Asalam alaikum wezagu am swaleh tugume from uganda I love you guys Allah awepe jana mzee napeda sana story book emenfugua macho Sana kuaa mtu tafauti kwa wezanga💪❤❤❤
ila bro sio kwa marekani. wao hizo wanatembelea mitaani hizo ghost,cullinan na phantom ni gari za kawaida sana (sio marekani pekee). kwa gharama inatisha Africa na asia basi huko pengine ni gari ya kulala nje tu. WATANZANIA TUTAFUTENI PESA JAMANI
Diamond aheshimiwe Sana✊🏿✊🏿
Nitabaki na Toyota yangu. Inanipeleka popote Afrika mashariki na kati. Naipenda sana gari yangu. Amen.
😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅
Kama huna pesa ndugu yangu ndio utasema weee una toyota alhamdulillaah kuna mwengne anasema nitabak na baskel yangu
Nipe gari moja ndugu
😂😂😂😂😂
Yes
Asante kwa taarifa hii
Haaaa hongela zimfikie kijana wa tz. diamondi platnam 🔥💯
Asalam alaikum wezagu am swaleh tugume from uganda I love you guys Allah awepe jana mzee napeda sana story book emenfugua macho Sana kuaa mtu tafauti kwa wezanga💪❤❤❤
Sikupingi kwa kazi zako 👏
Sasa twende kazi❤❤❤❤
Amazing work Justin
Gari hizi inabidi ununue ili zikusaidie kutumia pesa. Yaani uwe umejipata kwelikweli.
Kazi nzuri video ya leo balaah
Mimi mwanao kinoma nakufatilia sana. Ila hunipi salam, naenda kama OCHUTREND MWONEKANO 😅
Tuko pamoja kaka justine shedy
Uko juu kaka 🎤 ❤❤
Umetisha ❤❤sana
Kweli watu wana hela ndugu yangu shedi
Sasa twende kazi 🔥🔥🔥🔥
Wachezaji wa timu ya taifa ya SAUD ARABIA kila mmoja alipewa zawadi ya Rolly Roys baada ya kuifunga timu ya taifa ya Argentina
Hao waraabu acha kabisa wana hela hawajui wazifanyie nn.
Safii sana
Tuko pamoja brother 🎉🎉🎉🎉
One love kaka
Eeeeh siyo la kitoto
Wenye uwezo wa kawaida tupambanie tunapopaweza...
ila bro sio kwa marekani. wao hizo wanatembelea mitaani hizo ghost,cullinan na phantom ni gari za kawaida sana (sio marekani pekee). kwa gharama inatisha Africa na asia basi huko pengine ni gari ya kulala nje tu. WATANZANIA TUTAFUTENI PESA JAMANI
👍✌️👊.
Sasa mbona Daindomo huku kwetu bongo ana Rolls Royce lakini anatukanwa na hata na mbeba taka Mbona hana hadhi hiyo
Hizi gari zina gharama kubwa
Ninandoto ya kumiliki ghali hiyo😊
Bado nipo hai sikati tamaa kununua Ishallah.
Nitanunua yangu one day
Kwaio Royce ya Mr diamond platnumz alisema gari lake liweje ?
Huhuhu athumani pka sasa ana elfu 18000 anataka kununua roze roze
Mbona hapa Dubai ziko madukani tena mpia kabixa?
Bugatti baba Bugatti ndio inakiburi ningum kuikuta iliyo chini ya dolla milioni kadha na sidhani kama zinafika hata 10 Afrika nzima
Ila Haina u luxury
Sasa Ile ya platnumz
Modi kanunua kwa youzd😂😂...awezi nunua jimya
Sasa ikiungua inakuaj
Kuna mfalme alinunua indio zaman akawa anazolea taka wakaenda kumuomba ladh
Diamond huenda alinunua kwa mtu😅😅😅😅
Mimi siezi kununua hio pesa hata nikiwa na pesa
Toyota yanachomoka mataili
Uyu muongo xan
Unamaanisha diamond anayo mahela mengi?
Ile mtumba sio custom made
@@Fgldesigns mtumba wa kilometer zero brother? au mtumba ni bure unapewa?
Ndio maana yake siwangekuwa wengi
@@danielmkama24zero kilometers uliiyona wapi na aliambiwa aoneshe akagoma?
Ile ya daimond ni ipi?? Kati ya hizo??
Hiyo ni mtumba😂
Inaitwa Rolls Royce Cullinan
@@benOfficial36anauliza tolea gani sasa yamtumba au mtumba bongo mnaokota bulee kama mondi aliokota nawewe kaokote
Akili za kuambiwa changanya na zako😠😠