HURUMA ! NYUMBA ZILIVYO ZAMA KWA MVUA YA KUTWA NZIMA ZANZIBAR
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Poleni sana allah akujalieni kila la kheri na akuepushieni kila la shari
Wazee wangu na ndugu zangu hakikisheni mnapigia kura ccm ili madhila haya yaendelee kila mwaka.mkiambiwa tupiganie kuleta mabadiliko ya kisiasa maana hawa tulionao baada ya kukaa madarakani tokea mapinduzi hapa ndio walipotufikisha,mnapinga kwa nguvu zenu zote.sasa acha maisha yaendelee tutafahamiana tu !!
Shukran Ktv tz ONLINE hakika hii ni FAHARI yetu
Nvua ni barka sana lkni hii mtihani subhanallah Allah atakupeni subra kwa kipindi hichi chote cha nvua Amina inshallah 🤲🏼
Poleni sana Allah akujalieni na afanye wepesi kwa hilo janga
Hatari sn inshaallaah kher Mola atawanusuru na maradhi yote na washauri waombe kutengezewa mtaro wenye ubora
Poleni sana ndugu
Allah asaidie yarabi na atusamehe mvua tolea jan inanyesha tu 😭
Poleni sana
poleni sana mungu ataleta kheri
Subuhanalla lailahailallah yarab tuhfadh wajawako
Ni mtihani kwa kweli mvua majumbani corona mitaani😭😭😭mungu tujaalie wepesi tusikie kilio chetu waja wako
Amin
Serekali serekali kweli manake kwa serekali hiyo mpaka suruwali zitakuvukeni serekali yenyew kila mtu anataka aibe
Ni kweli serikali iko mbioni!
Poleni ndugu zetu ktk kipindi hiki kigumu.
Shekha unasema tatizo lipo zamani na mnalojuwa kwa nn hamchukuw tahadhari kabla ya Mvua kunyesha??
Au mnasubiri watu waangukiwe na vifusi tena, mpeleke salam za rambirambi. Kuweni na binaadam na maisha ya walala hoi, Acheni bla bla 😔 😔
Subirini kampeni zianze mje mletewe mivao ya kanga!😄😄😄CCM OYEEE
Oyeeee
Nahao ndio wengi wao makada wa ccm
Jamani na ss wananchi sivyo tunavyo fanya mataka mnatupa na mnajenga sehem za mabondeni kwnn thn mna sema serikali serikali co uzur Ivo tumeona Htar iyo tunavo ambiw tusikie ukaidi co mzur sehem mbaya tusijenge na mataka mutafute sehem za kutupa co kila pahala thn serikali tujisemeze
K TV hamna malhubi wala mafuliko Zanzibar Luna marhubi na mafuriko
Allah atusalim salama
Juhudi zaziada zinahitajika juu ya utupajitaka sehemu husika
Subuhanallah
Subir kwanza jaman tupunguze lawama kwa serekal màana nyie mnaakil pia kwani nn?mnunue viwanja mabonden hiv serekali itawahamisha watu wanangapi?au kkupen viwanja watu wanangapi?naamin toka enzi maji yanakaa hapo na bado mmenunua viwanja
Polen sana ndugu zetu
Mitaro vipi mitaaa iyo,,,,dah poleni sana kwa maafa
Allah atasaitiya
Poleni san wakaazi wa muembe makumbi
poleni
Polen san ndugu zang allah atakuepushien mitihan😢😢
Allah awasaidie
Watu wanajenga kiholela na kujaza vifusi kumbe wanazizuwia njia za maji kupita na wizara jina hakuna utendaji wowote,mbona zamani hujapatapo kusikia mafuriko zanzibar nzima.
Subuhanallah🙈🙌🙆
Mnadharau sana watu mnaojifanya wa mjini nyinyi wenyewe ndio wachafu huomtaro. Hata ukijengwa mnatupa mataka na kipindi cha jua mnafanya uchafu sana kwakudhani kuwa mnaikomesha serekali
Mashaallah raha sna duu
????!!!!
Kinchi kidogo kinawashinda roho mbaya naulafi wamadaraka ndio wanalolijua
Watu wengine wanaboa ktk mazungumzo yao na hasa wakati wa shida kwa wenzao tena ukimtazama janadume zima hafaham hata kujielezea jamii ikamuelewa na wkt wa dhiki kwa wengine serikali.ishatia mpaka namba serikali kwa sasa hv serikaliii ndo nini? C bora ungenyamaza tu
Poleni watu Wa timber ( kiwanda cha soda).
Tatizo kubwa kwa Zanzibar ni uchafu, taka hata kama jaa lipo hatutaki usafi wetu kwenye kuvaa tu. Kiembe samaki upo mtaro ikinyesha mvua kuna vijana hujitolea pale na kutoa taka ndio maji yanaenda wenye gari ndogo hushindwa hata kupita.
Huyo sheha butu kama serikali yake ya Z'bar
Ukitaka kujua nchi iko corrupted, hakuna uhuru wa kuongea na kukosoa, na viongozi hawawajibiki wala kuwajibishwa wala kuwajalo raia na raia wake wengi hawana elimu na wala kujielewa....tizama mondo mbinu na hali kama hizi
😔😭👏
Nawardi kwao vijijni wasing'ang'anie mjini tu wasitegemee kupewa viwanja na serikali.
Jambo moja kati ya shida hiyo ni ujenzi wa kutaa zinazo jengwa kuzunguka mikoani.
Ombi langu, kwa Watanzania, hebu tumtafute huyu MUNGU wetu, Ili tutubie Maovu yetu, kwa kuacha Uovu na Kukemea, Uchafu wa Tabia, Fikirini na Kusoma Qur-an tukufu, soma maonyo ya Mitume, Suratun Naml sura ya 55 Inasema Na Luti alipo waambia watu wake: je! Mnafanya Uchafu nanyi Mnaona? Maana halisi hamkatazani na Kukemea, Mashoga, na Mabasha, Ingewezekana kuwauwa,na Kuwachoma Moto. Aya na sura ya 55. Inasema Hivyo nyinyi mnawaingilia wanaume kwa matamanio badala ya wanawake? Hakika nyinyi ni watu mnao fanya ujinga kabisa! Hivi mnataka maonyo yapi zaidi ya Maandiko ya kitabu cha Qur-an tukufu.
Asant kwa ukumbusho na ushauri Allah akubarik
Dah umeongea vitu sadakata ktk jamii hii iliojaa maovu shukrani
Hakikisha unampa kiongozi kura yako kwa mambo muhim anayoyafanya yenye kuchukua mda mrefu mfano kujenga mitaro bora na yakisasa na kueka pipe pana za maji. Nasio unampa kura kwa kutoa madoo ya maji. Mambo ya kupita ambayo ikimaliza corona na maji hakuna. Yangu asingeipata ng'o.
Uo mwaka gn hz pesa za maafa jengeni hy mitaro co muwape chakula tu
Much hard for poor people
😏
Mhhh sio kwa serikali hiii
Serekali inahusika na nini apo watu wameambiwa zaman waondoke sehemu z hatari
Sasa serikali inunue kiwanja Cha Kila mtu na kumjengea pia aaaaaaaaa
@Zaytun hijja serekali inahusika sana dada angu special hasa katika mambo kama haya ya kijamii watu waondoke wende wapi? hakuna mtu anataka kulala kwenye maji vile ila sasa hana jinsi serekali lazima iwe na mipango endelevu kwawatu wenye kukutana na majanga km haya sababu kila mwaka hapa tunapata hizi mvua zamasika wahamishe watu wapatie viwanjwa watajenga wenyewe nidhani umemsikia hata mama yule alivyokua anasema na wakisha hamishwa unavunja apo watengeneze mtaro mkubwa wakupita maji
@@ashadulla2742 eeehhh! serekali iwapatie watu viwanja kila mtu ambae anaface majanga km haya kuwajengea isijui inaweza ikawa haina uwezo wa hilo ila kiwanja iwapatie watu hii serekali si iliwapatia viwanja wale watoto wa Zanzibar Heroes walipotokea mshindi wa 3 tu kule Kenya cecafa na milioni kadhaa juu wakapewa sasa usilichukulie rahisi tu hili swala labda kwasababu halijakukuta wewe serekali ingelikua ina mipango madhubuti basi labda maafa kama haya tungekua tunayasikia kwa watu wachache tu saiv au labda washayatatua kabisa inabakia ile maji yanaingia kwako ila unalala sio maji kuingia hivi halafu kitanda kinaelea
Kweli serikali ijenge mitaro sehem Kama hizo
Mitaro inajegwa ila wananchi ndio wanaharibu hiyoo mitaro kwa kutupa taka na vyengine ndio hutokea km hivooo
Wakajihifadhi wapi bwana weee
Ndio faida ya uchafu na zarau .
Kweli kabisa hawajui thaman y mitaro halaf lawama kwa serikan
Hya yote ni matokezeo ya kuwa na serikali isiyojali raia wake.wananchi wameachwa kama mayatima,liko wapi suala la mipango miji?serikali imejisahau na kuwaacha raia kujipigania nafsi zako binafsi.kila mtu atajenga anapopataka na kwa namna anavyotaka.serikali imeshindwa kuwapimia viwanja raia ,kuna kila dalili maafa kama haya kuendelea kutokea mwaka hadi mwaka.subirini kampeni zinakuja mtakuja kudanganywa kwa nusu kilo ya sukari na maisha yaendelee.muombeni na kumlazimisha mwakilishi wenu apiganie upatikanaji wa viwanja vilivyopimwa ili muondokana na kadhia hii maishani mwenu.hakika wajinga ndio waliwao.
mungu tusaidie
Mungu ataleta kheir yake ishaallah.
,muhim yawekwe magari ya kuvuta maji ikitokea hali hiyo ndio itasaidia na msaada utakuwa mzuri kuliko kukaa yaka wahasiri watu sjauri hii itskua nzuri
Maluhubi. Mafuliko .Wa wapi huyu?
Timber kiwanda cha soda
Yaani kila mwaka hao ni wahanga
Huyu mzee kama nisheha au cjuwi nimdudu gani nivyema haya maji yangeenda kwake halafu tukaangalia jee ataongea pumba kama hizi stupid.
ALI RASHID wallah haja ongea cha maana very stupid