Bi. Mswafari: Kwa nini wanawake wanaenda nje ya ndoa?
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Bi. Mswafari: Kwa nini wanawake wanaenda nje ya ndoa?
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
wow hongera sana bi musafari kazi zuri. ..
Kanze always amazed me with bi mswafari and mkalla,she always fight back
Mm niko na mme wangu,nampenda sana,lakini ako na ulimi wa sukari kwa wanawake,na sitaki kufwata huo mtindo,afadhali nimwombee mume wangu apate kubadilika
safi sana mkala unaongea vizuri sana
lulu asema mapenzi Hayaitaji degreee.... big up dears mnatufungua macho
0ottpo99f"t0ö9t"p
Fahamu dalili za tezi dume
1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
2.mkojo kutoka kisiri siri
3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
🔸 Saratani ya tezi dume
🔸Figo kufeli
🔸Mawe kwenye figo
🔸Kifo
Kwa ushauri na tiba 0655523211
Ahadi ya ndoa ni ngumu. Waaminifu ni wachache. Sababu ni nyingi. Ila mimi naona kama gari haitembsezwi vizuri. Lazima ipelekwe garage. Kwa wote wawili. Inaweza ikatokea kwa pande zote mbili.Mafunzo hayatolei kama zamani kabla ya ndoa. Umuhimu wa mafunzo ni jambo zuri sana. Ila sasa watu hawajali.
Tamaa ya mvuvi....
great show always , wish it was daily
I liked the show, mapacha's keep it up,mkalla today you were on your on, walikuruka!!
Tatizo moja bado ni kutoelewa kuwa tabiya ya wanaume inaendana natabiya wakila ndege sababu aliye pata mume njiwa ako nastarehe kuliko aliye pata mume mwewe tabiya inaendana nalivyo mazingira natabiya ya mwenyewe hata menyezi mungu asema kiungo chamwili kikiwa kita kupoteza amuwa kukikata ili uwe salama amuwa kulingana najaribu ulilo nalo
Men don't cheat, we are faithful as our options. The more financially secure we are, the more the women.
A man that loves you will not show you, he will not father outside, bring you STDs and mistreat you.
No man will be sexually stimulated and attracted to you as before as years pass by that is why even KINGS had concubines.
He married you because he wanted a family with you and share his legacy through children
kweli maman
Asanteni sana Mkalla ,Bi mswafari, somo yangu kanze na lulu Hassan,mjadala hii ulikua mzuri sana.
Mkala na upanga you're right man!
Tatizo wanaume wanatembea nje mpaka wanasahau kama kuna mke anamuhitajia na wakiambiwa wanakuja juu mpaka wanawake wanaamua watoke nje ni hawa wanaume ndio sababu kubwa ya mke kutoka nje ya ndoa
mada nzuri sana
wanawake wengi hufanya comparison vile wenzao wanakuwa treated na mume zao, lakini wanasahau kuwa mikono havitoshani, hata umpende vipi hawazi kukuappreciate juu anakuwa na ego, hivyo issues zinawafuata ndoa hadi mume anaamua kutoka na mwanamke pia anantoka, ## kiswahili naisomea bado##
hongera sana mwatu elimisha juu ya ndoa zetu
show iko juu
SINCE NIMEMFUMANIA MME WANGU BAHADA WEEK MOJA KUJIFUNGUWA NAKWENDA KULALA WITH ANOTHER LADY ..leaving me alone with the child and spend the night with that lady..but i knew exactly where he was and went there straight early in the morning and find hI'm really there in that room with a lady...i was heart broken ..since that day whenever am about to sleep with him i remember about that day
Leave him
Hard pain
Som ili nimzuri
Ila juwa kwamba wanawake wanatoka nje kulingana na:
Kuwana tama za mwili zakupindukia
Mme kupungukiwa nguvu zakiume
Mme kutoka toka mda mrefu
-
Tambua mwanamme aweza kujilinda nakinga lakini mwanamke awezi jilinda aweza vaa kinga mwisho akavua au chana, wakati huo mwanamke yuko hali mbaya akiri imeshapotea kwa mahaba, ivo wanawake acha kushindana na wanaume ushauri wakati maalum nimzuri usiache Mme kaja amechoka hata ujampokea unaanza kuvimba kama paka, namaneno yakutisha utamfanya akumbuke mchepuko, ushauri mfanye mme asahau mchepuko wa njee, wale siwatu wakuchuna hela2 hawana mapenzi ni wizi2
Inauma sana bi msafar wkt mumeo atatembea na rafik yako mpaka wazae hata ukikaa miaka mingapi huwez sahau na kila ukifikiria wakosa iman na yule mume
Asante jamani, mjadala mzuri sana, isipokuwa mnatetea Utamaduni asli ? ao Mila za mkopo ? ao Ungwana Ki Dini ? Sababu nimeona kwamba hamjaichukua ipi njia ambayo itawaelekeza kwenye lengo na mtaondoka hapo bila Solution .
Hongera bi .msafwari wish hii show ingekua ndefu ama daily
Ni kwel kbs wanaume waache izo tabia wabadilike .
bi safari ur killing me with lough watching fro saudi arabia
Frm Tz hawa akina mama wanawapotosha wasichana, i feel sorry for them
Wake kwa waume wote wanatoka nje ya ndoa, kwa kutaka wenyewe na sababu zao.
Anayetembea nje ni mwanamume na Mwanamke sasa tatizo ni nini?!! Bila shaka hawa wote watakuwa wanatoka ndoani hivyo hakuna cha Mwanamke au mwanamume
Hongera bi mswafir
Mpango wa kando ni nn
Ni mchepuko.
mkala your rocking the stage haha ati wanaume wanawazimu haha
Wanaume wanakazi heri kumuombea abadilike ju hata ukisema utoke nje wanaume sawa tu utadhani walizaliwa na mama mmoja mmmmh
mwanamke hatoki nje bila yasababu yamsingi yanatosha kwawanaume
Mwakila
Mkala👏👏👏👏👏👊
Kuchepuka ni mtu yeye mwenyewe iwe Mwanamke au Mwanamme,,lkn mara nyingi ni tamaaa tuuu iwe ya Mali au matamanio ya kijinsia,,
Huyo mama bonge ni mpotoshaji anawapoteza wanawake, huwezi kufanya upumbavu kisa mumeo kafanya ujinga, wakumlilia mambo yakae sawa ni kumuelekea Muumba na si kufanya uzinzi, wafundisheni wawe jeuri muone familia itakuwaje mama nae atoboe chupi.
Ndoa ni mavumiliano. na si ushindaani kama unataka kudumu na nahakikisha kika mtu akitenda nafasi yk vizuri ipaswavyo bila kumlalia mwenzei namini itadumu.
Ukweli umesemwa mke wangu alinipata na cousin yake tangu hiyo siku ndoa yetu Iko na shida sana.sisi wanaume ndio tuko na tabia mbaya kwa ndoa
pole na uendelee kujifunza
Umegonga ndipo
Jefason Kingy sister wanaume tuko na tamaa mbaya
+Kevin Mokua Ndio hiyo ya tamaa mko nayo tangu jadi ,Yani tangu Enzi za Adam na Hawa.
Kevin Mokua wewe ndio mwenye tabia mbaya
nikweli
Pwaaaa mkala wee mkali,anaeza shikwa na mharo duh!Kali hiyo
true watu wengi wana senses Kali sana kama anafanyiwa ubaya anajua
Mimi uwa na hisi pia hivyo,it's dangerous
Yaan wa mama mko sawa hawa wanaume wanachosha tunavumilia vya kutosha mwisho unapata kishawish unaachwa miaka Saba tunavumilia tu bora kutoka
Bwana wangu alikuwa anaenda ije niliachana naye hajaamini mpaka saahuu nimemsamehea lakini waganda wanasema" yakutula cable! "
Ukishinda na mwanamme utakuwa malaya
mkalla zamani ukimwi haikuwepo mwanaume ataenda atarudi lakini sasa unangojea ukimwi afadhali utoke.
Safy sana mkala
Mke akichepuka sababu yakulipiza siyo haki anastahili amuweke mmewe karibu amuonye ampe maneno ya busara kuliko kuwa jeuri mwanamme mwenye akiri ataacha bila lazima
Mwakila na anko
Mwanaume anawza oa mke zaid ya mmoja ila mwanamke haez olewa na mwanaume zaid ya mmoja ,hlo ifahamike
kosa lazinaa hta kwa dini alisamewi
Mke wangu kanipa pesa ili niende nikajisaidie kwa malaya, kwa madai kwamba: amechoka hawezi .
Hapa kiss kwa nani janani?
Ama jina lake la fb plz
Mtu akimpenda me au mke wake kweli na kunyenyekeana pamoja na kuheshimiana hawatandendana udhalimu wataheshimu ndoa zao
km anachepuka achepuke t lkn huwez kushindana na mt kwa mng utaulizwa pk yako,ila akianza kuchepuka asikuguse na co vinginevyo
sawa kabisa kaka maana mchepuko ni maamuzi ya mtu mwenyewe hayahusiani na makosa ya mwingine ni sababu ya kutembea nje
Upuuzi huo, mume akinya barabarani nae atakunya barabarani? Huyo mwanamke atakuwa mpumbavu, malipizi hayana maana.
Bado hawajaelewana hapo ,Nina ni hapo anakwenda nje, kama Ni Mume au Mke anaye toka ni nani amekosa.
Samahani jamani.waislamu wameruhusiwa kuoa mpaka wanne . Wakristo pia wanaoa wanaoa wanne ?
Hy naomba namba ya Bi msafiri
W
wanaume hata ukiwabeba na maturubai watatafuta nyembe wachane,hawajaponakwa hilo.
Wapumbavu ni wanaume na wanawake wana hisia kama wake
Huo ukweli kabisa huyo kaka mkubwa amesema. kutembea nje kwa wanaume mbali na nyumba zao ni kutokana na kasoro za wake katika mapenzi. kutokana na hili inakuwa muhali sana kustahimili ambako inafanya mwana ume kuwa na jicho la nje
Hapo sikubaliani nawe,kuna wanaume wengine iko kwenye damu au jinsi alivyolelewa kwao,Kama inheritance,juu mvulana ataona baba zake walioa wake watatu,sasa msururu unaendelea vivyo hivyo kwa Kua wako hivyo na iko kwenye damu hata aoe mke ametulia yuko vizuri tuu ila kuenda inje mume hiyo ni desturi yake tayari usisingizie wanawake,wanaume Kua na mke mmoja hiyo haiwezekani Hilo twalijua kabisa ni maumbile Yao.nituolewe tuu ila kusema eti mume ni wako peke yako huo ni uongo
Danes1988 Tatizo kubwa la wanaume wanaona kasoro za wanawake tuuu na hawataki kuambiwa kasoro zao. Hakuna aliekamilika kasoro zipo kwa mume na mke isipokuwa subra ndio inafanya ndoa iwe madhubuti. Na wanawake hutoka nje ya ndoa kwa sababu nyingi huenda mume anachepuka mpaka anamsahau mke kama anamuhitajia alafu wanasema wanawake hawajatulia this is crazy 😜. Uaminifu unamhusu mume na mke
Jefason Kingy Mrs kweli wengine wanatoka nje kwasababu wanapenda mikundu nawewe hupendi huo mchezo mbaya sasa mtu akijakukuoa hakwambii kuwa yeye anapenda hicho kitu anakuficha mpaka mkishaowana ndio anakutilia sasa ukimkatalia kufanya anakufanya wewe ndio sababu yeye kutoka nje kwasababu humuachi akafanya hicho kitu
Kama mkeo hawezi mfundishe ili mwende pamoja
mkala umesema kweli mm mume wangu akiwa ametenda jambo mbaya huwa nahisi tu nafsin
Wanaume sio mwenzio baki na watoto wako tu.
Wajinga Sana naumia Sana basi tu.
Let fathers and mothers make a solemn promise to God, whom they profess to love and obey, that by His grace they will not disagree between themselves, but will in their own life and temper manifest the spirit that they wish their children to cherish. Parents should be careful not to allow the spirit of dissension to creep into the home; for this is one of Satan's agents to make his impression on the character. If parents will strive for unity in the home by inculcating the principles that governed the life of Christ, dissension will be driven out, and unity and love will abide there. Parents and children will partake of the gift of the Holy Spirit.
Vinauma sana mkala
Wote wa wili hakuna anayeruhusiwa Bwana asitokonyuma ya ndawa na Bibi hivi asitoke
haha kanze umeniwezeshea mkala Leo haha
Biblia inafundisha, mwanamke akileta ukorofi Nyumbani basi nenda Inje wewe Mmewe. Mithali 21 : 9 Unafikiri kule anakoenda pana raha ? Qur'an/ Anisaa ; hufundisha, 1. Msiwabughudhi Wanawake na kuwaondoa majumbani zao. 2. Hakika wanawake wana Vituko vingi. ( Swali ) Mnatetewa ijapo Ukorofi na Vituko, mnadhani kule Inje wanakoambiwa waende kuhangaika ni sehemu ipi ? Kuna raha kubaki inje kiholela tu ? Akimkuta bibi Mary ao Hadijah na kumtunza laangukia nani kosa ?
ABDU NUR liar mithali21.1 says it’s better to live in a corner of a house top than in a house shared with a quarrelsome wife
divyo urilivyo wanaumume unawatetea wanaumue wenziyo
jamani suremani halikuwa hatamaa kama nn haliowa wanawake mia moja wa ndowa tuu walikuwa sabin masurilia sabin hakuna viumbe viye tamaa kama wanaume
Musumeno lazima ukate mbele na nyuma
uongo nina marafiki wengi wanaume wao wako waaminifu mimi nanjua wamatoka inje wala mabwana zao hawajui nawaonea huruma na viboys vidogo vidogo haha
Think again tena sana usidanganyike na upole wa mtu
Pwaaaa mkala wee mkali
14:00 Huyu anapita ni mule mule.
😁😁😁 nimefurahia kweli
hicho kipindi nikizuri sana nakina nigusa mimi. kulingana na ubovu wa ndoa yangu. nitawaombeni mawasiliano ya moja kwa moja ili huyu mke wangu apewe ushahuri
Wanaume tulio wenge hatutosheki na mke mmoja
Kama hamutosheki owa basili ya kutoka inie ya ndoa aaah waume mumezidi mwafundisha wake zenu tabia mbaya
Uko sawa babaa mkala kabisa
wana umeee,mbona mwajifanya mastar sana
Mchepuko nitabia yamtu mkewangu hawezi kunifanyamimi nichepukw
Kirozo doh
Mkaka umebugi stepu.
Kwa hakika kaka unaongea hakika hapo sababu kabla hujasema unemuendea mkeo kinyume umeiendea nafsi yako kwanza ....sila lana hapo ni haki mume awe na wake zaidi ya mmoja
mumeongea ukweli lakini mkala kuna mahali umekosea.nani kakwambia mapenzi ni cheo ama masomo.?huyo maid anaweza kua hajasoma lakini ana heshima zake na elimu ya kumtuza mwanaume kuliko huyo mkeo mwenye ni msomi.
Kweli kabisa
Katafute wa kwako.....
Mdajadala Mzuri sana
Mbona mnakandamiza wanawake peke yake ikiwa wanaume ni waongo kazi yao wanapenda kwenda nje kisha wao ndio wanaoa wanawake watatu wanaume wacheni kutesa wake zenu jambo hilo sikubaliani nalo
Emma Kaneko ,ema ww unaakili sanaaaa
mnazi mwenga..kaudzaza kadzama ...ukihalwa hurira...
bi safari na mkalla... Mafundisho mazuri
Huyomwanamke kamanimalayapoa
Mke wandani hanaeshimazake
Mkala wew uko mankin sana na wayajua hasa
Wewe mkala huna jipya wanaume nyie waonezi nawanawake wanaroho
0p
mkala hahaaaaaa