#LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- SEPTEMBER TO REMEMBER
Pastor Innocent Mashauri
+255 758 708804 Whatssap text, Call
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Ee Mungu naomba toba kwaajili ya mahusiano yangu ya ndoa,Familia uchumi kibali na kila kitu naomba toba Mungu wangu
Kwa Jina la Yesu kristo mwana wa Mungu aliye haï🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Asante baba kwa kunipa uwezo wa kufanyika kuwa mwana 🙏🙏
Amém Amém 🇲🇿👏
Asante mtumishi
Amen kwako Bwana hakuna jambo gumu usiloliweza
Power of prayer....
Ameen najiungamanisha na maombi haya ya siku 21...kutoka USA🇱🇷....Ee Yesu usinipite mwokozi
Najiungamanisha na madhabahu asubuhi Kwa jina la yesu kristo,nakomboa na familia yangu Kwa jina la yesu kristo
Asante yesu najiungamanisha na madhabahu hii kiji komboa mimi na familia yangu na uzao wangu
Amen
Amen 🙏 ahsante sana Kwa Maombi pst
Amena Mungu anisaidie aniinuwe tena isimame kama anavyotaka yeye munguwangu nisamehe pia zambi zangu sikia kilio cangu nataka unichike mkono munguwangu nisije nikakwama tena
Mungu nirehemu
Ameen 🙏 🙏
Eeeeh MUNGU naomba unisamehe dhambi na makosa yangu yote naomba unipe nguvu ya kusimama nna wewe tena 🙏😭😭
Asante yesu kwa neema yako kwenye maisha yang
Mungu nirundishie KAZI yangu.Ni na imani
Amen napokea mm na familia yangu mungu nyosha mkono wako kwenye kazi zangu biashara zangu
🙏
Niseme nini MUNGU WANGU 😭😭 ASANTE KWA NEEMA YAKO YESU 🙏🙏
Bwana najiunganisha ndani ya Ibada yako takatifu nakushkur Mungu kwa kibali hiki ulichonipa kuingia katika ibada ya leo 🙏🙏🙏
Eee Baba naomb upoke mahitaji ya moyo wangu
💸💰⚖️
Eeeee MUNGU nipe moyo wenye ujasiri na imani na tumaini kuu ni kweli adui ni kama simba auungurumae lakini naomba nguvu ya kusimama amina
Asante mungu wewe Mungu wajua moyo Wangu ulazi Ila Mwili Wangu uzaifu eemungu niondolee uzaifu Huu nikuishie wewe Mungu asante kwakua unajua Nina kuamini mungu
Mungu wa wokovu wangu na nguvu zangu
Namipia mungu anikumbuke menilikua naota npo shulen tunafanya mitian ila simalizi na ninaota nipo safalin ila sijawai fika safali ninayoenda
Amina
Nimepokey mimi na family yangu Bwana tufunguliye yale yote yarofungwa
Amen Amen Amen,Mungu atusaidie
🧎♀️🧎♀️🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ameni
Amen.... September to remember
Haleluya
Asante Mungu 🙏🙏🙏
Ni wewe Yesu
Amen najiungamanisha na madhabau haya kutoka Saudi Arabia napokea uponyaji wangu Leo napokea muujiza wangu Leo napokea ukombozi wa familia yangu 🇹🇿🇸🇦
Amém Amém 🇲🇿👏👏
Amina
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen Amen