Kama ni kulalamika Msingwa ni mtaalam , si ashauri nn kifanyike Haoni mazuri, kweli haoni, basi hakuna haja ya vyama vingi, kama watoto wanaona yeye haoni!!!!!! Au laana
Mh Msigwaaaa viwanda vya kuzalisha nini kivipi na kwa ajili ya na nani kwa muda gani???? Industries for what to produce, how to produce , for whom and for how long????? NI MTAZAMO TU KAKA
Piga kazi msigwa hawa ccm watawaelewa kwn hiii ni point sana kwn wanaharibu hela za serekal kwa kulipa madeni ya ya mikataba tunay0 ivunja huu ni upuuxi waeleze msigwa wasi buruzwe ha0 sm
ninyi niwapumbavu sana kuna mikataba iliingiwa tanzania inapata asilimia 10 katika 100 alafu hayo makampuni yanapata asilimia 90 katika 100 ssa wwe unaona ni bora kuendelea kuumia kwakupata hyo asilimia 10 kwa miaka 10 au 50 kuliko kuvunja tulie bilion kadhaa ambazo zinapatikana ndani ya mwaka mmoja alafu tuendelee kufaidi mali zetu???? walio ingia mikataba mibovu ni viongozi walio pita huyu anarekebisha tumieni akili mbwa nyie
Kwa hiyo wewe Msigwa unataka tuendelee kuiibia na investors tuwaache tu! Kama anakataa kufuata utaratibu wa serikali aende tu. Tusigope eti ni mmarekani ataenda kusema nini kwao. Ni mwizi tu,hawezi kusema ukweli. Atatuchafua tuonekane hivyo, lakini Siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli na ukweli unauma japo hauna meno. Msigwa usipotoshe watanzania na kumtukana Rais. Tungus shida yako.
Kwan wakt mnasain mikataba hamkujua ss mnaivunja iliiweje Think big bro wanao mine gold hadi michanga ni haki yao kwamna mikataka inasema wamenunua kipande cha ardhi
upinzan stress ,muda wote nikuongea kwa hasila hadi mishipa inachomoza kwenye shingo ,ukiwa upinzan jitahid kurelax some time hoja inasikilizwa presure ya nn ,big up bila nyie hakuna mabadiliko nchi hii upinzan oyeeee
Katika watu waliochoka sasa Mchungaji kwisha kazi,maarifa na hekima sa sa zero kama alisoma hiyo shule sasa ifungwe huyu mamruki asiye jitambua nahama chama kuanzia sasa narudi cmm ,kumbe kichwa kikubwa cha bure
Yaani nampenda huyu m'bunge wa iringa, anafaa sana yaani tunataka viongozi kama hawa . Big up Msigwa
Uko sawa """Peter Msigwa!!!!!!! Hoja za kweli!!!!!!
Getaro Magaiwa
Kweli Mkwawa aliacha watu Iringa, Mmoja waoni Msigwa. Big up!
Asante mbunge wangu...Mungu ibariki iringa yetu Mungu mbariki Peter Msigwa Rais wetu wa wana iringa
Beatrice Kiponda a
Beatrice Kiponda
Sorry out of point, unauhusiano na mtu mmoja anaitwa Isa Kiponda?
Asee kina kiponda tuko wengi sana inawezekana ni ndugu yangu ila hatufahamiani,ni MTU wa wapi huyo Issa?
Hakuna Kama wewe iringa hongera sana
Nakukubali San baba msigwa
Hongela sana msigwa
Sahihi.kabisaa..ndugu.yang u.mungu akupe afya njemaa
Nice point msigwa!!
Chadema ina hazina kubwa ccm wangesikia ushauri wao tungekuwa mbali sana.
Sawa kabisa
Erick Mtui
msigwaa👌👌👌 hoyeeeee hoyeeer👏👐👍
Mhe, msigwa hapo umenena ukweli ila ccm hawapendi waambiwe ukweli
Msingwaaaa!!! achia ukweli wako mkuuu, saluti kwako
UINULIWE JUU SANA MHUNGAJI WA MUNGU PETRO MWANAFUNZI WA JESUS yaani mnajua kuongea ukweli points tupu well done
Uko vizur sana mbunge wangu
Mh Msigwaaa wewe chumaaaaa
Mmmh,,, msingwa noma.
Mh msingwa nakukubali Sana Sana Sana Sana
goooooooood dadyyyyyyyy
asante sana
kweli
big up
Sema bw Msigwa hata kama hayatekelezwi lkn ujumbe umefika . Tunahitaji sana watu kama wewe ktk Bunge
Jackson Akirwa
Uko vizur ichambulie serikali ikuelewa Kiongozi
UK poa
SAFI SANA MH MSIGWA!!!!
Ndio maana napenda kuckiliza wabunge wa upizan
Kbx
kama haumkubar msigwa gonga like twende sawa!
Upinzani ni muhimu sana
Akili kubwa lyk km nawe umeelewa alichosema msigwa
Akili za kuelewa ni tofauti ,huenda zako mbovu.
Kama ni kulalamika Msingwa ni mtaalam , si ashauri nn kifanyike
Haoni mazuri, kweli haoni, basi hakuna haja ya vyama vingi, kama watoto wanaona yeye haoni!!!!!! Au laana
Kinda Tv zabibu zinaoza nchi ya viwanda kunde mbaazi kilo 200 hivi kweli ni nchi ya viwanda kweli?
Linafuraia kuto kulipwa pesa
Mie narudia wapinzani wanaumuhim sana hakuna mbunge wa cc anae weza ongea hayo watanzania tujifunze
aisee nakukubar p msigwa
Mmhh huyu mbunge .nchi yenye vichwa kama hivi ni tunu kwa taifa
Tatizo wanatumia uingi wao kupingwa so 2020 tuwabomoe tu
Kichwani kimoja Cha mbunge wa chadema niwabunge Kumi wa cm
jac k nakupata
Mpeni mfano Mh msigwa ni nchi gani inayo fanya mambo kama hayo ?.
Arbitration ipo kwasababu mahakama ina milolongo mingi sasa kama mahakama ndo ziwe arbitrators si balaa litakuwa
Mh Msigwaaaa viwanda vya kuzalisha nini kivipi na kwa ajili ya na nani kwa muda gani???? Industries for what to produce, how to produce , for whom and for how long????? NI MTAZAMO TU KAKA
Hapo skuafiki utategemea misaada mpakalini
ccm NISAWA NAPATASI MPAKAIGONGWE NDIOIFANYEKAZI
Huwa kila siku natafuta clip za msigwa ili nijifunza kitu!
Wabunge wa upinzani wanavutia kusikiliza, wanaongea point sana.
Wabungewetu wangekuwa wanashindana kwahoja taifa lingekuwa lahatup lakin ndiyo aaaaaaaaa! Jaman tuheshimu
Msigwa tena
Piga kazi msigwa hawa ccm watawaelewa kwn hiii ni point sana kwn wanaharibu hela za serekal kwa kulipa madeni ya ya mikataba tunay0 ivunja huu ni upuuxi waeleze msigwa wasi buruzwe ha0 sm
ninyi niwapumbavu sana kuna mikataba iliingiwa tanzania inapata asilimia 10 katika 100 alafu hayo makampuni yanapata asilimia 90 katika 100 ssa wwe unaona ni bora kuendelea kuumia kwakupata hyo asilimia 10 kwa miaka 10 au 50 kuliko kuvunja tulie bilion kadhaa ambazo zinapatikana ndani ya mwaka mmoja alafu tuendelee kufaidi mali zetu???? walio ingia mikataba mibovu ni viongozi walio pita huyu anarekebisha tumieni akili mbwa nyie
Ndio au hapana inaliumiza taifaletu sasaiv wabunge bize na laptop hatakama baya anasema ndyo
Siachi kusoma clips za msiba hata nikiwa nimelala. Zina mafunzo
Msigwa nimekuelewa umenena Mh.
Yaaan anaempnga huyu jamaa akapmwe akr yaweza kuwa kchaaaa
Nkwel kabsa
Kat ya ww na yeye nan kichaa mm nahis kichaa
Marko Sirikwa wewe achakushabikia kamaunaona mpira uu
Pamoja kamanda
Kajipime mwenyewe
yn ww cyo...makin hujaon manufa y lile sakat la makinikia
We ni Mtu Mhim Sn
Uwe unawambiya wabunge wengine awajitambuwi
Kwa hiyo wewe Msigwa unataka tuendelee kuiibia na investors tuwaache tu! Kama anakataa kufuata utaratibu wa serikali aende tu. Tusigope eti ni mmarekani ataenda kusema nini kwao. Ni mwizi tu,hawezi kusema ukweli. Atatuchafua tuonekane hivyo, lakini Siku zote ukweli utabaki kuwa ukweli na ukweli unauma japo hauna meno. Msigwa usipotoshe watanzania na kumtukana Rais. Tungus shida yako.
Kwan wakt mnasain mikataba hamkujua ss mnaivunja iliiweje
Think big bro wanao mine gold hadi michanga ni haki yao kwamna mikataka inasema wamenunua kipande cha ardhi
nafurah sana mbunge wangu
Peter msigwa is a unique politician.
ha haaa msigwa ni shidah! but kakosekana hapo kubwa la madui Tundu mwana wa LIssu angelikuwepo!!!!!!!!!!!!!!!
kz mrio nayo nikuirekebisha serikari chapa kazi msingwa
yoteee yamegonga ukuta
Yaweza
Namkubali sana huyu mbuge
Ninekuwa nakubaliwa kuja bungeni mm nakuja
Acha ujinga ww
Aache ujinga au ww ndo uache ujinga
Mjinga baba yako
Point
upinzan stress ,muda wote nikuongea kwa hasila hadi mishipa inachomoza kwenye shingo ,ukiwa upinzan jitahid kurelax some time hoja inasikilizwa presure ya nn ,big up bila nyie hakuna mabadiliko nchi hii upinzan oyeeee
Natumaini hata shule ulifeli wew mwasa
Acha ushamba ww, rudi shule
ahaaaaaaaaaaa😁
unaongea upuuzi tuu hata aibu tuu huna we inabd ukapime macho huenda maendeleo ya nchi ii huyaon mafisad wakubwa nyie
Katika watu waliochoka sasa Mchungaji kwisha kazi,maarifa na hekima sa sa zero kama alisoma hiyo shule sasa ifungwe huyu mamruki asiye jitambua nahama chama kuanzia sasa narudi cmm ,kumbe kichwa kikubwa cha bure
Kivipi yaan kaongea kitu gan kibaya
Simon Peter msikilize vizuri utamuelewa! This man is very smart
Hama
sana Tanzania yataka watu kama hao wenye uchungu na nchi yao
Simon Peter
msigwaa👌👌👌 hoyeeeee hoyeeer👏👐👍
Hoyeee
Chadema ina hazina kubwa ccm wangesikia ushauri wao tungekuwa mbali sana.
Msigwa shikamoo
ssa alichoongea cha maana hapo kipi?
Yap
Tunakuelewa sana kiongozi