DIWANI KATA YA KISUMWA NDUGU Z.SEGERE ATOA ZAIDI YA MILIONI MOJA KTK CHANGIZO LA UJENZI WA ZAHANATI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024
  • Diwani wa kata ya kisumwa Ndugu zabroni segere jana tarehe 03.08.2023 alichangia zaidi ya Milioni moja katika harambee ya kufanikisha ujenzi wa zahanati ya kijiji cha nyancjage, Kijiji cha nyanjage ni moja kati ya kijiji katika kata ya kisumwa iliyopo katika wilaya ya Rorya , Kijiji hicho kwa muda mrefu kimekuwa hakina zahanati lakini wanakijiji kwa kuungana na Diwani wao wameamua kuchangia fedha ili kufanikisha ujenzi wa zahanati hiyo.
    #JC mEDIA CENTERE @2023.

Комментарии • 1