MALANGO SEHEMU YA 2 (NGUVU YA SADAKA) - PASTOR JOHN SEMBATWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2022
  • UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HIZI : +255 657 173 322 AU +255 764 888 810
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our RUclips: ruclips.net/channel/UC67L...
    Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
    and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RUclips
    / @pastorsunbellakyando
    #RealityofChrist #PastorSunbellaKyando #PastorJohnSembatwa

Комментарии • 22

  • @anithawisdom1165
    @anithawisdom1165 2 года назад +1

    Ameen Ameen Ameen

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Год назад

    Hakuna lango lolote la adui litakalo nizuia katika jina Yesu 🙏🙏🙏

  • @karynemassao9052
    @karynemassao9052 2 года назад

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu azidi kukutumia katika kazi yake ni SINCCLAIR ROSE kutokaa ruvu

  • @anithawisdom1165
    @anithawisdom1165 2 года назад

    Sholom sholom wapendwa

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 2 года назад +1

    Amen 🙏

  • @hassanbukambu931
    @hassanbukambu931 2 года назад

    Nimeshavuka hayo malango katika jina la Yesu Kristo wa Nazareth Alie hai Amina

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 2 года назад

    Amen. Asante bwana yesu kwa ujumbeee huuu. Asante kwajili ya mtumishi wako. Mungu nikumbuke na mimi nivuke

  • @Diana-vg1mv
    @Diana-vg1mv 2 года назад

    Natoka porini Kwa Kina la Yesu kristo.niko kenya

  • @Diana-vg1mv
    @Diana-vg1mv 2 года назад

    Ujumbe wa baraka Mungu anikumbuke

  • @irenejuma7286
    @irenejuma7286 2 года назад

    From Kenya such ablessing msg God who created heavens of heavens bless you mightly servant of God.

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 2 года назад

    Amen Mungu nkumbuke na mm nivuke

  • @deborahogega4600
    @deborahogega4600 2 года назад

    Bwana yesu nakupa sifa mtumishi lazima lango liondolewe

  • @user-pn7yh9ob8m
    @user-pn7yh9ob8m 2 года назад +1

    Mtumishi wa Mungu barikiwa sana, ni lazima tuvuke hayo malango kwa jin

    • @esterfrank4384
      @esterfrank4384 2 года назад

      J4 ya mwaka gani na mwezi gani jaman huu muujiza usinipite? Imeshapita au bado
      Nakama imepita lini tena mtakuja Arusha?

    • @felisterosward2145
      @felisterosward2145 2 года назад

      @@esterfrank4384 leo wapo Arusha mpendwa usikose

    • @blandinampita7015
      @blandinampita7015 2 года назад

      mungu akubariki sana mtumishi kwani unatufungua ktk vifungo vingi sana ss wa mbali

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  2 года назад

      @@esterfrank4384 Tuna ibada Arusha kila siku ya Jumanne kuanzia saa kumi kamili jioni pale CAMARTEC, LIFE FITNESS HALL NJIRO mkabala na GENERAL TYRE.
      Karibu sana.

  • @blandinampita7015
    @blandinampita7015 2 года назад

    mtumishi napohitaji contact nawe natumia njia ipi mungu azidi kukubariki sana

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  2 года назад +1

      Unaweza kuwasiliana nasi kwa ujumbe mfupi (message) kupitia number ya Huduma ambayo ni 0657 173 322 na message yako itafanyiwa kazi. Karibu sana.

    • @blandinampita7015
      @blandinampita7015 2 года назад

      nimetuma sana kwenye iyo namba SMS na WhatsApp lakini majbu hayapatikani jaribu kuchunguza nimeona wengi pia wansema hivyo fanyia kazi mtumishi wetu tunawapenda mno na mungu awabariki sana kwa hii huduma

    • @jonathanimuli203
      @jonathanimuli203 Год назад

      Bwana yesu asifiwe ameni naomba ikiwezekana nisaidie na contract yako ni rev jonathani kutoka kenya

    • @blandinampita7015
      @blandinampita7015 Год назад

      @@jonathanimuli203 Shalom kama unaweza weka contract yako wewe