JEMIMA SEHEMU YA 01 - By Beatrice Mshana.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 24

  • @ZaiZainabu-o4p
    @ZaiZainabu-o4p 2 месяца назад +5

    Simulizi nzuri kwasauti tamu ❤🎉sauti inayo bembeleza👂

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi 2 месяца назад +1

    Wawo simulizi nzuri sana ila inauzunisha kweli mama wakambo.sio.watu❤❤🇴🇲🇴🇲

  • @asiahhassan1539
    @asiahhassan1539 Месяц назад

    😢😢😢jemima kweli unaroho mbay hivo daa

  • @THEDONSIMULIZI
    @THEDONSIMULIZI 2 месяца назад +4

    Wow ❤❤beatrece your tallent , nakukubal san

  • @LaveenaIbrahim
    @LaveenaIbrahim 2 месяца назад

    Dah Jemima huyu Dada chefu jaman anatuaibisha wanawake jaman.... Asante dadat bite

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 2 месяца назад +16

    Amakweli kunguru hafugiki Jemima anaroho mbaya mtu kamuokota polini kamuterekeza,kisha akaolewa na tajiri sasa amefubaa amesaidiwa anataka kutenganisha watu walio musitiri watu wanaroho za kishetani sijapata kuona😢😢😢😢 mwisho wa Jemima utakuwa mubaya sana maana upendo wakweli haufi hatakama ametumia madawa ipo siku mume wa neema atarudisha upendo kwa mkewe ,wanawake wengine jamani wataingia mbinguni kwa kuchoka😢😢😢😢

    • @jenniferlicko4736
      @jenniferlicko4736 2 месяца назад +2

      Yes hyu dame Jemima subili mwisho wake utakua wa kutisha kama afu huyo mwamba Rafael Bwana ni kama ana roho nyeusi kama.kaniki ya wacha wi 😂😂😂😂😂😂

    • @Naaima-c7e
      @Naaima-c7e Месяц назад

      😂😂😂​@@jenniferlicko4736

  • @rahimaomarybabu1808
    @rahimaomarybabu1808 2 месяца назад +2

    Mashallah dada kwa sauti nizuri❤

  • @Sss-b9w6f
    @Sss-b9w6f 2 месяца назад +3

    Mashaal asant 3

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 2 месяца назад

    Nilijua mwana wa Mwenda asimulie,

  • @christinahaule-p8i
    @christinahaule-p8i 2 месяца назад +1

    Jemima ❤❤❤🔥🔥🔥

  • @jenniferlicko4736
    @jenniferlicko4736 2 месяца назад +5

    Ooooooohhh my God l feel so pain 😭😭😭😭😭, sisi wana wake kitu ambacho kinacho tuponza ni tamaaa za kua na vitu ambavyo hatuvijui, kwanza ukiangalia huyu demu Jemima kitu kilicho mponza sio mapenzi kwa huyo jamaa Rafael ni pesa zilimponza😭😭😭, unajua ndugu zangu, hizi simulizi mix hua zina tufunza na kutukumbusha kwamba kila kitu kina mwisho 😭😭😭😭 ukiangalia huyo Mume wa Jemima alimuokota na kumpa heshima ya kua mke wake, alafu huyo demu bila kufikilia hakuna mwanamme yeyote anae weza kukupenda ukiwa tayari wewe ni mke wa mtu, 😭 😭 bila kua na akili ya ziada mwanamme alie timamu hawezi kukutoa kwa Mume mwingine na anakwambia kua anakupenda haitawai tokea hata Dunia ipinduke miguu juuu kichwa chini huyu mwamba Rafael nahisi ni farao watu wenye roho mbaya 😂😂😂any way mwisho wake utakua wa kutisha kama sodoma na gomola 😢😢😢

    • @lonakirao5275
      @lonakirao5275 2 месяца назад +2

      Tamaa nimbaya sana na Mungu anatuona sisi wanawake haki 🥺

  • @Aishamzamilu
    @Aishamzamilu Месяц назад

    Inahuzunisha sana 😢

  • @FatumaRamadan.Mwalim
    @FatumaRamadan.Mwalim 2 месяца назад +1

    Walio sema filisika ujue tabia ya mkewako kumbe ni kweli mmmh

  • @maryamsimai5395
    @maryamsimai5395 2 месяца назад +1

    Hizo milioni 20 ningepewa mimi tu jamani

  • @linetnyairabu9493
    @linetnyairabu9493 2 месяца назад

    Kila mtu ako n roho yake so jemima ako n tamaa sana so hata hyo tajiri hatachuta kumufahamu too😢😢

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 2 месяца назад +1

    Mtoto wakike anatabia kama za Latifa jamani,hata wema unao fanyiwa huuoni kweli Jemima 😢 ila adhabu yako inakuja tena vibaya sana kenge mwitu ww

  • @alisalum2402
    @alisalum2402 2 месяца назад +5

    wakwanza leo nipen like zang

  • @ashalwamba8286
    @ashalwamba8286 2 месяца назад

    Malaya mshezi.

  • @echawekab3796
    @echawekab3796 2 месяца назад

    Hiyi simulizi inaanza ni kera kama ya latifa jamani

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 2 месяца назад

    😅😅😅😅🤔

  • @FatumaRamadan.Mwalim
    @FatumaRamadan.Mwalim 2 месяца назад +1

    Sini yy alisema hana hisia nae au n vile alikuwa kwenye wheel chair sasa badala amroge baba mtoto kuna watu wajinga na nusu