SHIDA ZA WANA NCHI ZA MKOSESHA USINGIZI MAKAMO WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Kutoka ALFATAH TV ONLINE
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline.
#ALFATAHCHARITABLEASSOCIATION.
Asante muheshimiwa makamo Hemedi Suleiman. Huyu jamaa ni mchapa kazi kweli. Nakumbuka siku aliyomwambia Mkuu wa wilaya na yeye akiwa kama Mkuu wa mkoa gari lake aliwache skuli litumike kupelekea wanafunzi spitali na siku ya pili yake gari aliileta shuleni itumike kupelekea wanafunzi hospitali. Allah akulipe na akuongeze kufanya mbombo ya khairati
Shukran ewee kiongoz wetuuuu
Mh. Hemed umesema kweli leo kuibiwa kuibiwa... waleteni watu wa NJEE kama nyiye hamna ujuzi wa KUTOSHA..MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA WATU WAKE. AMIN.
I like that “ hizi zote ni gharama lakini hakuna gharama zinazozidi maisha ya mtu/watu “ respect
Ni maneno tu hayo. Ukweli ni kuwa serikali za CCM hazeheshimu maisha ya watu. Mfano mdogo tu ktk uchaguzi mkuu wa 2020 raia wasiopungua 17 wameuliwa Pemba na Unguja na wengine kujeruhiwa vibaya na kutiwa vilema vya maisha, na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa dhidi ya wauwaji. Hiyo heshima ya maisha wa watu iko wapi hapo?
Inshaallah mwenyezi mungu atakufanyieni wepesi mazito akuondoleni
Manshaallah nakubali sana kazi zenu alfatah. Picha safi sana
Allah awaepushe n’a husda mana kazi mnayo ifanya sio rahisi n’a sio kila mtu au kila tv inaweza yafanya.
Asanteni sana kwakutuburudisha n’a picha zenye viwango.
Amiin
Huyu jama Ana jitahd kadri ya uwezo wake
2030 ww ndie rais wetu baada ya rais mwinyi innshallah
Inshallah 🙏
Aaah wallah shida tuu kila kitu
M mungu atawasaidia na insha Allah dokta atawasikiliza kilio chenu
Hallooo the government of zanzibar Pliz try to make this problem thing of the past,it really hamper economic and social life of the people.Its so sad that the people are suffering so ihope and trust that the DP should take immediate action to end this disaster.
Hapo inabidi kuje gari linyonye maji mpaka yaishe ikisha kutomolewe makaro ili maji yasikae yakafanya uchafu na mbu.
Jamani hatuna la kusema Zanzibar wameiuwa... kila Mwaka mambo hayo...hayooo. Dr. Hussein wasaidiyeni hawa WANANCHI..
Icho ni kisiwa mipango ya ujenzi mnatakiwa muzingatie sana laa si ivyoo Mutakuja jikuta kisiwa chote maji Allah awaepushe, serikali wangeeka mipango miziri ya ujenzi unguja iyoo ni ndogo watu wote wanacha sehem wanakuja Unguja wanajenga yanawakuta hayoo yanowakuta mie Mwenyewe nimeona nijenge Pemba kwetu mana maeneo uko unguja yameisha ukipata unapewa kwenye maji, from ole
Maji hayana pakwenda watu wanajenga bila kufata masharti wanoambiwa ndo mana maji yanakwenda sehem ambazo zilikuwa hazikai maji, kwenye mabonde ya mipunga watu huku kinuni watu wamejenga sasa tutarajie nini Allah atuhifadhi tu
Mambo hayaendi kwahamasa
Huwezi kutoa maamuzi tatuzi bila ya kupita na helicopter juuu kwa juuu kwa lengo haswa la kutatua na kumaliza hilo tatizo sugu.
Ila al Fatah munachelewa kutupa taarifa
Dhulma hailetii maendeleo
Wala sio Watu wa chini NYUMBA zenu geti kali ukilinganisha navijij vingne . Tatzo Lenu ni miundombinu mibovu kila mtu anajenga anavotka yeye hajal njia za maji Wala mabonden
Siasa kama za MAGUFULI hakuna jipya hapa
Sasa we wataka siasa za majukwaani sio kutatua kero za wananchi
Ndo kwetu tuu hakuna kwa kwenda ila usishangae ziara zote hizo hao watakaoagizwa wakadharau wananchi tukateseka kila cku
Nitapiga
Kuwafanyia ziara watu na kubwabwa sio suluhisho anzeni kutatua shida za wananchi washachoka uongo wenu wa kila siku
SMT ichangie miundombinu ZNZ. Masoko mengi wapo ndugu zetu wa bara. Humo mitaani hali kadhalika. Najua wana haki ya kwenda watakapo madhali tumeungana. Lakini SMZ peke yake hii kazi itawashinda. Watakuwa wanapiga deki ilhali mfereji uwazi.
Hivi serikali iliyopita ilikuwa wapi hadi hali akawa hivi
Tunasubiri utekelezaji
2025 nitapiga kura kwa mwenendo huu wa kuwajali wananchi mana miaka ishirini ilopita nilikataa kupiga kura
Hapo jumbi kadhulumiwa mtu ardhi yake.
Kwani hapo mwanzo kabla ya kua makamo ilikua hajui kama wananchi wanashida
Hakua wa unguja
Mbona ni mda mrefu tunasumbuka na tatizo hilo hilo
Huyu ni kiongoz wetu lzma akose usingiz na tunataka atutekelezee shida zetu👆👆👆
Hatutaki kuamini kwa serekali ya fulani tunataka kuona utekelezaji kwa serikali iliyopo madarakani
Kusuka au kunyoa wote usafi wa kichwa. Ukiita serikali iliyopo madarakani au ya Mwinyi yote yaleyale.
Asatebaba
Na sisi tomondo maboga
kweli baba waje na maboga