Mungu mwema sanaaaa nimekuwa Mlevi wa mafundisho yako,,,,,,lakini ukichanganya luga ya kigeni mimi munaniacha njia panda basi ombi langu kwako ndugu katika imani ya kristo basi angalau unaiongea kwakuga ya kwetu watanzania tulio izoea
Mchungaji mbagga na kiu ya kuzungumza na ww walau nipate ushauri juu changamoto yangu maana naamn utakachonijibu ndioo litakuwa jibu katika maisha yangu
Nimesikia sauti ya MUNGU ikizungumza na Mimi Asante sana MUNGU nimejua ninakosea wapi? MUNGU endelea kumbariki pr mmbaga katika mambo yote🙏🙏🙏🙏🙏
Ulikuja kututoa utumwani mwa shetani, mungu wetu asifiwe milele kwa kukutumia pastor wetu mpendwa mmbaga
MUNGU akubariki sana pastor.
Amen 🙏
Mungu azidi kukuvika nguvu nakukulinda
Mungu mwema sanaaaa nimekuwa Mlevi wa mafundisho yako,,,,,,lakini ukichanganya luga ya kigeni mimi munaniacha njia panda basi ombi langu kwako ndugu katika imani ya kristo basi angalau unaiongea kwakuga ya kwetu watanzania tulio izoea
Mungu akubariki pr. Mbaga. 🙏🙏
Mchungaji mbagga na kiu ya kuzungumza na ww walau nipate ushauri juu changamoto yangu maana naamn utakachonijibu ndioo litakuwa jibu katika maisha yangu
Na naamini mungu atanitendea na amejibu maomba kama binadamu cjatambua lipi ni jibu sahihi lkn mchungaji naamn una majibu yangu
Amen Mchungaji. Lkn Ukumbuke kile kipindi chetu cha natuombe tumekimisss
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Pastor mungu akibariki lakini mtumishi niombee pia naumwa
What a good sermon!!! may God bless you for a good sermon pastor mbaga
barikiwa
Amen
Tunabarikiwa sana na huduma zako Pastor
Amen 🙏 ❤
AMEN
Namulew huyu mchungaji
Barikiwa kwa ujumbe makini Pr wa matumaini
Pr tunakupata vizuri tukiwa kenya❤❤
Amen
Losi NI Almonds
Sasa kama unakunywa dawa je
Amen Mchungaji. Lkn Ukumbuke kile kipindi chetu cha natuombe tumekimisss