Nimefurah sana president for tanzania 👏👏👏mungu ibarik tanzania mungu mbarik raisi wetu ...tunaitaka kilosa yetu iwe mpya jamn .....njia mbovu sana ....yani mtu ukitaka kwenda home unajifikilia ..makolongo mengi mno.
Kweli kabisa wakulima tunadharauliwa sana magu kwasababu wafugaji wanawaonga pesa tunauliwa sana na wamasaya na ukipeleka kesi selikalini wanaongwa pesa kesi inaisha na shamba unapokonywa
Shukran sana baba mtetezi wa wanyonge
Nimefurah sana president for tanzania 👏👏👏mungu ibarik tanzania mungu mbarik raisi wetu ...tunaitaka kilosa yetu iwe mpya jamn .....njia mbovu sana ....yani mtu ukitaka kwenda home unajifikilia ..makolongo mengi mno.
Kazi kweli kweli
Baba tunaomba utusaidi sana
Uyu kaka kasema ukweli ndio huu wanamchini wa kimamba ilonga tunateseka sana na wafugaji
Kweli kabisa wakulima tunadharauliwa sana magu kwasababu wafugaji wanawaonga pesa tunauliwa sana na wamasaya na ukipeleka kesi selikalini wanaongwa pesa kesi inaisha na shamba unapokonywa
Aiseee😁😁😁,namuona mtetezi wa wanyonge
Afadhali umemsamehe maskini