Prof Jay awapagawisha Wanamorogoro mbele ya JPM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Joseph Haule (Prof Jay) ambaye pia ni mwanamuziki hip hop Tanzania ametumia sanaa yake ya muziki kumfikia Rais Magufuli baadhi ya kero za wananchi wa jimbo la Mikumi.
    Ni katika uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kidatu - Ifakara (04/05/2018)

Комментарии • 110

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 лет назад +148

    Kama unamkubali proffesa jay gonga like hapa

  • @jaffarmguwa5566
    @jaffarmguwa5566 6 лет назад +28

    HIZI NDIZO SIASA TUNAZOTAKA TANZANIA... ELEZA SHIDA ZA WATU WAKO NA SIO KAZI MATUSI KASHIFA NA KEBEHI AU KEJELI... TUWEKE NCHI MBELE NA MATATIZO YA NCHI.... TUACHE SIASA ZA CHUKI NA ZA UKANDA... HONGERA PROFESA JAY

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 лет назад +28

    Wabunge mkienda namna hii wabunge mtapendwa bila kujali chama pigen kazi vijana nchi yetu sote!

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb 6 лет назад +22

    Rais ukiwa unaenda na mfumo huu.. nitaunga mkono kwa asilimia 100... acha watu waongee kwa uhuru alafu wewe chapa kazi... hakika hata sisi watu wengi tutajituma sana.

  • @shikaneno8861
    @shikaneno8861 6 лет назад +16

    Nakukubali Sana Raisi Hakuna Raisi anayefanya kazi Kama wewe tunakuombea

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 6 лет назад +4

    Asanteni wabunge wa chadema kwa kumweshimu rais wetu. Asanteni sana. Magufuri hoye

  • @alexlutengano687
    @alexlutengano687 6 лет назад +10

    Umetisha mzee baba

  • @stevenjrmziho8691
    @stevenjrmziho8691 6 лет назад +17

    Professor noma sana

  • @jengainterlocks2647
    @jengainterlocks2647 6 лет назад +22

    Ntahamia bongo huku kwetu Kenya ni balaa tupu... 😂

  • @wsilver9553
    @wsilver9553 6 лет назад +8

    Yupo vizuri sana

  • @jifunzekusamehe4527
    @jifunzekusamehe4527 6 лет назад +9

    Nakukubali kamanda

  • @magigeametisha9699
    @magigeametisha9699 6 лет назад +9

    umeweza prf jay

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 6 лет назад +12

    Vijana ndivyo mnatakiwa usiwe kama lema na sugu hawana points

  • @bobramaso825
    @bobramaso825 6 лет назад +3

    Haya ndio mambo yanayotakiwa. Kufanywa na mbunge,Rais kaja jimboni toa kero za wananchi sio lawama na matusi,peleka kero kwa manufaa ya wananchi..Safi Mbunge Prof.Jay

    • @ukweli255
      @ukweli255 6 лет назад

      Bob Ramaso sasa si mbaka apewe nafasi..kwan mara ngap tunaona raisi anaenda jimbo fulan ila mbunge hapewi nafas ya kunena na raisi.hamna mbunge asiependa kuonana na raisi maana ndio boss wa viongozi wote

    • @bobramaso825
      @bobramaso825 6 лет назад +1

      Aloyce Garani Kwani msigwa hakupewa nafasi?alichoongea hukukisikia?!au unamaanisha nafasi ipi?!wanatakiwa wakipewa nafasi waongee ya maana na haswa kero za jimboni,kama unapewa nafasi unaanza kashfa na matusi na lawama hata kama ni ww ungekuwa kwenye nafasi ya Uraisi ungekubali?!mi naamini kwa mtindo huu nafasi watapewa ili mradi waongee kero za jimbo husika..

  • @erechasante3430
    @erechasante3430 Год назад

    Prof Jay was featured on KwawKese song somewhere in the late 2000's i really loved his flow and decided to find out wasup with him. I just learnt he is now a politician. I do not understand what he is saying neither can i read what you Tanzania's are typing, my question is, has he been a good leader, politician after all ?

  • @peternasarinasari9700
    @peternasarinasari9700 6 лет назад +8

    Wabunge makini ndo kama nyie hata mkuu akitekeleza mawili tayari hatua imepigwa very good professor, very good our President JP

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 6 лет назад +2

    #NijukumuLETU...
    Mpaka KIELEWEKE... #HapoVipi?
    The best #MC of all the time.

  • @yusuphmasolwa9870
    @yusuphmasolwa9870 6 лет назад +4

    Keep up Prof. J.

  • @fofomohammed6253
    @fofomohammed6253 6 лет назад +11

    Safi Sana broo nakukubali sana

  • @emanuelbelato7335
    @emanuelbelato7335 6 лет назад +14

    mpaka raha mwendo wa rap

  • @kagwanjamartin8808
    @kagwanjamartin8808 6 лет назад +2

    I think rais pombe is one of a kind,,,with him Tanzania will prosper...always taking notes for reference..hongera rais...upendo dhati kutoka kenya

  • @murishidymudy8032
    @murishidymudy8032 6 лет назад +3

    Professor jay hatar sana big up JPM

  • @safarijoseph4927
    @safarijoseph4927 2 года назад

    Pro uko juu

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 6 лет назад

    Binafsi Namwelewa Cna Magufuli rais Wangu Hongera Cna Hongera Prof Jzee

  • @faridahkipupweone4071
    @faridahkipupweone4071 5 лет назад +1

    Kama unamkubl pr j gonga like

  • @untouchablexvi3622
    @untouchablexvi3622 6 лет назад

    wapinzani wengine wangekuwa wanafikisha hoja zao kama mwana wa mitulinga prof jay...sizani kama wangekuw wanaend mahabusu.....big up prof...

  • @kaminyogemwachelwa9884
    @kaminyogemwachelwa9884 6 лет назад +18

    Kwakweli.rais ungekuwa unafanya ukaribu hivi na wapinzani na kuwachukulia kama ndugu inapendeza sana
    Nafurahi.kuona

    • @husseinhkitambi1701
      @husseinhkitambi1701 6 лет назад +1

      Kaminyoge Mwachelwa anafanyabsemankuna baadhi ya wabunge hawajitambui mbunge kama wetu kubenea mnyika na lema akili zao za kipumbavu yaani wao chama kwanza maendeleo baadae

  • @davianofficial6972
    @davianofficial6972 2 года назад +1

    Mungu akusaidie upone mzee wetu👏👏

  • @swabry
    @swabry 4 года назад

    from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 prof jay ❤️❤️👊👊👊👍👍💯💯💯

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 6 лет назад +1

    Waoooooooh bravo prof jay.....

  • @gidiusdismas5893
    @gidiusdismas5893 6 лет назад +3

    mh prof jizle anajua sana

  • @geofreychirwa2389
    @geofreychirwa2389 5 лет назад

    Japo kuwa prof j. yupo chadema naamini atafika mbali sana kisiasa hata kimaisha sababu miongoni mwa watu wachache sana sana tena sana wenye nidhamu ya hali ya juu kwa serikali yake tofauti na hao makada wngne wa chama hicho. big up mzee wa mitulinga.

  • @justinemathias9871
    @justinemathias9871 6 лет назад +3

    safiii

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 6 лет назад

    Safi sana Rais ungekua ktk mfumo huu usingezungumziwa mabaya kisiasa na ungekua mfano bora wa kuigwa Duniani, Mungu akubariki akuondoe chuki na hasira kwa wapinzani.

  • @epainethowanjara6546
    @epainethowanjara6546 6 лет назад

    kweli ww ndye professa big up mkuu

  • @mcpaulmkopa4798
    @mcpaulmkopa4798 2 года назад

    Mungu akuponye processor j

  • @magrethgeorge9253
    @magrethgeorge9253 2 года назад +1

    😭😭😭😭Kila nikuangalia rais wangu magufuli moyo unaumaaaaa,

  • @allysaid2846
    @allysaid2846 6 лет назад +2

    professor j uko vizuli

  • @sirajiabdul7223
    @sirajiabdul7223 6 лет назад +11

    safi japo umepewa muda mdogo lakini umeongea pointi

  • @fredmankaingu4172
    @fredmankaingu4172 6 лет назад +5

    J point kama zote kipaji sio kubana pua

  • @hajiramadhan7006
    @hajiramadhan7006 6 лет назад +1

    safi sana pr j

  • @hansbasil3448
    @hansbasil3448 6 лет назад

    Mimi namkubaligi sana Mh prof J,ni jembe bhana.

  • @samgaya
    @samgaya 6 лет назад

    Safi sana professor Jay

  • @mulokoziwange8017
    @mulokoziwange8017 6 лет назад

    Professor uko vizuri

  • @jumak.ismail2504
    @jumak.ismail2504 4 года назад

    good guy i used to love your work sana

  • @patrickmogella5737
    @patrickmogella5737 6 лет назад

    Professor safi havai hereni wala miwani.

  • @kigazithaddee3790
    @kigazithaddee3790 5 лет назад

    mimi ni Mrundi, ila nayipenda Tanzania, il est le pays d'Afrique qui m'impressione et que j la consider coe la Suisse d'Afrik

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 6 лет назад +5

    Huyu ndo mbunge makini yupo sirias na kaz huyu kweli mtafatj

  • @josephcharles6443
    @josephcharles6443 6 лет назад +2

    Noma noma JOSE

  • @josephathikiharatu4695
    @josephathikiharatu4695 6 лет назад +5

    kumi Kama process jay tz tunauuga umasikini

  • @philemonpaulo1226
    @philemonpaulo1226 6 лет назад

    Hongera unaeongoza binadamu na wanyama

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj 2 месяца назад

    Mkongwe katk fani

  • @julianamasunga4147
    @julianamasunga4147 6 лет назад

    hayo ndiyo mambo safi mh mbunge

  • @a.a.a.s8322
    @a.a.a.s8322 6 лет назад +3

    👍👍👍👍

  • @yaceenmohamed8708
    @yaceenmohamed8708 6 лет назад +1

    genius

  • @Kenyawide
    @Kenyawide 2 года назад

    noma

  • @pendojohn1509
    @pendojohn1509 6 лет назад

    Safi
    Sana

  • @georgedinda7400
    @georgedinda7400 6 лет назад

    Dah! kaka huyu ajua kuchana maneno kweli kweli, huku kenya twamkubali kwa sana. Kenya pia kuna vijanaa wasanii walioingia bunge lakini huku wamezii, profesa Jay ni mfano wa kuigwa na vijana waingiao kwenye oungozi wa nchi.

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 6 лет назад

    good sanaaaaa kk

  • @sallumnassily4375
    @sallumnassily4375 6 лет назад

    Endelea hivyo prof j

  • @evalinisamwelisamweli8810
    @evalinisamwelisamweli8810 2 года назад

    Daimond

  • @jupeshajehas1964
    @jupeshajehas1964 6 лет назад

    umetumia vizuri muda point tupu

  • @knowthyself3422
    @knowthyself3422 4 года назад

    Jay ni Jay.

  • @marybalongo221
    @marybalongo221 6 лет назад +4

    nampenda bure

  • @stevenremi190
    @stevenremi190 6 лет назад +2

    Nimkari sana

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 6 лет назад +2

    J Wa mitulinga mchawi wa rap mti mkavu

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 лет назад

    Watz ni hapo tuu ninapopendaga,sisi ni wamoja sanaaa,

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 5 лет назад

    una dalili za kujiunga na inzi wa KIJANI!!!!!

  • @dominashirima873
    @dominashirima873 6 лет назад

    Safi J

  • @justinrugambwa9524
    @justinrugambwa9524 2 года назад

    Prf jy oy

  • @tembeletadei7136
    @tembeletadei7136 6 лет назад

    prof bonge la mbunge anajielewa sana

    • @wazirisaid3486
      @wazirisaid3486 6 лет назад

      jamani wabunge wote muigeni profesa j angalieni shida za majimbo yenu na si kulaumu kila ki2 mpk mda wenu unaisha hakuna mnachokifanya duuuuuu.

  • @munakatonga6525
    @munakatonga6525 6 лет назад

    🙌🙌🙌

  • @theprovitionofnature9188
    @theprovitionofnature9188 2 года назад

    Huyu jamaaaa ako ana akili sana Profesa Haule J

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 4 года назад

    Hii ni fahari kwa wana morogoro

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 6 лет назад

    Dah Jay we ni jembe

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi3169 6 лет назад

    Hangera Sana tena Sana

    • @jumannejoseph5415
      @jumannejoseph5415 6 лет назад

      Emmanuel Gabagendi arusha ndio tunapata shida mana raisi akija hatumuoni mmbunge mabarabara mabovu mambo mbaya kila kona maji shida yeye hatoi kero malumbano tuuuu

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 6 лет назад

    a.K.a Heavyweight that's what we call politics may u leave long

  • @ayoubmkeya8709
    @ayoubmkeya8709 6 лет назад

    hawa ndo wabunge wanao jielewa

  • @kijanamtanzania3825
    @kijanamtanzania3825 6 лет назад

    Kweli m bunge wa binadam na wanyama uko poa san imeenda sawa na magu

  • @mako331
    @mako331 6 лет назад

    Kumbe unamkubali Jpm ni Rais wa wanyonge, mnapiga kelele tu kule bungeni ili mufurahishe Mbowe. Jpm hoyeee

  • @johnmasoud2246
    @johnmasoud2246 6 лет назад

    Hakika safi saana mbunge huo ndio uzalendo katika nchi

  • @kelvinjackson9699
    @kelvinjackson9699 6 лет назад

    Proff jize aka the heavy wight mc

  • @happnecyvagas6930
    @happnecyvagas6930 6 лет назад

    Joseph haule leo umeonesha kweli wewe ni professor natamani wabunge wote wa upinzani wangekua kama wewe

  • @noeltz9736
    @noeltz9736 6 лет назад

    paka wana ccm wamepiga makofi

  • @victoradelard9228
    @victoradelard9228 6 лет назад +3

    hahahaha

  • @emmanuelnjelekela6299
    @emmanuelnjelekela6299 5 лет назад

    hahahaa big up😀😀

  • @ramadhansalum9981
    @ramadhansalum9981 6 лет назад

    '

  • @peteraswile4594
    @peteraswile4594 6 лет назад

    Mc pilipili

  • @starnewstvtv1126
    @starnewstvtv1126 6 лет назад

    Wamitulinga mchawi wa rapu mti mkavu

  • @jolitejolite1497
    @jolitejolite1497 6 лет назад

    Mzee wa mitulinga umempagawisha mheshimiwa JPM ongea xna kuwa bega kwa bega nawapenda wote

  • @raphaelgadau2783
    @raphaelgadau2783 6 лет назад +9

    Nikusaidiaje song #professor-J

  • @titusosano3946
    @titusosano3946 6 лет назад

    Safi sana

  • @astridawilison8125
    @astridawilison8125 6 лет назад +4

    wabunge ndo kama hawa wanaonyosha maelezo

  • @ungonelamapunda4908
    @ungonelamapunda4908 6 лет назад +5

    prof. j amempiku msigwa kwa ubunifu. amewatendea haki wananchi wake. sio kuishia kusifu tu....

  • @selemanishukuru6919
    @selemanishukuru6919 2 года назад

    Joson duro say

  • @fredrickfilbert3922
    @fredrickfilbert3922 2 года назад

    Daaaah, upone haraka Joseph Haule

  • @fab_254.
    @fab_254. 2 года назад +2

    Prof. Jay is such a joyous person

  • @laizersikoyan4157
    @laizersikoyan4157 6 лет назад

    Safi professor J