Mwanamke anaweza kufanya vitu 5 kwa wakati tofauti na mwanaume...angalia hapo.. 1.dada anapakua 2.anatangaza shishi food 3.Anaongea na wapakuaji 4.Anapokea maelekezo 5.Anazungumzia mahusiano yake
Mashallah Shilole wangu nampenda huyu dada mimi kwa kupambana kwake kwenye maisha Allah akulinde dada Zuwena na hasad za walimwengu nne na akudumishe kwenye mahusiano yako na Romy three D Na muingie kwenye nusu ya dini (Ndoa)msibabaishwe na maneno ya waja hata ingetokea wewe mkubwa kwa romy isingekuwa ajabu mbona MTUME WETU MUHAMMAD S.A.alimuoa bii khadija alikuwa mkubwa MTUME mdogo na alikuwa kazidiwa na kipato lakini waliishi kwa upendo na amani na walidumu kwa hiyo achaneni na maneno mengi ya waja wenye bando za jero
Tunaompenda shishi kama mimi tujuane
Hatamimi nampenda sana dada mie shishi baby from tabora igunga
Mimi nampendaa Sana uyu dada
Msukuma uyo kachangamka
Nothing mazee kasema kikenya au arusha
Tunaisubil pilau na ndowa laja
Yn shishi mm nampenda jmn ajisikii jmn uyu Dada
Mashaallah, shilole mungu akuhifadhi inshaallah, mwanamke mpishi wa kweli
Being yourself it's priceless, nakupenda bure shishi, * Happiness is everything
Kwakweli nimeipenda hiyo Sunnah ya kuanza kuwalisha watoto kabla ya wakubwa. Na ndivyo alivyo sema mtume Muhammad (saw).
Mengine tuwaambie wao.
ruclips.net/video/hm8zssDlJ_w/видео.html
Sunnah kwenye uzinifu
@@salimdzuya5480 wewe hujawai zini
@@salimdzuya5480 😃😃😃😃😃😃
@@salimdzuya5480 hajasemea ktk uznifu kasemea ktk kula,hzo ni ulivyoelewa wewe
Namoenda shishi ile mbaya. Km na ww unampenda gonga like hapo
I love you shilole
Wow beautiful
Nakukubali Sana shishi
Asiejua changamoto za mapishi hawez kukuelewa
Shishi nakupenda bule mcheshi ujuwi kukasilika mwaya
Happiness is everysiiiiing🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda bure wewe dada, hasa Cha kutokulinga🥰🥰🥰😘
Mwanangu nguo hiyo imekupendeza sana safi.
Mwanangu safi sana plau hilo,waambie waambie mama Wazee wanini wewe mzee,wazee sisi hapa
Mwanamke anaweza kufanya vitu 5 kwa wakati tofauti na mwanaume...angalia hapo..
1.dada anapakua
2.anatangaza shishi food
3.Anaongea na wapakuaji
4.Anapokea maelekezo
5.Anazungumzia mahusiano yake
😂kabisaa
Wanawake.tunaweza kwakwel
Wanawake💪
😂😂😂
@@felixjohn2694 rd0ff
From 🇧🇮 Saudia mashaallah 😘
Upo Saudia sehemu gani naomba number yako
@@sanyolee1396 natumia jina hilohilo Sarah Ally
@@sanyolee1396 nimevaa miwani
Akianani shishi unanikoshaga mie nakupenda bure kianani Allah akupe maisha marefu Dada etu 🙏🙏
Nakukubali sana shish mpambanaj
Sisi kama ma shekhe ongeza nyama ase afu shishi mitano tena😂😂😂
😁😁
😃😃😃😃😃
😂😂😂😂
Pilau na sotojoo dah nimemiss hiloo😍👌👌👌
Mama ntilie mwenye viwango vyake😂😂😂
Nakukubali sana sister
Alwah akubariki sana ktk kazi zako Ameen
Amin
nampenda uyu dada mm
Mashallah shishi
Safi San dada
Love you shishi uko so real🙏❤
Shishi ni binti mdogo ni mwili tu ndio likubwa. Na ali zaa mapema
Mh!
Kwelii lkn
Amezeeka wacha zako
Watu mkiona watu wanene ndo ukubwa ila vyembamba vidogo wakat mtu mzima muangalie usoni walivyokomaw
@@linahsemindu4261 Linah Amesema
Shishi hodari mashalllah
Shishi hongera kwa kuipenda kazi yako nakupenda bule
Mashallah Shilole wangu nampenda huyu dada mimi kwa kupambana kwake kwenye maisha Allah akulinde dada Zuwena na hasad za walimwengu nne na akudumishe kwenye mahusiano yako na Romy three D Na muingie kwenye nusu ya dini (Ndoa)msibabaishwe na maneno ya waja hata ingetokea wewe mkubwa kwa romy isingekuwa ajabu mbona MTUME WETU MUHAMMAD S.A.alimuoa bii khadija alikuwa mkubwa MTUME mdogo na alikuwa kazidiwa na kipato lakini waliishi kwa upendo na amani na walidumu kwa hiyo achaneni na maneno mengi ya waja wenye bando za jero
Hongera shishi unabidii sana MashaAllah
Mwanake kujituma love u dashishi bby 💖💖💖💖💖💖💖👍
Jmn nampenda Sana shishi mungu akuweke miaka buka dada angu love you so much 💔💔
Mashallah nimeikumbali sana sana sholole
Mashehe nyama mbili mbili na kiaz kimoja tu😄..tuelewane apo😅
😀😀😀
😀😀😀😀
😃😃😃😃😃😃
@@naamohamed9964😂😂😂
Haki nimecheka, ugomvi Ndio unaanzia apo
Nakupenda Zuwena ❤️❤️❤️❤️
Nakupenda sana Shilole
😂😂😂😂😂😂 aisee madam shishi wewee😂😂😂
Yani Shishi kufanana na dada angu AYSHA hadi kuongea, hadi mihela daah
Happiness z everything shishi
Masha allah dd yangu nakupenda san
Ma nshaa Allah
OK nice
Hi, upo nchi gani? Kama hutojali.
Allah azid I kukufungulia inshaa Allah🙏🙏🙏
Da ilo pilau tamu hatar,,mmh ndo ugonjwa wang uwo pilau,,
Umekula?
Hongera da zuu
Shilole: She manyembili! Eeh nimekosea...
Mtangazaji:☺😁😂
😀😀😀
Big kapagawa haelewi
Kwa kweli dd shishi onger ww n mpambanaji, wala hujivungi
Mashaalah
Nampenda sna shishi
Much love shishi from kenya🇰🇪
Kanichekesha alivosema tutakula pilau sio arubaini 😂😂😂🤣
ruclips.net/video/hm8zssDlJ_w/видео.html
Nakupenda buree shishi
Nampenda. Dada. Shishi
Huyu Bi Dada aiseee hatarii sana kwa upikaji wake wa kari hakika ni mkali.swadakta shishi food for life
Kula hadi kujigaraza kwa kiazi kimoja na mfupa au hiyo mifupa ni ma shekhe peke yao na the wanafunzi wa madrsa wengine buffet
I love shish sz yagu
Nimecheka mashekh nyama mbili ugomvi utaanzia hapo.khaaaaaa
Nakupenda bure
You are doing a good job I would to know how to donate to your good work feeding people
Manshallah manshallah manshallah iki kipande cha sheikh nakipenda bure dd shishy nakupenda bure
So proud of you Shilole 1❤ peace
Hongera shishi
Shishi nakupenda bure
Aron kazi wnayo
Shishi nakupenda sana
Mashaallah Shilole umekonda sana...
Mashekhe nyama mbili mbili 🤩🤩🤩
Mashallah. Congratulation dada ume nifuhisha sana 🤣🤣🤣 na maa sheikh
Nc one
Nakupenda vile ulivyo
Mkubwa fella kafata nn jikoni? 😀😀
Hahaha kfuata sinia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
shilole anaweza100%100
Nimeshindwa kujizuia kucheka jmn😄😄😄😄😄😄😄😄mashehe mnapedwa👌👌👌
Enyewe lizee la nini mara lime meza Viagra zika zimisha uende jela bure. Mara mko kitandani mashine imegoma 😂.
😂😂😂😂😂😂! Umenichekesha sana
🤣😂😂🤣🤣🤣
Alichosema shishi chakula cha kuombewa n noma ukichota kidogo utakula na utabakisha
Shishi nakupenda nipe tuu no yako nakupenda bure Dadangu uko poa sana zaidi ya sana 💕💕💕💕💕💕🙏
Mimi nakupenda sana
Namkubali Sana shilole ni bonge moja la mwanamke mpambanaji ni mfano wakuigwa
Shishi nakupenda bureeeeeeeee
shishi nakupenda mwayaa naomba nije dar nikuona ddngu unifundishe biashara jamani loh kingereza sasa🤣🤣😘❤❤❤👌
Njoo nikufundishe
@@yunusrnb5227 inshallah
Asantee shishi wangu na mie wangu yupo kama wako tu pambee oyoooo
Waswahili bwana..hivi mliambiwa au mliona wapi pilau ikatiwa mchuzi juu..mnaaribu upishi
Ule si mchuz ile ni shata shata acha ushamba wew
@@husseinmaingo7116 mshamba wewe na hyo mpishi...mtachekwa kama hamjui pilau inaendana na nini?..ulizeni mtafahamishwa usidakie gari kwa mbele..
Nyie ndo wale wale ndo maana cku mbil 3 mnaachwa
Nakupenda sana shishi mcheshi mkarimu hujui kununa mzur pia hongera sana😘😘
Aroni atakoma
😃😃😃😃😃
Huyu ndio Shishi baby,kabla ya kupika anakiombea chakula watu wale wabakishe😀😀😀😀
Wario tamani msosi tujuane
😂😂😂mim uyo
Mimi huyo
Love u bi mzuri shishi❤❤
Super woman herself
Nakupenda da shishi
Kwani mashekhe walienda wangapi. Yani sichoki kuangalia hii clip. Raha ya shehe mfupa 😂
Maashaa Allah
Leta sinia Hilo chap chap hongera shishi mwanamke kujiamini
mashllh shishi nakupenda bureee.
Nimecheka kwa sauti mashekhe nyama mbili nakiazi kimoja😂😂😂😂
😃😃😃😃na mashekh Ndioo wanavyotaka hivyo kula ubwabwa
Shilolee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣happiness is everising"huhuhuhuhuhu😂🙌
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰😭😭🤣
😂😂😂😂wazehe wana kisukali na pressure 😂😂😂huwezek we shishi😂😂😍
😂😂 happiness is everything wakuache 40 yako soon as possible 👌👌👌
Shilole Dada nakupenda Dada angu mungu azidi kukupa
Shishi nakupenda sana ww ni mkweli
mashallah shishi nampenda sana kwanza beautiful cute sana
Aronii atakoma leoo🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆
🤣🤣🤣🤣 umeonaaa eee!
Chakula kitamu hichoooo 😋😋😋😋much love from Germany🇩🇪🇹🇿