Ni vitu gani wanaume wanapaswa kufanya ili kunogesha mapenzi na mahusiano katika ndoa?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Mawaidha ya Bi. Msafwari

Комментарии •

  • @faithwekesa9784
    @faithwekesa9784 Год назад +1

    Munatusaidia sana ...sababu twaelimika hapa shukrn🙏🙏

  • @beatricewairimu2788
    @beatricewairimu2788 Год назад

    Ukweli kabisa

  • @sifariziki1282
    @sifariziki1282 Год назад

    Njo kweli iyo mumy nawa penda Sana

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 Год назад +2

    Hahaha 😂😂😂
    Mafunzo kwa Mke pia ni muhimu sana.
    Mapenzi ni kupeana..
    Pande zote mbili..

  • @user-oz3go1lv6p
    @user-oz3go1lv6p Год назад +2

    Unawacha akupendaye unakuja kwangu ukifahamu vyema mimi either sikupendi ama huwa sina feelings. Alafu unaexpect nikutumie message za mapenzi kila kukicha eti juu nimekuoa. Eti unaexpect nikusaidie home chores. Huo sio ushenzi? It's either you marry your love or face the kinds of me.

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 Год назад +2

    Shida katika ndoa ni wanaume maana mwanamke ni kama mkate kwa chai lkn hawa wanaume wamekua kama ezraeli malaika mtoa roho

  • @hillaryopiyo435
    @hillaryopiyo435 Год назад +1

    Mwanamke kusifiwa? We had a lady ten years ago,actually a class representative at a certain college in Nairobi.Nikaishi kumsifu, but madharau was lastly the one she showered me with.Mwanamke aliniongelesha as if nimekuwa slave wake,demanding to see me tell her things.Huo ndio uliokuwa mwisho wangu naye.Nilimtoka nikimtokanga

  • @janaleokesho8374
    @janaleokesho8374 Год назад +4

    Maisha ya siku hizi ni kusaidiana kulipa bills na heshima na upendo

  • @Seth.Jrking
    @Seth.Jrking Год назад

    👏👏👏🙏🙏

  • @yusuphamani8015
    @yusuphamani8015 Год назад

    Wanawake hamtunziki Leo hamna mapenzi Kwa manaume hasa pale mnapo Pata viumenje

  • @dennismyles8256
    @dennismyles8256 Год назад +1

    Nchi yenye Imebaki na ujinga sana duniani ni Kenya..!!
    Wakati wananchi wanatangaza mapenzi vijijini watu wanakufa Kwa njaa na nchi inaporwa na Ruto..!!

    • @halkanogalma9408
      @halkanogalma9408 Год назад +2

      Kwani mapenzi na Ruto ni wapi na wapi

    • @dennismyles8256
      @dennismyles8256 Год назад

      @@halkanogalma9408 Sasa elimu mpaka ya ngono na mapenzi ilihali vizazi vya angamia Kwa njaa, Viongozi nikutangaza sera Kila uchao..!! Kenya f***kd-up nation.

    • @MOON-lw5xt
      @MOON-lw5xt Год назад +2

      Shut up AZIMIO is dead
      Hustler nation oyee

    • @zuhurahkhamis4257
      @zuhurahkhamis4257 Год назад

      Na unajuaje kama vijijini watu wanakufa njaa si ni watangazaji ndio wanatangaza kwa TV kuna time ya kila kitu sasa sababu kuna ukame watu wasipendane

    • @hillaryopiyo435
      @hillaryopiyo435 Год назад

      Yeah bro.Kenya tangu zamani imejulikana dunia nzima kwa kuandikisha historia ya kuwasheheni watu wa roho mbaya