#BREAKING

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2024

Комментарии • 49

  • @ebenezernnko8251
    @ebenezernnko8251 4 года назад +2

    Safi sanaaa watu wa Burundi wamekufa sana kwa ajili yako Bora ufe nawewe

  • @hadijalukas5959
    @hadijalukas5959 4 года назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭from Tanzania poleni sana majirani zetu wa Burundi mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu, pia poleni ndugu na jamaa na marafiki wa rais pieli mungu airaze roho ya marehemu mahali pema peponi🙏🙏🙏

    • @benjamindonatt1525
      @benjamindonatt1525 4 года назад

      Kuna viongozi wengi barani afrika kama kurunzinza mungu endelea kuwa kichapo tuu

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 4 года назад

      @@benjamindonatt1525 du 🤔 🤔 jamani hii sms yako cjailewa, kwanini mungu aendelee kuwachapa ?

    • @burundishallsmile1day109
      @burundishallsmile1day109 4 года назад

      Amina🙏🏾
      Alikuwa kiongozi mwenye Mikasa, ila kajitahidi Kadri ya uwezo wake, kuiendeleza Nchi kuliko alivyo ikuta. Mnyonge Mnyongeni, ila sifa zake Mpeni.
      RIP
      ✊🏾🇧🇮

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 4 года назад +1

      @@burundishallsmile1day109 kweli kabisa hata kama wataona kwamba hakufanya chochote ila bado hatokosa mchango frani katika nchi, poleni sana mwaya tumuombee ndugu yetu jamaa yetu mungu ampunguzie azabu za kabri kupitia majukumu aliyokuwanayo katika taifa japo wapo waliomchukia ila mungu yeye kampenda zaidi 😭😭😭😭😭R.I.P

    • @burundishallsmile1day109
      @burundishallsmile1day109 4 года назад +1

      @@hadijalukas5959Amin🙏🏾 Kweli Kbsa👍🏾
      Hata Mitume wake mwenyewe Mungu hawakupendwa na kila Mtu.
      Bila shaka Hakuwa mkamilifu kama bin adam wote !Mengi Mazuri kayafanya, ila tunasahau !

  • @leeaglepropeller4549
    @leeaglepropeller4549 4 года назад +1

    Oooh kumbe ni huyu??😧 akalipwe sawaa na matendo yakeee

  • @wilondjaomarijames9830
    @wilondjaomarijames9830 4 года назад

    R.I.P President PIERRE NKURUNZIZA Will never forget Comred for Republic of Burundi

  • @ramlamburi9743
    @ramlamburi9743 4 года назад +1

    Allahu Akbar

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 4 года назад +2

    RIP raisi wa Burundi Munģu ailaze pema roho yako. Ss sote ni wapitaji. Usihukumu nawe utahukumiwa.

    • @johnmarambo6029
      @johnmarambo6029 4 года назад

      Tutakukumbuka ukiwa niraisi mwenye roho ya afirica to

  • @lukwagofred3003
    @lukwagofred3003 4 года назад

    This will be the real eye opener for dictators,
    To keep quiet it doesn't mean that were fools.

  • @kilimanjaroasili1021
    @kilimanjaroasili1021 4 года назад +3

    Nkurunziza afariki lakini je Burundi bado itakua salama? Ingia channel yetu kuona zaidi.

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 4 года назад +6

    Uko wapi ubabe wake sasa? Hili na liwe funzo kwa viongozi wote wababe wanaojiona Dunia Kama yao wanaotumia mamlaka zao kuwaumiza na kuleta machafuko kwa wenzao kuwa Kuna uongozi na Kuna kifo pia,kama tuambiavyo naye anaenda kuhukumiwa Mungu yupo jamani R. I.P 🙏

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 года назад

    Eee mbona kijana sana

  • @mugrrwakennedyrobert9196
    @mugrrwakennedyrobert9196 4 года назад

    So sorroful! How's the deceased's wife lifewise?.

  • @hidelphoncecelestine9878
    @hidelphoncecelestine9878 4 года назад

    Jamaa ( Rais mpya) hataki kuwa Kibaraka wake Pierre,

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 года назад

    Daaah

  • @nsabiyumvaegide6980
    @nsabiyumvaegide6980 4 года назад +1

    Allah amuwekeye wepesi papa yetu

  • @ashoramwanja3131
    @ashoramwanja3131 4 года назад +3

    Kifo hskichagui wewe nimbabe au VIP kinazoa tuu

  • @hidelphoncecelestine9878
    @hidelphoncecelestine9878 4 года назад +1

    Yoooote ni ubatili ndo viongozi wengine wajue Mungu ndo kila kitu, hela alozopewa ktuoka hazna anaziachaaaas

    • @dadaoman1362
      @dadaoman1362 4 года назад

      Wewe huna hakiri saivi ndo mutaona mema yake

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 4 года назад

    Allah anatishaa kwiiiiiisa kz yake sasa akajibu wale wato walokufa nakuwatesa kwajili yautawala

  • @nipolive..2745
    @nipolive..2745 4 года назад

    Ndugu zangu msije pigana wa Toto na wakina mama ndo wanao teseka

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 года назад

    kifo hakina mbabe! Ukitesa wenzako kifo kitakufyeka tu

  • @verdianabanabi5943
    @verdianabanabi5943 4 года назад

    RIP

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 4 года назад

    Mbele yake nyuma yetu.mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 4 года назад

    Sogea nyuma ya mic

  • @hidelphoncecelestine9878
    @hidelphoncecelestine9878 4 года назад

    R.I.P PIERRE

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed614 4 года назад +1

    Wacha afe kwaingiza warundi kwenye matatizo

    • @lamarkuel82
      @lamarkuel82 4 года назад

      Mohamed Mohamed fuck uuu

  • @josephmureithi7930
    @josephmureithi7930 4 года назад

    Corona

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 4 года назад

    Walijua atakufa nn mbona waliandaa rais mpya?

    • @jessydaktari5209
      @jessydaktari5209 4 года назад

      @Preetty Shemsa anha
      ..inamaana walifanya uchaguzi kipindi cha corona??

    • @jessydaktari5209
      @jessydaktari5209 4 года назад

      @Preetty Shemsa duuuuh....sasa covid imemuindoa yy oh lord

  • @saeedsaedi2475
    @saeedsaedi2475 4 года назад

    Nijuzi tu kamuweka mwezake kwahila madarakani Dunia hii tutaiyacha tuwache ubabe

  • @simonimwaso9788
    @simonimwaso9788 4 года назад

    Bado dikiteta uchwala.

  • @shamirahsaid7499
    @shamirahsaid7499 4 года назад

    Rip

  • @aumastella5750
    @aumastella5750 4 года назад

    Rip

  • @josephinelusambo4593
    @josephinelusambo4593 4 года назад

    Rip