😭😭😭😭😭😭😭from Tanzania poleni sana majirani zetu wa Burundi mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu, pia poleni ndugu na jamaa na marafiki wa rais pieli mungu airaze roho ya marehemu mahali pema peponi🙏🙏🙏
Amina🙏🏾 Alikuwa kiongozi mwenye Mikasa, ila kajitahidi Kadri ya uwezo wake, kuiendeleza Nchi kuliko alivyo ikuta. Mnyonge Mnyongeni, ila sifa zake Mpeni. RIP ✊🏾🇧🇮
@@burundishallsmile1day109 kweli kabisa hata kama wataona kwamba hakufanya chochote ila bado hatokosa mchango frani katika nchi, poleni sana mwaya tumuombee ndugu yetu jamaa yetu mungu ampunguzie azabu za kabri kupitia majukumu aliyokuwanayo katika taifa japo wapo waliomchukia ila mungu yeye kampenda zaidi 😭😭😭😭😭R.I.P
@@hadijalukas5959Amin🙏🏾 Kweli Kbsa👍🏾 Hata Mitume wake mwenyewe Mungu hawakupendwa na kila Mtu. Bila shaka Hakuwa mkamilifu kama bin adam wote !Mengi Mazuri kayafanya, ila tunasahau !
Uko wapi ubabe wake sasa? Hili na liwe funzo kwa viongozi wote wababe wanaojiona Dunia Kama yao wanaotumia mamlaka zao kuwaumiza na kuleta machafuko kwa wenzao kuwa Kuna uongozi na Kuna kifo pia,kama tuambiavyo naye anaenda kuhukumiwa Mungu yupo jamani R. I.P 🙏
Safi sanaaa watu wa Burundi wamekufa sana kwa ajili yako Bora ufe nawewe
😭😭😭😭😭😭😭from Tanzania poleni sana majirani zetu wa Burundi mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu, pia poleni ndugu na jamaa na marafiki wa rais pieli mungu airaze roho ya marehemu mahali pema peponi🙏🙏🙏
Kuna viongozi wengi barani afrika kama kurunzinza mungu endelea kuwa kichapo tuu
@@benjamindonatt1525 du 🤔 🤔 jamani hii sms yako cjailewa, kwanini mungu aendelee kuwachapa ?
Amina🙏🏾
Alikuwa kiongozi mwenye Mikasa, ila kajitahidi Kadri ya uwezo wake, kuiendeleza Nchi kuliko alivyo ikuta. Mnyonge Mnyongeni, ila sifa zake Mpeni.
RIP
✊🏾🇧🇮
@@burundishallsmile1day109 kweli kabisa hata kama wataona kwamba hakufanya chochote ila bado hatokosa mchango frani katika nchi, poleni sana mwaya tumuombee ndugu yetu jamaa yetu mungu ampunguzie azabu za kabri kupitia majukumu aliyokuwanayo katika taifa japo wapo waliomchukia ila mungu yeye kampenda zaidi 😭😭😭😭😭R.I.P
@@hadijalukas5959Amin🙏🏾 Kweli Kbsa👍🏾
Hata Mitume wake mwenyewe Mungu hawakupendwa na kila Mtu.
Bila shaka Hakuwa mkamilifu kama bin adam wote !Mengi Mazuri kayafanya, ila tunasahau !
Oooh kumbe ni huyu??😧 akalipwe sawaa na matendo yakeee
R.I.P President PIERRE NKURUNZIZA Will never forget Comred for Republic of Burundi
Allahu Akbar
RIP raisi wa Burundi Munģu ailaze pema roho yako. Ss sote ni wapitaji. Usihukumu nawe utahukumiwa.
Tutakukumbuka ukiwa niraisi mwenye roho ya afirica to
This will be the real eye opener for dictators,
To keep quiet it doesn't mean that were fools.
Nkurunziza afariki lakini je Burundi bado itakua salama? Ingia channel yetu kuona zaidi.
Uko wapi ubabe wake sasa? Hili na liwe funzo kwa viongozi wote wababe wanaojiona Dunia Kama yao wanaotumia mamlaka zao kuwaumiza na kuleta machafuko kwa wenzao kuwa Kuna uongozi na Kuna kifo pia,kama tuambiavyo naye anaenda kuhukumiwa Mungu yupo jamani R. I.P 🙏
Eee mbona kijana sana
So sorroful! How's the deceased's wife lifewise?.
Jamaa ( Rais mpya) hataki kuwa Kibaraka wake Pierre,
Daaah
Allah amuwekeye wepesi papa yetu
Kifo hskichagui wewe nimbabe au VIP kinazoa tuu
Yoooote ni ubatili ndo viongozi wengine wajue Mungu ndo kila kitu, hela alozopewa ktuoka hazna anaziachaaaas
Wewe huna hakiri saivi ndo mutaona mema yake
Allah anatishaa kwiiiiiisa kz yake sasa akajibu wale wato walokufa nakuwatesa kwajili yautawala
Usihukumu usiyoyajuwa
Ndugu zangu msije pigana wa Toto na wakina mama ndo wanao teseka
kifo hakina mbabe! Ukitesa wenzako kifo kitakufyeka tu
RIP
Mbele yake nyuma yetu.mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
Sogea nyuma ya mic
R.I.P PIERRE
😭😭😭😭😭😭😭😭
Wacha afe kwaingiza warundi kwenye matatizo
Mohamed Mohamed fuck uuu
Corona
Walijua atakufa nn mbona waliandaa rais mpya?
@Preetty Shemsa anha
..inamaana walifanya uchaguzi kipindi cha corona??
@Preetty Shemsa duuuuh....sasa covid imemuindoa yy oh lord
Nijuzi tu kamuweka mwezake kwahila madarakani Dunia hii tutaiyacha tuwache ubabe
Bado dikiteta uchwala.
Rip
Rip
Rip