MALANGO SEHEMU YA 2 (NGUVU YA SADAKA) - PASTOR JOHN SEMBATWA
HTML-код
- Опубликовано: 14 май 2022
- UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HIZI : +255 657 173 322 AU +255 764 888 810
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: ruclips.net/channel/UC67L...
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RUclips
/ @pastorsunbellakyando
#RealityofChrist #PastorSunbellaKyando #PastorJohnSembatwa
Ameen Ameen Ameen
Hakuna lango lolote la adui litakalo nizuia katika jina Yesu 🙏🙏🙏
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu azidi kukutumia katika kazi yake ni SINCCLAIR ROSE kutokaa ruvu
Sholom sholom wapendwa
Amen 🙏
Nimeshavuka hayo malango katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth Alie hai Amina
Amen. Asante bwana yesu kwa ujumbeee huuu. Asante kwajili ya mtumishi wako. Mungu nikumbuke na mimi nivuke
Natoka porini Kwa Kina la Yesu kristo.niko kenya
Ujumbe wa baraka Mungu anikumbuke
From Kenya such ablessing msg God who created heavens of heavens bless you mightly servant of God.
Amen Mungu nkumbuke na mm nivuke
Bwana yesu nakupa sifa mtumishi lazima lango liondolewe
Mtumishi wa Mungu barikiwa sana, ni lazima tuvuke hayo malango kwa jin
J4 ya mwaka gani na mwezi gani jaman huu muujiza usinipite? Imeshapita au bado
Nakama imepita lini tena mtakuja Arusha?
@@esterfrank4384 leo wapo Arusha mpendwa usikose
mungu akubariki sana mtumishi kwani unatufungua ktk vifungo vingi sana ss wa mbali
@@esterfrank4384 Tuna ibada Arusha kila siku ya Jumanne kuanzia saa kumi kamili jioni pale CAMARTEC, LIFE FITNESS HALL NJIRO mkabala na GENERAL TYRE.
Karibu sana.
mtumishi napohitaji contact nawe natumia njia ipi mungu azidi kukubariki sana
Unaweza kuwasiliana nasi kwa ujumbe mfupi (message) kupitia number ya Huduma ambayo ni 0657 173 322 na message yako itafanyiwa kazi. Karibu sana.
nimetuma sana kwenye iyo namba SMS na WhatsApp lakini majbu hayapatikani jaribu kuchunguza nimeona wengi pia wansema hivyo fanyia kazi mtumishi wetu tunawapenda mno na mungu awabariki sana kwa hii huduma
Bwana yesu asifiwe ameni naomba ikiwezekana nisaidie na contract yako ni rev jonathani kutoka kenya
@@jonathanimuli203 Shalom kama unaweza weka contract yako wewe