NCHI ZA ULAYA RAHISI KUPATA VIZA HARAKA /Easiest European Country to get visa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Hello, guys welcome to my channel today I was able to bring to you some easiest European countries to get a visa, I hope this video will help you I wish all of you the best .......
    SUPPORT ME ON PAYPAL
    paypal.me/Rose....
    email: franjomulato@gmail.com
    Instagram:@granaterosemary
    #visa #maishayaughaibuni #workvisa

Комментарии • 159

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72  Год назад +10

    Hello guys kuna wengi mmeniuli´za ni nchi gani rahisi kupata viza leo nimewaletea na naamini kama mtasikilitza na kufanyia kazi basi mtafanikiwa kutimiza malengo yenu msisahau kulike hii video pli na kusubscribe kwawale wageni

    • @seleshanga
      @seleshanga Год назад +2

      Iyo nchi hata mimi ndokwanza leo naickia vipi kazi zinapatikana uko

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      ​​@@seleshanga?🤣🤣kwakweliii kazi hakuna sehemu zinakosekana changamka tu kutafuta hizo fursa umeziona sasa izo nchi zilivyo nzuriiiii

    • @seleshanga
      @seleshanga Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 Ndio nimeziona nchi ziko vizuri sasa utanisaidiaje nije uko kuchapa kazi

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@seleshanga nikusidiaje badala ya kuchangamka google kusearch kazi

    • @seleshanga
      @seleshanga Год назад

      @@mamafranjovlog72 sawa dada nimekuelewa mungu akupe moyo huohuo wakuwasaidia Tz wenzako pia akufanyie wepesi kwakila unachokitaka asante kwa maelezo yako mazuri

  • @saidiramadhani-gr3hh
    @saidiramadhani-gr3hh Год назад +4

    Sister mm ndio mara yangu ya kwanza naangalia video zako kiukweli unafanya kazi kubwa sana sio jambo lahisi maana watz waliopo nje na waliofanikiwa ni wengi lakini hatuwaoni kujitolea km unavyofanya wewe yaani huo ni moyo tu m/mungu amekupa mm nilikuwa nafikilia ni jinsi gani nitapata mtu wa kunisaidia ili nitimize ndoto yngu ya kutoka sasa naamini kwa idhini ya m/mungu naenda kutimiza ndoto yngu kupitia wewe sister muda c mlefu nitakutafuta ili tufanye kazi asante

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Год назад +2

    Yes guys... nimependa sana miwani yako Mama Franjo!!

  • @MaryTravelsandLifestyle
    @MaryTravelsandLifestyle Год назад +1

    Safi sanaaa my dear. Unatoa elimu nzuri sana my dear. 🤛

  • @amirimuhsin560
    @amirimuhsin560 Год назад +2

    Nakubal mama franjo huna kazi mbovu wewe

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Год назад +2

    Asante sana kwa video. Ubarikiwe

  • @Joyoscar777
    @Joyoscar777 Год назад +3

    Juzi tu nimetoka Angalia jobs Lithuania sitaki countries with competition Mimi.

  • @Pattyneema
    @Pattyneema Год назад +1

    Hiyo ya kwanza ndo nasikia leo nimegoogle naona pia wanaongea kijerumani umetisha mama franjo yes guys😄😄

  • @isunga1964
    @isunga1964 Год назад +3

    Asante sana ubarikiwe ila hiyo ya nchi ya kwanza kutaja mara ya kuanza kusikia nasubilia tangazo tu la kuchukuwa wafanyakzi niko Dubai 🥰🥰

    • @gladysjohn6414
      @gladysjohn6414 Год назад +1

      Nami nipo Dubai my dear wewe upo pande zipi

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Eti eh nchi adimu🤣🤣🤣usijalu ntawajulish

    • @isunga1964
      @isunga1964 Год назад

      @@gladysjohn6414 niko satwa mpendwa vp wewe uko wapi

    • @isunga1964
      @isunga1964 Год назад

      @@mamafranjovlog72 asante ubarikiwe

    • @gladysjohn6414
      @gladysjohn6414 Год назад +2

      @@isunga1964 mimi niko sharjah

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Год назад +1

    Nakufwatilia sana mama franjo video zako,vipi KAZI huko!!!

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Ndo mzitafute sasa google fursa zimejaa

    • @luckysichone6705
      @luckysichone6705 Год назад

      Nikweli kabisa Google,tuna fwatili,ila jambo lolote liende halaka yaani chapu nahalaka lazima ahusike agent.

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@luckysichone6705 my dear ingekuwa hivyo basi watu wengi tusingekuwa ughaibuni kila kitu ni kutumia muda wako google. Na fursa nitakazopata mimi nitawaletea hapa hapa

    • @luckysichone6705
      @luckysichone6705 Год назад

      @@mamafranjovlog72 sawa kabisa together My sester

  • @ShabanMkumbange
    @ShabanMkumbange Год назад

    Dada habari napenda chanal yako na maelezo yako yanajitosheleza na yanatia moyo mm namuo mba mungu ndoto yangu yakufanya kazi na kuishi mm nifundi umeme wa nyumba

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 10 месяцев назад +1

    Je vipi watu wenye elimu ya four tutapata kazi kweli,ndio safari ya kwanza kuona hii channel

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  9 месяцев назад

      Asante anglia nina video nyingi humu cheki cheki

    • @PureSoul-rf4xd
      @PureSoul-rf4xd 9 месяцев назад

      Asante kwa kujibu nitaendelea kuangalia vipi umri mbona ujajibu ma Franjo

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  9 месяцев назад

      @@PureSoul-rf4xd bonyeza hii picha yangu itakupeleka kwenye chaneli yangu kuna bvideo nyingi zenye fursa mbalimbalikwawatu wasiosoma umri wa nini sijaelewa

  • @BLB67
    @BLB67 Год назад +1

    Mama franjo thanks. Yes gaythi

  • @MichaelYohana-hv9cm
    @MichaelYohana-hv9cm 10 месяцев назад

    Madam nahitaji na mim kuja kutafuta maisha uko ndio lengo langu kuishi maish mazuri kidogo

  • @linalusheke2820
    @linalusheke2820 Год назад +2

    God Bless You Dada ♥️

  • @YunusMohammed-sp3bc
    @YunusMohammed-sp3bc Год назад

    Sister kwamimi ni first time nimezisikia dadaangu

  • @Kiaz-z7g
    @Kiaz-z7g Год назад +1

    Napenda content zako Ziko Vizuri

  • @Lulu86611
    @Lulu86611 Год назад +2

    Hi Dear your videos look for useful .are you also able to pit subtitle for us that cant understand swahili

  • @maseiafricano1250
    @maseiafricano1250 Год назад +1

    Mama Frajo.. nafatiliya sana video zako...ili nijuwe jinsi gani.. naweza fika uko

  • @summahthedon3511
    @summahthedon3511 Год назад

    Daaah Mimi ndio naiskia🔥🔥🔥🤣🤣🤣

  • @s.m.mbagati4824
    @s.m.mbagati4824 Год назад +1

    Nimewai kuisikia kwasababu ya ishabiki wa mashindano ya mpira ya ulaya

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 7 месяцев назад

    Sawa madam nasikia furaha ipo siku nitafika huko

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 10 месяцев назад

    Vip umri wa kuingia huko maana tuko na thelathini saa hii

  • @omaner9476
    @omaner9476 Год назад

    My me nataka kaz😊

  • @noelfrank3517
    @noelfrank3517 Год назад +1

    Za kwanza mbili nilikua sizifahamu

  • @hamisikimbatikwa6959
    @hamisikimbatikwa6959 Год назад +1

    Sasa mama faranjo/=mi naipenda croazshaia wanaitaji nogment gani na Apa tz ubarozi upo wapi? Au karibu na wapi?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Oh ok ntawafanyia video ila unataka kwajili ya kikazi au kutembea

  • @saidemkupa4638
    @saidemkupa4638 Год назад

    Ndio dada mimi nisaidie kupata kazi canada

  • @mussakoba3391
    @mussakoba3391 Год назад +1

    Mimi naijua because nafatilia san mpira

  • @succesmedia3459
    @succesmedia3459 Год назад

    Vipi kuhusu Cyprus madam rahisi pia kupata visa yake

  • @gladysjohn6414
    @gladysjohn6414 Год назад +1

    Mama franjo fanya mpango wa kutafuta furusa za Kazi kwenye hizo nchi ulizozitaja kama vile unavyofanya kwa Poland na ujeruman

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Kama kawaida mimi nikipata fursa nawaletea ila nimewaletea leo mtu anaeweza pia kucheki fursa google au kwa ndugu na majaa basi acheki

  • @gladysjohn6414
    @gladysjohn6414 Год назад +2

    Yani inchi 8 zote sikuwa nazifahamu ubarikiwe
    Swali
    Je nchi hizo 8 Kuna furusa ya Kazi kama Poland?

  • @JovinaRevelian-eo6zh
    @JovinaRevelian-eo6zh Год назад +1

    Kiukwel Leo ndo mara yangu kuickia hyo nchi

  • @tfsgvz9369
    @tfsgvz9369 Год назад +1

    Mm pia nime zsikia Leo shukran

  • @KarimChembela-pl2ic
    @KarimChembela-pl2ic Год назад +1

    Tunaobeti tunazijuwa zote izo Luxembourg

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Год назад +2

    Bahati leo nimekuta live🇹🇿
    Je huko Latvia, Czech, Lithuania napo kuna kazi sisi kwa wageni?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      asante yani leo umekuta live live , kazi kila sehemu zipo ila kupata tu chancce kama nilivyosema sasa ndo muanze kugoogle kutafuta hizo fursa hizo nchi mana ushindani bado sio mkubwa kama hizi nchi kubwa

    • @wilsonm.7376
      @wilsonm.7376 Год назад +1

      @@mamafranjovlog72 asante dada..na kazi zako za Poland utatangaza lini?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      @@wilsonm.7376 ntawajulisha msijali

  • @sukivlog885
    @sukivlog885 Год назад +1

    God bless u cc

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Год назад +1

    Waaa nigeni kwangu

  • @tumainituma7691
    @tumainituma7691 Год назад +1

    DADA UNAWEZA NISAIDIA NIPATE CONNECTION NA VYUO VYA MICHEZO POLAND AU UJERUMANI

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Connection gani wakati google vyuo vimejaaa ,umeshawai japo kutumia dakika moja kusearch hivyo vyuo google . Mana mi nimesearch tu vimekuja . Tumia muda wako vizuri mrembo kila siku japo nusu sa au lisaa limoja search google angalia qualifucation uaply kama hutaki shida ya kutafuta unataka kuwalipa watu wakufanyie basi kwa ujerumani ingia www.daad.de humo utapata kila chuo unachotaka na watakufanyia hizo connection ila unalipia angalia maelezo zaidi kwenye web zao.

  • @janemakemo5635
    @janemakemo5635 Год назад +1

    Sijawai kusikia nchi zote hizo

  • @erictz
    @erictz Год назад +1

    Vipi kwa mfano hizo nchi unaeza kuomba VISA na ukaishi nchi jrani?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Sio nchi hio tu hata germany huwezi kuomba visa nchi A kisha ukaenda kuishi nchi B haiwezekani isipokuwa hizi nchi zote zipokwenye umoja wa shengeni kwaiyo unaruusiwa kwenda kutembea au kukaa nchi nyingine kwa mieezi mitatu kama umepewa viza ya miezi mitatu usizidishe labda kama ukienda ubadilishe viza au upate kazi ,au uone nchi nyingine au uzae na situation zingine ndio zitakuruusu

    • @erictz
      @erictz Год назад

      @@mamafranjovlog72 Asante Ma Anjoo

  • @stanleymkama-ho6bh
    @stanleymkama-ho6bh Год назад +1

    Nchi zote ulizo zitaja nazifahamu na nimezfatilia Sana

  • @malkiawafizi2394
    @malkiawafizi2394 Год назад +1

    Nipo ulaya ila sijawahi kuhiskia.nazani sababu ni nchi maskini.

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Ooh kweli my wiii ?ya ni kanchi kadogo sanaaa mdomana

    • @ericnshimirimana4007
      @ericnshimirimana4007 Год назад

      Mama franjo maybe you try to said Leicester that's country which is in schengen

  • @saidallykopa90
    @saidallykopa90 Год назад +1

    Mama Franjo vipi kuhusu France

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Izo ngoma nzito hio🤣🤣🤣hio iko kwenye grupu la pili ntawaletea hilo

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 Год назад +1

    Licestain 😂😂😂 ndio mara ya kwanza

  • @luckysichone6705
    @luckysichone6705 Год назад

    Dadaangu mimi nimependezwa nazo ila sijuwi pakuanzia.

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Pakuanzia ni google tumia muda wako kila siku masaa mawili au matatu google kutafuta fursa

  • @NassourSalim
    @NassourSalim 3 месяца назад

    Hizo nchi zote ulizoztaja ni nchi maskin 😂
    Ucjaribu nduqu yanqu ukitaka kwwnda kutafuta maisha ulaya nenda qermany.swiden.denmark.
    norway.luxuburq.swizerland.
    malt hao walobakia bahat na sibu

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  3 месяца назад

      Maskni kuliko Tanzania aumaskini kivipi Nassor🤣🤣

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Год назад +1

    Mum nataka Poland hutanisaitiaje plz am in Saudi Arabia from kenya

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Poland nimeshaongelea angalia maelezo kwenye video zilizopita

    • @maseiafricano1250
      @maseiafricano1250 Год назад

      Naitaji kujuwa garama. Vote za pesa pesa kushulikiya.. mpaka mtu afike poland.. naitaji kuwa na kiasi gani cha pesa

  • @ngumaimani276
    @ngumaimani276 Год назад +1

    Documents zote samahn unaweza nisaidia link ulizo taja Documents zote samahan maan nilizo ziangalia sijaona au nilisahah

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Sijaelewa swali lako ? Unaongelea video hii au video nyingine

    • @ngumaimani276
      @ngumaimani276 Год назад

      @@mamafranjovlog72 zingne labd tuseme ni documents gan na gan ndio muhim

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@ngumaimani276 nimekuuliza document za nini hujanijibu umerudia swali lile lile , docxument za nini unaulizia

    • @ngumaimani276
      @ngumaimani276 Год назад +1

      Izo ambazo utapeleka ubalozini kwaajil ya kupat visa

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@ngumaimani276 linki hii ya document ruclips.net/video/1INWnVOPhVI/видео.html&feature=shares

  • @AminaAmina-mv4ko
    @AminaAmina-mv4ko Год назад +1

    Kwamara ya kwanza kusikia 🤔

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      hahahha usiniambie hahahhaha yes nchi zingine ni ndogo alafu hazijulikani kwakweli ila umeziona zilivyo nzuriiii na zipo karibu na ujerumani wengi hawazijui

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Год назад +1

    Ndio leo naiskia

  • @noelfrank3517
    @noelfrank3517 Год назад +1

    Nilikua siifahamu

  • @faustineshukran
    @faustineshukran Год назад +1

    My final time lichtenstein

  • @DanielMfalme
    @DanielMfalme 11 месяцев назад

    Dad naendaje

  • @rosedaud4834
    @rosedaud4834 Год назад +1

    Asante dada yetu kipenzi Wacha tujipange hizi nchi ni ngeni kabisa 🤣

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Yaniii 🤣🤣🤣🤣

    • @rosedaud4834
      @rosedaud4834 Год назад +1

      Kumbe sehemu za kwenda kwa haraka bila kunyimwa visa zipo kibao as long as ni Europe mtu anaweza enda akifika huko anaweza kwenda anakotaka hii njia ni rahisi Asante dear ubarikiwe mno

    • @saidiramadhani-gr3hh
      @saidiramadhani-gr3hh Год назад +1

      Lile group la whatsp umeshaliunda au bdo kama umeshaliunda naomba uniunge

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@saidiramadhani-gr3hh grupu la wasapu kwa ajili ya nini? Sina grupu lolote la wasapu

    • @saidiramadhani-gr3hh
      @saidiramadhani-gr3hh Год назад

      Samahani dada kuna mdau umu ndie niliemkusudia maana yeye ndie alietoa ilo wazo

  • @PriscaJoseph-u3p
    @PriscaJoseph-u3p 10 месяцев назад

    Vp kuhusu Romania

  • @jn_mustonez7842
    @jn_mustonez7842 Год назад +1

    Ndio naisikia kweli

  • @mukhtarally5819
    @mukhtarally5819 Год назад +1

    Jee na canada visa yake rahis dada angu

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Canada nchi kubwa ushindani mkubwa

    • @mukhtarally5819
      @mukhtarally5819 Год назад

      @@mamafranjovlog72 Asante sana dada angu mungu akubariki sana na vp documents yake ningumu sana pia naona namba yako plz

  • @jobumartin7819
    @jobumartin7819 Год назад +1

    Mala yakwanza kuisikia

  • @gladysjohn6414
    @gladysjohn6414 Год назад +1

    Nchi hizo 8 nazo zinatowa scholarship?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Cheki google mrembo zitakuwa zinatoa tu . Ila nami nikipata ntawaletea schoraship

  • @leahzuu6468
    @leahzuu6468 Год назад +1

    Ubaguzi he kwenye izo nchi?

    • @saidallykopa90
      @saidallykopa90 Год назад +1

      Mama Franjo mbona hujataja France

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      ​@@saidallykopa90sijataja sababu sio nchi nyepesi kupata viza io ntaongea kwenye grupu la pili la nchi ngumuu🤣🤣🤣

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +2

      Ubaguzi upo nchi zote duniani tena haswa afrika mfano majirani zetu wana ukabila sana , so huku pia upo but hauzuii maisha yasiende hapana . Maisha yanaendea kama kawaida na waafrika wapo

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 Год назад +1

    Slovenia?

  • @beatriceemanuel1098
    @beatriceemanuel1098 Год назад +1

    Ndio kwanza

  • @leahzuu6468
    @leahzuu6468 Год назад

    Belgium je?

  • @herbertmbege1620
    @herbertmbege1620 Год назад

    sorry dada mbona namba yako ya wasap inayoishia na 68 haipo hewani kama unayo nyingine naomba nina vitu vyakuongea na we

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Hio namba umeitoa wapi ?????? Kwenye hii video umeona kuna namba ya wasapu ???

    • @herbertmbege1620
      @herbertmbege1620 Год назад

      @@mamafranjovlog72 kwenye video zako za zamani

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@herbertmbege1620 sasa kama zamani ndugu yangu na huipati inmana situmii , nicheki instgram kwa jina @granaterosemary

  • @muhamedihamisi
    @muhamedihamisi Год назад

    Hapana

  • @KhamidJaffar-sh8ll
    @KhamidJaffar-sh8ll Год назад

    Mambo vp