SIRI YAFICHUKA KUKAMILIKA MRADI WA DARAJA LA KIGONGO - BUSISI, WAZIRI APIGA KAMBI/AMTAJA RAIS SAMIA
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- #jpmagufuli #darajalamagufulikigongo #raissamiasuluhuhassan #wananchi #wazirimkuu #waziriwaujenzi #wizarayaujenzi #innocentbashungwa #godfreykasekenya #naibuwaziriwaujenzi #ikulumawasiliano #viongoziwaccm #wazirimkuu #kassimmajaliwa #katibampya #newsupdatemedia #habarimpya #jeshilapolisi #wananchi #paulmakonda #tanzaniayetu #mwanza #ccmmwanza #mnecraft #ayotv #wasafimedia #mjinformation #jamiitvupdates #rcmakalla #raissamiasuluhuhassan #habarimpya #globalonlinetv #ikulumawasiliano #zanzibar #maji #kwetutalantatv
Naifurahia nchi yangu Tanzania kwa kasi kubwa ya mabadiliko ya muundo mbinu 🎉❤❤🎉
Daraja likikamilika kwa wakati hiyo ni milage kwa Taifa hususani mwaka huu wa 2024! Watu wanataka kuona mafanikio na wala siyo siasa. Kama Rais wetu analipa kwa wakati, je consultants mnao uzalendo wa kuona mradi unaisha kwa wakati? Maana kila kuchelewa kunaligharimu taifa letu na walipa kodi wetu ambao uwezo wao bado uko chini. Wahandisi wasiangalie matumbo yao tu! Vikao vingi havileti tija yoyote ile TANROADS acheni uswahili.
Mwaka 2024 Watanzania tunaweza kushuhudia kukamilika kwa miradi mikubwa ya kimkakati Kama hili Daraja,Barabara za Mwendokasi jijini Dar,Bwawa la Umeme Rufiji na Rusumo na kuanza kwa safari za Train za Abiria za SGR kati ya Dar kwenda Dodoma🎉🎉🎉
Jaman mtumalizie daraja Wana mwanza tufurah👍👍👍
Tafuten drone sio kuonyesha kwa staili hii
Kukamilika lini mlisema February 2024 mbona waongo ...mnakagua nini utapeli tu...
Mbona miradi haikamiliki?
Dahh Nimekusikia vzr mwezi wa kumi?
Maliza kazi tafadhali
❤❤❤
Malizene bc mbona hatuwaelewi?
hatutaki maneno tunatak daraja tupite na muwennaukweli hatutaki siasa wekeni JKT WALINDE VIFAA KWANI HAMJAWEKA BIMA YA WIZI NA MOTO