥🔥
Wa kwanza ktk uwanja wa comment, Disasta Vina you're always the real and Best rapper alive, Mungu ndo Kila kitu ipo siku wataelewa tu, one love from Zanzibar.
Kesho ndio siku ya kuanza upya
... let's do it...tuifanye kesho hii ngoma iwe kwenye mainstream ....🇹🇿🇹🇿
Uwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana✍️📌💥💥▶️🎶🎶🫡
Mwenye connection na huyuu jamaa dizasta naombeniii
Huwez kuikabiri kesho Kwa mbinu za Jana✌️✌️🎧
Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana💥💥💥DIZASTA "hakuna rapper atakaye survive bongo akikutana na MAJANGA
Muundo wa Pindu... Neno la mwisho, linaanzisha Beti mpya... Utunzi wa akili nyingi sana
kazi nzuri brother dizasta hii nchi umebaki peke yako wa madini kama haya
Uwepo wa haya madini ,inabidi ujulikane kote, kuna wa2 wanaretire hip hop, wengine wanakufa. Wanakosa basic needs za kufeed brain zetu kama hizi✊️
Brilliant.. Hip Hop is on safe hands 🔥 support from+254🇰🇪
Madj maboya kweli eti wanapanga top ten tena za hip hop vina hayumo harafu ngoma ya kwanza dunga mawe
Wanao fanya hip-hop isishike namba moja ni madj siku nzima nyimbo zinazopigwa radio tv ni kinabonge la nyau na
Kazi Kali sana ,. Fundi sna vina ,,
Nakubar xanaa we ni mtu na nusu kwenye vina unatisha kila ngoma ni kari hujaway tuangusha mashabiki zako
The first one to comment.... Kesho the verteller.... My best song
Vile ulikua una tease hii Ngoma insta nilitafuta sana sikujua kama ilikua haijatoka
Leo ipo naikumbatia kama zawadi kesho ni mystery VINA VIPO MAHALA PAKE....ELIMU KUBWA KWENYE UANDISHI HII NGOMA.... SALUTE D..🎉❤❤❤❤
Nimegundua kuna mtu atageuzwa sajna kabisaaaa
Alafu kama umegundua hii nyimbo dizasta anajaribu kuwasaidia kufumbua mafumbo yake kwa kutumia picha zinazopita nyuma ya hii video this guy is so fucking talented no matter what 😂❤🐐
Huwez kuikabili kesho qwa mbinu za Jana nikaona picha ya nembo ya chadema. Ahsant broo umenisanua.
Jee utasamehe au utalipa kisasi,,,
Tundu lissu kadislay background daah...Asante bro nami nimesanuka...
Kweli kabisa ... Jamaa hii ngoma Ni ya siasa 😂😂
Laivu umenisanua mwamba alipo sema utahama ukoo kwa kitu kidogo nmeiona picha ya lowasa
Oya brother umetisha sana izi picha zinazopita kwenye hii video nimegundua wote ni wanaharakati💪💪huyu jamaa sio wa sayar yetu kabisa
Huwez kuikabil kesho kwa mbinu za jana
kaka
Best
rap
of
All
Time.
Ila mimi sijapenda tuu hiyo sura ina Waka Waka na rangi za upinde
Dizasta Ni Akili Kubwa🔥🔥🔥
Dizastar ni mmoja tu wengine ni paka-paka pusi-pus,, oya kama haujasuscribe fanya usubscribe hiki kichwa sio cha kukosa nyimbo zake Jah bless vina keep up💪💪💪
Panorama my big brother ww upo peke ako na kitaa tunajua thaman yako let's keep it up ❤❤❤🎉
Wadau walikuwa uchi ukawavika nguo
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 atariiiii snaaaaa
This man ni Best rapper of all time respect sana my G🔥
Dizasta Is Not Pregnant But Always Deliver Good Stuff🔥🔥🔥
Huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana...@Vina
Mawe juu ya mawe
Huwezi kuikabili kesho kw Mbinu za Janaaa
huwezi kuikabili kesho kwa mbinu za jana
Leo zawadi ikumbatie ya Jana NI history.
First viewer
❤❤❤ iko juu Sana pamoja Sana Real nigga tokea huku Kenya
Mwamba hajawahi niangusha mi ni fans wako toka kipindi chá goma la kanisa 💯💯💦🔥🔥
Asante kwa ku pay homage kwa ushairi wa kimapokeo; mistari umeipanga minne minne (tarbia) kama beti, halafu umetengeneza "mkufu" kwa kurudia neno la mwisho la ubeti kwenye ubeti unafuata mtindo wa aina ya mashairi ya Pindu! We ni noma!
Hii ni chakula tosha ya ubongo..🔥🔥
Ukisikilizwa hautochukuliwa poa hata siku moja...
chap chap naaccept wee ni fire bro
Kesho ni mbali sjui kama ntaifika salama..
Najipamoyo kisha naibusu picha ya mama.❤❤
Umenikumbusha my late mama.
This is another masterpiece from Dizasta your lines are full of knowledge and wisdom keep your head up bro 🤜
Yan ww hakuna kama ww bro
🔥🔥🔥🔥👑👑🤴🤴
kesho ndio starter yetu💪
Huwezi kuukomoa mmea Kwa kuumwagilia maji machafu harakati zangu za ujamaa kama kama mision ya siafu!Kesho imenigusa sana kama unaona kilichonikuta days ago nimefanya kazi kubwa sana kweny taasisi flan halaf nimeliwa kichwa Kwa unafiki ila kesho inanipa nguvu ya kuipigania nembo ya mjeshi
Mbeya City boy
VINA Mwenyewe, you got this man💪 love from 🇧🇮Burundi! napenda nyimbo zako, let the following be a storytelling😊💪
Dizastavina akili kubwa kwenye uandishi🫡🫡🫡
Nakubal broo
HipHop Legend of All the Time,On Top fvr Bro
uandishi✊🏿
More love bro
Uyu jamaa
Natokea Dunia isiyohama, Thank you for your kind words, Dizvstv Vina. I appreciate your recognition of poetic abilities. You strive to create unique and captivating verses that stand out from the rest. Rest assured, You will continue to push the boundaries of craft, and no one will ever be able to diminish your skills.
Kesho nafasi ya kuanza upya.
Kumaliza kuishi nafasi ya kuanza kufa.
KWENYE HIP HOP UPO PEKE YKO "DZVN"
💥💥💥💥💥💥💥💥dizasta moto
Kichwa kilicho jaa madini🙌🙌
Oooy huyu mtu ni kisanga
The really definition of hip hop
Hyo background ndo inaleta majibu ya hii mistari, wewe ni 🔥🔥🔥
Big up broo✊✊
Kura chuma hichooooo❤
Ooh men 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huwezi kuishinda kesho kwa mbinu za jana...Vina Dizasta.🙌🔥
Dom city tunaku appreciate sana broo
Dizasta ni zaidi ya jini
Ni noma kt og
For generation ya 2090 nilipata bahati ya kusikiliza hip hop Kali from big brain dizasta vina 2023..
Jiwe juu ya jiwee😊
Noma sana
Upendo wa marafiki hufifia ( nan mwingine kaona pic ya rapcha kwa mbaliiii)
Dizasta hujawahi kuniangusha 🔥🔥🔥
Hapa ndo real hip hop ilipo✊✊🏿
🔥🔥🔥🔥🔥
My Best rapper in est afrka heshima kwako bro Dizasta vina🤜
Noma
😮 daah bro nikipata pesa nakuja mbeya town center apo najenga sanamu yako Dizasta
Nilizani kusikiliza audio tu inatosha 🙌 KESHO one of my best songs of all time No doubt You’re the greatest rapper of all time ..big thing Tanzania will ever see 🎉 🫡Prof Tungo
GOAT eating grass as expected!
BIG NACOMMENT LEO ILA KESHO NIPE NGOMA MPYAAA🙌🙌😂😂😂😂
We jamaaa noma🙌🔥🔥🔥🔥
First😊
Shikamoo kaka Dizasta
Dezastar👊🔥🔥
The king of story telling skills
unyama vina
❤ umetishaaaaa vinaa
Kaka uliweka tu basi lazima niwe wakwanza kusikiliza maboya hawatupati
Kama umegundua dizasta kaja na kitu tofaut neno la mwisho kwenye kila mistar Ake ndio linakua neno la kwanza kwenye lain inayofata
Ndio maana ya wimbo, KIla kesho inajengwa na Leo
Leo zawadi ikumbatie Jana ni history
Tisha san, huyu jamaa ana Kill mastanza namkubal san
D teacher🙌🙏
Karaoo, dah VINA 🙌
One love
Hataree 🔥💯🥵