Mzee wa Upako AFICHUA SIRI ya UTAJIRI WAKE - AZUGUMZA MAMBO MAZITO YALIOMPA MALI MIAKA 37 ILIYOPITA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
    Follow our Social Media:
    FB: / mzeewaupakotzz
    IG: / mzeewaupako_tz
    TIKTOK: / mzee__wa__upako
    Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Комментарии • 47

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 месяца назад +11

    Nimekagua COMMENTS 10 za juu . Nimeona "Amen" , "Amen" , "Amen " ........ lkn ni kwasababu Mchungaji anatubiria KUFAULU , kuwa na Maisha mazuri na utajiri ........ Wakati alitakiwa kutuhubiria habari za kumhusu MUNGU na anahitaji sisi wanadamu tufanye nini ili turithi uzima wa milele .😢😢😢😢😢

    • @ElijahDavid-eh5es
      @ElijahDavid-eh5es 3 месяца назад

      "Mara 100 duniani KISHA uzima wa milele" Maneno ya Yesu mwenyewe. Mathew 19:27-29

    • @ProsperReuben-fg6uh
      @ProsperReuben-fg6uh 3 месяца назад +2

      Her kuwa na mali chache na kumcha Bwana kuliko malinnyingi na maangamiz

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 3 месяца назад +1

      Nimekuelewa saana 🙏🙏🙏😢😢😢😢

    • @kasangagregory5747
      @kasangagregory5747 3 месяца назад

      Hizo ki fikra za kimaskini
      Si mapenzi ya Mungu tuwe masikini kufanikiwa Ni sehemu Yetu tunao mwamini Kristo. Yesu pale msalabani alihakikisha tunafanikiwa hapa dunia na mbinguni uzima wa milele

    • @jameskapasi2444
      @jameskapasi2444 3 месяца назад

      Uzima wa milele nani amewai kuuonja, pambana n
      Kwanza na Dunia uliopewa na Mungu, Nendeni mkaijaze Dunia, mkavitiishe na kuviongoza vyote vilivyomo.
      Tangulini kiongozi akawa masikini?

  • @amanpeace5237
    @amanpeace5237 3 месяца назад +5

    Mnapokea nini?kafanyeni kazi

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 месяца назад +2

    Wagalatia ukiwatajia swala la miujiza na kufanikiwa kimaisha baaaasi utaona wapo na wewe "AMEEN AMEEN ..😅😅😅😅😅😅😅😅
    kumuona mungu sio kazi rahisi. Ngamia atapenya tundu la sindano lkn sio tajiri kuuona ufalme wa mungu .

  • @gastonsally4245
    @gastonsally4245 3 месяца назад

    Mjomba kama Unavyo Mungu amekupa endeshaa bwanaaaaa kula maishaaaa kama Mungu Asinge kupa usinge pata nchi navyote vujazavyo ni mali ya bwana

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl 3 месяца назад +3

    Elimu Elimu Elimu. Mwenzetu unafanya Biashara Gani ? @ Fedha za kuendesha hayo Mali nk. Tuwe wa kweli tu. Ok

    • @jameskapasi2444
      @jameskapasi2444 3 месяца назад

      Amekwambia ukitaka kujua amepataje, nenda mkazungumze. Ya Mungu hua hayaelezeki kwa maneno. Kwa Mungu 1+1=30.

  • @robertadolf562
    @robertadolf562 3 месяца назад +2

    sadaka hizo bhana....mbona mnatuvisha vishaga mauwongo.

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 3 месяца назад +2

    MZEE UNAKULA BATA NA YESU KARIBU ANARUDI, NI VIZURI KUMILIKI VITU ILA SIYO KIPAUMBELE, WEKEZENI ZAIDI KATIKA KUWATOA WATU GIZANI

    • @jameskapasi2444
      @jameskapasi2444 3 месяца назад

      Asa ndugu aliegizani ni masikini au tajiri?, ili usikiwe unachosema lazima Duniani mara 100

  • @mtanzaniahalisi9500
    @mtanzaniahalisi9500 3 месяца назад +1

    Ni tatizo hili itakusaidi nini katika kuingia ufalme wa mbinguni

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 месяца назад +1

      Sku hizi haizungumziwi pepo wanazungumzia kuwa na magari mazuri kupata kazi huskii kwenda mbinguni uongo ndio uliopo watu huenda ibadani wawe na mafanikio ya duniani

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 3 месяца назад +1

    Huna lolote mchumia tumbo wewe.yatosha kuwaita wUmini wako hawana akili hawajui bibilia kwaiyo iyo ndo ulio kuja nayo sasa.

  • @cryptoboy_5
    @cryptoboy_5 3 месяца назад +1

    MBONA KAMA HIKI KIJEMBE CHA SELEKALE LAKIN WANANCHI TU NDYO WENGI MASKINI ILA WAO NI MATAJIRI

  • @Nicksonexaverychengula
    @Nicksonexaverychengula 3 месяца назад +1

    Sasa mbona unasema YESu siyo mngu

    • @jameskapasi2444
      @jameskapasi2444 3 месяца назад

      Amesema Yesu sio Mungu, kwasababu Yesu mwenyewe amesema (nayafanya yote si kwaajili ya mapenzi yangu bali kwa ajili ya mapenzi ya yeye alienipeleka)
      Hivyo Yesu ni mwana wa Mungu aliempeleke kuitimiza Torati

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 3 месяца назад

    Kama unaona fahari, ona fahari kwakuwa unamjua Bwana! Wengine wanataja farasi, sisi tunalitaja jina la Bwana, Bwana huwapiga wenye kiburi lakini huwapa wanyenyekevu neema

  • @thobiasrugwaguza5819
    @thobiasrugwaguza5819 3 месяца назад +1

    Amina

  • @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi
    @Dismasbccmiraclecenter-rv9qi 3 месяца назад +1

    Amina Baba

  • @JUSTNEMITOMINGI
    @JUSTNEMITOMINGI 3 месяца назад

    Ovyo sadaka za wajinga hizo

  • @jworld1480
    @jworld1480 3 месяца назад +1

    amen baba

    • @HashimKambi
      @HashimKambi 3 месяца назад

      Transfoma mbona sasa unaiharibu shape yako nzuuri uliyokuwa nayo kaka? Nimestuka kukuona una kitambi kaka yangu mwema. Jitahidi ukiondoe hicho Mchungaji wangu.

  • @EliaKaspaly
    @EliaKaspaly 3 месяца назад +1

    Aaameeen baba askofu

  • @OswaldBayyo
    @OswaldBayyo 3 месяца назад +1

    Amen

  • @kuryatvfilm1161
    @kuryatvfilm1161 3 месяца назад

    Wengine watataja magari yao lakini Mimi nitalitaja jina la Bwana Wa majeshi

  • @YakoboHaule
    @YakoboHaule 3 месяца назад +1

    Napokea baba

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 3 месяца назад +4

    Unawadanganya watu unazungumzia pesa halali wakati nchi imeka kijangili

    • @robbycharlz3999
      @robbycharlz3999 3 месяца назад

      Bila shaka hujamuelewa usiseme maneno kwa furaha ya kimy

  • @georgemasumbigana7434
    @georgemasumbigana7434 3 месяца назад +1

    Amen 🙏

  • @henryj3304
    @henryj3304 3 месяца назад

    Amen

  • @EmmanuelTemba-k4t
    @EmmanuelTemba-k4t 3 месяца назад

    Ameeni umenibariki

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch 3 месяца назад

    Barikiwa Baba

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 3 месяца назад

    🥹

  • @adampetermakombe5654
    @adampetermakombe5654 3 месяца назад +2

    Mwazo nilikuamini Sana najuta kukuanin ulitumia maadiko kwakudaganya mungu ameaza kukupiga umeaza kusema wewe nimogo umekili kwamba yesu siyo mungu tunajua kabisa kwamba wewe niajedi washetani

    • @josephinamkono5183
      @josephinamkono5183 3 месяца назад +1

      Unapaswa kumwamini Yesu sio Mzee waupako

    • @jameskapasi2444
      @jameskapasi2444 3 месяца назад

      Muandiko wako pekee unanipa mashaka juu ya ufahamu wako kuhusu Mungu.

  • @joshuandone468
    @joshuandone468 3 месяца назад

    duh pole

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 3 месяца назад

    Mimi nampenda mzee wa upako. Ni mchungaji makini sana. Yeye mwenyewe hapendi umaskini. Ukisikiliza mahubiri yake ukitoka hapo unakuwa kama mwanajeshi flani. Hata kama una genge lako. Unalipangilia vizuri huku ukiimba wimbo wa mchungaji amba yawe, amba yawe . Wimbo wa ushindi. Nakwambia utatoka tuu
    Huyu ndie mzee wa upako. SUPER CHURCH

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 3 месяца назад +1

    Mungu akusema uzima wa milele huku tumechoka tu maskini. Mungu anataka wanaomwamini wamiliki. Sasa ili uweze kumiliki ni lazima mungu akuinue kiuchumi
    Akupatie utajiri . Maskini hata siku moja hawezi kumiliki wala kuaminiwa.
    Na watu wa Mungu ni lazima watajirike ili mungu ajithihirishe maana Mungu wetu siyo maskini.
    Wazee wetu wakina ibrahim, Yakobo, daudi na wengineo walikufa wakiwa na siku nyingi na utajiri wakumwaga.
    Leo ukristo eti ukiwa maskini wewe ndio wa Mungu. Ukiwa tajiri wewe freemason. Jamani Mungu wetu ni tajiri kinachotakiwa ni kumwamini na kumtii na kumtangaza mbele za watu kwamba yeye Mungu wetu siyo maskini. Na huku tukipiga kazi kwa bidii na kuwa wabunifu. Inawezekana