Hali hii hua inanitokea naweza kua nimekaa nimetulia naona kana nipo sehem nafanya jambo furani. Badae siku zijazo hua linatokea na kama mwishoni mwa jambo la mawazo yale ya awali liliisha vby hua nairisha maana tyr nakua nishauona mwisho wake. Nashukuru MUNGU kwa hili swala maana hua linanifanya nijiepushe mapema
Mimi hua inanitikea sana hiyo, ila kwangu husababishwa na ndoto. Hua naota maeneo tofauti tofauti na baadae nikifka maeneo hayo, nakumbuka nlishawahi kuota
Nadharia ya nne,ni hile ya mtu aliyekufa kuwa na maisha ya pili,yani mtu akifa uenda kuzaliwa kwingine upya, so kama maisha yake ya kwanza alipita sehemu fulani,maisha yake ya pili akipita apo atapata hisia amewahi kuwa eneo hilo,mi naamini kwa maisha ya mtu kuzaliwa baada ya kifo mahana maisha hayana mwisho, uhai uendelea like endless circles
Watu wengi hufikiri hvy pia mimi nilikuwa mmoja wapo mpaka pale nilipopata ufafanuzi ya kuwa hakuna maisha ya mara ya pili ukisha kuja duniani na ukaondoka ni umeondoka ila hyo unayosemea ww ni kwamba tulishaumbwa na sisi kabla ya kufanyika physically tulishakuwepo kweny ulimwengu mwingine (nyanja kwa kiingereza ni dimension) na Hv tulishavofanya sasa inapotokea tumepewa huu physical body bhas ndipo vitu kama Hv vinatokea inamaana our inner man alishavifanya
Mimi hii ali unitokea mara nyingi sana na kufanya vitu ambavyo uwa navifanya nakujiisi kama nimeeahi kuvifanya ila sikumbuki ilikuwa lini. Nanakuwa sina uwakika kamili kama nimewahi kufanya iyo kazi.
Au hii ndo ile inayonikutaga ya kufany kitu alf nahc kama nliwah kukifny au kukiota hv.?!!!
Iyoo ndio mimi hunitokea yaani najiona kabisa km kuna kitu nimekufanya mbona kinaenda tena kutokea na kukifanya ivyo ivyo
Hyo ndio Déjà vu
Mimi hii hali huwa inanitokeaga sana ,muda mwingine huwa najishangaa sana
Bro mm ni mkongomani ungesema " DÉJÀ VU "
Dejavuu ni mtu aliyekufa ghafla then akazaliwa mara ya pili,😂😂😂
Vile anatamka "déjà vue"inanimaliza😂
Hali hii hua inanitokea naweza kua nimekaa nimetulia naona kana nipo sehem nafanya jambo furani. Badae siku zijazo hua linatokea na kama mwishoni mwa jambo la mawazo yale ya awali liliisha vby hua nairisha maana tyr nakua nishauona mwisho wake. Nashukuru MUNGU kwa hili swala maana hua linanifanya nijiepushe mapema
Leo, 2024,jun imenitokea nikiwa kazin na hko nyuma nilishaw kuota, akati inatokea, nikakumbuka nilishawah kuota
🤣🤣🤣hiyo ni french siyo dejavu ni deja vi
Yaan mm ad naota Sana naweza kuota kitu na kikatokea kwel yaan mda mwengine ad naogopa 😢
Mimi Huwa naota jambo mwezi mmoja nyuma then linatokea kwelii na nalifanya kama nilivyo ota
Kaka kifaransa si chakwenu huko sema tu déjà vi kuliko vu shabiki wako kutoka burundi
Niwe tu msema kweli,natokea CONGO nakufataga kila siku kwa habari zako zote.hii umeningusa na mimi maana na mimi inanitokeaga bila kujuwa kabisa
Déjà vu inasomeka [deja vi] sio [deja vu]
Husomeka '' deja vi '' iyo V Yenye u Husomeka vi
Mbona hunitokea😂
Punguza matangazo
Ndioo
aaaah kwakifaransa DEJA VU, inatamkwa ( DEJA VI ) maana ( TAYARI NIMESHA HONA) By Fidele from CONGO.
Saa zingine huwa tukiwa kwa mazungumzo na mtu huwa akitamka jambo nahisi ni kama nishawai kusikia jambo hilo
Wa kwanza
Bongo fasta ❤🎉🎉🎉🎉
Mimi hua inanitikea sana hiyo, ila kwangu husababishwa na ndoto.
Hua naota maeneo tofauti tofauti na baadae nikifka maeneo hayo, nakumbuka nlishawahi kuota
Hii ni mim kabisa ila kila umri unavyoenda na kiwango kinapungua
We we waweza sema déjà vi , kuliko kusema déjà vu,
🇰🇪🇰🇪🇰🇪hakika iyo kitu mm ishawainitokea mara mingi,,haswa mpaka naeza tabiri chenye kitatokea next minutes in that area same time..
Nadharia ya nne,ni hile ya mtu aliyekufa kuwa na maisha ya pili,yani mtu akifa uenda kuzaliwa kwingine upya, so kama maisha yake ya kwanza alipita sehemu fulani,maisha yake ya pili akipita apo atapata hisia amewahi kuwa eneo hilo,mi naamini kwa maisha ya mtu kuzaliwa baada ya kifo mahana maisha hayana mwisho, uhai uendelea like endless circles
Watu wengi hufikiri hvy pia mimi nilikuwa mmoja wapo mpaka pale nilipopata ufafanuzi ya kuwa hakuna maisha ya mara ya pili ukisha kuja duniani na ukaondoka ni umeondoka ila hyo unayosemea ww ni kwamba tulishaumbwa na sisi kabla ya kufanyika physically tulishakuwepo kweny ulimwengu mwingine (nyanja kwa kiingereza ni dimension) na Hv tulishavofanya sasa inapotokea tumepewa huu physical body bhas ndipo vitu kama Hv vinatokea inamaana our inner man alishavifanya
Hii hali inanikutaga sana hii, yaan kunamuda nafanya Kitu huku najua kabisa ni nn kinafuata na jweli inakuwa hvyo hvyo
Kweli kabisa mm pia ni mmoja wao
Aka bachuchu Mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mimi hii ali unitokea mara nyingi sana na kufanya vitu ambavyo uwa navifanya nakujiisi kama nimeeahi kuvifanya ila sikumbuki ilikuwa lini. Nanakuwa sina uwakika kamili kama nimewahi kufanya iyo kazi.
Hili hata nami liliwahi kunitokea
Hata Mimi ishanitokea jaman
Mimi kabisa huyu, hii hali huwaga inanitokea Sana tu 😅
Ahsante Kwa Elimu
hiyo hisia ni Nguvu ya Giza
Wa kwanza gonga like twende woteeeeeee🎉🎉🎉🎉❤
Sasa twende kazi 🔥🔥🔥🔥
Ihii nimajabu
Unyamaa
✌️👍👊.