Prof Jay awapagawisha Wanamorogoro mbele ya JPM
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Joseph Haule (Prof Jay) ambaye pia ni mwanamuziki hip hop Tanzania ametumia sanaa yake ya muziki kumfikia Rais Magufuli baadhi ya kero za wananchi wa jimbo la Mikumi.
Ni katika uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kidatu - Ifakara (04/05/2018)
Kama unamkubali proffesa jay gonga like hapa
wilonja hatua nooooooomaaaaaa sanaaaa sanaaa sanaaaaaa
Barnabas Stanslaus 👏👏
nakukubari mbunge
HIZI NDIZO SIASA TUNAZOTAKA TANZANIA... ELEZA SHIDA ZA WATU WAKO NA SIO KAZI MATUSI KASHIFA NA KEBEHI AU KEJELI... TUWEKE NCHI MBELE NA MATATIZO YA NCHI.... TUACHE SIASA ZA CHUKI NA ZA UKANDA... HONGERA PROFESA JAY
Wabunge mkienda namna hii wabunge mtapendwa bila kujali chama pigen kazi vijana nchi yetu sote!
Rais ukiwa unaenda na mfumo huu.. nitaunga mkono kwa asilimia 100... acha watu waongee kwa uhuru alafu wewe chapa kazi... hakika hata sisi watu wengi tutajituma sana.
Nakukubali Sana Raisi Hakuna Raisi anayefanya kazi Kama wewe tunakuombea
Asanteni wabunge wa chadema kwa kumweshimu rais wetu. Asanteni sana. Magufuri hoye
Umetisha mzee baba
Professor noma sana
Ntahamia bongo huku kwetu Kenya ni balaa tupu... 😂
Yupo vizuri sana
Nakukubali kamanda
umeweza prf jay
Vijana ndivyo mnatakiwa usiwe kama lema na sugu hawana points
Haya ndio mambo yanayotakiwa. Kufanywa na mbunge,Rais kaja jimboni toa kero za wananchi sio lawama na matusi,peleka kero kwa manufaa ya wananchi..Safi Mbunge Prof.Jay
Bob Ramaso sasa si mbaka apewe nafasi..kwan mara ngap tunaona raisi anaenda jimbo fulan ila mbunge hapewi nafas ya kunena na raisi.hamna mbunge asiependa kuonana na raisi maana ndio boss wa viongozi wote
Aloyce Garani Kwani msigwa hakupewa nafasi?alichoongea hukukisikia?!au unamaanisha nafasi ipi?!wanatakiwa wakipewa nafasi waongee ya maana na haswa kero za jimboni,kama unapewa nafasi unaanza kashfa na matusi na lawama hata kama ni ww ungekuwa kwenye nafasi ya Uraisi ungekubali?!mi naamini kwa mtindo huu nafasi watapewa ili mradi waongee kero za jimbo husika..
Prof Jay was featured on KwawKese song somewhere in the late 2000's i really loved his flow and decided to find out wasup with him. I just learnt he is now a politician. I do not understand what he is saying neither can i read what you Tanzania's are typing, my question is, has he been a good leader, politician after all ?
Wabunge makini ndo kama nyie hata mkuu akitekeleza mawili tayari hatua imepigwa very good professor, very good our President JP
#NijukumuLETU...
Mpaka KIELEWEKE... #HapoVipi?
The best #MC of all the time.
Keep up Prof. J.
Safi Sana broo nakukubali sana
mpaka raha mwendo wa rap
I think rais pombe is one of a kind,,,with him Tanzania will prosper...always taking notes for reference..hongera rais...upendo dhati kutoka kenya
Professor jay hatar sana big up JPM
Pro uko juu
Binafsi Namwelewa Cna Magufuli rais Wangu Hongera Cna Hongera Prof Jzee
Kama unamkubl pr j gonga like
wapinzani wengine wangekuwa wanafikisha hoja zao kama mwana wa mitulinga prof jay...sizani kama wangekuw wanaend mahabusu.....big up prof...
Kwakweli.rais ungekuwa unafanya ukaribu hivi na wapinzani na kuwachukulia kama ndugu inapendeza sana
Nafurahi.kuona
Kaminyoge Mwachelwa anafanyabsemankuna baadhi ya wabunge hawajitambui mbunge kama wetu kubenea mnyika na lema akili zao za kipumbavu yaani wao chama kwanza maendeleo baadae
Mungu akusaidie upone mzee wetu👏👏
😭😭😭
from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 prof jay ❤️❤️👊👊👊👍👍💯💯💯
Waoooooooh bravo prof jay.....
mh prof jizle anajua sana
Japo kuwa prof j. yupo chadema naamini atafika mbali sana kisiasa hata kimaisha sababu miongoni mwa watu wachache sana sana tena sana wenye nidhamu ya hali ya juu kwa serikali yake tofauti na hao makada wngne wa chama hicho. big up mzee wa mitulinga.
safiii
Safi sana Rais ungekua ktk mfumo huu usingezungumziwa mabaya kisiasa na ungekua mfano bora wa kuigwa Duniani, Mungu akubariki akuondoe chuki na hasira kwa wapinzani.
kweli ww ndye professa big up mkuu
Mungu akuponye processor j
😭😭😭😭Kila nikuangalia rais wangu magufuli moyo unaumaaaaa,
professor j uko vizuli
safi japo umepewa muda mdogo lakini umeongea pointi
J point kama zote kipaji sio kubana pua
safi sana pr j
Mimi namkubaligi sana Mh prof J,ni jembe bhana.
Safi sana professor Jay
Professor uko vizuri
good guy i used to love your work sana
Professor safi havai hereni wala miwani.
mimi ni Mrundi, ila nayipenda Tanzania, il est le pays d'Afrique qui m'impressione et que j la consider coe la Suisse d'Afrik
Huyu ndo mbunge makini yupo sirias na kaz huyu kweli mtafatj
Noma noma JOSE
kumi Kama process jay tz tunauuga umasikini
Hongera unaeongoza binadamu na wanyama
Mkongwe katk fani
hayo ndiyo mambo safi mh mbunge
👍👍👍👍
genius
noma
Safi
Sana
Dah! kaka huyu ajua kuchana maneno kweli kweli, huku kenya twamkubali kwa sana. Kenya pia kuna vijanaa wasanii walioingia bunge lakini huku wamezii, profesa Jay ni mfano wa kuigwa na vijana waingiao kwenye oungozi wa nchi.
good sanaaaaa kk
Endelea hivyo prof j
Daimond
umetumia vizuri muda point tupu
Jay ni Jay.
nampenda bure
Nimkari sana
J Wa mitulinga mchawi wa rap mti mkavu
Watz ni hapo tuu ninapopendaga,sisi ni wamoja sanaaa,
una dalili za kujiunga na inzi wa KIJANI!!!!!
Safi J
Prf jy oy
prof bonge la mbunge anajielewa sana
jamani wabunge wote muigeni profesa j angalieni shida za majimbo yenu na si kulaumu kila ki2 mpk mda wenu unaisha hakuna mnachokifanya duuuuuu.
🙌🙌🙌
Huyu jamaaaa ako ana akili sana Profesa Haule J
Hii ni fahari kwa wana morogoro
Dah Jay we ni jembe
Hangera Sana tena Sana
Emmanuel Gabagendi arusha ndio tunapata shida mana raisi akija hatumuoni mmbunge mabarabara mabovu mambo mbaya kila kona maji shida yeye hatoi kero malumbano tuuuu
a.K.a Heavyweight that's what we call politics may u leave long
hawa ndo wabunge wanao jielewa
Kweli m bunge wa binadam na wanyama uko poa san imeenda sawa na magu
Kumbe unamkubali Jpm ni Rais wa wanyonge, mnapiga kelele tu kule bungeni ili mufurahishe Mbowe. Jpm hoyeee
Hakika safi saana mbunge huo ndio uzalendo katika nchi
Proff jize aka the heavy wight mc
Joseph haule leo umeonesha kweli wewe ni professor natamani wabunge wote wa upinzani wangekua kama wewe
Keep it broo
paka wana ccm wamepiga makofi
hahahaha
hahahaa big up😀😀
'
Mc pilipili
Wamitulinga mchawi wa rapu mti mkavu
Mzee wa mitulinga umempagawisha mheshimiwa JPM ongea xna kuwa bega kwa bega nawapenda wote
Nikusaidiaje song #professor-J
Safi sana
wabunge ndo kama hawa wanaonyosha maelezo
prof. j amempiku msigwa kwa ubunifu. amewatendea haki wananchi wake. sio kuishia kusifu tu....
Joson duro say
Daaaah, upone haraka Joseph Haule
Prof. Jay is such a joyous person
Safi professor J
Laizer Sikoyan @wadokozi tv