Amini usiamini katika kiwanda cha scania kuna wa zanzibari watatu ambao ni watu muhimu sana,ni dizaina wa show za scania,injini na mfumo wa umeme, lkn serikali ya Tz haijui km kuna raia wake pale km ingekua inalielewa hili bc kuna asilimia yao kifedha na kupewa magari kila mwaka,watu hao wapo na watu waliongea nao,
@@user-nb6yh2bn9yww ndiyo muongo alafu DEREVA hajui gari anajua kurndesha tuulize ss tunao zitengeneza faw mpya 0 km mwisho kwanguvu miaka 5 hapo ndiyo ndiyo balaa linaanza inaleta milioni 2 inakula m1,7 unabaki na laki3 scania yenye miaka 10 bado ni Moto na asikudanganye MTU hakuna kampuni ikayo kuja kuikuta scania
Wapo sweden na wanaongea kiswahili km kawaida na wamesomea huku huku Tz,km mna watu wa kufuatilia fuatilieni mtayaamini maneno yangu,wapo na ni watu muhimu kwao
Scania inabaki gari pekee washindani wake ni Benz na Volvo.inafuatia Iveco.Daf na Renault sitaki kuwazungumzia.Mengine ya kichina tuachane nayo kwani yakiwa mapya utafurahi lakini barabarani yatadumu muda mdg sana.Bahati nzuri viwanda vya kusaga vyuma chakavu tunavyo.mmenielewa
Howo za kiwandani pale dangote mtwra tumeanza nazo elfu 2013 mpk leo zina miaka karibu 11 bado zinadunda kutunza gari ni jukumu lako kuna watu kibao washaua scania hizo kwa miaka michache tu
We hakuna msimukiajia hapo unalap t unafupiaha story huelewwk inshot t mwamba n jamal apiril usipomuelewa we chizi oy bro shd badilika nenda na mda kam scania anavoenda na wakat
Asante sana kuendelea kutujuza kwani tunajifunza mengi sana
Unajitahidi sana mwanangu, tuletee vitu vipya Kila wakati
Nna mood na kuendesha haya magar lkn sipat nafas
Uko wapi nikupe kazi
Aksanti,nime jiunga 🤝🇨🇩🇨🇩
Naomba tujue kuhusu tractor ❤❤❤❤❤❤❤
wa kwanzaaa like hapa 😊
Hakuna gari powerfully kama mack hii gari inatumika kubeba mizigo mizito sana na njia mbaya
Amini usiamini katika kiwanda cha scania kuna wa zanzibari watatu ambao ni watu muhimu sana,ni dizaina wa show za scania,injini na mfumo wa umeme, lkn serikali ya Tz haijui km kuna raia wake pale km ingekua inalielewa hili bc kuna asilimia yao kifedha na kupewa magari kila mwaka,watu hao wapo na watu waliongea nao,
Muongo
Na wahaya 4 ni mainjinia na masai 2 wanalinda geti msukuma mmoja amestafu mwaka jana anakula penshen bukundi meatu shinyanga
Napenda sana mpaka kulichora
Scania ni baba wangine ni watoto ndowana fata
Just napenda scania 113 truck G7 Marccopolo Bus
Gazi za ukweli na zinazomfaa mwafrica
Mmoja ya magari makubwa ninazozipenda sana kuliko magari zote duniani ni hii SCANIA. ni nzuri afu ina nguvu sana.
acha uongo gari zenye nguvu NI Faw au zuchu zakichina ila sio imala ukitaka uniamini uliza madeleva maloli wanao cheza nazo
Acha kufananisha scania na faw scania gali ya maana na hata ukiendesha haikuchoshi kama faw@@user-nb6yh2bn9y
@@user-nb6yh2bn9y kweli
Ukitaka kujua mchina ina nguvu ipakie ton 65 uone ni gari au ujinga 113 ilipokuwa mpya tulikuwa tunapakia ton 65 na kukaa miaka 10 bila kugusa engine
@@user-nb6yh2bn9yww ndiyo muongo alafu DEREVA hajui gari anajua kurndesha tuulize ss tunao zitengeneza faw mpya 0 km mwisho kwanguvu miaka 5 hapo ndiyo ndiyo balaa linaanza inaleta milioni 2 inakula m1,7 unabaki na laki3 scania yenye miaka 10 bado ni Moto na asikudanganye MTU hakuna kampuni ikayo kuja kuikuta scania
Naomba tutengenezew faw
Wapo sweden na wanaongea kiswahili km kawaida na wamesomea huku huku Tz,km mna watu wa kufuatilia fuatilieni mtayaamini maneno yangu,wapo na ni watu muhimu kwao
Volvo vipi mkuu
Scania inabaki gari pekee washindani wake ni Benz na Volvo.inafuatia Iveco.Daf na Renault sitaki kuwazungumzia.Mengine ya kichina tuachane nayo kwani yakiwa mapya utafurahi lakini barabarani yatadumu muda mdg sana.Bahati nzuri viwanda vya kusaga vyuma chakavu tunavyo.mmenielewa
Howo za kiwandani pale dangote mtwra tumeanza nazo elfu 2013 mpk leo zina miaka karibu 11 bado zinadunda kutunza gari ni jukumu lako kuna watu kibao washaua scania hizo kwa miaka michache tu
Kuna mashine ya kimarekani yakuitwa Mack hiyo track ni 🔥🔥🔥
Ila kuna "ken worth 100 cabover"
@@johnwillingstone3121 duh hiyo ndiyo balaa Sasa huyu shed kadai et scania ndio best track hapo kadanganya Kuna best zaidi ya scania
freightliner vipi kk
Niuzie
Africa asilimia 97
Asante sana tunaomba na historia ya iveco
Iveco pia gari nzuri kama we ni mtu wa magari Fiat pia ni gari bora hasa kubwa.neno Iveco maamaana yake ni INDUSTIAL VEHICLE COMERCIAL.
😂😂😂 mwamba unatufoc sasa tukufollow
Mm BB yangu ni dereva wa gar la SCANIA
Naomba history ya hino
Yan ukiw na chuma hii uhakika wa safari popote
Scania friend to the end 🎉
Leta ya VOLVO
Mimi kwenye maisha yanguvhaiwezi pita dakika 10 sjaiona scania
Bamdog anayo 50
Wangetengeneza magari madogo nami ningepata😂😂😂
Scania ipewe heshima yake.ikifuatiwa na M Benz Volvo Iveco. Pia
tujue pia pikipiki ya boxer
hapo msweden amecheza km Ronaldinho 😂😂.
God Trak
We hakuna msimukiajia hapo unalap t unafupiaha story huelewwk inshot t mwamba n jamal apiril usipomuelewa we chizi oy bro shd badilika nenda na mda kam scania anavoenda na wakat
God Trak SwiDen 1
Video tamu ila fupi
Tunashukuru kwa Makala ila ulitakiwa uanze na Kirefu cha neno SCANIA( Sweedish Crap Always Needs Immediate Attention)