Kama Uliwahi Fika Sehemu Mpya Na Ukahisi Ulishawahi Fika Kabla? Hili Ndio Jambo Linalokutokea.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 42

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 8 месяцев назад +8

    Au hii ndo ile inayonikutaga ya kufany kitu alf nahc kama nliwah kukifny au kukiota hv.?!!!

    • @Chimgege
      @Chimgege 8 месяцев назад

      Iyoo ndio mimi hunitokea yaani najiona kabisa km kuna kitu nimekufanya mbona kinaenda tena kutokea na kukifanya ivyo ivyo

    • @franktiba1506
      @franktiba1506 8 месяцев назад

      Hyo ndio Déjà vu

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 8 месяцев назад +2

    Mimi hii hali huwa inanitokeaga sana ,muda mwingine huwa najishangaa sana

  • @FYIPMARKETING
    @FYIPMARKETING 8 месяцев назад

    Bro mm ni mkongomani ungesema " DÉJÀ VU "

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 8 месяцев назад

    Dejavuu ni mtu aliyekufa ghafla then akazaliwa mara ya pili,😂😂😂

  • @safiayusuf3482
    @safiayusuf3482 8 месяцев назад

    Vile anatamka "déjà vue"inanimaliza😂

  • @Dapeopletz
    @Dapeopletz 8 месяцев назад +1

    Hali hii hua inanitokea naweza kua nimekaa nimetulia naona kana nipo sehem nafanya jambo furani. Badae siku zijazo hua linatokea na kama mwishoni mwa jambo la mawazo yale ya awali liliisha vby hua nairisha maana tyr nakua nishauona mwisho wake. Nashukuru MUNGU kwa hili swala maana hua linanifanya nijiepushe mapema

  • @MmbagaMmbaga
    @MmbagaMmbaga 3 месяца назад

    Leo, 2024,jun imenitokea nikiwa kazin na hko nyuma nilishaw kuota, akati inatokea, nikakumbuka nilishawah kuota

  • @kozzomix120
    @kozzomix120 8 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣hiyo ni french siyo dejavu ni deja vi

  • @halimamwikongi
    @halimamwikongi 8 месяцев назад +3

    Yaan mm ad naota Sana naweza kuota kitu na kikatokea kwel yaan mda mwengine ad naogopa 😢

  • @toto_Derulo
    @toto_Derulo 2 месяца назад

    Mimi Huwa naota jambo mwezi mmoja nyuma then linatokea kwelii na nalifanya kama nilivyo ota

  • @juliejulie8704
    @juliejulie8704 8 месяцев назад

    Kaka kifaransa si chakwenu huko sema tu déjà vi kuliko vu shabiki wako kutoka burundi

  • @HeranaBaachana-eu2ew
    @HeranaBaachana-eu2ew 8 месяцев назад +1

    Niwe tu msema kweli,natokea CONGO nakufataga kila siku kwa habari zako zote.hii umeningusa na mimi maana na mimi inanitokeaga bila kujuwa kabisa

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 8 месяцев назад

    Déjà vu inasomeka [deja vi] sio [deja vu]

  • @ishaqamissi3834
    @ishaqamissi3834 8 месяцев назад +1

    Husomeka '' deja vi '' iyo V Yenye u Husomeka vi

  • @naimamussa-i2y
    @naimamussa-i2y 2 месяца назад

    Mbona hunitokea😂

  • @sophiaburuhan3040
    @sophiaburuhan3040 7 месяцев назад

    Punguza matangazo

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 8 дней назад

    Ndioo

  • @fideleemmanuel3035
    @fideleemmanuel3035 8 месяцев назад

    aaaah kwakifaransa DEJA VU, inatamkwa ( DEJA VI ) maana ( TAYARI NIMESHA HONA) By Fidele from CONGO.

  • @edwinamele-lu2ss
    @edwinamele-lu2ss 8 месяцев назад

    Saa zingine huwa tukiwa kwa mazungumzo na mtu huwa akitamka jambo nahisi ni kama nishawai kusikia jambo hilo

  • @alfredmutuajkia4992
    @alfredmutuajkia4992 8 месяцев назад +1

    Wa kwanza

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 8 месяцев назад +1

    Bongo fasta ❤🎉🎉🎉🎉

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 8 месяцев назад

    Mimi hua inanitikea sana hiyo, ila kwangu husababishwa na ndoto.
    Hua naota maeneo tofauti tofauti na baadae nikifka maeneo hayo, nakumbuka nlishawahi kuota

  • @marrypius576
    @marrypius576 8 месяцев назад

    Hii ni mim kabisa ila kila umri unavyoenda na kiwango kinapungua

  • @j.bjacobbasubi2187
    @j.bjacobbasubi2187 8 месяцев назад

    We we waweza sema déjà vi , kuliko kusema déjà vu,

  • @cleophaxgeremy2148
    @cleophaxgeremy2148 8 месяцев назад

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪hakika iyo kitu mm ishawainitokea mara mingi,,haswa mpaka naeza tabiri chenye kitatokea next minutes in that area same time..

  • @jacobluckiztv2648
    @jacobluckiztv2648 8 месяцев назад

    Nadharia ya nne,ni hile ya mtu aliyekufa kuwa na maisha ya pili,yani mtu akifa uenda kuzaliwa kwingine upya, so kama maisha yake ya kwanza alipita sehemu fulani,maisha yake ya pili akipita apo atapata hisia amewahi kuwa eneo hilo,mi naamini kwa maisha ya mtu kuzaliwa baada ya kifo mahana maisha hayana mwisho, uhai uendelea like endless circles

    • @jadenkabalaza-cq2jj
      @jadenkabalaza-cq2jj 8 месяцев назад

      Watu wengi hufikiri hvy pia mimi nilikuwa mmoja wapo mpaka pale nilipopata ufafanuzi ya kuwa hakuna maisha ya mara ya pili ukisha kuja duniani na ukaondoka ni umeondoka ila hyo unayosemea ww ni kwamba tulishaumbwa na sisi kabla ya kufanyika physically tulishakuwepo kweny ulimwengu mwingine (nyanja kwa kiingereza ni dimension) na Hv tulishavofanya sasa inapotokea tumepewa huu physical body bhas ndipo vitu kama Hv vinatokea inamaana our inner man alishavifanya

  • @gerry_macopper3808
    @gerry_macopper3808 8 месяцев назад

    Hii hali inanikutaga sana hii, yaan kunamuda nafanya Kitu huku najua kabisa ni nn kinafuata na jweli inakuwa hvyo hvyo

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 8 месяцев назад

    Kweli kabisa mm pia ni mmoja wao
    Aka bachuchu Mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @malkiawafizi2394
    @malkiawafizi2394 8 месяцев назад

    Mimi hii ali unitokea mara nyingi sana na kufanya vitu ambavyo uwa navifanya nakujiisi kama nimeeahi kuvifanya ila sikumbuki ilikuwa lini. Nanakuwa sina uwakika kamili kama nimewahi kufanya iyo kazi.

  • @kikandoladu2779
    @kikandoladu2779 8 месяцев назад

    Hili hata nami liliwahi kunitokea

  • @majaliwapelanyaa233
    @majaliwapelanyaa233 8 месяцев назад

    Hata Mimi ishanitokea jaman

  • @abduldjay3034
    @abduldjay3034 8 месяцев назад

    Mimi kabisa huyu, hii hali huwaga inanitokea Sana tu 😅

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390 8 месяцев назад

    Ahsante Kwa Elimu

  • @owagatonny6558
    @owagatonny6558 8 месяцев назад

    hiyo hisia ni Nguvu ya Giza

  • @stevkaliona4107
    @stevkaliona4107 8 месяцев назад +2

    Wa kwanza gonga like twende woteeeeeee🎉🎉🎉🎉❤

  • @GasperDanielkulaya-jf7ct
    @GasperDanielkulaya-jf7ct 8 месяцев назад

    Sasa twende kazi 🔥🔥🔥🔥

  • @SeleOmary-e9o
    @SeleOmary-e9o 8 месяцев назад

    Ihii nimajabu

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 8 месяцев назад

    Unyamaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 месяцев назад

    ✌️👍👊.