Abdukiba feat Yammi - YOU (Official Visualiser)
HTML-код
- Опубликовано: 14 дек 2023
- Music Video by Abdukiba featuring Yammi performing (YOU), a melodic AfroPop tune filled with love and affection message between two good artists, Enjoy this beautiful song with your loved one.
Get it now YOU:ziiki.media/You-AbduKiba
Stream/Download:linktr.ee/Abdukiba
Listen to Abdukiba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/abdukiba
Apple Music: / abdukiba
Boomplay: www.boomplay.com/share/artist...
RUclips: / @abdukibatz
Spotify:open.spotify.com/artist/61UXs...
Connect Abdukiba on Social Media:
Instagram: / officialabdukibaa
Twitter: / abdukiba_
Triller:triller.co/@abdukiba
TikTok: / abdukiba
+For More Information Booking Abdukiba:
Contact:emailabdukiba@gmail.com
©2023 Kings Music Records.All rights reserved.
#Abdukiba #Yammi #You Видеоклипы
Niliwahi kusema kwamba dada yetu mandy hakukosea kuchukua kipaji hiki😥😥😥Yammi ni mdada flani hvi mwenye mvuto alafu kila beat anajua kucheza nayo❤️❤️❤️kama unaniunga mkono twende pamoja apa📌📌
ABDU ABDU ABDU nmekuita Mara tatu, hii ngoma ni hatari
Kila kitu on point #mziki mzuri forever
Kwa kweli Abdu safari hii kapiga ngoma nzuri Sana , ni nzuri kinoma : likes Basi keeeh
Huu muunganiko 🎉 one of the best melodies💪🤪 African princess X kings ✅✅ ni muda WA mziki mzuri tu
Ongereni sana kwa kazi nzuri
Bonge la kitu yan king's music 🎵🎶🎶🎶🎶🎶
Nilitaka niseme wimbo mzuri sana ila sisemi❤
Abdukiba maneno frshi sana kaka.
Toka KENYA like nipeni wallahi nifurahishe mwili wangu❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉Pamoja sana kiongoz
Nyimb nzuriii❤❤❤❤❤
Wa kwanza mimi na sijawahi kupata like kwa abdukiba . Je anasema video" audio" nzuri naomba like yake hapa
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri kingsmusic 🎧❤️
❤
Noma sana kings kuna viumbe hatari 🙌🙌✌️✌️✅🤴🤴🤴🏋️♂️
Wauuuuh wauuuuh❤❤❤❤❤
Happy birthday hongera kazi nzur sana🎉
Ili goma kaka umetuonyesha jinsi gani umekuwa sasa ❤ Kali sana ingawa aliumi Safi sana broo naamini utakuwa pale juuu one love
Wa kwanza Mimi jamani naombeni likes za kutosha
ruclips.net/video/tYkF9rno8wM/видео.htmlsi=Kda4cpp2wq5_KyU4
Safi
Hatari
Huu ujinga muache badala ya mtu kusifia kile msanii amefanya wewe unakuja unasema wakwanza badilikeni wenye tabia hizi
Huu ujinga muache badala ya mtu kusifia kile msanii amefanya wewe unakuja unasema wakwanza badilikeni wenye tabia hizi
Kazi moja kaliiii mnooo tunaomba sasa mwisho wa mwakaa mkiwashe hata show moja tumewamic on the stage
Fundi kazaliwa upyaaaa #Abdukiba🔥, Hit song
Abdu kiba ongera sana bro, naona unaimba kwa hisia sana kbs. Mdogo wake wa mfalme.
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania 🇹🇿🇹🇿 wapi like za abdulika and yamm #you hii imeeeendaaa muzk kama uyu isikae kwa nyumba like hapa kama tupo p1 King 👑👑👑 kiba labor
Huu wimbo ni moto yani fire
Ume tutoa Kwenye midadi ume tuleta kwenye penzii ❤❤❤aweeeee
Abdukiba ua sanaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera kaka Abdul Kiba na Yammi, Mmeimba vizuri sana.
Umetisha 🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma itasumbua sana mtaani🙌🙌🔥🔥
What a beautiful song Abdu kiba hii umeua sana🎉🎉
Kale kaupendo kalioko Mombasa Na Kenya 🇰🇪 kwa ujumla tumeipenda hii🔥🔥🔥
Naomba @yammi asifananishwe na yeyote bongo huyu bint ni another level
Kazi Kubwa Yammi Umehutendey Haki Huu Wimbo , Abdukiba Hizi Ndo Nyimbo Tunazohitaji Kihukwel Mumehupiga Mwingi Kings 🤴 Never Dissapoint 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Wabongo munapenda kusifia uongo yammi sasa kaimba nini hapo
@@shakirahtz Kwan Ujaskiy Alichokihimba🤣🤣🤣🤣
Sana nyimbo kali katulia sana humu
nyimbo kali sana wacha nianze kuikariri nimuimbie kipenzi changu😍😍💓💓
🔥🔥🔥🔥
Sawa mukubwa
Tishaaaa sanaaaa singleeeee🙌
Nice song baada ya muda mrefu nimesikia wimbo mzuri Tena kutoka kwa Abdukiba mara ya mwisho wimbo wangu mzuri ulikua Kizunguzungu
Jamani abdukiba hii nyimbo katulia sana aise respect kwako abdukiba naleo ni siku yako ya kuzaliwa happy birthday bro❤
Pongezi ziende kwa kiba, maana ndio raha ya kuwa na kaka genius, uwezi kuimba utopolo na yeye yupo😅😅
Yeah katulia sana kaimba vzur,stail hii uimbaji uwa anapatia sana aimbe hiv atatoa hit daily
Nyimbo kali sanaaa Kingsmusc 4life
❤❤ABDU KIBA UWE UNAPANDISHA SAUTI JUU BAADHI YA VERSE UNAPANDA NA KUSHUKA UNAPENDEZEA 👏👏👏👏😍🥰NIAMINI MM
Sanaa hii nyimbo katsha sana vocal on point
Binafsi sijawahi kuwa shabiki wa abdu kiba sikuwahi kumuelewa kabisa bt tokea jana nilijue hili hit kutoka kings Music naomba niseme majirani zangu wananikoma iko nonstop tokea jana saa 2 usiku
Kaka Abdul kiba hapa umejua kutufunga midomo wambea🔥👌🏽
Ni wimbo mzurii colabo nzuri
Umeuaa baba.....🎉🎉
Niko na aman Niko Niko moyoni sherehe tangu niko nae moyoni sherehe 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Waw nzuri Sanaaaa ❤
❤❤❤❤mashallah king asaivi mmejua kwendana na soko linavotaka kila la kheri kwenyesafari yenu ya mzuki mzuri ❤❤❤
Kali😅vyo😅😅
Hii Nyimbo Abdukiba amejitaidi sana ni wimbo mzuri sana. 🙌🙌🙌
Moto kama pasi🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯
Ngoma kali Abdu good combination with Yammy.. U kill it
From kings music 💥💥💥💥
Alikiba kaamua this round noma mzeee uko juu miaka mia
good sana kaka ❤❤❤ goma lipo kal sana
Mmetisha saana kings music forever
Afro pop ❤ unyama mwingi sana 💯
Jamaaa katulia Kama kipindi Cha Oyo oyo
Safi sana🎉
Nice song umetishaaa❤
🔥🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤gonga ulipuke,kazi nzuri jamaa
Alikiba's backup vocals are incredible🥰🥰
Naona mabadiliko kakaa nicee song
Team good music tujuane 🔥
bonge la nyimbo what a combination 🎉🎉🎉❤
Much love kutoka Congo nakupenda King mdogo
Abdu Kiba umetenda haki in this one walai
Hili jiwe hatari ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥🔥
Huu wimbo ni mzuri sana, Abdukiba umetutendea Haki This Time💪🏼
Naona abdukiba huu mwaka kaamua ni moto juu ya moto tu.
Mziki mzuri kaka❤❤
Gooooood Music....I00%😍😍
❤❤
Nyimbo Kali sana🎉
Ngoma Kali sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Congratulations ❤ hiii niyafunga mwaka
Kazi nzuri
Bonge moja la blues
Wimbo muzuri sana nawapenda bure ❤❤❤❤
Abdukiba noumaaa sana bro ayayayayayaaaa weweeeeeeeeeeeeeeee
❤❤❤❤ nawakubalii sana watu wangu ❤❤❤❤
Hii ndonasafiria mjini yaitwa funga mwaka🔥🔥
Ngoma Kali sana
Nyimbo kali sana AbduKiba,hiz njia ukipitaga nyimbo inakuwa kali sana!!good chemistry with Yammi ❤ 🔥
❤🎉😂😂abdu we hatarii
Unyama mwingi sana🥰🥰🥰🥰
Abdu na yamm nyinyi nimoto zidin kutupa vitu vizuli Kama hv you you you yeeebaba❤❤
Wangapi tumekubaliyana yammi achukuliwe na king's record label maana kanongesha mpaka basi 🔊🗣️🗣️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Good song
Abdukiba noumaaa sana
Jamaa linajua sana😁
Yakufunga mwaka iyi kbs🔥🔥🔥🔥yani so good ❤🫶
Umeweza brother keep it up..enjoy your beautiful music from kenya mombasa
Saf sana mmepita vizurii sana Yammy abdkina 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 #lyzee
Hii style umeua king kebekebe 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎵❤️❤️💜
Katika ngoma zako Zote abdukiba hii ndio kali zaidi, beat melody lyrics 🔥🔥💯 love this
King's music siku zote uko poa sana kwenye muziki,🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿
🎉🎉🎉🎉 tamuuu mpk tamu tena
Hii ni 🔥🔥🔥
King's Musik imeamua dis round
Bonge la ngomaa❤❤
Nyimbo tamu sana jamani dah! ❤
Unyama mwingi sanaa