mama mkwe ni mchawi afai ata kurumangiwa jemima pole kuingia kwny huuwaji wa mwanamke mwenziyo inaumiza sana maana umetumiwa tuu kumuuwa mwenziyo bila kujua chochote kinacho endelea
Huyu Jemima ni kama arirogwa vile au ,yeye kira mwanaume anapita nae khaaa dunia simama ni shuke kabisa maana ya Jemima yamenishinda hizo mambo zakutumia madawa yani hakomi yeye akishauliwa tu hataki kutumia hakili yake mwanamke mujinga sana.
Ww Jemima ww kitakukuta kitu ❤ shauliayko 🇴🇲🇴🇲
mama mkwe ni mchawi afai ata kurumangiwa jemima pole kuingia kwny huuwaji wa mwanamke mwenziyo inaumiza sana maana umetumiwa tuu kumuuwa mwenziyo bila kujua chochote kinacho endelea
Kweli jemima ni mtu wa mikosi too yani 😮😮😮
Wow tulisubiri sana
Asante sana kwa mafunzo mazuri❤❤
Tushaanza kuzoea fupi wadau 😂😂
😂😂 kwakweli
@@dadasalma2596 tutafanyaje sasa na D'oen husema fupi tamu ndefu inakera 🤣🤣
@@lonakirao5275 hahaha tabikie tu kwenye fupi🤣
Huyu Jemima ni kama arirogwa vile au ,yeye kira mwanaume anapita nae khaaa dunia simama ni shuke kabisa maana ya Jemima yamenishinda hizo mambo zakutumia madawa yani hakomi yeye akishauliwa tu hataki kutumia hakili yake mwanamke mujinga sana.
Dh huy mwanamke ni hatar na nusu mbona jaman kwa kusaidiwa kote huko
Tamaa mbaya
Wakwanza Leo 😍
Jazila umedamkia huku😂
❤❤❤ Asante sana ddt
nisaidie kufikia 300 subscribers 🙏
😅😅😅😅😅🤔