SIRI YAFICHUKA KUKAMILIKA MRADI WA DARAJA LA KIGONGO - BUSISI, WAZIRI APIGA KAMBI/AMTAJA RAIS SAMIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #jpmagufuli #darajalamagufulikigongo #raissamiasuluhuhassan #wananchi #wazirimkuu #waziriwaujenzi #wizarayaujenzi #innocentbashungwa #godfreykasekenya #naibuwaziriwaujenzi #ikulumawasiliano #viongoziwaccm #wazirimkuu #kassimmajaliwa #katibampya #newsupdatemedia #habarimpya #jeshilapolisi #wananchi #paulmakonda #tanzaniayetu #mwanza #ccmmwanza #mnecraft #ayotv #wasafimedia #mjinformation #jamiitvupdates #rcmakalla #raissamiasuluhuhassan #habarimpya #globalonlinetv #ikulumawasiliano #zanzibar #maji #kwetutalantatv

Комментарии • 12

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 8 месяцев назад +1

    Naifurahia nchi yangu Tanzania kwa kasi kubwa ya mabadiliko ya muundo mbinu 🎉❤❤🎉

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 7 месяцев назад

    Daraja likikamilika kwa wakati hiyo ni milage kwa Taifa hususani mwaka huu wa 2024! Watu wanataka kuona mafanikio na wala siyo siasa. Kama Rais wetu analipa kwa wakati, je consultants mnao uzalendo wa kuona mradi unaisha kwa wakati? Maana kila kuchelewa kunaligharimu taifa letu na walipa kodi wetu ambao uwezo wao bado uko chini. Wahandisi wasiangalie matumbo yao tu! Vikao vingi havileti tija yoyote ile TANROADS acheni uswahili.

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 8 месяцев назад +1

    Mwaka 2024 Watanzania tunaweza kushuhudia kukamilika kwa miradi mikubwa ya kimkakati Kama hili Daraja,Barabara za Mwendokasi jijini Dar,Bwawa la Umeme Rufiji na Rusumo na kuanza kwa safari za Train za Abiria za SGR kati ya Dar kwenda Dodoma🎉🎉🎉

  • @amondickson5110
    @amondickson5110 8 месяцев назад

    Jaman mtumalizie daraja Wana mwanza tufurah👍👍👍

  • @kiolodo3
    @kiolodo3 7 месяцев назад

    Tafuten drone sio kuonyesha kwa staili hii

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 8 месяцев назад +1

    Kukamilika lini mlisema February 2024 mbona waongo ...mnakagua nini utapeli tu...

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 8 месяцев назад

    Mbona miradi haikamiliki?

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 8 месяцев назад

    Dahh Nimekusikia vzr mwezi wa kumi?

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 8 месяцев назад

    Maliza kazi tafadhali

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 8 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 8 месяцев назад

    Malizene bc mbona hatuwaelewi?

    • @DeogratiasPande
      @DeogratiasPande 8 месяцев назад

      hatutaki maneno tunatak daraja tupite na muwennaukweli hatutaki siasa wekeni JKT WALINDE VIFAA KWANI HAMJAWEKA BIMA YA WIZI NA MOTO