NCHI ZA ULAYA RAHISI KUPATA VIZA HARAKA /Easiest European Country to get visa
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Hello, guys welcome to my channel today I was able to bring to you some easiest European countries to get a visa, I hope this video will help you I wish all of you the best .......
SUPPORT ME ON PAYPAL
paypal.me/Rose....
email: franjomulato@gmail.com
Instagram:@granaterosemary
#visa #maishayaughaibuni #workvisa
Hello guys kuna wengi mmeniuli´za ni nchi gani rahisi kupata viza leo nimewaletea na naamini kama mtasikilitza na kufanyia kazi basi mtafanikiwa kutimiza malengo yenu msisahau kulike hii video pli na kusubscribe kwawale wageni
Iyo nchi hata mimi ndokwanza leo naickia vipi kazi zinapatikana uko
@@seleshanga?🤣🤣kwakweliii kazi hakuna sehemu zinakosekana changamka tu kutafuta hizo fursa umeziona sasa izo nchi zilivyo nzuriiiii
@@mamafranjovlog72 Ndio nimeziona nchi ziko vizuri sasa utanisaidiaje nije uko kuchapa kazi
@@seleshanga nikusidiaje badala ya kuchangamka google kusearch kazi
@@mamafranjovlog72 sawa dada nimekuelewa mungu akupe moyo huohuo wakuwasaidia Tz wenzako pia akufanyie wepesi kwakila unachokitaka asante kwa maelezo yako mazuri
Sister mm ndio mara yangu ya kwanza naangalia video zako kiukweli unafanya kazi kubwa sana sio jambo lahisi maana watz waliopo nje na waliofanikiwa ni wengi lakini hatuwaoni kujitolea km unavyofanya wewe yaani huo ni moyo tu m/mungu amekupa mm nilikuwa nafikilia ni jinsi gani nitapata mtu wa kunisaidia ili nitimize ndoto yngu ya kutoka sasa naamini kwa idhini ya m/mungu naenda kutimiza ndoto yngu kupitia wewe sister muda c mlefu nitakutafuta ili tufanye kazi asante
Shukrani
Yes guys... nimependa sana miwani yako Mama Franjo!!
Hahahha asante my dear
Safi sanaaa my dear. Unatoa elimu nzuri sana my dear. 🤛
Thanks my sis🥰🥰
Nakubal mama franjo huna kazi mbovu wewe
Shukrani
Asante sana kwa video. Ubarikiwe
Thanks mrembo
Juzi tu nimetoka Angalia jobs Lithuania sitaki countries with competition Mimi.
Waooh waooh thats the way to goo dear🤗🤗
Hiyo ya kwanza ndo nasikia leo nimegoogle naona pia wanaongea kijerumani umetisha mama franjo yes guys😄😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣yes gaythii🥰🥰
Asante sana ubarikiwe ila hiyo ya nchi ya kwanza kutaja mara ya kuanza kusikia nasubilia tangazo tu la kuchukuwa wafanyakzi niko Dubai 🥰🥰
Nami nipo Dubai my dear wewe upo pande zipi
Eti eh nchi adimu🤣🤣🤣usijalu ntawajulish
@@gladysjohn6414 niko satwa mpendwa vp wewe uko wapi
@@mamafranjovlog72 asante ubarikiwe
@@isunga1964 mimi niko sharjah
Nakufwatilia sana mama franjo video zako,vipi KAZI huko!!!
Ndo mzitafute sasa google fursa zimejaa
Nikweli kabisa Google,tuna fwatili,ila jambo lolote liende halaka yaani chapu nahalaka lazima ahusike agent.
@@luckysichone6705 my dear ingekuwa hivyo basi watu wengi tusingekuwa ughaibuni kila kitu ni kutumia muda wako google. Na fursa nitakazopata mimi nitawaletea hapa hapa
@@mamafranjovlog72 sawa kabisa together My sester
Dada habari napenda chanal yako na maelezo yako yanajitosheleza na yanatia moyo mm namuo mba mungu ndoto yangu yakufanya kazi na kuishi mm nifundi umeme wa nyumba
Je vipi watu wenye elimu ya four tutapata kazi kweli,ndio safari ya kwanza kuona hii channel
Asante anglia nina video nyingi humu cheki cheki
Asante kwa kujibu nitaendelea kuangalia vipi umri mbona ujajibu ma Franjo
@@PureSoul-rf4xd bonyeza hii picha yangu itakupeleka kwenye chaneli yangu kuna bvideo nyingi zenye fursa mbalimbalikwawatu wasiosoma umri wa nini sijaelewa
Mama franjo thanks. Yes gaythi
Hahhahaa yethi gaythi🤣🤣🤣
Madam nahitaji na mim kuja kutafuta maisha uko ndio lengo langu kuishi maish mazuri kidogo
God Bless You Dada ♥️
Amen asante lina
Sister kwamimi ni first time nimezisikia dadaangu
Napenda content zako Ziko Vizuri
Shukrani sanaaaa
Hi Dear your videos look for useful .are you also able to pit subtitle for us that cant understand swahili
Thanks i will try to put subtitles
@@mamafranjovlog72 thanks hun:)
Mama Frajo.. nafatiliya sana video zako...ili nijuwe jinsi gani.. naweza fika uko
Shukrani kufatilia
Daaah Mimi ndio naiskia🔥🔥🔥🤣🤣🤣
Nimewai kuisikia kwasababu ya ishabiki wa mashindano ya mpira ya ulaya
Okey okey
Sawa madam nasikia furaha ipo siku nitafika huko
Vip umri wa kuingia huko maana tuko na thelathini saa hii
My me nataka kaz😊
Za kwanza mbili nilikua sizifahamu
Sasa mama faranjo/=mi naipenda croazshaia wanaitaji nogment gani na Apa tz ubarozi upo wapi? Au karibu na wapi?
Oh ok ntawafanyia video ila unataka kwajili ya kikazi au kutembea
Ndio dada mimi nisaidie kupata kazi canada
Mimi naijua because nafatilia san mpira
Oooh very good
Vipi kuhusu Cyprus madam rahisi pia kupata visa yake
Mama franjo fanya mpango wa kutafuta furusa za Kazi kwenye hizo nchi ulizozitaja kama vile unavyofanya kwa Poland na ujeruman
Kama kawaida mimi nikipata fursa nawaletea ila nimewaletea leo mtu anaeweza pia kucheki fursa google au kwa ndugu na majaa basi acheki
Yani inchi 8 zote sikuwa nazifahamu ubarikiwe
Swali
Je nchi hizo 8 Kuna furusa ya Kazi kama Poland?
Kazi zipo ila kupata tu connection ,
Kiukwel Leo ndo mara yangu kuickia hyo nchi
😅😅😅kwelii
Mm pia nime zsikia Leo shukran
Kwakweliii
Tunaobeti tunazijuwa zote izo Luxembourg
🤣🤣🤣🤣
Bahati leo nimekuta live🇹🇿
Je huko Latvia, Czech, Lithuania napo kuna kazi sisi kwa wageni?
asante yani leo umekuta live live , kazi kila sehemu zipo ila kupata tu chancce kama nilivyosema sasa ndo muanze kugoogle kutafuta hizo fursa hizo nchi mana ushindani bado sio mkubwa kama hizi nchi kubwa
@@mamafranjovlog72 asante dada..na kazi zako za Poland utatangaza lini?
@@wilsonm.7376 ntawajulisha msijali
God bless u cc
Shukrani atubariki wote
Waaa nigeni kwangu
hahaha eti ehh
DADA UNAWEZA NISAIDIA NIPATE CONNECTION NA VYUO VYA MICHEZO POLAND AU UJERUMANI
Connection gani wakati google vyuo vimejaaa ,umeshawai japo kutumia dakika moja kusearch hivyo vyuo google . Mana mi nimesearch tu vimekuja . Tumia muda wako vizuri mrembo kila siku japo nusu sa au lisaa limoja search google angalia qualifucation uaply kama hutaki shida ya kutafuta unataka kuwalipa watu wakufanyie basi kwa ujerumani ingia www.daad.de humo utapata kila chuo unachotaka na watakufanyia hizo connection ila unalipia angalia maelezo zaidi kwenye web zao.
Sijawai kusikia nchi zote hizo
Kweli
Vipi kwa mfano hizo nchi unaeza kuomba VISA na ukaishi nchi jrani?
Sio nchi hio tu hata germany huwezi kuomba visa nchi A kisha ukaenda kuishi nchi B haiwezekani isipokuwa hizi nchi zote zipokwenye umoja wa shengeni kwaiyo unaruusiwa kwenda kutembea au kukaa nchi nyingine kwa mieezi mitatu kama umepewa viza ya miezi mitatu usizidishe labda kama ukienda ubadilishe viza au upate kazi ,au uone nchi nyingine au uzae na situation zingine ndio zitakuruusu
@@mamafranjovlog72 Asante Ma Anjoo
Nchi zote ulizo zitaja nazifahamu na nimezfatilia Sana
Shukraniiii hapo sawa
Nipo ulaya ila sijawahi kuhiskia.nazani sababu ni nchi maskini.
Ooh kweli my wiii ?ya ni kanchi kadogo sanaaa mdomana
Mama franjo maybe you try to said Leicester that's country which is in schengen
Mama Franjo vipi kuhusu France
Izo ngoma nzito hio🤣🤣🤣hio iko kwenye grupu la pili ntawaletea hilo
Licestain 😂😂😂 ndio mara ya kwanza
🤣🤣🤣
Dadaangu mimi nimependezwa nazo ila sijuwi pakuanzia.
Pakuanzia ni google tumia muda wako kila siku masaa mawili au matatu google kutafuta fursa
Hizo nchi zote ulizoztaja ni nchi maskin 😂
Ucjaribu nduqu yanqu ukitaka kwwnda kutafuta maisha ulaya nenda qermany.swiden.denmark.
norway.luxuburq.swizerland.
malt hao walobakia bahat na sibu
Maskni kuliko Tanzania aumaskini kivipi Nassor🤣🤣
Mum nataka Poland hutanisaitiaje plz am in Saudi Arabia from kenya
Poland nimeshaongelea angalia maelezo kwenye video zilizopita
Naitaji kujuwa garama. Vote za pesa pesa kushulikiya.. mpaka mtu afike poland.. naitaji kuwa na kiasi gani cha pesa
Documents zote samahn unaweza nisaidia link ulizo taja Documents zote samahan maan nilizo ziangalia sijaona au nilisahah
Sijaelewa swali lako ? Unaongelea video hii au video nyingine
@@mamafranjovlog72 zingne labd tuseme ni documents gan na gan ndio muhim
@@ngumaimani276 nimekuuliza document za nini hujanijibu umerudia swali lile lile , docxument za nini unaulizia
Izo ambazo utapeleka ubalozini kwaajil ya kupat visa
@@ngumaimani276 linki hii ya document ruclips.net/video/1INWnVOPhVI/видео.html&feature=shares
Kwamara ya kwanza kusikia 🤔
hahahha usiniambie hahahhaha yes nchi zingine ni ndogo alafu hazijulikani kwakweli ila umeziona zilivyo nzuriiii na zipo karibu na ujerumani wengi hawazijui
Ndio leo naiskia
Ok
Nilikua siifahamu
Okey
My final time lichtenstein
🤣🤣🤣
Dad naendaje
Asante dada yetu kipenzi Wacha tujipange hizi nchi ni ngeni kabisa 🤣
Yaniii 🤣🤣🤣🤣
Kumbe sehemu za kwenda kwa haraka bila kunyimwa visa zipo kibao as long as ni Europe mtu anaweza enda akifika huko anaweza kwenda anakotaka hii njia ni rahisi Asante dear ubarikiwe mno
Lile group la whatsp umeshaliunda au bdo kama umeshaliunda naomba uniunge
@@saidiramadhani-gr3hh grupu la wasapu kwa ajili ya nini? Sina grupu lolote la wasapu
Samahani dada kuna mdau umu ndie niliemkusudia maana yeye ndie alietoa ilo wazo
Vp kuhusu Romania
Ndio naisikia kweli
🤣🤣🤣🤣hatariii
Jee na canada visa yake rahis dada angu
Canada nchi kubwa ushindani mkubwa
@@mamafranjovlog72 Asante sana dada angu mungu akubariki sana na vp documents yake ningumu sana pia naona namba yako plz
Mala yakwanza kuisikia
🤣🤣🤣
Nchi hizo 8 nazo zinatowa scholarship?
Cheki google mrembo zitakuwa zinatoa tu . Ila nami nikipata ntawaletea schoraship
Ubaguzi he kwenye izo nchi?
Mama Franjo mbona hujataja France
@@saidallykopa90sijataja sababu sio nchi nyepesi kupata viza io ntaongea kwenye grupu la pili la nchi ngumuu🤣🤣🤣
Ubaguzi upo nchi zote duniani tena haswa afrika mfano majirani zetu wana ukabila sana , so huku pia upo but hauzuii maisha yasiende hapana . Maisha yanaendea kama kawaida na waafrika wapo
Slovenia?
Yes
Ndio kwanza
Eh eh
Hlw mama flanjo vp kuhusu Kaz za poland
Belgium je?
Belgium ngumu kidogo
sorry dada mbona namba yako ya wasap inayoishia na 68 haipo hewani kama unayo nyingine naomba nina vitu vyakuongea na we
Hio namba umeitoa wapi ?????? Kwenye hii video umeona kuna namba ya wasapu ???
@@mamafranjovlog72 kwenye video zako za zamani
@@herbertmbege1620 sasa kama zamani ndugu yangu na huipati inmana situmii , nicheki instgram kwa jina @granaterosemary
Hapana
Mambo vp