Moto wa Msigwa Bungeni Leo "Tutaua Tu, Rais Atuambie Ukweli"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 110

  • @serianjamal8254
    @serianjamal8254 5 лет назад +11

    Yaani nampenda huyu m'bunge wa iringa, anafaa sana yaani tunataka viongozi kama hawa . Big up Msigwa

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 6 лет назад +13

    Uko sawa """Peter Msigwa!!!!!!! Hoja za kweli!!!!!!

  • @beatricekiponda4856
    @beatricekiponda4856 6 лет назад +9

    Asante mbunge wangu...Mungu ibariki iringa yetu Mungu mbariki Peter Msigwa Rais wetu wa wana iringa

    • @museand732
      @museand732 6 лет назад

      Beatrice Kiponda a

    • @fadhililihinda6491
      @fadhililihinda6491 6 лет назад +1

      Beatrice Kiponda
      Sorry out of point, unauhusiano na mtu mmoja anaitwa Isa Kiponda?

    • @beatricekiponda4856
      @beatricekiponda4856 6 лет назад

      Asee kina kiponda tuko wengi sana inawezekana ni ndugu yangu ila hatufahamiani,ni MTU wa wapi huyo Issa?

  • @patrickngwaulanga9758
    @patrickngwaulanga9758 6 лет назад +20

    Hakuna Kama wewe iringa hongera sana

  • @rojamgosi1893
    @rojamgosi1893 4 года назад

    Nakukubali San baba msigwa

  • @sifunimsungu3370
    @sifunimsungu3370 4 года назад

    Hongela sana msigwa

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 6 лет назад +1

    Sahihi.kabisaa..ndugu.yang u.mungu akupe afya njemaa

  • @edgarmwakyoma7236
    @edgarmwakyoma7236 6 лет назад +6

    Nice point msigwa!!

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 6 лет назад +17

    Chadema ina hazina kubwa ccm wangesikia ushauri wao tungekuwa mbali sana.

  • @erickmtui1160
    @erickmtui1160 6 лет назад +6

    Sawa kabisa

  • @abdalahramadhan7979
    @abdalahramadhan7979 6 лет назад +2

    msigwaa👌👌👌 hoyeeeee hoyeeer👏👐👍

    • @zakayomgonche6834
      @zakayomgonche6834 4 года назад

      Mhe, msigwa hapo umenena ukweli ila ccm hawapendi waambiwe ukweli

  • @israelpwele5535
    @israelpwele5535 6 лет назад +1

    Msingwaaaa!!! achia ukweli wako mkuuu, saluti kwako

  • @kaayaester9739
    @kaayaester9739 5 лет назад

    UINULIWE JUU SANA MHUNGAJI WA MUNGU PETRO MWANAFUNZI WA JESUS yaani mnajua kuongea ukweli points tupu well done

  • @richardsonmfalo9742
    @richardsonmfalo9742 6 лет назад +1

    Uko vizur sana mbunge wangu

  • @hmjhamza8348
    @hmjhamza8348 6 лет назад +13

    Mh Msigwaaa wewe chumaaaaa

  • @prosperluambano1324
    @prosperluambano1324 4 года назад +1

    Mmmh,,, msingwa noma.

  • @jafarahmad4408
    @jafarahmad4408 4 года назад

    goooooooood dadyyyyyyyy

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 6 лет назад

    asante sana

  • @sitarikogabo637
    @sitarikogabo637 5 лет назад +1

    kweli

  • @sodef2roll21
    @sodef2roll21 5 лет назад +1

    big up

  • @jacksonakirwa6655
    @jacksonakirwa6655 6 лет назад +11

    Sema bw Msigwa hata kama hayatekelezwi lkn ujumbe umefika . Tunahitaji sana watu kama wewe ktk Bunge

  • @emmanuelmadaha1635
    @emmanuelmadaha1635 6 лет назад +1

    Uko vizur ichambulie serikali ikuelewa Kiongozi

  • @maswemachota4840
    @maswemachota4840 4 года назад +1

    UK poa

  • @mtungilandegeya6312
    @mtungilandegeya6312 6 лет назад

    SAFI SANA MH MSIGWA!!!!

  • @josephatmsuya3133
    @josephatmsuya3133 4 года назад +2

    Ndio maana napenda kuckiliza wabunge wa upizan

  • @rudydeda6553
    @rudydeda6553 5 лет назад +4

    kama haumkubar msigwa gonga like twende sawa!

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 4 года назад

    Upinzani ni muhimu sana

  • @ifozatv2513
    @ifozatv2513 6 лет назад +30

    Akili kubwa lyk km nawe umeelewa alichosema msigwa

    • @mwanaharakatimzalendo973
      @mwanaharakatimzalendo973 6 лет назад +1

      Akili za kuelewa ni tofauti ,huenda zako mbovu.

    • @emmalyandi1893
      @emmalyandi1893 6 лет назад +2

      Kama ni kulalamika Msingwa ni mtaalam , si ashauri nn kifanyike
      Haoni mazuri, kweli haoni, basi hakuna haja ya vyama vingi, kama watoto wanaona yeye haoni!!!!!! Au laana

    • @linusmakoti8103
      @linusmakoti8103 6 лет назад +1

      Kinda Tv zabibu zinaoza nchi ya viwanda kunde mbaazi kilo 200 hivi kweli ni nchi ya viwanda kweli?

    • @sobiborexaud3016
      @sobiborexaud3016 6 лет назад

      Linafuraia kuto kulipwa pesa

    • @husseinnyomi6120
      @husseinnyomi6120 4 года назад +1

      Mie narudia wapinzani wanaumuhim sana hakuna mbunge wa cc anae weza ongea hayo watanzania tujifunze

  • @kajanjaahamadi7550
    @kajanjaahamadi7550 6 лет назад

    aisee nakukubar p msigwa

  • @johnisrael1968
    @johnisrael1968 6 лет назад +8

    Mmhh huyu mbunge .nchi yenye vichwa kama hivi ni tunu kwa taifa

    • @vanessagoodluck7176
      @vanessagoodluck7176 6 лет назад

      Tatizo wanatumia uingi wao kupingwa so 2020 tuwabomoe tu

    • @kulwamauma196
      @kulwamauma196 4 года назад +1

      Kichwani kimoja Cha mbunge wa chadema niwabunge Kumi wa cm

  • @sodef2roll21
    @sodef2roll21 5 лет назад

    jac k nakupata

  • @vanessagoodluck7176
    @vanessagoodluck7176 6 лет назад +3

    Mpeni mfano Mh msigwa ni nchi gani inayo fanya mambo kama hayo ?.

  • @smarty1064
    @smarty1064 5 лет назад +1

    Arbitration ipo kwasababu mahakama ina milolongo mingi sasa kama mahakama ndo ziwe arbitrators si balaa litakuwa

  • @hmjhamza8348
    @hmjhamza8348 6 лет назад +4

    Mh Msigwaaaa viwanda vya kuzalisha nini kivipi na kwa ajili ya na nani kwa muda gani???? Industries for what to produce, how to produce , for whom and for how long????? NI MTAZAMO TU KAKA

  • @alexmwita5474
    @alexmwita5474 3 года назад

    Hapo skuafiki utategemea misaada mpakalini

  • @benedictkiteji2222
    @benedictkiteji2222 6 лет назад +2

    ccm NISAWA NAPATASI MPAKAIGONGWE NDIOIFANYEKAZI

  • @welmanadam5727
    @welmanadam5727 6 лет назад +6

    Huwa kila siku natafuta clip za msigwa ili nijifunza kitu!

  • @aibansaidy2286
    @aibansaidy2286 4 года назад

    Wabunge wa upinzani wanavutia kusikiliza, wanaongea point sana.

    • @jacksonmbuni8018
      @jacksonmbuni8018 4 года назад

      Wabungewetu wangekuwa wanashindana kwahoja taifa lingekuwa lahatup lakin ndiyo aaaaaaaaa! Jaman tuheshimu

  • @rajabukimemile7982
    @rajabukimemile7982 4 года назад

    Msigwa tena

  • @ramadhanikakoree3728
    @ramadhanikakoree3728 6 лет назад +8

    Piga kazi msigwa hawa ccm watawaelewa kwn hiii ni point sana kwn wanaharibu hela za serekal kwa kulipa madeni ya ya mikataba tunay0 ivunja huu ni upuuxi waeleze msigwa wasi buruzwe ha0 sm

    • @harrisonsamwel3112
      @harrisonsamwel3112 4 года назад

      ninyi niwapumbavu sana kuna mikataba iliingiwa tanzania inapata asilimia 10 katika 100 alafu hayo makampuni yanapata asilimia 90 katika 100 ssa wwe unaona ni bora kuendelea kuumia kwakupata hyo asilimia 10 kwa miaka 10 au 50 kuliko kuvunja tulie bilion kadhaa ambazo zinapatikana ndani ya mwaka mmoja alafu tuendelee kufaidi mali zetu???? walio ingia mikataba mibovu ni viongozi walio pita huyu anarekebisha tumieni akili mbwa nyie

    • @jacksonmbuni8018
      @jacksonmbuni8018 4 года назад

      Ndio au hapana inaliumiza taifaletu sasaiv wabunge bize na laptop hatakama baya anasema ndyo

  • @zeldamariki4397
    @zeldamariki4397 5 лет назад +1

    Siachi kusoma clips za msiba hata nikiwa nimelala. Zina mafunzo

  • @amidundagala2596
    @amidundagala2596 4 года назад

    Msigwa nimekuelewa umenena Mh.

  • @markosirikwa3874
    @markosirikwa3874 6 лет назад +16

    Yaaan anaempnga huyu jamaa akapmwe akr yaweza kuwa kchaaaa

  • @justinecleophas6299
    @justinecleophas6299 6 лет назад

    yn ww cyo...makin hujaon manufa y lile sakat la makinikia

  • @christopherduyas6505
    @christopherduyas6505 5 лет назад

    We ni Mtu Mhim Sn

  • @abubakarhabibukakanakukuba9359
    @abubakarhabibukakanakukuba9359 4 года назад

    Uwe unawambiya wabunge wengine awajitambuwi

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 6 лет назад +1

    Kwa hiyo wewe Msigwa unataka tuendelee kuiibia na investors tuwaache tu! Kama anakataa kufuata utaratibu wa serikali aende tu. Tusigope eti ni mmarekani ataenda kusema nini kwao. Ni mwizi tu,hawezi kusema ukweli. Atatuchafua tuonekane hivyo, lakini Siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli na ukweli unauma japo hauna meno. Msigwa usipotoshe watanzania na kumtukana Rais. Tungus shida yako.

    • @ibrahimally6455
      @ibrahimally6455 6 лет назад +1

      Kwan wakt mnasain mikataba hamkujua ss mnaivunja iliiweje
      Think big bro wanao mine gold hadi michanga ni haki yao kwamna mikataka inasema wamenunua kipande cha ardhi

  • @michaelamani9883
    @michaelamani9883 6 лет назад

    nafurah sana mbunge wangu

    • @tangafelix854
      @tangafelix854 5 лет назад

      Peter msigwa is a unique politician.

  • @stevenben4431
    @stevenben4431 6 лет назад

    ha haaa msigwa ni shidah! but kakosekana hapo kubwa la madui Tundu mwana wa LIssu angelikuwepo!!!!!!!!!!!!!!!

  • @densarleonard6214
    @densarleonard6214 6 лет назад

    kz mrio nayo nikuirekebisha serikari chapa kazi msingwa

  • @manyweletheboss6053
    @manyweletheboss6053 6 лет назад

    yoteee yamegonga ukuta

  • @sixanthony812
    @sixanthony812 6 лет назад

    Yaweza

  • @raphaelmogella9088
    @raphaelmogella9088 6 лет назад +4

    Acha ujinga ww

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 6 лет назад +1

    upinzan stress ,muda wote nikuongea kwa hasila hadi mishipa inachomoza kwenye shingo ,ukiwa upinzan jitahid kurelax some time hoja inasikilizwa presure ya nn ,big up bila nyie hakuna mabadiliko nchi hii upinzan oyeeee

  • @rudydeda6553
    @rudydeda6553 5 лет назад +3

    unaongea upuuzi tuu hata aibu tuu huna we inabd ukapime macho huenda maendeleo ya nchi ii huyaon mafisad wakubwa nyie

  • @simpetful
    @simpetful 6 лет назад +2

    Katika watu waliochoka sasa Mchungaji kwisha kazi,maarifa na hekima sa sa zero kama alisoma hiyo shule sasa ifungwe huyu mamruki asiye jitambua nahama chama kuanzia sasa narudi cmm ,kumbe kichwa kikubwa cha bure

  • @abdalahramadhan7979
    @abdalahramadhan7979 6 лет назад +1

    msigwaa👌👌👌 hoyeeeee hoyeeer👏👐👍

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 6 лет назад +16

    Chadema ina hazina kubwa ccm wangesikia ushauri wao tungekuwa mbali sana.